Рет қаралды 1,520
PART 1: JESCA MFINANGA ATUA DAR, ASIMULIA UNYAMA WALIOFANYIWA AFRIKA KUSINI, MACHOZI YATAKUTOKA...
Hatimaye Bondia Jesca Mfinanga amefanikiwa kurudi nchini akitoka Afrika kusini alipokwenda kucheza na kupata matatizo ya Promota kuingia mitini bila ya kuwalipa yeye na mwenzake Egine Kayange .
Bongo Boxing Safari tumepiga stori nae akiwa Uwanja wa Ndege ambapo ameelezea mkasa mzima.