Dada Twende Tukafagie Kaburi la Baba | Nilijua Mdogo Wangu Atakuwa Muhuni

  Рет қаралды 84,095

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Жыл бұрын

Пікірлер: 374
@SalmaSaid-fj5fq
@SalmaSaid-fj5fq 28 күн бұрын
Inauma kwa kweli Mungu naomba unipe maisha marefu niwalee watoto wangu
@tedyisdor5555
@tedyisdor5555 Жыл бұрын
Dah jamani msinyanyase watoto wa kufikia..imeniumiza sana hii dah😭😭😭😭
@enockmaige8936
@enockmaige8936 Ай бұрын
Mungu naomba kibali niwalee wanangu😢😢
@AliceWikunge-zn6py
@AliceWikunge-zn6py 29 күн бұрын
Hata kama uwe na chozi la mbali unalia tuuu, nimelia sana, kila lililo jema Clouds. mubarikiwe sana
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Ай бұрын
Hakika Mwenyez Mungu naomba kibali niwalee watt wangu had wajitambue ikiwezekana kwa mapenz yako ili wasisambaratike🙏
@sarahabdulrahmani497
@sarahabdulrahmani497 Жыл бұрын
Nilikuombea sana upate Ndugu yako nashukuru Dua Langu Allah amelipokea. Ahsante M.mungu Kwa ili na lengine yarabi
@esperancenathali
@esperancenathali Жыл бұрын
Wangapi tumetokwa na machozi mwanzo mwisho 😢😢😢 jamani inahumiza 😢😢😢
@NewPhone-oh7ge
@NewPhone-oh7ge Жыл бұрын
Mimi pia machozi yamenitoka 😢
@evalinamwakilema7402
@evalinamwakilema7402 Жыл бұрын
Mimi nimelia sana
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Machozi yamenitoka kwakweli 😢
@rafiaahmad168
@rafiaahmad168 Жыл бұрын
Daaaaah😭😭😭 so sad 😢😢
@Raphael99
@Raphael99 Жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ZrCkZq99qrLWg5s.html
@TatuHusseni-hs7mu
@TatuHusseni-hs7mu Ай бұрын
Ninamshukuru mungu nimelelewa na baba na mama paka leo mim na familia yangu Allah azidi kuwapa maisha marefu wazazi wetu Amin 🙏🙏 poleni sana kwa maisha mlo pitia ndugu zetu
@user-zt3et5kl5m
@user-zt3et5kl5m Жыл бұрын
Daa!! Nimelelewa na wazazi wangu miaka 27 lakinii naumia juu ya familia kama hii eeh mungu wee nioe nguvu niwalee wanangu mm😭😭😭
@ndeshukurwamoses2077
@ndeshukurwamoses2077 26 күн бұрын
Nimeshindwa kuvumilia, Ee mwenyenzi Mungu ninakuomba unisaidie kuwalea watoto wangu!! Poleni sana wadogo zangu, Mungu awafariji😢😢😢
@TochaBahate
@TochaBahate 10 күн бұрын
Mungu nipe maisha marefu nimulee mtoto wangu
@jasminetengezza217
@jasminetengezza217 Жыл бұрын
Mnatuliza Sana na hichi kipindi😢😢 Ila clouds Mwenyezi Mungu atawalipa kheri.
@gracesilas8471
@gracesilas8471 Жыл бұрын
Kipindi iki acha 2 mungu ndie atawalipa
@rehemaothman2475
@rehemaothman2475 Жыл бұрын
Ameen
@user-dq1vo6kv9q
@user-dq1vo6kv9q Ай бұрын
Nimelia pia mnooooo
@mageolomi3735
@mageolomi3735 Жыл бұрын
Jamaniii, MUNGU awaongezee umri Mrefu kwa jitihada.
