Mashallah namuona mzee magufuli kwa makonda Allah akulinde makonda na mama yetu samiha Aameen
@mussakilo49165 ай бұрын
Makonda mungu akubariki na kukulinda endelea kusimamia haki
@jedidahbintidaudi82415 ай бұрын
asante sana Makonda. Natamani pia Mama ampatie kitengo Mh Sabaya kusaidia migogoro hiii pia. ni kiioingozi mzuri kama Makonda
@HOOFCLANMEDIA5 ай бұрын
Even Sabaya himself is are leader with ambition support u
@jedidahbintidaudi82415 ай бұрын
@@HOOFCLANMEDIA true. it is in-born. he is very good. leave alone whatever weaknesses he has but my brother this Sabaya is very good.
@futureyouthfoundation58015 ай бұрын
Sabaya anastaili mungu amuinue
@josephminja7953Ай бұрын
😢😢
@jedidahbintidaudi8241Ай бұрын
am a lady lol thanks😄
@yasinthaprosper42265 ай бұрын
Amen Mungu amemrudisha kwa sababu kaka yetu Makonda. Tulijiuliza nani atamrithi R.I.P Magufuli lakini naona ni Mh. Makonda vile abarikiwe mno .
@prospermbowe90755 ай бұрын
Mh,Makonda mimi ni chadema ila uwezo wako ni mkubwa unakipaji kikubwa mungu azidi kukubariki mkuu
@josephminja7953Ай бұрын
🤝🤝🤝 uwezo anao 💐
@matridamwalyoyo17355 ай бұрын
Makonda aongezwe muda wa kazi angalau kila mkoa akae wiki
@twiseghekisilu88455 ай бұрын
Kwa kweli😅😅😅
@mgonasipapune13835 ай бұрын
Kabisa
@songeza5 ай бұрын
Pole makonda mwenezi pambana usisahau maombi nami nakuombea hunijui ni mtu mdogo sana.
@user-uk1io7mk3n5 ай бұрын
Ccm oyeeeeee mama samia oyeeeeee makonda oyeeeeee kidumu chama cha mapinduzi 🙏🙏
@highvoltages41695 ай бұрын
Kidumu chama tawala
@gililwise5 ай бұрын
kweli mimi ni ccm ila viongozi waliopewa madaraka wanatuangushaaa.chama kinaonekana ni C=chukua.C=chako.M=mapema
@ClementinaHabineza5 ай бұрын
Kwakweri mubarikiwe
@jacksonjamesndyabawe4715 ай бұрын
Noma sana.. Hitakuwa anachoka sana.. Sio kazi rahisi kabisa.. Jamaa linapiga kazi
@user-tk6zk6gc1h2 ай бұрын
makonda jamani amerudi mangufuli amerudi Tena mungu akuride popote ulipo
@user-de2rg9kk7u5 ай бұрын
HIZI ZIARA ZA MAKONDA ZIMEFICHUA MAOVU MENGI ambayo SAMIA na watendaji WAKE wameyafanya kwenye hii NCHI. Ukisikiliza hizi ZIARA zinaumiza sana Mpaka nimekoma siangalii Tena! Siangalii Tena ZIARA ZA MAKONDA Kuna mambo yanaumiza sana
@JasminiAlly-pu6gf29 күн бұрын
Wakipatikana vingozi kumi kama makonda nchi itakiwa sawa makonda mungu akuhifadhi na akukinge na Shari zamaadui
@athanassimbila26035 ай бұрын
NASEMA,MHESH MAKONDA KUWA, ROHO YA MAGUFULI IMO NDANI YAKO.NJOO PIA TANDAHIMBA...
