Bagamoyo Sugar || Kiwanda cha sukari cha Said Salim Bakhresa

  Рет қаралды 50,112

Azam TV

Azam TV

Жыл бұрын

Ni wazi kuwa Tanzania imekuwa miongoni mwa nchi ambazo zinakabiliwa na upungufu wa baadhi ya bidhaa muhimu za matumizi ya kila siku ikiwemo Sukari.
Kutokana na upungufu huo kampuni za Said Salim Bakhresa zikakubali ombi la Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania, hayati John Magufuli la kupewa eneo la kuanzisha kiwanda ili kuondoa tatizo hilo upungufu wa sukari.
Baada ya kuridhia huko kampuni za Said Salim Bakhresa zikaja na kiwanda kipya cha uzalishaji sukari BAGAMOYO SUGAR.
Tazama namna kiwanda hivyo kilivyoanza na namna kinavyofanya kazi ili kuondoa upungufu wa sukari nchini.

Пікірлер: 103
@dhakomodherooherokoko6037
@dhakomodherooherokoko6037 Жыл бұрын
Mimi mkenya lakini napenda Watanzania. You guys are very serious in whatever you do; Sgr ya umeme, Daraja la mwanza, bagamoyo sugar and more. But the speed of Tanzanian development has been slowing since Magufuli died. Mungu ibariki Tz
@cr7tz770
@cr7tz770 Жыл бұрын
Thank's
@allygibu7003
@allygibu7003 Жыл бұрын
Asante sana kwa kutupongeza🙏
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
Yah sure now we are going in a very sluggish move, if he would have been alive to date , I think tungekua mbali sana aisee
@shetijay
@shetijay Жыл бұрын
The late magufuli's economic efforts will never be forget,may his soul rest in eternal peace,God bless tanzania🇹🇿,much love from kenya🇰🇪#eastafricalove🇰🇪🇹🇿🇺🇬
@bongo39
@bongo39 Жыл бұрын
Mashaallah nafurahi kila naposikia bakhresa co imeanzisha bidhaa mpya kwa sababu najua kila mwananchi wa juu mpaka wachini inamfikia na kwa gharama nafuu haangalii faida kubwa yeye anatoa huduma zaidi ili kila mwananchi(mtanzania) aweze kufurahia kwa ujio au huduma za bakhresa group of companies asilimia kubwa ya watanzania tunapenda sana huduma zenu kwa sababu mnatujali sana na mafuta ya kula pia mungeangalia kufungua kiwanda endeleeni tupo pamoja
@revokachira119
@revokachira119 Жыл бұрын
SAFI SANA. UKIWA NA PESA WEKEZA KUSAIDIA WENGI. R.I.P DR. MAGUFULI
@goodteam7890
@goodteam7890 Жыл бұрын
Sasa hapa magufuli anahusika nini hajachangia ht senti 1
@gasparlubaga5866
@gasparlubaga5866 Жыл бұрын
Magufuli ni mwamba daima
@richardmwaja24
@richardmwaja24 Жыл бұрын
R.I.P JPM 🕯️ tungepata viwanda kumi km hv tungeuza sukari afrika n dunia n ajira toooopuuuu pumzik kwa aman mbeba maono ulikuw mzalendo halisi.
@sudigombela8761
@sudigombela8761 Жыл бұрын
yah sure lakini sukari ni mojawapo ya bidhaa yenye barrier nyingi zinazolenga kulinda viwanda vya ndani
@piusphilip307
@piusphilip307 Жыл бұрын
Shikamoo Kaka Said Salim Bakhressa,
@meshackmadema781
@meshackmadema781 Жыл бұрын
#JPM 🔥🔥🔥🔥 Hakika alikuwa na maono na hii nchi R.I.P MAGUFULI
@amosicronery7730
@amosicronery7730 Жыл бұрын
Hakika. Kuna vitu vinahitaji maamuzi ya kidikteta. Hebu fikiria Mzee Bakhresa alikuwa hajafikiria kuzalisha sukari, ila kapewa shamba bure (ambalo angelinunua kwa 150,000/eka x 10,000 = 1,500,000,000) na kashawishiwa. Hapo hakuna mambo ya upembuzi yakinifu, sijui Utafiti wa kimazingira.
@kmotivation1130
@kmotivation1130 Жыл бұрын
Yote Hayo Mzee Magu Aliona Mbali R.I.P Magufuli
@kisangageorgethomasi2830
@kisangageorgethomasi2830 Жыл бұрын
Amna lolote wamemfidia asara waliompa kipindi cha mkapa walimwaga ngano yake serikali ilishindwa kesi ikatakiwa kulipa fidia magu amekuta mizigo mezani akacheza na akili za wasioweza kufikiri
@TamuzaKale
@TamuzaKale Жыл бұрын
@@kisangageorgethomasi2830 Sijui niseme? Au basi!
