LEO TENA YA CLOUDS: MAMA ALIYEKUTANA NA MTOTO WAKE BAADA YA MIAKA 28, BABA ALIKUFA, VILIO VYATAWALA

  Рет қаралды 124,756

Bongo5

Bongo5

Күн бұрын

Boniphace alipewa picha na baba yake ya kuweza kumtambua Mama yake ikiwa ni miaka 28 toka waachane na baba yake. Amesema baba yake alipoteza mawasiliano na mama yake miaka na nyuma.

Пікірлер: 370
@florandomba6822
@florandomba6822 2 жыл бұрын
JAPO watazamaji tunalia Sana kwa ajili ya wenzetu ,,,,,,Hiki kipindi hataiweje tunakiombea kiendelee KUDUMU ,,,,na aliyebuni Hiki kipindi mungu amjalie busara zaidi,,,, na maisha marefu zaidi na aendelee kuigusa jamii km hivi,,
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Hakika Ndugu Umenena Vema 🙏🙏🙏
@jamillahmnemwa4913
@jamillahmnemwa4913 Жыл бұрын
Nimelia walah
@marymakame241
@marymakame241 Жыл бұрын
Dada Geah mambo haya tanatia uchungu sana shaloti.kwako
@user-ct3dx9yq2w
@user-ct3dx9yq2w Жыл бұрын
🙏🙏
@SharifaMohammed-el3ug
@SharifaMohammed-el3ug 2 ай бұрын
Nakia sana sana Hadi macho yameevimba has Clouds hongera sana sana
@abiollashayo5698
@abiollashayo5698 2 жыл бұрын
huyu bon maskini kwa muonekano tu anaonekana kapitia maisha magumu sana tu kwa muonekano bt all in all bon usikate tamaa kaka,,mama ndo huyo hongera
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 2 жыл бұрын
Ni kweli
@gidionsylivester8942
@gidionsylivester8942 2 жыл бұрын
Asante Sana clouds tv hakika Leo Tena kipindi Bora , hongera kwa boni ni rafiki yangu tulikuwa wote bukoba katika harakati za kutafuta maisha hakika Mungu Ni mwema🔥🔥🔥❤️❤️❤️🙏🙏🙏
@janemsamati6700
@janemsamati6700 2 жыл бұрын
Hakika mambo ya Mungu hayachunguziki , Mungu ni mwema sana familia zimekutana Hongereni sana Leo tena
@sharifaabdullah6825
@sharifaabdullah6825 2 жыл бұрын
Masha allah mungu awafanyie wepesi familia zote zilizokutanishwa wakina', gear mwijaku na wezenu' mungu awabariki
@sifasanga7866
@sifasanga7866 Жыл бұрын
Mbona imeniliza hii? Daaaaah !! Pole na hongera Boniface. Mungu ni Mwema sana aliruhusu haya uyapitie
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 2 жыл бұрын
Kama ulishawai ku follow in love school ndio hii pole sana mama bone kipenzi chako cha kishule shule amefariki muombee dua mwenyezi mungu amsamehe makosa yake huko alipo Amiin...DC salute clouds 🔥🏆💚💛💪🇹🇿🇦🇪
@tricemollel6739
@tricemollel6739 2 жыл бұрын
Jamani nimelia kama sina akili nzuri nimeumia sana lakini mungu awabariki sana wote wa leo tena!!