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Жыл бұрын
Subhanallah nalia na natabasamu mungu ni mwema namini na.mama atapatikana mung awasimamie undugu wenu udumu
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 Жыл бұрын
Daah kipindi chenu ni kigumu,maana nimejikuta nalia kwa wote😭😭
@rehemaothman2475
@rehemaothman2475 Жыл бұрын
Yani washindwa kujizuia😢😢😢😢😢
@godfreymunishi370
@godfreymunishi370 20 күн бұрын
Yaani da Huu ni mrembo sana yaani hapa ulipendeza Japo nipo nje ya mada 😀😀#nimeliaSana 😭
@elizabethandrew8533
@elizabethandrew8533 Жыл бұрын
Kipindi kizuri sana mungu hawabariki sana
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 Жыл бұрын
Clouds mnafanya kazi nzuri sana Mungu awabariki🤲
@lucygesimba7603
@lucygesimba7603 Жыл бұрын
Nimelia haya mambo uyasikie tuu kwa mwingineee
@HannanSomaiyah-wp7ny
@HannanSomaiyah-wp7ny Ай бұрын
Haki nimelipa😭😭😭Mama,Baba Mko Wapi?Dunia imetulemea Dah!Asante Mungu Kwa mitihani 🙏
@user-zi1gp6dc2q
@user-zi1gp6dc2q Ай бұрын
Media nyie mungu awabariki sana madada wazur namna hakima sana mnafungu lenu mbele za Allah ndugu zangu .jaman mie sielew niwaombee Dua ipi kwahekma zenu
@yahomeshopllc5950
@yahomeshopllc5950 Жыл бұрын
Cloud TV Big up for this step guys,to make life easy for another people 👌🏽
@liliandavid7163
@liliandavid7163 Жыл бұрын
This is very emotional 😭😭😭 GOD have mercy over this kids
@WIZONETIONTz255
@WIZONETIONTz255 23 күн бұрын
Poleni Sana wenzetu mliopitia maisha Kama haya hata mm my mom maisha yake yalikuwa Kama hayo
@silviaamos-pl5lk
@silviaamos-pl5lk Ай бұрын
Mungu awalefushie maisha.
@Gabonfreeman
@Gabonfreeman 23 күн бұрын
Amen 😢🎉
@nestersanga7466
@nestersanga7466 Жыл бұрын
Mungu atujaaalie maisha marefu watoto wanateseka mno
@peninashungu6633
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Naamini mungu watampata mama yao
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Жыл бұрын
Wana fanana maashaallah
@soberhousetv2245
@soberhousetv2245 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢😢mungu wangu nawaona wanangu kupitia hawa
@LeticiaPatrick-ek4ur
@LeticiaPatrick-ek4ur 25 күн бұрын
Mungu wangu naomba kibari nifanyie mama bora kwa watoto wangu niwalee mpaka pale watakapokua kuweza kujitegemea Poleni sana kwa wenye mapito ya namna hii Mkono wa Mungu uendelee kuwatetea
@SmilingDarts-hz8ev
@SmilingDarts-hz8ev 21 күн бұрын
Jaman tusaidiane wanapatikanaje
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r Ай бұрын
Kumbe ni wa Singida damu yetu kabisa Subhana Allah
@marthaadammakatobemwakatob4246
@marthaadammakatobemwakatob4246 Жыл бұрын
Nimejikaza nisilie nimeshindwa kabisaa😭😭😭
@lovinomwamtambulo6629
@lovinomwamtambulo6629 Жыл бұрын
Baba Mwenyezi MUUMBA MBINGU na aridhi na Vitu vyote Visivyoonekana na vinavyoonekana….. Kiukweli Binadamu Tunapitia Makubwa Mnoooooooo Nimetokwa na Machozi kwa Hawa Watoto Wawili wameishi kwenye Mazingira Magumu …. UJUMBE WANGU KWA WAZAZI pale Mnapoachana Familia Lazima Zitengane cha Kufanya ni Bora KUTUNZA family yako itakuja kukuokoa Mwisho wa Siku Amen😢
@ahmedaljabri1206
@ahmedaljabri1206 Ай бұрын
Masha Allah mwenyezimngu tabalaka Allah akufanyiye wepesi ❤❤❤❤❤😢😢😢😢
@sabinaluyego4408
@sabinaluyego4408 Жыл бұрын
Aisee, Hiki kipindi kinaumiza sana.
