BANDA BORA LA KUKU CHOTARA | KIENYEJI, FUGA KUKU WENGI KWENYE ENEO DOGO

  Рет қаралды 239,189

Changamkia Fursa

Changamkia Fursa

5 жыл бұрын

Banda bora la kuku chotara na kuku wa kienyeji.
Fuga kuku wengi kwenye eneo dogo kwa ubunifu wa banda la juu.
Ubunifu kwenye ujenzi wa banda la kuku ni muhimu sana ili uweze kufuga kuku wengi hata kama una eneo dogo.
Banda hilo unaweza kufugia kuku wa aina yeyote, kuku wa kienyeji, chotara na kuku wa mayai.

Пікірлер: 173
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Ujenzi wa banda bora la kuku 👉 kzfaq.info/get/bejne/Zr6di9JendWZdI0.html
@martinmakundi7134
@martinmakundi7134 4 жыл бұрын
naaza aje kufuga kuku
@julianmsaki7012
@julianmsaki7012 3 жыл бұрын
Naomba Sana sijuwi unapatikana wapi naomba Sana niwahsap au unipigie
@AbubakarFakii-en9ic
@AbubakarFakii-en9ic 4 ай бұрын
A.A.Habari ya leo kaka.Mimi nilikua nàtaka kutengezewa banda kama hiyo lako lakini Niko mbali Mombasa Kenya.
@cosmasmasawe9875
@cosmasmasawe9875 4 жыл бұрын
Mh kitaalamu hapo ni rahisi sana magonjwa ya kuambukiza kaa njia ya hewa kuingia maaana hewa ni ndogo
@halimaleila2323
@halimaleila2323 3 жыл бұрын
Napenda. San. Ufugaj. Wa. Kuku. Basi. Nina endereya. Kujifunza🇧🇮♥️
@kingdaddydesign8426
@kingdaddydesign8426 4 жыл бұрын
kwa kweli, hongera sana, huu ndio ubunifu unaohitajika. safi sana, nimependa hii idea, iko vizuri sana. lakin napenda kuuliza swali, vipi kuhusu suala la hewa safi kuingia na hewa chafu kutoka kwenye banda, nilitarajia kuona madirisha makubwa ya kuingiza hewa safi na kuondoa hewa chafu. ahsante
@nakurucyber617
@nakurucyber617 2 жыл бұрын
eeish ...mko fiti wazito... nisha get ideas za kujenga keja za kuku...asanteni sana...big love from kenya..
@franceanna5608
@franceanna5608 4 жыл бұрын
Ndugu zangu hii kazi ya ufugaji ni nzur ilimrad tu ukiweka nia
@polytarimo324
@polytarimo324 3 жыл бұрын
Ningekuwa karibu ningekuja kukutembelea, ila naomba unisaidie hili je unawezaje kuuweka huo mfumo wa yai litagwe mwishoni mwa Banda then liserereke hadi nje na kutoka likiwa safi kabisa
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Ndio inawezekana kabisa
@mwanaishambili241
@mwanaishambili241 4 жыл бұрын
Mashaallah nimkenya ninatamani sna kufunga
@bambabamba3239
@bambabamba3239 4 жыл бұрын
Ma challah 👍👍👍
@eradolyamuya3929
@eradolyamuya3929 4 жыл бұрын
Hongera sana kwa ubunifu wako
@abdonbusega7911
@abdonbusega7911 5 жыл бұрын
Nzur bro
@tonnynyokori7618
@tonnynyokori7618 Жыл бұрын
Nimependa Sana .....vyote ....ulivyotuandalia ...naitaji mawaidha zaidi ....