@user-up3kx4ju7m5 ай бұрын
Makonda aongezewe posho
@azizamvungi18715 ай бұрын
Watu mnadhambi sana jamani yaani mnapata utajiri kwa mali za wenzenu
@estachengula39025 ай бұрын
Nakuomba makonda ujasiri wako alio kupa mungu endelea kutetea wanyonge mungu akupandishe viwango Hadi viwango
@emmanuelmlowe-ew7gx2 ай бұрын
Umati huu unamkubali makonda je akigombea nafasi yoyote hapa nchin hakunawagomshinda makonda
@user-wf7oh9jr7vАй бұрын
One day, Makonda will be president of Tanzania.
@user-pt7lc4xu3d5 ай бұрын
Kiukweli apo ulipo makonda alipo jamani akuna viongozii embu naomba mama wetu awatumbue tu awa watu wlioko madarakani
@MatthewSimonKanyanzulu5 ай бұрын
Makonda ni mahakama inayotembee haisee piga kazi mwambaaaa
@joycekalago5322 ай бұрын
Watoto 50 wa kwake pekeake au wakujuu humohumo na vitukuu?my Lord I wonder 😂😂😂
@bonifacedanielmwakisunga96385 ай бұрын
Mimi naona Aya matatatizo wakuu wa wilaya na mikoani shida sana mikoani awafanyi kazi kusaidia wananchi Bali kunyanyasa wananchi mshahara wanapata marupurupu gari nzuri shida Nini watatnzania inauma sana acheni dhuruma
@laylayl51665 ай бұрын
Hilo ndio neno lakini wajuwe IPO siku mwenyezi mungu atawahukum juu ya hii dhulma
@ramadhanimtetu36565 ай бұрын
Kwa nini watu wanawapenda Wanasiasa na sio Watumishi wa Umma Serikalini -; Hii ni alama kwamba Waajiriwa Wetu Kwenye Sekta za Umma Wana tatizo la kutowajibika ipasavyo Dhidi ya Shida za wananchi wetu Mifumo yetu ya utoaji haki Ina changamoto Pia ni vigumu kwa Wananchi wa kipato Cha kawaida (kina sisi ) kupata suluhulusho la kudumu katika Kutatua Migogoro yaani ni shida , tabu , changamoto Kila Mkoa daaahhh Eee MUNGU Ulie Mbinguni tusaidie Mh Makonda Mungu Akubariki sana
@mgonasipapune13835 ай бұрын
Umenena vema
@RoseMhando-dg6yp5 ай бұрын
Weee
@RoseMhando-dg6yp5 ай бұрын
🎉🎉🎉😂❤
@richardchawenda59385 ай бұрын
Watumishi wa umma hawafatili ndo maana wanaichi wana angaika tu
@kiri58075 ай бұрын
Wananchi hawapewi elimu . Wao wanajua umpate kura ndio mwenye wajibu wakukusikiliza .
@OmanOman-hz1qmАй бұрын
Makonda wetu tunakupenda sana endelea piga kazi
@NeemaKamugisha5 ай бұрын
Mungu akulinde makonda Yesu azidi kukuinua
@bernardjohn87885 ай бұрын
Kesi za ardhi ni ngumu huwezi kumaliza jukwaani. Wengi wanauza wakimaliza hela wanashikwa tamaa wanarudi tena
@user-xc4or2vp6l5 ай бұрын
Nimeipenda hiyo Eeehe Eeehe
@masamakijames78375 ай бұрын
Wewe nakuombea Mungu akulinde sana,maana kazi ufanyayo ni takatifu kabisa
@muna11655 ай бұрын
NINA WAOMBA MUMFUKUZE KAZI SHILIMA
@user-on4qu8yj3t2 ай бұрын
Mh makonda mungu akubariki uwe waziri waaridhi miaka Kumi tu
@mamitomamita62842 ай бұрын
MAKUFULI NO 2
@chingaboy11495 ай бұрын
Shilima amechill kama sio yeye😂😂😂😂😂😂 huyu kazi hana atafute tu ajira nyingine
@user-nc4ou6uy1j5 ай бұрын
Makonda amejitowa Kwa akili ya wanyonge,mungu amulinde zidi ya wanaokula haku za watu maana duh pekeake hatoweza yuko wapi magufuli ,emungu mulindi makonda kadili uwezavyo
@MatthewSimonKanyanzulu5 ай бұрын
Piga kazi mzee
@chomasongidion60475 ай бұрын
Masikini maisha haya yanejaa mtihani mkubwa
@DannyWiston3 ай бұрын
Sabaya na makonda wawe pamoja
@user-qz5yh1dl1n5 ай бұрын
Nilisema huyu jamaa shilima ni mpigaji saaana afungwe
@aderanderwa76235 ай бұрын
Hapo mmetudanganya watoto 50 alizaaje mmmm uongo mwingine
@mtahogarashid84885 ай бұрын
Ni watoo 50 kwa wake 6 ndugu yangu hata mimi mama yangu mmoja ana watoto 12 mke wa pili watoto 8 wake 2 watoto 20 ukiongeza wake watatu wakazaa hivohivo unapata wangapi?