@jesustheoneandonly
@jesustheoneandonly Жыл бұрын
sanaa
@safiyanirram-pf3sv
@safiyanirram-pf3sv Жыл бұрын
wamejua kuniliza😢😢 mtt wa kike wakike tu analia mwazo mwisho nyie tushukuru sana tulio lelewa na wazazi wetu mpaka ss
@jothamkibona2919
@jothamkibona2919 7 күн бұрын
Mungu naomba uwape Manisha marefu Claus mnaponya majeraha ya watu
@justineisacki5517
@justineisacki5517 12 күн бұрын
Mungu awasaidie
@user-hw3lq3ol2u
@user-hw3lq3ol2u Ай бұрын
Mi naogop atakuendelea kuangalia zinatoa machoz 😢
@marcodaud5089
@marcodaud5089 Жыл бұрын
Daah Geah nimelia sana nimesisimka mwil mzima kwel nimeumia jamaniiii wote hayo Ni Mungu tu naamin niwakat sahihi wa Mungu
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 Ай бұрын
Hatamimi
@saidmwinyi7062
@saidmwinyi7062 Жыл бұрын
Nice Job❤
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Nimelia kwakweli, inaumiza sana 😢😭😭😭😭
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 Жыл бұрын
Da Huu mzuri Mashallah
@user-sj8hn7jt7g
@user-sj8hn7jt7g Ай бұрын
Mwenyezi mungu awalinde
@neemamasimba2981
@neemamasimba2981 Жыл бұрын
Khaaaaa, clouds mmefanya kazi kubwa sana
@AMINASAIDI-mx7rs
@AMINASAIDI-mx7rs 6 ай бұрын
Pole san tupo tulikua mazingira kama yakwako tuseme tu alhamdulilah .
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 2 ай бұрын
daah
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 26 күн бұрын
Naijua hii na eeeheee omba isikukute😢😢😢tulikuwa 3 . Wawili wakakimbia mateso na WAKAFA mi ndo naishi tu. Uvumilivu
@user-pk8rk6vv4o
@user-pk8rk6vv4o Жыл бұрын
Nimelia wallah, Mungu mwema
@profs.a5412
@profs.a5412 Ай бұрын
Hongereni kwa ubunifu wa hiki kipindi Cha kuunganisha familia zilizokuwa zimepotezanaaa, natamani mngepata wadhamini wengi wawawezesheee muendee mbalii zaidiii.......mnafanya jambo kubwa saana ambalo hata mbele za Miungu naamini linampendeza mnoooo
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 Ай бұрын
Ila nyie wazazi wetu hebu tulieni pamoja kutulea watoto wenu mkiachana mnatutesa sana
@happymwakalasya9263
@happymwakalasya9263 Жыл бұрын
Asante sana
@hosnakamees5454
@hosnakamees5454 Жыл бұрын
Wame fanana Maashallah
@ginazngo4317
@ginazngo4317 Ай бұрын
Ushauri wangu mueke tishu wafute machozi hongereni sana❤❤❤
@RehemaMwakapimba
@RehemaMwakapimba 22 күн бұрын
Poleni sana watoto wangu. Mungu awahifadhi. Nimelima sana Leo jamani.
@VioletNamz-tq4tg
@VioletNamz-tq4tg Жыл бұрын
Mungu awabariki Sana kwa kazi nzuri jamani.