@rsllife9004
@rsllife9004 Жыл бұрын
Look great video and good information
@alexmtemi382
@alexmtemi382 5 жыл бұрын
Good things bro 🙏
@allynguvumali4741
@allynguvumali4741 5 жыл бұрын
Haya maisha kama masiala we Fanya tu kuna watu hawana utani na maisha
@changamkiafursa
@changamkiafursa 5 жыл бұрын
Hahaaaaa 🤣🤣
@salumjuma2983
@salumjuma2983 4 жыл бұрын
Maaanshaallah. Mapambano yako yana manfaa. Allah akujalie afya na maarifa zaidi. Nimeelimika kiasi.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Pamoja sana ndugu
@kakasmarta9503
@kakasmarta9503 3 жыл бұрын
Niko Kenya kazi nzuri ndugu
@petermuganda7322
@petermuganda7322 4 жыл бұрын
Brother uko vizuri nimefulaishwa Sana takutafuta
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Karibu Sanaa
@lilianlawuo4731
@lilianlawuo4731 2 жыл бұрын
Nakupataje.... Nataka unidizaidie banda
@ismailjohn6108
@ismailjohn6108 4 жыл бұрын
Nimeipendaaa sanaa hii
@alfredjoshua8625
@alfredjoshua8625 4 жыл бұрын
Nimekusoma sana kaka, umeeleza vizuri sana kuhusu suala la kufuga katika eneo dogo. nimepata hamasa ya kufuga katika eneo langu dogo.
@delphinmalupenga8148
@delphinmalupenga8148 2 жыл бұрын
Bonjour grand frère je suis en RDC je suis passionné de faire l'aviculture mais je n'ai pas d'expérience puis je avoir une formation ?
@stephenmwangi3245
@stephenmwangi3245 3 жыл бұрын
This is very good, job well done
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Thanks
@ramakheri9824
@ramakheri9824 4 жыл бұрын
Kazi safi bro,ongera sna
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Shukrani
@alfredjoshua8625
@alfredjoshua8625 5 жыл бұрын
asante kwa kutupatia mautundu juu ya ujenzi wa cage yetu ya kibongo.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 5 жыл бұрын
Pamoja sana
@josphatakama4625
@josphatakama4625 4 жыл бұрын
Baba unaweza
@superarts3334
@superarts3334 3 жыл бұрын
Very educative
@nurumdugo8325
@nurumdugo8325 3 жыл бұрын
Umeniihamasisha sana suala la ufugaji wa kuku katika eneo dogo
@samuelonchiri8960
@samuelonchiri8960 4 жыл бұрын
Thanks bro.Nataka kuanza na chache kama tano hivi for a trial can u help plz
@neriacharles955
@neriacharles955 4 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri. Nahitaji kutengenezewa banda km hilo
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Wasiliana naye, namba zake ziko kwenye video
@feysalmb9167
@feysalmb9167 4 жыл бұрын
Hiyo ni jela ya kuku
@salutarym4920
@salutarym4920 5 жыл бұрын
I like that....
@changamkiafursa
@changamkiafursa 5 жыл бұрын
Pamoja sana ndugu
@fadhilisawe434
@fadhilisawe434 3 жыл бұрын
asante sana una roho nzuri, na utafika mbali
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana
@jeplekutto3517
@jeplekutto3517 5 ай бұрын
Hongera Sana Kaka
@PeterWere-uz1xx
@PeterWere-uz1xx Жыл бұрын
Kuku kienyeji ya siku moja ni pesa ngapi
@shariftwahir8493
@shariftwahir8493 2 жыл бұрын
Ao kuku wa kienyeji au chotara
@suleimankhalfan8542
@suleimankhalfan8542 5 жыл бұрын
Nimelipenda
@changamkiafursa
@changamkiafursa 5 жыл бұрын
Shukrani sana
@masheneneluhumbika8668
@masheneneluhumbika8668 4 жыл бұрын
Safi sana asee
@isaiahkibiwott6596
@isaiahkibiwott6596 2 жыл бұрын
Hongera Sana
@alleblue
@alleblue 4 жыл бұрын
Great video and information..salamu kutoka kenya...
@priscamagige6546
@priscamagige6546 2 жыл бұрын
Napenda kufuga kuku
@angelasudi710
@angelasudi710 5 жыл бұрын
Very good 👌
@changamkiafursa
@changamkiafursa 5 жыл бұрын
Shukrani sana
@leonidajones1749
@leonidajones1749 4 жыл бұрын
Hongera sana sana.
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Asante
@samuelngogo5572
@samuelngogo5572 Жыл бұрын
Nimekupenda bure bro
@abdallasalim324
@abdallasalim324 4 жыл бұрын
Ok nimekupata vzr ndg, je hilo banda lako la ukubwa wa chumba kimoja, ambcho umeweza kuku 90,,limegharim shilingi ngapi, ?
