UJue watu hawajielewi cz mnapenda kumuona shekhe yuko kwenye jumba bovu anaendesha basikeli ndio museme mungu awajalie sio poa allah awajalie mashekhe wt wafike mbali inshallah
@issakobakimanga77383 ай бұрын
Ewaaa watu wengi ndio fikra zao
@SuzyMarroch3 ай бұрын
Amen
@ismailabdallah78533 ай бұрын
Binadam mawazo yao mabovu sana majin viumbe kama viumbe vingine kuna majini wapotovu kama binadamu kunawema wanaomumcha mwenyezi mungu
@maciaali36982 ай бұрын
Doctor Sule unadunisha dini pia unatukana dini,Allah mpenda haki atakudhalalisha mbele ya watu InshaAllah
@user-qe3fs1xc3b3 ай бұрын
MashaALLAH mwenyezmungu azidi kukufanyia wepec kwenye na kheri nyingi za Dunia na akhera mm nakukubali Sana sheikh. Doctor SULE.
@UwayezuJosee2 ай бұрын
Mambo! Naomba namba ake please!!!
@abasssuleiman61493 ай бұрын
Nilianza kumkubali huyu bwana tokea miaka ya 2003 nikiwa Mbeya, alisilimisha watu wengi pale, Allah ampe wepesi
@audifansisafari55872 ай бұрын
Kawaunganisha Kwa majini majini wote wamemuasi Mungu
@nakundwamkubwe78233 ай бұрын
Kichwa cha stori ulicho andika hapo ni tofauti na alivyo ongea Dr Sulle. Sio vizuri kupotosha watu muogepeni Mwenyezi Mungu.
@aishathabit37322 ай бұрын
Huyu muandishi sio mwislamu
@aishathabit37322 ай бұрын
Umekosea maana ya haram na halali Kasome tena maana hiyo ya halali na haramu
@user-dl4mr4bu8wАй бұрын
Kweli kabisa
@maryamkombo20393 ай бұрын
Dr. Sule, Nakuombea kwa Allah(SWT) akulinde, na akupe Maisha Marefu yenye Afya Kamili, Ili uzidi kuelimisha Umma. Shukran.
@mwanaikaomar86282 ай бұрын
We unauliza swali moja.mwamba anakujibu majibu kumi.aaa weee.asante Allah kwa kutupa huyu mtu.dr.sule nchini tz.alhmdulillah
@mwanaikaomar86283 ай бұрын
Nnachompendea dr sele.ni mfasaha wa mazungumzo kupita kiasi.humshiki kirahisi kwenye mazungumzo.huyu mtu Allah kampa kipaji kikubwa.mashallah
@MisheckSiame-si1yo3 ай бұрын
Mungu anisaidie kupata jini mwema
@YamunguMuha3 ай бұрын
Allah gani wewe,hakuna Cha Allah Wala nn,mshirikina mtupu
@Famao-dg3ul3 ай бұрын
@@YamunguMuhasiku ukimjua Allah ndio utajua makosa yako
@kennethbenjamin2753 ай бұрын
Nyie wabongo si mnapenda watu wanaongea sanaaa ndy marole model wenu
@mwanaikaomar86283 ай бұрын
@@Famao-dg3ul kabisa yani.👍👍.hajamjua Allah Nani mpaka siku ya Kufa ndo atamjua.Allah ajaalie aslkm kabla ya mauti yake.hajitambui bado
@aminabdalla78243 ай бұрын
Allah anajua zaidi ..... Allah tupe mwisho mwema waislam wote tulioko kwenye mgongo wa ardhi... Allah humma ameen🤲🤲
@user-yo4qu1pt7h3 ай бұрын
Amiin
@niyongiraidi72423 ай бұрын
Allah akuzidishie kira raheri kwa kuokoa nafsi za wajawake Allah kwa kuamrisha heri na kukataza mabaya
@IbrahimShan-qu3um3 ай бұрын
Interview nzurii sana big up...MTANGAZAJI UNAJUA
@MusaCleophac-bs9fk3 ай бұрын
Uoj kisomi zaid nimependa uko vzr xan allah akujalie ❤
@muhammadally3933 ай бұрын
Dr Sule mimi nakuombea kila la kheri duniani na akhera
@muhidinsultan20493 ай бұрын
Allah akupe afya,Siha,na kila hitajiko lako na Allah aweke barka ktk harakati zako Dr sule Allah amekujaalia hakika.