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 Жыл бұрын
Daaaah nimelia sana sana jmn 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@FirdausyAbubakary-bl2wo
@FirdausyAbubakary-bl2wo Жыл бұрын
MaashaAllah ila anaeandika heading aemprove kdgo ili izidi kua na mvuto..kwa sbabu clouds ni chama kubwa mnoo♥️♥️
@esthermwangeni2120
@esthermwangeni2120 Жыл бұрын
hongereni sanaa clouds Mungu awabariki sanaas
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 Жыл бұрын
Najuta kwann nimeangalia nipo kazini nimelia Kama mtoto aisee touch story
@glorydaniel6549
@glorydaniel6549 29 күн бұрын
Mungu awainue zaidi na zaidi wadogo zangu ila mmejua kuniliza kwa kweli😭😭😭😭😭😭😭😭
@ESTHERENDLES-db1zw
@ESTHERENDLES-db1zw 27 күн бұрын
Duh nmelia kwa uchungu jmn ukiwa mbaya nyie jmn ee Mungu tusaidie cc viumbe wako
@kisinza6077
@kisinza6077 Ай бұрын
Mungu aendelee kuwapa njia kama alivyowapa Sasa mkapatana. Naamini kama mama yupo hai mtamuona, na kama alishafariki basi Mungu amlaze mahali pema peponi. Nayajua mnayoyapitia ndugu zangu, Mimi sijui hata kaburi la mama yangu lilipo 😭😭😭😭😭
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Poleni sana 😭😭😭
@josephissa4406
@josephissa4406 Жыл бұрын
Hongeren sana team leo tena
@SUZANSUZAN-fb9bh
@SUZANSUZAN-fb9bh Жыл бұрын
Yani nisingwewza kuendesha hicho kipindi yani ningekuwa nalia hadi kipindi kingecmama
@bernadethamugetalazaro7579
@bernadethamugetalazaro7579 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu hawahi wala hachelewi hutenda kwa wakati uliokubalika nimelia sana kuzidi Martha na Hamisi Mungu awafungulie milango watende yampasayo
@khadijamohammed9210
@khadijamohammed9210 Ай бұрын
Ila watu tunaolelewa na kufikia tunaumia basi thuu mungu anatuongozaa....mwisho wa siku tumetofautiana na ndugu zangu wa kambo na wao ndio walikuwa na makosa baba sijui kafikwa na nini ameishia kuniambia nihame nyumbani kwake nikajitafutie maisha na mwanangu😭😭😭😭😭😭
@Sulla924
@Sulla924 Ай бұрын
Nimeumia sana adi nimelia
@user-rk5hp8ci3e
@user-rk5hp8ci3e Ай бұрын
Yaani hapa unalia hadiunaumia kichwa
@mageolomi3735
@mageolomi3735 Жыл бұрын
Daaaah 😭😭😭 Jamanii, naliaaa nyieeee
@verinusvenance7079
@verinusvenance7079 Ай бұрын
mimi mala ya mwisho kulia muda mlefu nimekuja kuria tena baada yakuona hii big up clouz
@MwanaiddyHussein-hg7bb
@MwanaiddyHussein-hg7bb Жыл бұрын
Hongera hamic mm cku zote nakufaham lakin cjui maisha yko ndo nimejua leo
@glorymutalemwa296
@glorymutalemwa296 Жыл бұрын
mnaishi mtaa mmoja
@BabygirlDadiyo
@BabygirlDadiyo Ай бұрын
Nimelia sana😢😢😢😢 CLOUDS MBARIKIWESANA TENASANA
@annakifwamba2358
@annakifwamba2358 Ай бұрын
Kakaangu ningekutafuta ningekupata 😭 Pumzika kwa amani
@vickshekia7265
@vickshekia7265 28 күн бұрын
Pole kipenz
@suzanafelisian
@suzanafelisian 11 ай бұрын
Inauma sana jaman
@racheljohnson7727
@racheljohnson7727 Жыл бұрын
Sikutegemea kama ningetuoa ata chozi😭 mejikuta naumia ert
@JudithApolinary-ul4wr
@JudithApolinary-ul4wr Жыл бұрын
❤❤❤duh
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Жыл бұрын
Nimelia😢😢
@bahathmuro7145
@bahathmuro7145 Жыл бұрын
Bora nsingeangalia Kabisaaaaa!