@kmotivation1130
@kmotivation1130 Жыл бұрын
@@kisangageorgethomasi2830 sawa but kumbuka ,wema unatenda mwenyewe na ubaya hivyo hivyo so Magufuli ametenda alivyo stahili kwake
@kisangageorgethomasi2830
@kisangageorgethomasi2830 Жыл бұрын
@@kmotivation1130 ametenda kwa kulipa fidia au ilikuwa zawadi?
@goodteam7890
@goodteam7890 Жыл бұрын
Ni zawadi iliomgharim billions of money yani pesa alizotoa fidia kuwahamisha wanakijiji ni nyingi ni bora kama angenunua kiwanja
@leverimlaki5667
@leverimlaki5667 Жыл бұрын
Na ile bandari ya Bagamoyo ikikamilika, Bagamoyo itakuwa tofauti kwelikweli
@wakatv3704
@wakatv3704 Жыл бұрын
tuki pata rais kama magufuli tena nchi itaenda mbali sanaaa
@kamndemwakitosha1439
@kamndemwakitosha1439 Жыл бұрын
Madhara yake Je?
@shwaibukhatibu2838
@shwaibukhatibu2838 Жыл бұрын
@@kamndemwakitosha1439 kama yapi
@kamndemwakitosha1439
@kamndemwakitosha1439 Жыл бұрын
@@shwaibukhatibu2838 yaani hukumbuki?
@bobrudala3784
@bobrudala3784 Жыл бұрын
R.I.P Jembe Mungu IBARIKI Tanzania KAZI IENDELEE
@yassersahin6639
@yassersahin6639 10 ай бұрын
Hongera bahresa kwa kazi nzuri
@barakakadiva5746
@barakakadiva5746 Жыл бұрын
Very inspired. Great work Azam
@toshindugwa1085
@toshindugwa1085 Жыл бұрын
Huyu ndio MWAMBA mwenye maono ya mbali daaah chema hakidumu biriani JPM
@venancephilbert9397
@venancephilbert9397 Жыл бұрын
Ndoto yangu "Amina"
@zubeiramlanzi2480
@zubeiramlanzi2480 Жыл бұрын
Maa Shaa Allah
@mafurumatijo8803
@mafurumatijo8803 Жыл бұрын
R.I.P mzee baba magu. tunaomba sasa sukari ipatikane kwa uhakika.
@gsonshafu1459
@gsonshafu1459 Жыл бұрын
Hongereni sana kwa uwekezaji wenye tija.
@msevengwandanga7345
@msevengwandanga7345 Жыл бұрын
1q q
@selemankishema5780
@selemankishema5780 Жыл бұрын
Manshallah
@eliachacky7562
@eliachacky7562 Жыл бұрын
Asante MUNGU 🙏🏻
@khamiskiandiko2965
@khamiskiandiko2965 Жыл бұрын
Asanteeee
@kwamefidel736
@kwamefidel736 Жыл бұрын
Kazi nzuri
@tycoonpiro8980
@tycoonpiro8980 Жыл бұрын
Jamani jitahidini sukari yenu ipatikane nchi nzima
@MuhammedAli-zp3cy
@MuhammedAli-zp3cy Жыл бұрын
Kazi ni nzuri na inavutia.Big up Bakhresa
@daniellyimo378
@daniellyimo378 Жыл бұрын
Bagamoyo imefunguka na biashara zote sasa zinakua.thumbs up bakressa
@mohammedikingazi5109
@mohammedikingazi5109 Жыл бұрын
Mashaallah SSB
@paulnjau5317
@paulnjau5317 Жыл бұрын
Bakhresa family are great entrepreneurs. invest in my country kenya.
@aminasaeedsaeed8288
@aminasaeedsaeed8288 Жыл бұрын
Jina magufuli litadumu daima. Pumzika kwa Amani mbeba maono yetu. Mbele yako nyuma yetu baba. Jemedari wa Africa.
@eliudottonatus4265
@eliudottonatus4265 Жыл бұрын
Tunaweza kukidhi mahitaji yetu,tukiwawezesha watanzania wenzetu,Magufuli kaonyesha njia.