@mauemy4685
@mauemy4685 2 жыл бұрын
Nimeipenda familia wanapendana wamemsapoti dada yao
@mspwjjjso6261
@mspwjjjso6261 2 жыл бұрын
Kwa jina naitwa Amina ahaman ,kweli hii Historia imeniza maana imenigusa Hata Mimi nimo miaka mingi nilikua sijuani na ndugu zangu lakini namshukulu mungu kaka yangu alivyokua ametufafuta anetuona alhamdullih
@husnatgamaah1335
@husnatgamaah1335 2 жыл бұрын
MashaAllah Familia ina upendo sana hii imekuja kumsupport dada yao🌹🌹🌹
@priscamchomvu4021
@priscamchomvu4021 2 жыл бұрын
Mungu mwema daah Bon umeniliza umeniliza Glory to God
@wamugimohammed3848
@wamugimohammed3848 2 жыл бұрын
Masha Allah Masha Allah ! Wallah dada zg na kakazangu Allah Atawalipa DARAJA la juuu wallah ! Masha Allah nimefurahia sana kipindi chenu ! Hili nijambo lakufurahisha sana wallah ! NANI KAMA MAMA ? ALLAH AWAPE UMRI DD NA KK ZANGU AMIN AMIN
@fathimamct232
@fathimamct232 2 жыл бұрын
Mashallah mnajitahidi kwa kweli mungu awatangulie na awape Riziki yenye khery na nyie
@joycesamweli1219
@joycesamweli1219 2 жыл бұрын
Mungu akusaidie inawezekana hata maisha ya mtoto sio mazuri kabisa
@rechogoda8920
@rechogoda8920 2 жыл бұрын
Kwa kweli iki kipindi ni kizuri sana Mungu awabariki sana timu nzima ya kipindi hiki Allah atawalipa Wallah
@isackahmed2563
@isackahmed2563 2 жыл бұрын
Ongera sana Homeboy Bon kumuona mama ako❤️
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 2 жыл бұрын
Jamani huyu baba Boniface Mungu amlaze mahali pema peponi Glous FM Mungu awabariki sana. Wazazi kama baba Boniface mkiwapata tena hai shirikianeni na serekali yetu tukufu kuwaadabisha. Mtoto amafichwa na akakosa haki zake za msingi. Ndugu zake wanang"aa yeye anahuzuni
@hadijaabbas2192
@hadijaabbas2192 2 жыл бұрын
Yani ameonekana mdg kwa wadg zake kimuonekano tu anaonesha alikuwa na maisha magum
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 2 жыл бұрын
Mwijaku ana life style ya kijanja sanaaa Big uP brother Kila sehem ana Play kutokana na mazingira 👏👏👏
@dorothtobias8053
@dorothtobias8053 2 жыл бұрын
Hongera Sana MAMA Kumpata mtoto wako.sisi wazazi tunajua unavyokuwa unajisikia na Sasa unavyojisikia. Mshukuru Sana Mungu kwa Hilo.
@vincej9275
@vincej9275 2 жыл бұрын
Asante sana clouds kwa kazi nzuri. Very beautiful
@florencemuthoni6301
@florencemuthoni6301 2 жыл бұрын
I can't hold my tears,,GOD bless you heroes
@lydiajepchirchir5100
@lydiajepchirchir5100 2 жыл бұрын
True sweety even me ooh
@allysaid6742
@allysaid6742 2 жыл бұрын
Hongereni Sana Kwa kufanya Jambo zuri Allah awazidishie ILa imenitoa machozi kwakweli imenigusaa
@rosaliembarikiwa592
@rosaliembarikiwa592 2 жыл бұрын
Hallelujah 🔊🔊🔊 Dada nashukuru umekutanidhwa na mwanao Boniface
@scolamassao1551
@scolamassao1551 2 жыл бұрын
Mungu nimwema
@nenenelly1878
@nenenelly1878 2 жыл бұрын
Amina
@kutailadifi2854
@kutailadifi2854 2 жыл бұрын
Nmelia SANA Mimi mnao fanikisha haya Mungu awabarik SANA
@dorisshirima3300
@dorisshirima3300 2 жыл бұрын
Nimelia sana jamani. Daaa
@florameza1028
@florameza1028 2 жыл бұрын
Hadi nimelia kazi mnayofanya Leo tena ni nzuri saaana
@onesmokilufi7082
@onesmokilufi7082 2 жыл бұрын
Bony ulimpenda sana baba yako,,usmwache baba yako kumkumbuka japo yupo mbere ya haki,, maana hicho kisa cha mama yako akiwezi kuvumilika😇wamama jamaniiii mhh
@Mpakauseme
@Mpakauseme 2 жыл бұрын
Wachaga hawana show mbovu nawakubali sana wachaga aisee wanaumoja very strong
@SoudShuraim
@SoudShuraim 26 күн бұрын
Wizi labda na ujambazi
@jenabmakobeh3694
@jenabmakobeh3694 2 жыл бұрын
Mm pia nina miaka 38 cjawai muona babangu yuko moshi mchaga anaitwa nathaniel nilikua nimekata tamaa cna haja ya kumtafuta lkn naona nikianza mchakato
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 жыл бұрын
Kwakeli nimelia mtu mzima mm..poleni sana sana.
@edwinmichoro348
@edwinmichoro348 2 жыл бұрын
am just happy for you guys may God bless u so much, that some wonderful people and nice people still exist .