@Switielie
@Switielie Жыл бұрын
Inshallah itokee siku wamuone na mama yao
@MariamMagege
@MariamMagege Жыл бұрын
Mashallah leo ndonimepata muda wakuangalia jamani, mmh! Nimelia mpaka nimeliatena jamani Mungu awaweke Leo tena 😭😭😭😭😭😭😭
@faudhahamisi7588
@faudhahamisi7588 Жыл бұрын
Alihamdulillh nimelelewa na wazazi wangu wote Ila hii inaumiza san Pole san wadogo zangu
@marymmbarikiwa
@marymmbarikiwa Жыл бұрын
Tabitha jina lamrehemu mama yang mkubwa😢. clouds mmeniliza sana
@user-pf1tb5ic2h
@user-pf1tb5ic2h Ай бұрын
Jamani kuna watu wanapitia maisha magumu mioyoni mwao pamejaa maumivu mda mwingine hawana la kufanya ni kumshukuru Mungu tu lakini ni maumivu hata kwa wasikilizaji wao.
@user-ze7fo5fh3n
@user-ze7fo5fh3n Ай бұрын
😭pole dada angu mungu atawalipa
@alinanusweemanuely4907
@alinanusweemanuely4907 2 күн бұрын
na apa ndo naelewa maana halisi ya kushukuru kwa kila jambo,
@stelabrent6056
@stelabrent6056 Жыл бұрын
Mungu naomba kibali cha kulea watoto.wangu
@stamillusatila9084
@stamillusatila9084 28 күн бұрын
Nimelia sana kwakweli 😢😢
@user-nn3du8lt9b
@user-nn3du8lt9b Жыл бұрын
Inauma san
@doricakisenya4867
@doricakisenya4867 Ай бұрын
Nimelia sana
@echasafuraha3423
@echasafuraha3423 Жыл бұрын
❤❤❤❤❤
@cherishchristopher8496
@cherishchristopher8496 Жыл бұрын
Clouds mnatuliza ila mungu awabariki saana naamin na mimi nitakutana na babaang
@JeddaRamadhan
@JeddaRamadhan Жыл бұрын
😢😢😢
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 Жыл бұрын
Yaani mimi nikulia tu hadi naumwa
@mariamgeorge776
@mariamgeorge776 Жыл бұрын
😢😢
@stellahwilfred5762
@stellahwilfred5762 Жыл бұрын
Daaaah😢😢😢
@monicamtui2922
@monicamtui2922 Жыл бұрын
Duu! Inaumiza😭😭
@umubyeyisandra
@umubyeyisandra Жыл бұрын
😢😢😢😢😢😢inauma sana jmn duuu
@tatuiddy226
@tatuiddy226 Ай бұрын
Maisha dunia inavingi mno😢😢😢
@user-qg7wx1ou5b
@user-qg7wx1ou5b Ай бұрын
Nalia sana😭😭😭😭poleni sana wote mliopitia maisha haya
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 111 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 17 МЛН
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
00:18
HaHaWhat
Рет қаралды 20 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 55 МЛН
NLIKUA NAMTAFUTIA SABABU | WAKUTANISHWA
15:01
KIREDIO
Рет қаралды 184 М.
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
0:12
Laro Benz
Рет қаралды 49 МЛН
Power of science !! #shorts #explore #fyp
1:01
Nedo X
Рет қаралды 53 МЛН
DO YOU HAVE PARENTS LIKE THIS?
0:19
dednahype
Рет қаралды 2,4 МЛН
- А что в креме? - Это кАкАооо! #КондитерДети
0:24
Телеканал ПЯТНИЦА
Рет қаралды 6 МЛН