@zziwasamuel8791
@zziwasamuel8791 Жыл бұрын
Good work
@judithiwakaroyo8694
@judithiwakaroyo8694 4 жыл бұрын
Asante Sana nashkuru najifunza kila cku ninapenda Sana kufuga kuku nawashukuru Sana Changamkia Fursa kwaelimu nikiwa tayari kuanza nitawatafuta Kwa elimu Zaid
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Unakaribishwa sana
@judithiwakaroyo8694
@judithiwakaroyo8694 4 жыл бұрын
@@changamkiafursa Asante Sana
@lawrencetesha5936
@lawrencetesha5936 5 жыл бұрын
Mwanga wa jua vp
@veronicawambui1618
@veronicawambui1618 3 жыл бұрын
Asante kwa mafunzo mazuri
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante kwa mrejesho wako
@wilckstenyaboke7829
@wilckstenyaboke7829 4 жыл бұрын
Asante br pia nintakutafuta
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Karibu
@victormambasa4735
@victormambasa4735 5 жыл бұрын
nimejifunza kitu, jamaa nimemkubali
@changamkiafursa
@changamkiafursa 5 жыл бұрын
Mbunifu hatari
@pranavkro9212
@pranavkro9212 4 жыл бұрын
I like Very much your poultry farm house design. But you didn't show properly all the house design and room
@magrethbruno1857
@magrethbruno1857 5 жыл бұрын
Nice
@changamkiafursa
@changamkiafursa 5 жыл бұрын
Good
@sheiladayo3462
@sheiladayo3462 3 жыл бұрын
Zuri sana
@pasteurmardocheemwale2023
@pasteurmardocheemwale2023 2 жыл бұрын
Kazi zuri sisi tuko Congo rdc kuku tu ta panta n'a muna gan?i
@akhamis9861
@akhamis9861 5 жыл бұрын
Nzuri sana. What about kutembea tembea, mazoezi hawahitaji?
@rosepaul7901
@rosepaul7901 2 жыл бұрын
Sa mazoezi ya nn wkt hawa kuku hawana kitambi na uzito mkubwa kwa kuku ndo unatakiwa soko linakuwa zuri zaidi unauza kwa bei utakayo wewe na siyo mnujuzi atakaye😃
@EmmanuelKawawa
@EmmanuelKawawa Ай бұрын
Asante sana
@boniphacekamuli9241
@boniphacekamuli9241 Жыл бұрын
Vp kuusu jua maana kuku anahitaji jua
@manaseelias2351
@manaseelias2351 3 жыл бұрын
Umenihamasisha asante
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Asante sana kwa mrejesho wako
@henrynyabuto4892
@henrynyabuto4892 3 жыл бұрын
Hiyo nyavu ndogo iko na kipimo gani(shimo) na iunapatikana kwa hardware?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 3 жыл бұрын
Inaitwa chicken wire Ndio inapatikana hardware
@luqmankassim6102
@luqmankassim6102 3 жыл бұрын
Kwa majina kamili naitwa Luqman Kassim kutoka inchini Kenya. Nimependa sana mradi wenu wa kuku naomba sana kujiunga na nyinyi kwenye ufugaji wa kuku
@tadeikomba2784
@tadeikomba2784 2 жыл бұрын
Nataka kuku wa malawiii msaada jaman
@gladyssimiyu6134
@gladyssimiyu6134 4 жыл бұрын
Niko Kenya unawezakujakunijengea banda
@godfreydaniel8190
@godfreydaniel8190 2 жыл бұрын
Naomba kujiunga na kikundi cha furusa
@margueritnyingani8844
@margueritnyingani8844 5 жыл бұрын
Thanks for sharing am in Kenya will you come to design it for me? I love it
@changamkiafursa
@changamkiafursa 5 жыл бұрын
Thanks for the invitation
@margueritnyingani8844
@margueritnyingani8844 5 жыл бұрын
@@changamkiafursa any time