@mtamimuMgidange-cd4hi4 ай бұрын
Yani kusoma hujui ata picha huoni, sadik kakufafanulia kuwa walikuwa 6 wengne walifarik kabaki mama yao pekee bado tu hujaelewa mhmmmm was Tz mnatuaibisha bhana Yani miaka 7 shule ulifanya nn class✍️✍️
@martinabayyo99825 ай бұрын
Mungu naomba makonda aje huku kwetu manyara tunateswa sana
@kuhaniPetroCn5 ай бұрын
Huyo shirima kwanza anaonekana nidhamu yake ndogo sana anaongea kaegemea chuma kama vile yanayosemwa ayamtishi kitu daaaah 😢
@DorahMchome2 ай бұрын
Mungu akulinde mnooo mkuu
@J4UPro5 ай бұрын
Hawa watu Mungu awaona
@HanifaOman-oo4pl5 ай бұрын
Makonda maashaqllqh❤❤❤
@user-qo6qv6mc5pАй бұрын
Pole
@user-tg7vq3ty8p5 ай бұрын
Huyu Shirima kwa nini hajawekwa kizuizini?
@user-dd8ud2gk4l5 ай бұрын
Kwan sianafaa2 kuwa mkuu kwenye taifa hili Uongoz nikipawa ambacho munhu Huwa anampatia mtu makonda anaweza jamani!!
@samsonsengi75742 ай бұрын
NCHI IMEOZA NA KILA MTANGANYIKA ANATESEKA KIVYAKE NA SERIKALI HAIONI WALA HAISIKII, HAPO NI ARUSHA TU, JE MIKOA YOTE TANGANYIKA HALI IKOJE? KILA MBUZI ANAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKE, MCCM MNATAKIWA KUJITAFAKARI SANA.
@adrophinamwanguse15105 ай бұрын
Makonda mtoto WA magufuri ulie funzwa ukafunzika ulie lelewa akaleleka magufuri amekuachia muguu mzuri huluma upendo upolole ukalimi mtoto mdogo lakini unafanya KAZI ngumu sana ongera sana mungu Azidi kukuongoza tunakupenda watanzania
@SheikhIssaAbnau5 ай бұрын
Hee hichi kiswahi nacho au ligha nyengine 😂😂😂 usinune utni tu huu
@SimonLukumay-cw4bd5 ай бұрын
Samia amuweke lengai sabaya washirikiane na makonda watumbue majipu
@jonathansehaba74412 ай бұрын
Iv unayoyaona makonda hao viongoz wlkua hawaon iv nchi ndo inaanza sasa kw makonda na ninyi wnachi mnachagua viongoz wbovu
@laylayl51665 ай бұрын
Kwakweli iringa inaongoza kwa dhulma ya ardhi
@fatmamsiliwa84855 ай бұрын
Sana ndiomana mm niliwachia mashamba yangu ya urithi mara wanakuroga
@loner_wolfАй бұрын
Unachimbaje kifusi kiwanja cha mtu....?
