JUMBA LA KIFAHARI LA DR SULLE "NDANI YA NYUMBA KUNA JINI LINAMUENDESHA

  Рет қаралды 329,820

Bongo Touch

Bongo Touch

3 ай бұрын

Пікірлер: 1 100
@ramadhanimussa2625
@ramadhanimussa2625 3 ай бұрын
UJue watu hawajielewi cz mnapenda kumuona shekhe yuko kwenye jumba bovu anaendesha basikeli ndio museme mungu awajalie sio poa allah awajalie mashekhe wt wafike mbali inshallah
@issakobakimanga7738
@issakobakimanga7738 3 ай бұрын
Ewaaa watu wengi ndio fikra zao
@SuzyMarroch
@SuzyMarroch 3 ай бұрын
Amen
@ismailabdallah7853
@ismailabdallah7853 3 ай бұрын
Binadam mawazo yao mabovu sana majin viumbe kama viumbe vingine kuna majini wapotovu kama binadamu kunawema wanaomumcha mwenyezi mungu
@maciaali3698
@maciaali3698 2 ай бұрын
Doctor Sule unadunisha dini pia unatukana dini,Allah mpenda haki atakudhalalisha mbele ya watu InshaAllah
@user-qe3fs1xc3b
@user-qe3fs1xc3b 3 ай бұрын
MashaALLAH mwenyezmungu azidi kukufanyia wepec kwenye na kheri nyingi za Dunia na akhera mm nakukubali Sana sheikh. Doctor SULE.
@UwayezuJosee
@UwayezuJosee 2 ай бұрын
Mambo! Naomba namba ake please!!!
@abasssuleiman6149
@abasssuleiman6149 3 ай бұрын
Nilianza kumkubali huyu bwana tokea miaka ya 2003 nikiwa Mbeya, alisilimisha watu wengi pale, Allah ampe wepesi
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 2 ай бұрын
Kawaunganisha Kwa majini majini wote wamemuasi Mungu
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 ай бұрын
Kichwa cha stori ulicho andika hapo ni tofauti na alivyo ongea Dr Sulle. Sio vizuri kupotosha watu muogepeni Mwenyezi Mungu.
@aishathabit3732
@aishathabit3732 2 ай бұрын
Huyu muandishi sio mwislamu
@aishathabit3732
@aishathabit3732 2 ай бұрын
Umekosea maana ya haram na halali Kasome tena maana hiyo ya halali na haramu
@user-dl4mr4bu8w
@user-dl4mr4bu8w Ай бұрын
Kweli kabisa
@maryamkombo2039
@maryamkombo2039 3 ай бұрын
Dr. Sule, Nakuombea kwa Allah(SWT) akulinde, na akupe Maisha Marefu yenye Afya Kamili, Ili uzidi kuelimisha Umma. Shukran.
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 2 ай бұрын
We unauliza swali moja.mwamba anakujibu majibu kumi.aaa weee.asante Allah kwa kutupa huyu mtu.dr.sule nchini tz.alhmdulillah
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 3 ай бұрын
Nnachompendea dr sele.ni mfasaha wa mazungumzo kupita kiasi.humshiki kirahisi kwenye mazungumzo.huyu mtu Allah kampa kipaji kikubwa.mashallah
@MisheckSiame-si1yo
@MisheckSiame-si1yo 3 ай бұрын
Mungu anisaidie kupata jini mwema
@YamunguMuha
@YamunguMuha 3 ай бұрын
Allah gani wewe,hakuna Cha Allah Wala nn,mshirikina mtupu
@Famao-dg3ul
@Famao-dg3ul 3 ай бұрын
​@@YamunguMuhasiku ukimjua Allah ndio utajua makosa yako
@kennethbenjamin275
@kennethbenjamin275 3 ай бұрын
Nyie wabongo si mnapenda watu wanaongea sanaaa ndy marole model wenu
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 3 ай бұрын
@@Famao-dg3ul kabisa yani.👍👍.hajamjua Allah Nani mpaka siku ya Kufa ndo atamjua.Allah ajaalie aslkm kabla ya mauti yake.hajitambui bado
@aminabdalla7824
@aminabdalla7824 3 ай бұрын
Allah anajua zaidi ..... Allah tupe mwisho mwema waislam wote tulioko kwenye mgongo wa ardhi... Allah humma ameen🤲🤲
@user-yo4qu1pt7h
@user-yo4qu1pt7h 3 ай бұрын
Amiin
@niyongiraidi7242
@niyongiraidi7242 3 ай бұрын
Allah akuzidishie kira raheri kwa kuokoa nafsi za wajawake Allah kwa kuamrisha heri na kukataza mabaya
@IbrahimShan-qu3um
@IbrahimShan-qu3um 3 ай бұрын
Interview nzurii sana big up...MTANGAZAJI UNAJUA
@MusaCleophac-bs9fk
@MusaCleophac-bs9fk 3 ай бұрын
Uoj kisomi zaid nimependa uko vzr xan allah akujalie ❤
@muhammadally393
@muhammadally393 3 ай бұрын
Dr Sule mimi nakuombea kila la kheri duniani na akhera
@muhidinsultan2049
@muhidinsultan2049 3 ай бұрын
Allah akupe afya,Siha,na kila hitajiko lako na Allah aweke barka ktk harakati zako Dr sule Allah amekujaalia hakika.