@ramzanshamsu2948
@ramzanshamsu2948 3 жыл бұрын
Habari kaka office zako zipo wapo nataka kufika na kupata ushauri afu naomba mawasiliano
@gladymwaipopo5002
@gladymwaipopo5002 3 жыл бұрын
Umetumia sh. Ngapi kutengeneza CAGE
@nganga-the_scientist
@nganga-the_scientist 2 ай бұрын
Inagharimu pesa mingi kujenga
@jereannpoultryfarm-bometmu1594
@jereannpoultryfarm-bometmu1594 Жыл бұрын
GOOD
@kismakoita7887
@kismakoita7887 2 жыл бұрын
J'aim beaucoup c'est que vous faites, mai je ne comprends pas là langue
@nackymziray3787
@nackymziray3787 3 жыл бұрын
Nime kukubali jamani ,sijui uko wapi maana banda nimelipenda
@judymwangi3993
@judymwangi3993 11 ай бұрын
Elezea Banda Hilo la kukusanya mayai
@user-vx3iy9gj1g
@user-vx3iy9gj1g 6 ай бұрын
Nzuri kupata uzoefu kutoka Kwa mfugaji
@lilianlawuo4731
@lilianlawuo4731 2 жыл бұрын
Niko Kibaha... Naomba mawasiliano pls... Nataka unifanyie hay mabaanda
@sethmwahalega5155
@sethmwahalega5155 2 жыл бұрын
Uko vizuri nimependa Banda lako bei Gani?
@dastanidanis8742
@dastanidanis8742 4 жыл бұрын
nzr
@tukaeamani7090
@tukaeamani7090 2 жыл бұрын
Banda kama hilo gharama yake ni shilingi ngapi
@euniceochieng6478
@euniceochieng6478 3 жыл бұрын
Uko na mafunzo mazuri.Unapatikana wapi.nahitaji kujengewa nyumba ya kuku. huko Kisumu, lakini niko Nairobi ,Kenya
@johnmugo3031
@johnmugo3031 3 жыл бұрын
Vipimo za nyumba za kuku ni gani?
@veronicahmatara5695
@veronicahmatara5695 4 жыл бұрын
I will like to meet you Plz tell me how?
@rashidiwewendioutoshaemung7392
@rashidiwewendioutoshaemung7392 3 жыл бұрын
Kwahio hawalalii
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 5 жыл бұрын
Very nice
@changamkiafursa
@changamkiafursa 5 жыл бұрын
Shukrani
@atubeka9317
@atubeka9317 4 жыл бұрын
safi sana kiongozi
@user-xp2ti2lx1y
@user-xp2ti2lx1y 2 жыл бұрын
Unaweza ukaweka kuku juu na sungura chini?
@johnjm3858
@johnjm3858 4 жыл бұрын
Naomba namba yako ndugu, wewe ni mwl mzuri
@petermuganda7322
@petermuganda7322 4 жыл бұрын
Naomba mawasiliano ya mtaalam
@petermumo9251
@petermumo9251 5 ай бұрын
Mm nataka kufunga kuku wa mayai!! Je inachukua miezi gapi ndio waannze kutaga mayai? Alfu niwe na kama pesa gapi ya kuanxia? Naomba usaidizi broo
@khadijasegumba8898
@khadijasegumba8898 6 күн бұрын
Nimependa hilo banda nitampata wapi mjenzi?
@nganga-the_scientist
@nganga-the_scientist 2 ай бұрын
Je mtu akitaka kununua kuku anakupata wapi ama mnafanya delivery?
@furahamuywanga2427
@furahamuywanga2427 3 жыл бұрын
Nimejenga, na nimeshaweka kuku, mtihani kuku wanataga, ila sijui yupi anayestahili kulalia maana sielewi anayetaga, naomba nijibu
@florencelunani5403
@florencelunani5403 4 жыл бұрын
Asante bro, tufunze jinsi ya kujenga ili kurahisisha kuchukua mayai
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Tuko pamoja
@rosepaul7901
@rosepaul7901 2 жыл бұрын
Hili banda limegharimu kiadi gani cha pesa?
@furahamuywanga2427
@furahamuywanga2427 3 жыл бұрын
Kuku akitaga mayai, akianza kulalia utajuaje?