@janethmitema1807Ай бұрын
❤
@user-nc4ou6uy1j5 ай бұрын
Tatizo la wasomi wakisha ajiliwa hawana shida na kutetea haku za watu ivo hawafai kuigwa na jamii
@abdulhakeem9595 ай бұрын
KUMBE KUNA BAADHI YA RAIA WANAJUA MAKOMDA NDIYE RAIS.HIKI NDICHO WATU WALICHOACHIWA NA JPM
@user-tg7vq3ty8p5 ай бұрын
Why this Shirima is not in detention now?
@jessym83415 ай бұрын
Because he is a hardworker...
@jmastertz1615 ай бұрын
watu wanamaumivu sana 😢
@rehemakanyere41885 ай бұрын
Mnoooo
@melanialeonard40315 ай бұрын
Huyo shirima anyongwe
@VianaKokutensa2 ай бұрын
Mvi ni matatizo 😅😅
@user-th6ev1qq2r5 ай бұрын
Kunahajagani yakua nawakuu wa wilaya namikoa?
@jumaally42635 ай бұрын
Ni kweli kabisa
@jmastertz1615 ай бұрын
watu hawajui haya yoote maumivu ya wananchi ni yanafanyika na hao walioteuliwa na chama cha kiwafukuze wote kiweke wapya
@alhabibsudi79975 ай бұрын
Kuishi Tanzania ni laaana kubwa
@Esterkomba-ef7eb5 ай бұрын
Waandishi kibao wa matatizo nimengi watanzani wateseka lakini wote wanakimbilia kuchambua michezo nakuisifia yanga .
@user-zu8kt4yn4n5 ай бұрын
Yaani makonda ww utakua waziri mkuu kwamana sio poa
@MACHOYATAI-jk6fu5 ай бұрын
Huyu jamaa ameeleza Maelezo meengi mpaka simuelewi
@rehemakanyere41885 ай бұрын
Anaeleweka,ni uchungu likikukuta utaelewa
@user-ss2he5et9m5 ай бұрын
Danganyweni na ccm tu mtaipenda
@tinamhimba3075 ай бұрын
ngoja uchaguzi upite ndo mtaelewa maana ya siasa
@user-pi5rz5hp2t5 ай бұрын
😂😂😂umeona eee mh yetu nachoo walahi
@danieltsaxara91995 ай бұрын
sabaya arudishwe kazini nchi ikae sawa
@SurprisedAtom-vp5qe5 ай бұрын
😂😂😂😂shirima hahahaaas
@user-xs8to8fu6d5 ай бұрын
Bila maombi hii nchi hsitakuwa salama
@rehemakanyere41885 ай бұрын
Kabisaaaa
@user-rx7tk2fb8w5 ай бұрын
unafaa kuwa rais ase
@johasaeed3915 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢
@happyhayola66725 ай бұрын
MUNGU akutuze makonda
@bonifacedanielmwakisunga96385 ай бұрын
Aya ni matatizo ya viongizi mkuu wa wilaya yupo mkuu wa mikoa yupo Sasa hii migogoro kwanini wanashindwa kutatua shida za wananchi mpaka mtu atoke makao makuu Ili kutatua matatizo jamani watumishi wa umma mwogopeni mungu mtaukumiwa na mungu dhuruma sio nzuri
@guyasidotto11985 ай бұрын
Nchi inakuwa kama haina viongozi saiv kiongoz amekuwa makonda tu aise
@user-de2rg9kk7u5 ай бұрын
HIZI ZIARA ZA MAKONDA ZIMEFICHUA MAOVU MENGI ambayo SAMIA na watendaji WAKE wameyafanya kwenye hii NCHI. Ukisikiliza hizi ZIARA zinaumiza sana Mpaka nimekoma siangalii Tena! Siangalii Tena ZIARA ZA MAKONDA Kuna mambo yanaumiza sana
@frankpeter-of8xp5 ай бұрын
Makonda hawasaidii kitu uchaguzi ukishapita hamtamwona.