@shamimkamwele3689
@shamimkamwele3689 2 жыл бұрын
Wachanga nimewapenda mungu ni mwema siku zote
@beneyamuliri1877
@beneyamuliri1877 2 жыл бұрын
Waaah only mountains will never meet wish one day Will also meet my dad of all this 33yrs siku moja itafika now i believe
@edwinaoduol307
@edwinaoduol307 2 жыл бұрын
I have no words, happy for their reunion.🎉🎉🎉🎉🎉
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Жыл бұрын
Naomba sana mwenyez Mungu asiniweke mbali na watt wangu hak ntalia sana 😭 mtt unapotezana nae miaka hata nimiachana n mwanaume simpi mwanangu" nakufa nae
@antoniashoo746
@antoniashoo746 2 жыл бұрын
Gea Habib mwinjako nawote mlioamua kuandaa kipindiki hiki mungu awazidishie
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 2 жыл бұрын
Dahhh,,, jamani kupoteza mtoto sio rahisi jamani maumivu ni makali sana na hayavumiliki Allah awape afya njema nimefurahi mnoo Wallah
@temuemanuel4671
@temuemanuel4671 2 жыл бұрын
Clouds mnafanya kazi nzuri sana. Hongereni mno
@MosesKaponda-wx5vy
@MosesKaponda-wx5vy 5 ай бұрын
Baraka zizidi kwa krauzi utukufu kwa mungu
@upendomlay357
@upendomlay357 2 жыл бұрын
Sasa msiende kutambika kwenye makaburi ila nendeni kwa mungu alie hai a liyewakutanisha mkamshukuru nae atawafanyia wepesi wa maisha na kushikamana kama familia.mbarikiwe sana.
@joyceoberlin3576
@joyceoberlin3576 2 жыл бұрын
Wew ujasikia wanaenda kutoa shukurani kanisani au
@enockmaige8936
@enockmaige8936 2 ай бұрын
Amina
@nasiapullumber34
@nasiapullumber34 2 жыл бұрын
Mwijaku shikamooo hi ndio kazi nzuri unayo yakiwa kufanya
@agathaleonard5974
@agathaleonard5974 2 ай бұрын
Mungu awabariki Sana clouds kwa kazi kubwa mnayofanya pole na hongera mama boniface
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 2 жыл бұрын
Nimerudi tena. Watanzania tujaribu kuheshimu tamaduni za makabila yetu Kilimanjaro hatufichiwi watoto mlijue hilo
@fatemafatemamubarak3965
@fatemafatemamubarak3965 2 жыл бұрын
Hongera mama happy usimtowe mwanao kutesa kwa zamu sasa zamu yako wewe wao waweze wana nini wewe ushindwe una nini boni usirudi tena bukoba mama ndie huyo
@elizabethjames2384
@elizabethjames2384 2 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kipindi hiki kizuri sana Ila nimejikuta nalia machozi. Pia familia hiyo inaupendo mungu awabariki sana.
@asharajab5366
@asharajab5366 2 жыл бұрын
Kumbe sikuwa peke yangu niliyelia kwa kuangalia hicho kilicholetwa
@amandamakinda850
@amandamakinda850 2 жыл бұрын
Jamani haya maumivu nikajua niyangu tu mm mwenyew nilitelekezwanikiwa kwabibi nikiwana umri wa miez tisa mpk leo nawatt wawili simjui mama 😭😭😭😭😭nimelia sana jamni dunia hiiiiii mmmmmmm mungu atusaidie
@dorothnayombe5199
@dorothnayombe5199 2 жыл бұрын
Wow thank you so much 4 good job.
@ashafroholdt7697
@ashafroholdt7697 2 жыл бұрын
Daaah BON umeniliza sana, lakini mungu ni mwema ❤❤❤❤
@theophildamfuruki6859
@theophildamfuruki6859 2 жыл бұрын
Hongereni sana kwa kazi nzuri yakuwakutanisha wapendwa walopotezana,Mungu hatawalipa,kwa kazi yenu
@EustaceRimoy-sg6lc
@EustaceRimoy-sg6lc 2 ай бұрын
Jaman born amepitia pole piah kwa kumpoteza baba mungu Leo amempa faraja kumkutanisha na mama he born to win😘
@monadinadi5295
@monadinadi5295 2 жыл бұрын
Wamefanana na mama jmn nimelia😭😭🙏🙏
@mariammkuyu5906
@mariammkuyu5906 2 жыл бұрын
Duuh huruma😭😭😭
@zaitunishaban7976
@zaitunishaban7976 2 жыл бұрын
Yaan wamama tunapita mambo magumu!!
