NAONA WAGONJWA NI WENGI SHEIKH MWAIPOPO WAONGEZEE DOZI INSHALLAH
@jumahamad37239 ай бұрын
Mwaipopo mungu akujaalie baraka na elimu zaid inshallah
@bilalabdikun22288 ай бұрын
Mwaipopo mungu akujalie umri mrefu enye ibadah
@samxx411 Жыл бұрын
Mwaipopo wambie ukweli japo watachukia
@SmilingCityMap-xb9md7 күн бұрын
Maskini pole sana umeshachelewa eti kwa mjibu wa bibilia unachekesha sana
@furahagiselle123526 күн бұрын
Acahabari zako bwana🤔
@issafaquedalaura82798 ай бұрын
Masha Allah 🥰
@marionoti57609 ай бұрын
Pole sana, kuruani ni kitabu kilichonukuliwa kutoka biblia, na imeanzishwa na mfanyabiashara kati ya uarabuni na Israeli Muhamedi mwaka 630 baada ya kristo.
@moshinyashebo79818 ай бұрын
Uzima wa milele haupatikani kwa kuamini dini dini ni vikindi vya kutukusanya pamoja katika kujifunza kumtafuta mungu na uzima wa milele unapatikana ndani ya yesu kwa imani
@RashidKasanduku8 ай бұрын
Yesu ni MUNGU 😂😂😂
@hashimchaoga95662 ай бұрын
Yesu ni mtume wa 24 kati ya mitume 25 wa mwenyezi Mungu.Acha Yale mengi aliyosema kuhusu baba yake mfano wasamehe hawajui watendalo kesho tutakua sote katika ufalme wa baba yangu pale alipoomba kucha nzima kama yeye ndio Mungu alikua anamuomba nani ? Hivi Mungu alitahiriwa jamani?!?! Haya ni maajabu eti Mungu kazaliwa halafu kauawa na aliowaumba hivi ni vichekesho. Mungu hakuzaa hakuzaliwa hana mshirika hafananishwi nachajatairiwa wala hana jinsia. Hiyo ni elimu ya juu juu na tosha kabisa. Yesu ni mtume tu alitumwa kuwakomboa wana Israel.
@user-fg1gg3ec2o8 ай бұрын
Anaeongea mwenyewe sijui kalewa
@bahatinyandula6425 Жыл бұрын
Mungu akulaani mwamposa unapotosha watu wewe unatumiwa na shetani
@dorothswai Жыл бұрын
Usipomkubali Yesu Kristo Awe Bwana Na Mwokozi wako hautamwona Mungu.usijifariji.
@dulividuli52379 ай бұрын
Mungu yupi tna na mnasema Yesu ndie Mungu mwenyew
@mohamedhozi81109 ай бұрын
Waislamu yesu tunamkubali ni mtume wa mungu lakn nyinyi mnasema ni mwana wa mungu apo ndio mnakufuru mungu hazai tumieni akili
@hashimchaoga95662 ай бұрын
Na wale walioishi kabla ya kuzaliwa Yesu?!?? Lakini hats Wayahudi alikotumwa Yesu kuwakomboa hawamwamini na walimuua msalabani. Huoni kama mawazo yako ni finyu.Amini tu kwamba mitume walikua jumla 25 Yesu alikua mtume wa 24. Hayo ya umungu ni ya kutunga na upotoshaji pia uchakachuaji uliotoka katika baadhi ya vitabu zaidi ya 66 vilivyotumika kuandika biblia. Yesu alifundisha Injili ambayo ni maneno ya Mungu baba yake. Yesu alifundisha neno LA Mungu hakufundisha yake
@hashimchaoga95662 ай бұрын
Unaona wanajichanganya wenyewe wasemapo bila kupitia kwa Yesu hutamuona Mungu au kupata uzima wa milele,. Wanakariri tu hawaelewi wala kujiuliza hata mambo ya wazi
@meshackmatwinya93962 ай бұрын
sekhe wafundishe hawa wenzetu wamjue Mungu wa kweli ni nani
@aloycelucas1823 Жыл бұрын
Iko siku utaomba ubatizwe Tena lkn utakuwa umechelewa, YESU KRISTO ni yeye yule Jana leo na hata milele, na yeye ndie jibu, rejea kusoma Ufunuo wa Yohana utakuta kumbe na wewe umo kwenye utabiri ule!!