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 3 ай бұрын
Mnamsifia tu huyu ndyo anawakashifu sana akina mwamposa je huu utajili alionao yy kaupata wap? C humo humo kwenye dini? Kama yy yupo kwenye kweli na Akina mwamposa pia wapo kwenye ukweli kikubwa kila mtu adili na upande wa dini yake
@muhidinsultan2049
@muhidinsultan2049 3 ай бұрын
@@ndogoroedson199 Bro wanaadam tuna sir kubwa sana ktk utafutaji wetu kikubwa Sisi sio watoa hukumu hata sisi hasa Mm personal ninamatatizo yangu(mapungufu) Kikubwa ni kuombeana DUA au kufanyiana Maombi 🙏
@muhidinsultan2049
@muhidinsultan2049 3 ай бұрын
No coment bro🙏
@RamadhanKarim-el6tv
@RamadhanKarim-el6tv 3 ай бұрын
Dr Sule Allah akupe umri ugekuwa Rai's ugedelesha Ichi Sana vizuri Sana mashaallah
@omariaman7818
@omariaman7818 3 ай бұрын
Huyu mtangazaji nimemkubali sana anajua sana kutengeneza maswali
@IbrahimNtirenganya
@IbrahimNtirenganya 3 ай бұрын
Allahu Akibar Allah akupe hidayat kama unataka kufaidi nakujuwa mengi kuhusu ilimu ya dini watafute Wana ilimu ya dini
@user-jd6vr9xw1o
@user-jd6vr9xw1o 3 ай бұрын
Docteur Sule nakukubali sana Sheikh wangu
@ArafaSuleiman-db9pw
@ArafaSuleiman-db9pw 3 ай бұрын
Mashallah Barakah ALLAHU fiiqum hbbi shekh wangu doctor sule kwn ss wa kenya tunakupenda kwa minajili y Allah swt akulinde na kila aina husda na balaa na akupe mwisho mwema aaamiin
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 3 ай бұрын
Ameen
@allymwinja2693
@allymwinja2693 3 ай бұрын
Dr. Sule ni MTU NA NUSU. Allah akulinde Sana🤝🙏
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 3 ай бұрын
Mtangazaji big Up sana
@IbrahimMahmoud-em1np
@IbrahimMahmoud-em1np 3 ай бұрын
Mganga wa kienyeji anaetumia mgongo wa dini. Aqida ya ahlu sunna wal jamaa3ah hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Wewe sule mche Allah
@fatumaomary6110
@fatumaomary6110 3 ай бұрын
Soma ujue kama una muweza mfate ilala ustake kiki
@IbrahimMahmoud-em1np
@IbrahimMahmoud-em1np 3 ай бұрын
Kwahio mtu akikomenti anatafuta kiki sindio? Hahahahaha ضعف الطالب والمبطلوب
@VukaRails-jp6mf
@VukaRails-jp6mf 3 ай бұрын
Simba ndo simba anamahusiano na binadamu na watu wanafuga kama kawaida sasa jini inashindikanaje? Oxygen yenyewe haionekani na watu wanaitengeza kama kawa na wanamsaidia mgonjwa
@heriabudu3207
@heriabudu3207 3 ай бұрын
Kweli bro naanza kuwa na tashwishi naye
@IbrahimMahmoud-em1np
@IbrahimMahmoud-em1np 3 ай бұрын
Katika uislam sisahihi mtu kuongea kitu hana ujuzi nacho.unaleta mifano ya Simba na oxygen unadhani dini hii haijakamilika katika kila nyanja? قال تعالى ما فرطنا فى الكتاب من شيئ. Hatujaacha chochote katika kitabu ( yani Quran) then anakuja mtu na mifano ya simba na oxygen. Narudia kusema hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Na if yapo leteni dalili katika kitabu na SUNA au kauli ya wanazuoni wema. قل هاتوا برهانكم إن كنتم صادقين
@MustaphaKiluke
@MustaphaKiluke 2 ай бұрын
MashaAllah,wanyumbani wazee walikunyima ubunge wa CCM,kule kwetu Rufiji,umetoboa kwa njia nyengine
@ibrahimushomvi3193
@ibrahimushomvi3193 Ай бұрын
MAA SHAA ALLAH
@user-MRTSLONLINE
@user-MRTSLONLINE 3 ай бұрын
Kama unamkubali doctor sule gonga like hapa
@hanifamasudi9732
@hanifamasudi9732 3 ай бұрын
Doctor sule amemutapeli babangu mukwe alimudanganya atamutumia dawa akadanganya hadi akafa hadi mbele akateroho akaomba wakutane kiama
@bas2823
@bas2823 3 ай бұрын
ANOSEMA KINATAKIWA CHANO NI MGANGA! ANAJIDAI KUPANDISHA SHETANI KICHWANI KWAKE STI SHETANI ANATAKA CHANO! WAKATI SIO SHETANI NI HUYO MGANGA ONLY NDIE ANOTAKA KILE CHANO! WALA SIO JINNI AU SHETTANI NI MWANA ADAM NDIE ANACT TUU HUYU ANA PALACE LIKE KING! KAZIPATIA WAPI PESA HIZO KUWA YEYE AWE NA JUMBA HILO!? HUYU SHEIKH!? OR MGANGA ONLY!
@bas2823
@bas2823 3 ай бұрын
WEYE SIO SHEKHEE! ABADAN!