@subiratembo3033
@subiratembo3033 Жыл бұрын
Nimeliza sana Leo kuona hiki kipindi mungu awabariki
@gladyedwards3097
@gladyedwards3097 2 жыл бұрын
Hongera leo tena hongera familia
@agnaskanyai3381
@agnaskanyai3381 2 жыл бұрын
Have cry for the moment its awesome jamani nobody can b like mom
@samiahmlimanzila6406
@samiahmlimanzila6406 2 жыл бұрын
Ukisikia machozi ya fraha ndo haya🥰
@beatricethadey2145
@beatricethadey2145 2 жыл бұрын
Hongereni sn hichi kipindi mungu awabariki sn.
@adam-saffi211
@adam-saffi211 2 жыл бұрын
What a good story! Clouds you are super human!
@raiyansaid5836
@raiyansaid5836 2 жыл бұрын
Jaman nimeumia km mzazi
@khalidakambi3754
@khalidakambi3754 2 жыл бұрын
Bon muonekano wke tu inaonesha kakulia ktk mazingira magumu
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Asante mwijaku na timu mzima mungu anawaona 🙏🙏
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 Жыл бұрын
Kafanana na Mama Bwana.
@zawaditamari9752
@zawaditamari9752 2 жыл бұрын
Nimelia kwa sauti miye😭😭😭😭😭
@yassintaibrahim24
@yassintaibrahim24 2 жыл бұрын
Haya Ni Zaidi Ya Maumivu 😭😭😭 Hakika M/Mungu Ashukuriwe Saana Na Awabariki Saana Wanaleo Tena🙏🙏🙏
@fatemafatemamubarak3965
@fatemafatemamubarak3965 2 жыл бұрын
Hongera mwanamke mwezetu kwakuunganishwa na mtoto wake boni baba ako ulikuwa uwaweke kikao kwenye uko uwambie kwamba baba ako akupeleke kwa mama ako kama wengepuuza ungeenda kwa mwenyeki kama hajakubali ungeenda kumshitaki baba ako baba kama huyu engenipata mimi engeijuwa siku alotahiriwa baba ake maana tungetoka na kisakina cha polisi na mmbwa wa polisi engenipeleka mpaka kilimanjaro
@happynessmafuru8939
@happynessmafuru8939 2 жыл бұрын
Familia ina upendo sana
@annastevensteven9515
@annastevensteven9515 Жыл бұрын
Mim nasemaga mzaz ukimchukua mtot akenda kumficha ipo siku tu atamtafuta mama yak ata iweje kama atakuwa hai kwaiy jaman wazaz wemgin tuishi kwa upendo maan inauma sana
@mwatummselem2411
@mwatummselem2411 Жыл бұрын
Hii hatari jamani nimeliya mpaka kichwa kinaniuma haya Mambo yamenitokeya mimi mwenye nakumbuka Sana
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Жыл бұрын
Kipindi chako kwa kweli ni kizuri Sanaa, na ni muhimu Sanaa. Ubarikiwe.
@puritykariuki4256
@puritykariuki4256 Жыл бұрын
Am already in tears 😢shukrani kwa mungu
@kagoyemwambal9061
@kagoyemwambal9061 2 жыл бұрын
Nawapa hongera sana Kwa kipind chenu lla mfanye japon mara mbili Kwa mwaka
@esthermushi3455
@esthermushi3455 Жыл бұрын
Kwa kweli inaumiza sana mtito kutenganishwa na wazazi wake
@AMINASAIDI-mx7rs
@AMINASAIDI-mx7rs 8 ай бұрын
Mama umejieleza vizuri pole Sana .
@shamirachanga1887
@shamirachanga1887 2 жыл бұрын
Hongera Mungunmkubwa kiukweli
@amanpetro6820
@amanpetro6820 2 жыл бұрын
Clouds media kwa hiki mnachokifanya Mimi binafsi nakosa ata Cha kusema!