@danielkanso Жыл бұрын
Hiyo ni ushabiki tu kwa sababu yupo mbele ya watu lakini akitafakari mwenyewe atajua tu wapi amefanya makosa yeye
@simonmuhoja149 Жыл бұрын
Mnatumia uhuru vibaya kukosoa dini za watu msituvurugie nchi yetu kosoa dini yako
@hafidhramadhni9346 ай бұрын
jamani huyu hajawatukana wakristo ila ameufafanua ukristo sasa ushauri soma bibilia nawewe ujionee sio ufate dhana tu
@user-hy5zd5rn6r7 ай бұрын
Bila Yesu mbinguni hakwendeki
@ramadhanathumani8661Ай бұрын
Yesu c mungu acha ufinyu wa fikira
@user-hy5zd5rn6rАй бұрын
@@ramadhanathumani8661 Mohamed sio mtume wa kweli acha ufinyu
@user-hy5zd5rn6rАй бұрын
@@ramadhanathumani8661 ufinyu ni kuamini Mohamed ni mtume
@simonmuhoja149 Жыл бұрын
Jikite kwenye kufundisha uislam achana na WA kristo
@user-fg1gg3ec2o8 ай бұрын
Duhuuu waislamu sijui kwanini wanateseka na ukrsto wetu mbona sis hatuhangaiki na nyie
@richardnganya23117 ай бұрын
Kuna shida kubwa mahali fulani !! Kusahihisha usichokiamini..
@barackamosi4116Ай бұрын
Huyu mwaipopo ni mjinga 2 mana halielewi kitu majini yamesha mwalibu
@user-rs4zf8ik2q Жыл бұрын
Mwanzo 21:14 umegusia sawa Nashaka Hapo kwenye"wakristo ni jina lililo itwa na kupangwa na wapagani" halipo na sijaliona zaidi ya neno lenyewe la Matendo 11:25, hili hilo neno limetoka wapi?
@jasminedamian60329 ай бұрын
Uklisto c dn
@barackamosi4116Ай бұрын
Yani wasilamu wengi wameipigania dini hadi wamekuwa machizi hata wanacho kiongea hawaelewi
@officialomyclassic3424Ай бұрын
Yakobo 1:26-27 [26]Mtu akidhani ya kuwa anayo dini, wala hauzuii ulimi wake kwa hatamu, hali akijidanganya moyo wake, dini yake mtu huyo haifai. If any man among you seem to be religious, and bridleth not his tongue, but deceiveth his own heart, this man's religion is vain. [27]Dini iliyo safi, isiyo na taka mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa. Pure religion and undefiled before God and the Father is this, To visit the fatherless and widows in their affliction, and to keep himself unspotted from the world.
@israelandemwakalundwa-iz1fcАй бұрын
V Biblilia.haina.makosa.ila.mtu.ndiye.mwe nyemakosa
@martinihassani67609 күн бұрын
Tangaza mtume wako tu Mambo ya Biblia achana nayo huna elimu ya kuifundisha
@Jameskuresoi68652 ай бұрын
Ukristo sio dini bro KRISTO NDIO DINI ukristo ni tabia ya wafuasi wa KRISTO
@issaabdallah7660Ай бұрын
Unao ushahidi kwenye bibilia kuwa ukristo ni tabia?
@AM-rr3jr Жыл бұрын
Kula Kitimoto utajua uiamini ipi. Hayo ya Biblia ipi waachie wenye Biblia... Wao ndo wanazijua we si yalikushinda??
@AM-rr3jr Жыл бұрын
Ukristo una amani ndiyo maana Mashehe wanahudfhuria kwa Wakristo, lakini huwezi ona Wachungaji wameingia Msikitini au Makusanyiko ya Kiislamu. Mashehe wanatisha muda wowote wanaweza jaa jazba.
@slimanshaz731111 ай бұрын
Inauma
@uwezawamungumkuu.amaniafrika7 ай бұрын
Kumbe ni ninyi walipinga KRISTO YESU MWOKOZI?. AMNAGA KAZI NINYI. TAFUTE KAZI YA KUFANYA. IMANI YETU ACHENI. ANGAIKENI NA YENU. AMEN.
@hashimchaoga95662 ай бұрын
Hivi wayahudi walioletewa Yesu awakomboe wanamkubali?
@shebatimathayo84718 ай бұрын
Mwaipopo huna jipya nenda shika jembe kalime hiyo kurani mmenukuu vifungu kutoka biblia tena vifungu mnavyo taka ninyi.
@bumijamshana10452 ай бұрын
Nyie hajui lolotebukristo ndo dini yamungu mwaipopo hunalolote na uislamu ni dini ya kichawi mtume kasena mjifunze kwa waliowatangulia waulizeni waarabu na hakuna kitabu alipewa mhamadi dini ya uongo hiyo subirini Yesu awatokee na kuwashugulikia kama paulo uta
@issaabdallah7660Ай бұрын
Wew unajua kitu gani? Bibilia kuisoma mara moja kwa wiki tena andiko moja
@AM-rr3jr Жыл бұрын
Hubiri uislamu dini yako. Ukristo waachie Wakristo...