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Жыл бұрын
R.i p magu
@jessendungu2334
@jessendungu2334 Ай бұрын
I feel very bad coz of my country kenya,when i see this
@bongotrends255
@bongotrends255 Жыл бұрын
respect
@saimonstephen7250
@saimonstephen7250 Жыл бұрын
Tunaposema kiongozi Awe na maono tunaamanisha Kama Magufuli, faida tunasubr baadae
@mrndundugurushi9782
@mrndundugurushi9782 Жыл бұрын
Tunalima sukari nchi hii lakini kila kiru kipo juu daaaa ni shidaaa sanaaaa
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 Жыл бұрын
Inshu sio kulima unalima kwa wingi gani unawezalima kiasi ambocho akitoshi lkn pia sukari ilikufika mahala lazima ibebwe na gari gari linatumia mafuta
@binhussain3445
@binhussain3445 Жыл бұрын
Sasa unalima Miwa halafu wataka mafuta yawe rahisi🤣🤣🤣🤣🤣
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 Жыл бұрын
Aisee magufuli nani tena atatokea kama yeye
@Nedjadist
@Nedjadist Жыл бұрын
Huyu Mkuu wa Wilaya anaota kuvuna kodi tu ambazo essentially zinakwenda kuhudumia life style za wanasiasa. Na ndiyo akili fupi zilivyo. Zinakuja mwiisho baada ya mtu kufanya kazi zote. Humsikii akisema tutatoa ushirikiano kwa kiwanda, kukilea na kulea uwekezaji huu na kushirikiana kuondoa changamoto! Ndiyo mentality ya wanasiasa wa Afrika wote. Si ajabu uwekezaji mwingi unakufa. RIP Magu.
@juliussweetberth6474
@juliussweetberth6474 Жыл бұрын
Ongeza sana
@tensotv
@tensotv Жыл бұрын
Bahati mbaya mkihitaji kufanya certification..operator atawafelisha kwenye masaa ya kazi😁😁😄 am kidin
@aggu08
@aggu08 Жыл бұрын
Mtu mmoja kufanya kazi masaa 12 si mchezo😄
@mohamediidd1964
@mohamediidd1964 Жыл бұрын
Hela napata wap? Mmmh wengine tusubir tu .hongera sana bakhresa
@jafaryahmad4224
@jafaryahmad4224 Жыл бұрын
if you are belongs to the people u will always be the peoples life
@user-kl7rt7pj5d
@user-kl7rt7pj5d 9 ай бұрын
Habar apo kwandani naulizia kazii
@amanidicksoni3945
@amanidicksoni3945 Жыл бұрын
Magufuli ni mshindi ameshinda acha apumzike mbeba maono
@benedictmwanyika6798
@benedictmwanyika6798 Жыл бұрын
Dah mmejua kumhenzi the late magufuli
@SophiaOmary-ss6nj
@SophiaOmary-ss6nj 9 ай бұрын
Jamani Mimi nipo mbeya naomba kazi
@salmayusuph227
@salmayusuph227 Жыл бұрын
Naomba wausika wa kiwanda naomba nipatiwe kaz mm mjane
@binhussain3445
@binhussain3445 Жыл бұрын
Unachekesha sana wewe yaani wataka kazi kwenye comment??? Nenda kiwandani🗣️🗣️🗣️
@mpendakiswahili3053
@mpendakiswahili3053 Жыл бұрын
Walai Magufuli angalikua hai, sijui watanzania wangekua wapi....huyu mama ni kinyume cha JPM.... Kenya hatuja wahi barikiwa na kiongozi tangu enzi za ukoloni
@abdallahsaid641
@abdallahsaid641 Жыл бұрын
MARAIS WA NCHI ZA AFRIKA WANGEHEZI KAZI ZA UZALENDO WA NCHI ZA MAREHEMU RAIS MAGUFULI.
@jamesmsokwa2635
@jamesmsokwa2635 Жыл бұрын
Jpm super brain
@morismongera6722
@morismongera6722 Жыл бұрын
As
@badmanno.1650
@badmanno.1650 Жыл бұрын
Hapo alotoa wazo na eneo ndio washamsahau hivyo .. dah
@shwaibukhatibu2838
@shwaibukhatibu2838 Жыл бұрын
Hiki ndo kiwanda kikubwa Tanzania
@kvoopixel115
@kvoopixel115 Жыл бұрын
Usha wai fika morogoro wilaya ya kilombero
@shwaibukhatibu2838
@shwaibukhatibu2838 Жыл бұрын
@@kvoopixel115 kina hekta ngapi?
@jemedarikalimasi5754
@jemedarikalimasi5754 Жыл бұрын
Jpm daima
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
Ndomaana bagamoyo viwanja ghali sana ...