@JumOnyancha
@JumOnyancha 3 ай бұрын
@@hanifamasudi9732 huyu ni mganga wa majini ya Muhammad ndiye mnayemsifu ....
@stevensosipita
@stevensosipita 3 ай бұрын
KUMKUBALI KWA LIPI?KWA UCHAWI AMA KWA LIPI?HAWO WOTE MOTO WA JEHANNAM UNAWASUBIRI
@benjaminlisi6097
@benjaminlisi6097 3 ай бұрын
Mtangazaji ana maswali mazuri sana.. watching from Kenya
@user-hu3sc4kg1f
@user-hu3sc4kg1f 3 ай бұрын
Mashaallah tabarika allah mungu akubariki zaidi sheikh
@saiddigogogo8218
@saiddigogogo8218 3 ай бұрын
Nili wai kukupigia cm nilikua na mgonjwa anatapika damu ukanielekeza dawa ...nikaona kama umenizalau kumbe ilikuwa dawa kweli .... inshallah Mungu akuzidishie na akupe maisha malefu
@imanimakishe8632
@imanimakishe8632 2 ай бұрын
Kwanini ulozani kakuzarau au dawa ilikua ya ajabu
@MakondaPaul-uq7cm
@MakondaPaul-uq7cm 2 ай бұрын
Ndugu naomba namba yake
@hamiduyusufuhamiduyusufu5008
@hamiduyusufuhamiduyusufu5008 2 ай бұрын
Ilikua daw gn hyo jamn
@hamiduyusufuhamiduyusufu5008
@hamiduyusufuhamiduyusufu5008 2 ай бұрын
Daw gn alikupa
@UwayezuJosee
@UwayezuJosee 2 ай бұрын
Naomba namba ake
@saloom4902
@saloom4902 3 ай бұрын
Bro una maswali critical sna umefit kabisa kuwa presenter Allah akufanye bora zaid ufikie ndoto zako❤
@bashirmahero7021
@bashirmahero7021 3 ай бұрын
Sule nakupenda bro
@mwajuangenje6628
@mwajuangenje6628 2 ай бұрын
Huyu dr sule ni mjanja sana,kuna kijana alikua anaumwa mapepo.alipita sehemu nyingi sana ila huyu dr sule alimpa dawa yake ya fettiesupereto yule kijana alipona mapepo.Sule Ana confidence na ni mpembuzi wa vitabu
@user-fg5zi1ly3r
@user-fg5zi1ly3r 2 ай бұрын
Kaka, nipe number ya Dr SULE please.
@zahraalbaloochi2841
@zahraalbaloochi2841 3 ай бұрын
MashaAllah shkh Allah bless you
@abdullahmsuya665
@abdullahmsuya665 3 ай бұрын
Kwa upande wa majini, umeusemea uislamu uongo jambo usilo na ilimu nalo, unataja aya za uongo, nawanasihi waislamu na wasiokua waislamu wajifunze uislamu kwa watu sahihi watu wenye ilmu sahihi ya dini. Wasikilizen mashaykh wakisalafy Shaykh Qassim mafuta, Abdallah humeid, Abuukhaulah Mbwana Abdi Allah awahifadhi
@hajihaji123-lp5lx
@hajihaji123-lp5lx 3 ай бұрын
kweli kabisa huyu ni dr wa nguvu za kiume sasa ukimfanya ni sheikh unapotea
@jayabdy7273
@jayabdy7273 2 ай бұрын
Baarakallah fiyk.
@PaulMsema
@PaulMsema 3 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu pia mvumilivu sana,siku moja maji na mavuta yatajitenga kuhusu Imani zetu
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 3 ай бұрын
Ni kweli kabisa maneno yako.lkn tunapaswa kuchunguza kabla ya kujitenga hayo Maji na mafuta.ili tuweze kufuata dini ya kweli.kwani tukisubiri Hali hiyo mpaka itokee itakuwa Ni too late.hapo litakalofuata Ni moto tu.hivyo tuchunguze na kusoma Kwa undani zaid vitabu.tusijetukachelewa.mara nyingi kwenye viwili.kimoja kinakua wrong.nayo Ni dini ya kikristo.tubu mapema kabla ya kifo
@Rmkh88
@Rmkh88 3 ай бұрын
Yameshajitenga tayari, Uislamu ni haki na ukristo ambao Mungu ameuliwa na akasulubiwa ni batili. Mungu amezaliwa na binadamu? Lol
@saidbakari2408
@saidbakari2408 3 ай бұрын
Hizi dini tumeletewa watu wengi sasaivi wamerudi kwenye asili zao, jamani turudi kwenye asili zetu 😂😂😂 jamani hivyo vyote vyawezekana
@ELIASFELIX-bq2nc
@ELIASFELIX-bq2nc 3 ай бұрын
@@Rmkh88 dini za majini na mapepo na mizimu zimekuwa haki. Ama kweli hekima ya mwanadamu kwa Mungu ni upumbavu
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 3 ай бұрын
Mungu wako hakujua kuwa atauliwa na binadamu wake, mission ya Mungu imefeli maana Bado tunaendelea kutenda dhambi...ukristu ni rubbish in the rubbish pit.
@SeifHamad-vn6bo
@SeifHamad-vn6bo 3 ай бұрын
Allah akulinde kwa Kila Shari uzidi kutangaza elimu ya dini❤
@MavisMunyiva
@MavisMunyiva 3 ай бұрын
Very true Daktari Kindly pray for my sons Brian and Raymond to excell in life .Thank you
@MansourKabuhaya
@MansourKabuhaya 3 ай бұрын
Are they islamic?? How can he pray for non Muslim??