@mwanaimamsangi971
@mwanaimamsangi971 2 жыл бұрын
Hiki kipindi kinaniliza jamani
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 2 жыл бұрын
Sana jamani
@FlorenceKamwambi
@FlorenceKamwambi Жыл бұрын
I feel ur pain wat u was feeling for soo many years 😢😢😢 it pain lndeed... congrats boniface to meet ur swt mum be blessed...❤
@asmasalumu
@asmasalumu 2 ай бұрын
Allah awasimamie katika kipindi hiki jaman Mimi mume wangu hata hamjui baba ake mtusaidie jamani
@heavenlightlowassa7433
@heavenlightlowassa7433 2 жыл бұрын
Aki nimelia kwanguvu mama awepo jamn mtoto bila mama its nothing mama akiwepo mtoto unapata nuru bila kula mama ni Mungu wapili nyie wananume msitunyanganye watoto wetu atakam tuna ugomvi tunaomba mawasiliano yawepo kati yetu kwaajili ya mtoto
@antoniashoo746
@antoniashoo746 2 жыл бұрын
Nimekupenda Hilo gauni lako gea
@happymau2809
@happymau2809 Жыл бұрын
Mungu awabariki
@njuka3515
@njuka3515 2 ай бұрын
Tunaomba wakifanya party dar waturushie tuone Miriam from Dubai ❤
@rebeccmushymushy4841
@rebeccmushymushy4841 2 жыл бұрын
Kak karibu nyumbani.kaka tunakungoja
@user-fd8ce8ct2m
@user-fd8ce8ct2m 2 ай бұрын
Kinahuzunisha hichi kipindi lakini kizuri❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
@suzanjohn954
@suzanjohn954 2 жыл бұрын
Kwakweli mungu azidi kuwabariki nimeumia hadi machozi
@miriamsimtenda5780
@miriamsimtenda5780 2 жыл бұрын
Nimejikuta nalia hongereni sana
@halimaauthman9324
@halimaauthman9324 2 жыл бұрын
Ma shaa Allah
@esthermramba9395
@esthermramba9395 2 жыл бұрын
Masha Allah Mungu ni mwema siku zote
@aishakimaro9758
@aishakimaro9758 2 жыл бұрын
Rahma nenda kwa mungu kaombe akupe wako wazur au umba wako mwenyewe mzembe kabisa wew unamkosoa mungu kwa uumbaji wake kunguru wew
@stamelistameli8461
@stamelistameli8461 2 жыл бұрын
Moshi kumenoga ninyama tu mpaka laha
@user-vn1cu7ts3k
@user-vn1cu7ts3k Жыл бұрын
❤❤❤ nawapenda sana claods
@hichayasin7244
@hichayasin7244 2 жыл бұрын
CLOUD MUNGU AWABARIKI KWA MNAYO YAFANYA ASANTENI SANA,
@isaremohamed8939
@isaremohamed8939 2 жыл бұрын
Nimeliaa sanaa leoooo
@lydiamwaipungu
@lydiamwaipungu Жыл бұрын
Nimejikuta nalia na Mimi jamani hichi kipindi abarikiwe yule alieamzisha maono haya na clouds team hii ni taasisi kubwa jamani hamfanishwi na wengine mpo kivyenu sana good.
@catherinemuhagama7338
@catherinemuhagama7338 2 жыл бұрын
Jamanii 🙄mbona watu mnapenda kukosoa hvyo uumbaj wa Mungu 🤦‍♀️
@aishakimaro9758
@aishakimaro9758 2 жыл бұрын
Mpuuzi sana huyo mtoto mwenzio kamwendea leba Mungu kaonyesha ujuz wake yeye aseme mbaya cheefuuu
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 Жыл бұрын
Masha allaah familia kubwa hongeren sana
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 2 жыл бұрын
Hongereni sana Clouds
@princesshappy1161
@princesshappy1161 2 жыл бұрын
Kipindi kizuri sana Mungu awabariki sana
@Noah-se3ni
@Noah-se3ni 2 жыл бұрын
Kipindi kizuri ongereni sana wote.
@hassanmugire1497
@hassanmugire1497 2 жыл бұрын
Inauma sana kiukweli
@afamefunaokeke6966
@afamefunaokeke6966 2 жыл бұрын
hadi raha kwel mungu ni mkuu..
@user-uq9hh9rx5q
@user-uq9hh9rx5q Жыл бұрын
Nukuri narize cane yaani nimelia sana
@asharajab5366
@asharajab5366 2 жыл бұрын
Haki ya Mungu. Yaani nilikuwa nalia na mimi nyumbani kwa kuiangalia hii👆
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
MrBeast
Рет қаралды 135 МЛН
Pool Bed Prank By My Grandpa 😂 #funny
00:47
SKITS
Рет қаралды 19 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 40 МЛН
Kind Waiter's Gesture to Homeless Boy #shorts
00:32
I migliori trucchetti di Fabiosa
Рет қаралды 12 МЛН
Продавщица высказала всю правду клиентке 😳 #фильмы #сериалы
1:00
DixyFilms - Фильмы и сериалы
Рет қаралды 3,4 МЛН
#дуэт #подпишись #мем #рек #memes #история #meme
0:38
𝕯𝖆𝖗𝖐🥇
Рет қаралды 2,6 МЛН
Dwon on't stop laughing at the moment kids,🥹🤣#Funnykids #shortsfeed #kids #Trendin
0:11
QkzsefgkdjhishaonbaczhakxQksj
Рет қаралды 19 МЛН
🩷🩵VS👿
0:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 21 МЛН