#EXCLUSIVE: IBRAHIM CLASS Amjibu SAID MKOLA - "MWIZI Yule, KUNA Shoga YAKE Yupo TANGA ANAMTUMA" KARIBU utazame mahojiano ya Bongo Boxing Safari na bondia Ibrahim Class kuhusiana na maisha yake ndani na nje ya ngumi kwa ujumla.
Пікірлер: 19
@user-hi8le2vb7z4 ай бұрын
BONGO BOXIN MTACHELEWA,,,MNASHINDWA KUPIGANA MPAKA MASHABIKI WANAAMUA WAO NDO WAKAPIGANE😊😊
@richhaule92644 ай бұрын
Ibra Class wewe ni noma piga kazi
@user-gm6yk5vy6x4 ай бұрын
Ibrahim naomba namba yako
@wazirisaid83264 ай бұрын
Tanga sehemu gani yueleze!! Heti mzaliwa wa sehemu nyingi Kwani umezaliwa Mara ngapi? Unadhani ukijipa Utanga ndio unaweza kuchukua nafasi ya Mwakinyo huko Tanga? Ufalme wa Mwakinyo hautapotea Ktk boxing hapa TZ na Ulaya jifunzeni kupitia yeyw mwenzenu amewaacha mnalingana Sana acheni wivu. Mlishamuo a Mwakinyo akapiga mizinga ya pesa Kama nyinyi mnavyofanya? Yule Sasa ndio bondia wa kimataifa.
@KijukuuMtemi4 ай бұрын
Kwani huwez kufanya ngumi mpaka umtaje mtanga Kama kwel unaweza nenda kwa mtanga ukakanyagwe
@user-ek9hc5fo3z4 ай бұрын
Kuweni mashabiki wazuri wa ngumi acheni matusi akuna bondia anae lazimisha mashabiki kuweni na nidham...
@mdosephayta80754 ай бұрын
Mim naona BOXING inazid kukua na kuleta ushindani sio kila siku twaha kiduku na mwakinyo safar hiiii ngoma imenoga
@ManMadini-jm9ki4 ай бұрын
Wewe mm ni Shabiki wko ila kwa ili unafeli bwana mdogo acha maneno fanya kazi
@mkanulamajid5004 ай бұрын
Tzd boxing Ni Za mwakinyo mpaka astaafu
@rahimhemed33704 ай бұрын
iki kijamaa nakionaga km asma
@AbbasMwakichui-db9tn4 ай бұрын
Wewe muandishi mchonganishi sana
@tebelehondo82684 ай бұрын
Uyo bondia ni chawa wa mafia twamjua kumsema mwakinyo ni kupalilia ajira yak
@user-zp5tm3wd8b4 ай бұрын
Ibra we shoga umuwezi mwakinyo
@richardimagine84604 ай бұрын
Tanzania kuna mabondiya wana mapambano mengi njeanchi nawa nawana record kubwatu mwakinyo simbaya sema kilamtu nanyota yaketu, sindokama bondiya wakuoogopewa hana wako mabondia tanzaniya akicheza nao watamkalisha vilevile
@karimually42364 ай бұрын
Kak bas2 ushaongea lakini tunampa bland huyo dogo wew kaka sasa
@ayubutwalbu65944 ай бұрын
Unacheza na watu hawana uwezo
@saddammasige14814 ай бұрын
Nyie washamba tu kaz kumsemama mwakinyo mbona ye anamambo yake mnakaa ku.msema watufudenke wakubwa wote unamaisha gani we mtufudenke
@jonathantito35284 ай бұрын
KWELI MWAKINYO BONDIA MKUBWA SANA, KILA MTU ANAMTUMIA KUPATA KIKI... Halafu haya maneno ya kumwita mtu mwingine shoga angeyasema Mwakinyo, angeambiwa anaongea sana! Kwa akili ya kawaida tu Mwakinyo aache kufanya mambo yake amtume kwako kwa kipi? 😂😂😂