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 3 ай бұрын
Dr. sulle nakukubali unajua kunyoosha maneno adi raha
@samwelmatemu8873
@samwelmatemu8873 3 ай бұрын
Dini yenu hiyo ya mashetani
@faudhiasaidi3669
@faudhiasaidi3669 3 ай бұрын
@@samwelmatemu8873 Kwa maono yako
@IbrahimMwinyi
@IbrahimMwinyi 3 ай бұрын
​@@samwelmatemu8873kwa nn
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 3 ай бұрын
​@@samwelmatemu8873yenu yakishoga sio
@samwelmatemu8873
@samwelmatemu8873 2 ай бұрын
Kwa kufuga mashetani sio
@anthonymgina3893
@anthonymgina3893 3 ай бұрын
Daah hapo kazi kweli kweli, Masheikh wanatakiwa wasome tawd sana wanapotosha watu haswa wale ambao wanataka kuingia kwenye uislam
@DOCTORYKAGUFA
@DOCTORYKAGUFA 3 ай бұрын
kwann unasem ivo
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 ай бұрын
ndo ukweli huo wa Doctor Sule ndugu
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 ай бұрын
​@@DOCTORYKAGUFAAnaogopa tumejua ukweli ndani ya Uislamu
@anthonymgina3893
@anthonymgina3893 3 ай бұрын
Ni kweli katika Quran Allah amesema amewaumba binadamu na majini lengo ni kumuabudu kama ilivyo kwa viumbe vingine ambavyo hatujui wanaabudu vipi nao ni waislam ila jini lolote likiungana na binadamu tayari hakuna lolote isipokuwa ni uovu tu maana hakuna ushirika wa jini na binadamu kisheria, wao wanaabudu kinamna yao nasi kinamna yetu. NB yoyote ambaye yupo karibu na viumbe hawa mara nyingi wote wanakuwa ni waasi na niwashirikina. Na hakuna mwislam yoyote ambaye ni Sheikh atakuja na hadith au aya ambayo ina ruhusu sisi kufungamana na majini.
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 3 ай бұрын
Misunderstandings tupu
@ShomaryGango
@ShomaryGango 3 ай бұрын
I like this interview, you did bro.
@user-jd6vr9xw1o
@user-jd6vr9xw1o 3 ай бұрын
Asante sana Sheikh wangu , WE mkweli kabisa
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 3 ай бұрын
Mungu Tusaidie sana Hizi zama ni Hatar Sana
@user-sh3tr8cm1v
@user-sh3tr8cm1v 3 ай бұрын
Sana walai...
@user-rq9hb7hl3g
@user-rq9hb7hl3g 3 ай бұрын
Fitna kila kona, Allah atujaalie uongofu na tufe ilhali tupo katika uongofu
@fatmahussein1238
@fatmahussein1238 3 ай бұрын
Allah azidi kukubariki Dr Sulle ama kweli neema za Allah zitangazwe
@usrahismail3196
@usrahismail3196 2 ай бұрын
Nilimuheshimu sana Sulle kwa maswali ya elimu ya Biblia ukilinganisha na Qur'an ila sikujua ana udaktari wa kishirikina,Allah amuongoze
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 2 ай бұрын
Kufuga majini
@user-dp8hr7ex5p
@user-dp8hr7ex5p 3 ай бұрын
Dr mungu akubariki sana
@azizabuyonde8368
@azizabuyonde8368 2 ай бұрын
Asante Yesu kunifiliya, ni hatari viongozi wa ma dini
@Blessedboi8019
@Blessedboi8019 3 ай бұрын
Sule ni mchawi anachificha kwa dini
@diagfinamix1861
@diagfinamix1861 3 ай бұрын
Fanya taratibu sasa umuhangushe akiruka hewani kwenye ungo tumshangile ndo tujuwe ni mcawi ama laa.
@heriabudu3207
@heriabudu3207 3 ай бұрын
😮😮
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 3 ай бұрын
Dah bro sio fresh jamaa ana familia na ana watoto na ana wafuasi pia kwaio samahan usimtusi bana mzee
@uwimanajustine7313
@uwimanajustine7313 2 ай бұрын
Mwenyezi Mungu aki kubariki ,jivunie na utangaze,mbone wenye watatoa kwa jina zengine wanatangaza!?
@user-ou2og1ze9d
@user-ou2og1ze9d 3 ай бұрын
Hongereni sana hakuna mkamilifu
@patsonkyando1732
@patsonkyando1732 3 ай бұрын
Huyo Dr sule ni mganga wa Kienyeji
@ELIASFELIX-bq2nc
@ELIASFELIX-bq2nc 3 ай бұрын
Mungu akuhurumie Sheikh!
@erastoshedrackhaule9211
@erastoshedrackhaule9211 3 ай бұрын
Uhurumiwe wewe ambaye huna akili
@ELIASFELIX-bq2nc
@ELIASFELIX-bq2nc 3 ай бұрын
@@erastoshedrackhaule9211 huna akili wewe unayetaka kumiliki Hela za majini!
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 3 ай бұрын
Mungu wako katailiwa na binadamu wake, biblia inasema.