@asmarajabu5786
@asmarajabu5786 Жыл бұрын
wee
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
@@asmarajabu5786 kweli
@asmarajabu5786
@asmarajabu5786 Жыл бұрын
@@highzacknnko9685 mie ndiyo nilitaka kuja huko lakini basi ngoja nikomae yombo bagamoyo
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Жыл бұрын
@@asmarajabu5786 lakini sio sehemu zote kuna pahala pengine ndani ndani maeneo sio ghali sana
@asmarajabu5786
@asmarajabu5786 Жыл бұрын
@@highzacknnko9685 sawa
@johanesbagenzi2486
@johanesbagenzi2486 Жыл бұрын
Tunaombaje kazi?
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 Жыл бұрын
Waficha sukari watakomeshwa
@brownpatrickkaduma7106
@brownpatrickkaduma7106 Жыл бұрын
Pambaneni na Bei iwe rafiki kwa watanzania
@adolphmwangoje2887
@adolphmwangoje2887 Жыл бұрын
Utackia ni juhudi za mama 😂😂😂
@goodteam7890
@goodteam7890 Жыл бұрын
Ni juhud za bakhresa hakuna mwengine
@husseinkarim9211
@husseinkarim9211 Жыл бұрын
Wahindi wako Mbele sana, wazawa tumepata ujuzi mkubwa watekelezaji ni wazawa ni wengi.
@lightnesselirehema1464
@lightnesselirehema1464 Жыл бұрын
Nani mhindi?
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 Жыл бұрын
bakhresa ni tegemeo kwa taifa
@suleimankhamis8298
@suleimankhamis8298 Жыл бұрын
mbona bado ghali sukari
@alybakari9046
@alybakari9046 Жыл бұрын
Safi hii itakuja zanzibar yamahonda imefungiwa kwenda bara
@johnboscobiguli7692
@johnboscobiguli7692 Жыл бұрын
Laimu ya'nini kwenye sukali Tena?
@nchimbifathertv1226
@nchimbifathertv1226 Жыл бұрын
Lime ni chokaa Kwa ajili ya kusafisha chokaa kuwa safi
@kombafocus6996
@kombafocus6996 Жыл бұрын
Wabaguzi wa kidini mnaajili waislamu tu hapo.kiwandanimu
@goodteam7890
@goodteam7890 Жыл бұрын
We ajira itakayokufaa labda kukata miwa shambani manaake hata kuandika hujui
@kombafocus6996
@kombafocus6996 Жыл бұрын
AJILIJINI NA NA WAKRISTO LAKINI SASA MNAAJILI WAISLAMU TU HAKUNA HATA MKRISTO HUO UBAGUZI W dini
@daudkhatib4678
@daudkhatib4678 Жыл бұрын
Tatizo. Bahsresa. Mnaubaguzi. Wa. Kutowa. Akira
@binhussain3445
@binhussain3445 Жыл бұрын
Ubaguzi upi wauzungumziaaa?
@ngisianbn
@ngisianbn Жыл бұрын
.
@mnyamatv505
@mnyamatv505 Жыл бұрын
AJALI MBAYA YATOKEA MUDA HUU SUPERFEO / SONGEA -TUNDURU kzfaq.info/get/bejne/fM1mnqmG0a7XY30.html
@shabanipanya1033
@shabanipanya1033 Жыл бұрын
Tunataka cha serikali sio cha walio tajiriga kwa kukwepa kodi na kutusababishia umasikini na mahangaiko
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 Жыл бұрын
Acha kuropoka serikali yenyewe ndio inahimiza uwekezaji na ni nzuri wawekezaji wakiwa wazawa
@goodteam7890
@goodteam7890 Жыл бұрын
Wacha makasiriko weweeee kuwa na roho nzuri angalau Mungu atakufikiria vinginevyo utakufa na umaskin wako
BAGAMOYO SUGAR; KIWANDA CHENYE TEKNOLOJIA YA HALI YA JUU ZAIDI TANZANIA
26:39
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 65 МЛН
Cool Items! New Gadgets, Smart Appliances 🌟 By 123 GO! House
00:18
123 GO! HOUSE
Рет қаралды 17 МЛН
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
BIASHARA YA FAMILIA: MKURUGENZI KIJANA KIWANDA CHA JAMBO ASIMULIA
12:30
MKULAZI KUANZA UZALISHAJI WA SUKARI MWAKA HUU
18:13
Mkulazi Holdings
Рет қаралды 8 М.
UZURI WA HISTORIA YA MJI WA BAGAMOYO TANZANIA
13:39
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 6 М.
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 65 МЛН