@mohamedhozi81109 ай бұрын
Wwe ni mdudu taa unakingwa usiingie motoni lakn unalazimisha..ssa yesu akija wauliza nnani aliwaambia ukristo ni dini jibu mtalitoa wapi
@uwezawamungumkuu.amaniafrika7 ай бұрын
Utamtenga mkristo kwa kipi?. Sisi atuna Shida na ninyi ninyi. Ninyi ndiyo mnaangaika na sisi. Angalieni maisha yetu minyi. Mwamposa amekua mwiba kwenu. Tuombe uzima mwakani WAKRISTO TUTAFANYA MENGI SANA TENA YA MAKUBWA. PENDENI AMANI NINYI. AMEN.
@user-bv9cx7xe5o6 ай бұрын
Siohivyo utume kapewa nanani
@dickngimba43338 ай бұрын
acha ujinga huna jipya
@josephmusagasa5566 Жыл бұрын
Wewe unaongea Mungu yupi na nani majina yake? Mungu ni cheo,hata muimba mziki wa matusi anasema amepewa kipaji na mungu. Wewe tuambie huyo mungu wako anaitwa nani? Hata wachawi wanamuomba mungu wao. Tuambie majina ya huyo mungu unayemtaja.
@charlesboniphace224915 күн бұрын
Stori za kufuga majini zimeisha mmehamia kwenye biblia tena,😂😂😂😂 Mkiwekwa kwenye mdahalo mtetee qurani yenu holaaa😂😂😂😂 Imejaaa majini na uchawi tu
@jamalkishangu13 күн бұрын
Hujasoma Biblia, kama ungesoma ungeelewa MAJINI, mashetani, uchawi na dawa za asili zimetajwa kwa wingi katika biblia. Usilete ujanja wa nyani kucheka kalio la mwenzake akisahau lake.
@charlesboniphace224913 күн бұрын
@@jamalkishangu uchawi upo kwenye Quran tu mpk mtume mwenyewe alirogwa
@bahatinyandula6425 Жыл бұрын
Ulisha amua kuwa kafiri hubiri ukafiriwako bwana
@bumijamshana10452 ай бұрын
Hunalolote wewe umefeli hakuns mhubiri hapo hakuns lolote huna jipya Yesu ni kiboko ya wabishi mtu kakakataa ukriso kenda uslam huna elimu wewe
@dorothysamwel2648 Жыл бұрын
Kwenda huko fuata dini yako kama unaiona ndio sahihi. Achana na ukristo,/wakristo inakuuma nini? Kama dini yako itakufikisha peponi kwa imani yako endelea. Achana na Biblia achana na wakristo . Tusubiri fainali.
@hashimchaoga95662 ай бұрын
Fainali mtahukumiwa kwa kumdhalilisha Mungu kwa mambo ya ajabu eti Yesu ndio Mungu. Hivi Mungu alitahiriwa jamani? Looh Mungu alibebwa mimba kazaliwa halafu kauawa na aliowaba huu unafanana na utani na dharau.Mungu kazaliwa bandani? Mtahukumiwa kwa kutomuamini Yesu kwani Yeye kila kitu alikua akifanya na kusema wazi wazi kwamba kuna baba yake ndio kila kitu na si yeye na hats alipopatwa na matatizo alimkumbuka baba yake Mungu hata pale aliposema baba mbona unaniacha, wasamehe hawajui watendalo kesho tutakua sote katika ufalme wa baba na aliomba kucha nzima kwa baba yake. Yote haya hamuamini mnamngangania tu Mungu Mungu. Yote hayo mtajibu. Mtajibu kwa nini wote hamtahiriwi kama yeye kwa nini hamvai mavazi kama yake hata alisali kwa kusujudu
@mohamedhozi81109 ай бұрын
Wakristo sisi waislamu tukikaa kimya bila kuwaambia kwamba ukristo sio dini ni vigumu sisi kupata uzima wa milele kwa sababu..tumewaacha mkapotea yesu hakuwa mkristo cristo ni jina lake sio dini tumieni akili
@user-fg1gg3ec2o3 ай бұрын
Mbona mnateseka watoto muhamadi na ukrsto wetu
@DesderiusHauleАй бұрын
Wewe mwaipopo na elimu yako yote, hivi ni kitabu gani kilikuwa kwanza ya kingine kati ya biblia na quran?
@hashimchaoga956625 күн бұрын
Waislam wana masahaf ambayo ina Kuran Injili chache za ukweli taurati na zaburi. Biblia ni vurugu tu kuna yenye vitabu 66 kuna yenye vitabu 78 kuna isiyo agano jipya kuna zilizochakachuliwa kuongezwa mambo ya kanisa na waandishi wasio mitume
@DesderiusHauleАй бұрын
Hiyo quran inatambua uwepo wa dini ya ukristo wewe mwaipopo huutambui! Huu ni msiba