@HubertMaleko86
@HubertMaleko86 3 ай бұрын
Sema mdaa mwingine Sule Biblia anaiamini vizuri tu.. Nabii hakubaliki kwao ni maneno ya kwenye Biblia sema mdaa mwingine anaiponda
@RamadhanMohamed-jz6xm
@RamadhanMohamed-jz6xm 3 ай бұрын
Tatizo la makafiri wakisikia jini tu wao wanawaza vitisho uchawi Habari na mambo mabaya tu
@bassambashirou4604
@bassambashirou4604 3 ай бұрын
Ndio walivyokarorishwa kuwa hakuna jini mwema na wanashindwa kujua nini shetani na nini jini
@user-sp7cm8pm4w
@user-sp7cm8pm4w 3 ай бұрын
Hao ni malaika walio mias Mungu,wakatupwa hata pande za chin za nch,, lakin unyakuo ndio utatoa majibu ya muabudu wa kwel ni yupi.
@ChoiceSportstv
@ChoiceSportstv 2 ай бұрын
​@@bassambashirou4604 Kaka jini na Shetani wote walimuaasi MUNGU na hakuna Hapo mzuri ....Mzuri NI malaika haooo wengine walimuaasi MUNGU na wamelaaaaaniwa
@stevensosipita
@stevensosipita 3 ай бұрын
MAZINGE ,SULLE SHEKHE MWAIPOPO SHEKHE MAJINI NK WOTE NI JEHANNAM INAWASUBIRI MATAPELI NA WANAPOTOSHA UMMA
@Rmkh88
@Rmkh88 3 ай бұрын
Kwa chuki zako tu
@user-tg5ru7cb9b
@user-tg5ru7cb9b 3 ай бұрын
Duuh Mungu ndiye anaehukumu
@princessmakwega2444
@princessmakwega2444 3 ай бұрын
Kwaiyo wewe una pepo na una moto wa kuwapa watu duu Pole sana tubia mda bado unao
@muhsinihassani2805
@muhsinihassani2805 3 ай бұрын
We kama nani mpaka umuhukumu mwanadam mwenzio kua ni wa motoni acha habari zako bwn hiyo ni kazi ya mungu mwenyewe si binadam
@stevensosipita
@stevensosipita 3 ай бұрын
@@muhsinihassani2805 ahaa kama unajua hukumu nikazi ya mungu hao mashekhe wako wa mchongo wanachofanya kwa harmonize ni sahihi?hao ni matapeli tu kutwa mtandaoni
@user-ci1hf6fm7t
@user-ci1hf6fm7t 3 ай бұрын
Nimekupendaaaaa
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 3 ай бұрын
Hapana, jini? No plz!! Kwa mimi Michael siwezi kabisa kumwamini jini!! Yesu Kristo ananitosha. Ni hivo kwangu.
@kayumbasosthenes3596
@kayumbasosthenes3596 3 ай бұрын
Mungu ni mmoja tu na asili yake niyeye mwenyewe,Ametuumba kwa mfanano wake
@salimsaleh9354
@salimsaleh9354 2 ай бұрын
Unaposema mungu katuumba kwa mfano wake hayo ni mawazo potofu mungu hafanani na chocho wala hana mfano
@godfreydavid6847
@godfreydavid6847 2 ай бұрын
Kwa hiyo yupoje? ​@@salimsaleh9354
@kambiyusufu2776
@kambiyusufu2776 3 ай бұрын
Sjui unanielewa❤❤❤❤
@salumngakonda2182
@salumngakonda2182 3 ай бұрын
Shekh hyo aya siyo neema za kidunia Neema za duniani ukizitangaza unatengeneza hasadi kwa wasio nacho. Na ni riya. Na ndiyo maana haifai kuzungumzia furaha ya wazaz kwa kwa yatima atajisikia vibaya. na mengne mengi yasiyo kuwa hayo.
@user-wf4vp6zu2y
@user-wf4vp6zu2y 3 ай бұрын
Nakupenda shekh kwaajil ya allah
@ashurakodd1589
@ashurakodd1589 3 ай бұрын
Watumishi wa Mungu wamebarikiwa bhana wanadamu sisi tuache maneno
@nassoroyahaya821
@nassoroyahaya821 3 ай бұрын
Wamebarikiwa vipi watumishi wa Kikristo ambao wanaamini na kuhubiri Uungu wa Yesu,Utatu mtakatifu haya mambo 2 ni makubwa ni laana kumshirikisha Mungu na viumbe
@vesper2548
@vesper2548 3 ай бұрын
​@@nassoroyahaya821 mwenyezi mungu anawarehemu wema na waovu hapa duniani, ata uwe kafiri vipi mwenyezi mungu anakubariki2
@oklahommy9838
@oklahommy9838 3 ай бұрын
Audhu Billah huyu Dr sule ...Allah ndio ajuaye
@user-gi2jv4kl7s
@user-gi2jv4kl7s 3 ай бұрын
Nipe ya ndani
@abduljabbarmohammed4188
@abduljabbarmohammed4188 2 ай бұрын
Upo vizuri hujakosea.