@emmanueleddiemwamakula3398
@emmanueleddiemwamakula3398 5 жыл бұрын
Hongera kwa ubunifu huu naamini hutatua changamoto kwa wafugaji wenye maeneo madogo, naomba kuuliza kuhusu eneo la kucheza kwa kuku limezingatiwa hapa?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 5 жыл бұрын
Idadi ya kuku kwenye cage imezingatia ukubwa wa eneo
@emmanueleddiemwamakula3398
@emmanueleddiemwamakula3398 5 жыл бұрын
@@changamkiafursa aksante!
@twalibsaid9573
@twalibsaid9573 5 жыл бұрын
Habari. Mimi nlikua naomba msaada kuku wangu wamevamiwa na utitiri. Halafu hivi chokaa inasaidia kufukuza utitiri?
@changamkiafursa
@changamkiafursa 5 жыл бұрын
Utitiri tumia dawa inaitwa ultravin au akheri powder
@twalibsaid9573
@twalibsaid9573 5 жыл бұрын
Asante
@deogodi1655
@deogodi1655 2 жыл бұрын
iyo ya kuzuia kinyesi kisiende ameeka nini kaka
@rusunguwatsonione8750
@rusunguwatsonione8750 5 жыл бұрын
kaka ubarikiwe sana imenitachi hapo uliposema mbona hawanizaidi ngoja nipambanemwenyewe uck mwema
@changamkiafursa
@changamkiafursa 5 жыл бұрын
Pambana
@edikiumbe7391
@edikiumbe7391 4 жыл бұрын
Mimi nauliza je? Mimi ambae nipo Zanzibar mutanisaidiaje? Na nahitaji kujengewa banda kama hilo naomba msaada wenu au kama kuna mawakala kwa upande was Zanzibar basi naomba naomba za sim ili niwasiliane nao jamani naomba sana by moh' d khamis (EDI KIUMBE)
@anyangograce1465
@anyangograce1465 5 жыл бұрын
Mm niko ukonga napataje no yk kwa ushauri zaidi?nataka nifuge ikiwezekana nisaidie no yk nikupigie au nije kabisa nione
@emmanueleddiemwamakula3398
@emmanueleddiemwamakula3398 5 жыл бұрын
Tazama hiyo video mpaka mwisho ametoa namba zake.
@josephsilem7239
@josephsilem7239 2 жыл бұрын
Kaka hakika nimekuelewa tena Sana ila kwa namna mayai yanavyokuja mbele kutoka yanapotagiwa sijajua umepadisainije hapo
@samwelmuhere2807
@samwelmuhere2807 Жыл бұрын
Naweza aje kupata namba yako
@lusum2442
@lusum2442 3 жыл бұрын
Hupatikani kwenye namba zako ulizotuonyesha
SHAMBANI: UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI
24:48
TBConline
Рет қаралды 182 М.
BANDA LA KUKU 1000 - 1300, SEHEMU YA TATU
11:17
Charity Farm
Рет қаралды 36 М.
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 22 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 10 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Jinsi ya Kutunza Vifaranga vya Kuku wa Kienyeji
8:19
Changamkia Fursa
Рет қаралды 237 М.
KUTANA NA VALENTINE BINTI ANAYEKIMBIZA BIASHARA YA NAFAKA DSM
29:22
Gangana Info Channel
Рет қаралды 12 М.
KANUNI 7 ZA KUTENGENEZA MTEGO WA FEDHA! PART 1
30:57
THOM. KAVISHE GOSPEL TV.(TKG.TV.)
Рет қаралды 209
Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300
10:37
GHARAMA ZA BANDA LA KUKU | UFUGAJI WA KUKU
23:56
KingoFarm
Рет қаралды 4,7 М.
Ushauri wa Mama Lymo kwa Anae Anza Ufugaji wa Kuku Chotara
9:36
Changamkia Fursa
Рет қаралды 55 М.
BANDA  BORA LA KUKU WA KIENYEJI .
11:50
Briheka TV
Рет қаралды 71 М.
Mbunge wa Kwimba awekeza zaidi ya bilioni moja kwenye kuku
5:49
BMG ONLINE TV
Рет қаралды 121 М.
NILIANZA NA KUKU 50 WA KIENYEJI  SASA NINAUZA VIFARANGA 2500 KILA WIKI
12:12
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:26
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 22 МЛН