@bashirbaruan3969
@bashirbaruan3969 3 ай бұрын
Dr sule me ktk masuala ya Dini ya ukristo upo vizur sana lakini kwenye Quran tukufu sio saana but all in all nakupa big up sana ktk kazi zako za biblia
@annakattoa7502
@annakattoa7502 2 ай бұрын
Mm napenda tu huyu mtangqzaji anamasqali mafupi ya hekima yenye point yaani hajakutupuka amejipanga hongera sana
@AhmedHassan-vl5zf
@AhmedHassan-vl5zf 3 ай бұрын
Tapeli Tu huyu anatuma dini kuibia watu
@hamzarangi7989
@hamzarangi7989 3 ай бұрын
Natamani nisome kwako na nifanye kazi ya Allah unaniispare sana
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 3 ай бұрын
Mkweli mungu tu ata wewe tapeli
@sulleymanselenge4975
@sulleymanselenge4975 3 ай бұрын
Kweli au unamdharirisha2 kaka
@user-sn2wz8zs8y
@user-sn2wz8zs8y 3 ай бұрын
Kwan naww umeibiwa
@amanimanase8799
@amanimanase8799 3 ай бұрын
Sawa mganga wa kienyeji tumesikia
@DhaharaniJongo-gt2un
@DhaharaniJongo-gt2un 3 ай бұрын
Namkubali sna sheikh doctor sule
@abdallahsalem8499
@abdallahsalem8499 2 ай бұрын
Salaam Aleikum Dr. Sule, Nakuomba unipatiye number ya Clinic yako Mombasa, jazakallahul kheir
@ramadhanimussa2625
@ramadhanimussa2625 3 ай бұрын
Shida tunapenda kumuona Paster anaendesha V8 lakini shekhe akiendesha inakuashida kwa watu kuna watu maostadhi wanafundisha watoto wa ma boss ila kanzu imefubaa 😢😢😢 ndio tunasikia furaha si ndio tuache kujishusha waislam tuwaombee sn kwa allah
@abdurahfaris8438
@abdurahfaris8438 3 ай бұрын
Haahaahaahahhahha
@audifansisafari5587
@audifansisafari5587 2 ай бұрын
Ya majini
@donaldmwahalende4841
@donaldmwahalende4841 3 ай бұрын
Muongo wewe Suleiman mungu alimuongoza sio jin
@heriabudu3207
@heriabudu3207 3 ай бұрын
Huyu shehe namwonea mbali Kwa maneno yake
@3leggedbird222
@3leggedbird222 3 ай бұрын
Ohoo hapo kwa suleiman ni kweli unajua lile hekalu ni kweli lilijengwa nq majini tena wakubwa wenye nguvu hapo amepatia
@mmeagroup-TV
@mmeagroup-TV 3 ай бұрын
Allah akuongoze kaka ,wew una elimu nzuri ila hapa hatupo pamoja mche allah , hakuna mfungano wa muislam na majini kufanya hvyo ni kujiingiza katika ushirikiano.
@user-te5ps3xd2d
@user-te5ps3xd2d 3 ай бұрын
Doctor su anajua anachokifanya mwenyezi Mungu amlinde inshaallah
@SherburnSireid
@SherburnSireid 3 ай бұрын
Baki kuwa mganga tu...uislamu Bado hujausoma vzr
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 3 ай бұрын
Wewe ndio mpumbavu kabisa maana mtume s.a.w. anasema fikisha ujumbe angalau kwa aya 1, yeye anatekeleza wajibu wake, wewe endelea na majungu
@abdurahfaris8438
@abdurahfaris8438 3 ай бұрын
Soma dini ww utajua uganga umetokea wap mbakurupuka tu kuandika ushuz
@MatildeBjelland
@MatildeBjelland 3 ай бұрын
Jini ni jini Tu hapaswi kuishi na binadamu
@VukaRails-jp6mf
@VukaRails-jp6mf 3 ай бұрын
Mbona kuna watu wanaishi na simba?
@user-gt8fw9vk4c
@user-gt8fw9vk4c 3 ай бұрын
😂😂😂😂acha uoga,mbona Paka Mbwa tunaishi nao ndani
@BakariChimako-gq6st
@BakariChimako-gq6st 2 ай бұрын
DR Sulle MUNGU akujali kwa kilalakheri inshallah
@muktarikwangaika1857
@muktarikwangaika1857 3 ай бұрын
Mungu akubariki sana shekhe
@thomasgogomoka6404
@thomasgogomoka6404 3 ай бұрын
Huyu ni Mganga tu wa Kienyeji aliyechangamka, mkiambiwa Waislam mnafuga majini mnakasilika.
@solissereeh7913
@solissereeh7913 3 ай бұрын
na nyie hamuabudu mpka muonyeshwe miujiza😮
@kennethjunior6071
@kennethjunior6071 3 ай бұрын
Mmi nakukubali sana Dr sure, even though am a Christian
@Itsblackghost
@Itsblackghost 2 ай бұрын
Unasubur nn😂
@user-nu4qn4ep4z
@user-nu4qn4ep4z 3 ай бұрын
Sulle yuko vizuri...
@mbondelotv8380
@mbondelotv8380 3 ай бұрын
Shekh upo sawa najua unajua kuwa nivigumu kumshawi mtu kupata kitu ambacho (mhamasishaji,) huna.uko sawa tujifunze kwako
@rogersiddy
@rogersiddy 3 ай бұрын
Simu yako alete nani sasa Dr.Sule wakati simu unayo mwenyewe?😂😂🙌
@frankmichael411
@frankmichael411 3 ай бұрын
😅
@rogersiddy
@rogersiddy 3 ай бұрын
@@frankmichael411 Bhana weeee watu tunambwembwe kwenye mgongo wa ardhi hatari sana😂😂
@ahmadifataha6677
@ahmadifataha6677 3 ай бұрын
Huyu magumashi si ndio allkiuwa anatoa hukumu juzi juzi kwa msanii
@khamisyahya7703
@khamisyahya7703 3 ай бұрын
Bwanaweeh
@omariaman7818
@omariaman7818 3 ай бұрын
Uzuri doctor sule anaongeaga na kutoa ushahidi kama kuna kitu kakosea mkanushe kwa ushahidi sio kwa kubwabwaja
@SumaiaIssa-px4pl
@SumaiaIssa-px4pl 3 ай бұрын
Wew una sapoti ujinga tu basi
@hajikomora703
@hajikomora703 3 ай бұрын
Mungu akuhidha sheikh.
@DuliBrillant-mr8er
@DuliBrillant-mr8er 2 ай бұрын
Dr sule i'm proud of you 4rever❤❤❤
@CKMO
@CKMO 3 ай бұрын
Doctor tuzidi kutuelimisha na tuna zidi kukupenda sana ❤
@nickbrown8350
@nickbrown8350 3 ай бұрын
Nnacho jua mimi jini Mzuri amtokei Binaadam Abadani
@user-uj2nv2ns1t
@user-uj2nv2ns1t 3 ай бұрын
Ndio bado hujui sasa soma ujuwe
@ugazosimba7581
@ugazosimba7581 3 ай бұрын
Anamtokea Kwa sura ya kibinadamu na hakuonyeshi tofauti Wala vitimbi
@muhammadally393
@muhammadally393 3 ай бұрын
Elimu huna na hujataka kujua tafuta Elimu utajua ulimwengu
@user-hv4px1dh4l
@user-hv4px1dh4l 3 ай бұрын
Uislam ni upagani wa kistaarabu/Mw/ Mungu awasaidie🎉🎉🎉😢😢😢
@issakisalu9237
@issakisalu9237 3 ай бұрын
Ukristo ni pagani wa kiteknologia
@aziziamimu6011
@aziziamimu6011 3 ай бұрын
Naamini katika Islam. Mwenyezi Mungu akusamehe na akujalie elimu yenye manufaa.
@israelthomas8621
@israelthomas8621 3 ай бұрын
​​@@aziziamimu6011Manufaa gani bro hivi Quran huwa unaisoma na kuielewa kweli?
@aziziamimu6011
@aziziamimu6011 3 ай бұрын
@@israelthomas8621 Jibu rahisi ni ndio. Ulikua na swali lingine?
@safarsafari68
@safarsafari68 3 ай бұрын
Nenda kalale huko we nyau
@YusuphMbwilo-xh9mu
@YusuphMbwilo-xh9mu 3 ай бұрын
Ukanajin anaee mubudu mungu wote majin niwaas ndomana wakaitwa majin kabra awajamuas mungu walika nimalaika ila walivo muas mungu ndo wakaitwa majin ko akuna jin aliee njiaa yaa mungu
@solissereeh7913
@solissereeh7913 3 ай бұрын
kasome tena. majini ni viumbe wengine na malaika ni viumbe wengine. aliemuas Mungu ni iblis (kwa asili ni jini )ambae tunamuita shetani!!!!! sio majini wote ni shetani!
@robertmwangiotieno6183
@robertmwangiotieno6183 3 ай бұрын
Wakristo ss tunamtegemea Mwenyezi Mungu peke
@zawadichalale4047
@zawadichalale4047 3 ай бұрын
Nampenda sana YESUKRISTO mimi jamani nampenda kuliko maelezo
@znaqmumeja2678
@znaqmumeja2678 3 ай бұрын
Muongo wewe , unampenda mtu usimuona, na hakujui, eti kuliko maelezo,🤣🤣🤣🤣🤣
@user-nb2ql7zw3i
@user-nb2ql7zw3i 3 ай бұрын
Sasa tukusaidiaje na huyo ndiyo bwana yako uliyomchagua.
@jabirkasunzu6841
@jabirkasunzu6841 3 ай бұрын
Kuna siku utang'ata kidole
@user-yu1zo9pf4o
@user-yu1zo9pf4o 3 ай бұрын
Endelea kumpenda ila elimu haina mwixho soma ujiue njia sahihi❤
@jumamwacharodzikowa523
@jumamwacharodzikowa523 3 ай бұрын
Kumpenda ni huko kumwita mwana wa Mungu ndio Kumpenda
@fababindawood8363
@fababindawood8363 3 ай бұрын
Dr Sule safi sana watu wamezowea kuwaona mashekhe wanamaisha ya chini sana lkn ww umeweka wazi safi sana
@HalimaSuleiman-ks8md
@HalimaSuleiman-ks8md 3 ай бұрын
Doctor Sulee you vzr sanaa Allah akuzidishie elmu na ufahamu
@DakorTrony
@DakorTrony 3 ай бұрын
Majini tuu. Huyu majini ya kuiba pesa. Uongo majini ndio yanampa mali
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 3 ай бұрын
Dah vibaya kijana
@mudhihirIbrahim-hb7ry
@mudhihirIbrahim-hb7ry 3 ай бұрын
Anae toa rizq ni Allah sio jini mche Allah sheikh sulle
@user-gn4lc5sk6p
@user-gn4lc5sk6p 3 ай бұрын
Dini ya majini
@user-gn4lc5sk6p
@user-gn4lc5sk6p 3 ай бұрын
Hiyo siri yake maanake ni mfuga majini.Okoka
@ClementinaHabineza
@ClementinaHabineza 3 ай бұрын
Mnapenda sana waisiraamu majini Sisi tunashamga
@uwimana6533
@uwimana6533 3 ай бұрын
Na mwamposa ni mwislam anaetapeli watu kuwaombea ?
@RemyDuma-db5fd
@RemyDuma-db5fd 3 ай бұрын
​@@uwimana6533Mwamposa ndio kiboko yenu nyinyi na Majini yenu kuiba Pesa, kuloga,maradhi n.k
@susanejd7775
@susanejd7775 3 ай бұрын
Waisiraamu ndo kina nani. Inaonyesha ww zuzu mmoja usojijua
@RemyDuma-db5fd
@RemyDuma-db5fd 3 ай бұрын
@@uwimana6533 Mwamposa ndio kiboko yenu Wafuga Majini na Majini yenu
@KSJ6569
@KSJ6569 3 ай бұрын
Haya nyie mnae sema mlimoona Mungu amuoni kuwa mnamkufuru Mungu sikiliza maneno mjielew mlipoteya kiasi gani nyie
@nestarnestar4520
@nestarnestar4520 3 ай бұрын
Haya huyo apo shehe wenu anasema kuna majini mazuri na mabaya, yan unaeza kuyatumia yakuletee pesa, tukisema uislam ni dini ya majini mnakataa
@bobsalim4285
@bobsalim4285 3 ай бұрын
Anaongelea majini na sio uislamu.
@savesadgeneration
@savesadgeneration 3 ай бұрын
Njoo nikufunze bilbilia
@swahililyrics4635
@swahililyrics4635 3 ай бұрын
Nabii Suleiman kwenye ukristo hayupo!?
@hassanmitayo1875
@hassanmitayo1875 3 ай бұрын
Soma na utafiti kwa kina, inavyoonekana una imani ya kukaririshwa
@yassinwafula692
@yassinwafula692 3 ай бұрын
Kuna majini waristo
@msemakweli243
@msemakweli243 3 ай бұрын
Hacha kudanganya hili upate maisha mazuri ni lazima uchague mungu au shetani kwahiyo wewe umemchagua shetani ndo maana hupo hivo
@yuhamrwambo3739
@yuhamrwambo3739 3 ай бұрын
Wacha maneno yako kaka ukitaka harak ndio unakufuru lkn ukikomaa unatusua huyo sule kitambo sana wala usishangae na wapo wengi tu wenye hali hizo kimaisha sema huwa hawasemi km Mungu kawaruzuku.
@msemakweli243
@msemakweli243 3 ай бұрын
@@yuhamrwambo3739 sawa lkn ni zashetani sio mungu wa juu kwanza anayatukuza majini ndo yamempa mali
@user-us4if2ky6g
@user-us4if2ky6g 3 ай бұрын
Wacha wivu wa kijinga
@msemakweli243
@msemakweli243 3 ай бұрын
@@user-us4if2ky6g nimwonee wivu huyo au muisilamu yoyote
@SangaleSugume
@SangaleSugume 3 ай бұрын
Ndy Majin walijenga
@Magemria
@Magemria 3 ай бұрын
Na wanaokusapoti ni wenzio
@ahmedalfan8075
@ahmedalfan8075 3 ай бұрын
Hamna shee umo
@Omaryactor01
@Omaryactor01 3 ай бұрын
We mwislam gani hawa ni warith wa mtuma acha upuuzi
@ahmedalfan8075
@ahmedalfan8075 3 ай бұрын
@@Omaryactor01 mpuuzi mim au wew mtume awezi kua na mrith tajir ktk inchi ya kafir hakuna muumin wa kweli akainjoi ktk inchi ya kitwaahud nenda madrasa kwanza
@user-kd6xn7ux4v
@user-kd6xn7ux4v 3 ай бұрын
​@@ahmedalfan8075kuwa nahaya ww we unaona raha gn kuona masheikh wanakuwa maskini yaan sheikh akiwa napesa wee unachukizwa!
@silvanusjeremiah8256
@silvanusjeremiah8256 3 ай бұрын
You're talking too much nonsense.... idiot
@safarsafari68
@safarsafari68 3 ай бұрын
Shekhe ni Baba ako2
@PtransJulius
@PtransJulius 3 ай бұрын
Mtangazaji big up sana unajua
@FatumaMpokwa
@FatumaMpokwa 2 ай бұрын
Alhamdulillah Allah akutengenezee mambo yako
@rogersiddy
@rogersiddy 3 ай бұрын
Sawa na swali dogo kwake Dr.SULE iyo PETE inamaana gan?
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 3 ай бұрын
Uganga tu huoo
@rogersiddy
@rogersiddy 3 ай бұрын
@@odilomwemeziernest646 🤣🤣🤣🤣🙌
@Onlyforfun1992tube
@Onlyforfun1992tube 3 ай бұрын
Pete si kawaida bro au wewe huvai ??
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,6 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 10 МЛН
Llegó al techo 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja
Рет қаралды 56 МЛН
ONA MAHABA YA DK SULLE KWA WAKE ZAKE WANNE, NAWAPENDA WOTE
13:54
MAJINI WA DK SULE SIO WEMA USIMTETE || MAJIBU KWA BABA KIR'WASHA || Muhammad Bachu.
1:04:29
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,6 МЛН