@ndogoroedson1993 ай бұрын
Mnamsifia tu huyu ndyo anawakashifu sana akina mwamposa je huu utajili alionao yy kaupata wap? C humo humo kwenye dini? Kama yy yupo kwenye kweli na Akina mwamposa pia wapo kwenye ukweli kikubwa kila mtu adili na upande wa dini yake
@muhidinsultan20493 ай бұрын
@@ndogoroedson199 Bro wanaadam tuna sir kubwa sana ktk utafutaji wetu kikubwa Sisi sio watoa hukumu hata sisi hasa Mm personal ninamatatizo yangu(mapungufu) Kikubwa ni kuombeana DUA au kufanyiana Maombi 🙏
@muhidinsultan20493 ай бұрын
No coment bro🙏
@RamadhanKarim-el6tv3 ай бұрын
Dr Sule Allah akupe umri ugekuwa Rai's ugedelesha Ichi Sana vizuri Sana mashaallah
@omariaman78183 ай бұрын
Huyu mtangazaji nimemkubali sana anajua sana kutengeneza maswali
@IbrahimNtirenganya3 ай бұрын
Allahu Akibar Allah akupe hidayat kama unataka kufaidi nakujuwa mengi kuhusu ilimu ya dini watafute Wana ilimu ya dini
@user-jd6vr9xw1o3 ай бұрын
Docteur Sule nakukubali sana Sheikh wangu
@ArafaSuleiman-db9pw3 ай бұрын
Mashallah Barakah ALLAHU fiiqum hbbi shekh wangu doctor sule kwn ss wa kenya tunakupenda kwa minajili y Allah swt akulinde na kila aina husda na balaa na akupe mwisho mwema aaamiin
@zahraalbaloochi28413 ай бұрын
Ameen
@allymwinja26933 ай бұрын
Dr. Sule ni MTU NA NUSU. Allah akulinde Sana🤝🙏
@kennethjunior60713 ай бұрын
Mtangazaji big Up sana
@IbrahimMahmoud-em1np3 ай бұрын
Mganga wa kienyeji anaetumia mgongo wa dini. Aqida ya ahlu sunna wal jamaa3ah hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Wewe sule mche Allah
@fatumaomary61103 ай бұрын
Soma ujue kama una muweza mfate ilala ustake kiki
@IbrahimMahmoud-em1np3 ай бұрын
Kwahio mtu akikomenti anatafuta kiki sindio? Hahahahaha ضعف الطالب والمبطلوب
@VukaRails-jp6mf3 ай бұрын
Simba ndo simba anamahusiano na binadamu na watu wanafuga kama kawaida sasa jini inashindikanaje? Oxygen yenyewe haionekani na watu wanaitengeza kama kawa na wanamsaidia mgonjwa
@heriabudu32073 ай бұрын
Kweli bro naanza kuwa na tashwishi naye
@IbrahimMahmoud-em1np3 ай бұрын
Katika uislam sisahihi mtu kuongea kitu hana ujuzi nacho.unaleta mifano ya Simba na oxygen unadhani dini hii haijakamilika katika kila nyanja? قال تعالى ما فرطنا فى الكتاب من شيئ. Hatujaacha chochote katika kitabu ( yani Quran) then anakuja mtu na mifano ya simba na oxygen. Narudia kusema hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Na if yapo leteni dalili katika kitabu na SUNA au kauli ya wanazuoni wema. قل هاتوا برهانكم إن كنتم صادقين
@MustaphaKiluke2 ай бұрын
MashaAllah,wanyumbani wazee walikunyima ubunge wa CCM,kule kwetu Rufiji,umetoboa kwa njia nyengine
@ibrahimushomvi3193Ай бұрын
MAA SHAA ALLAH
@user-MRTSLONLINE3 ай бұрын
Kama unamkubali doctor sule gonga like hapa
@hanifamasudi97323 ай бұрын
Doctor sule amemutapeli babangu mukwe alimudanganya atamutumia dawa akadanganya hadi akafa hadi mbele akateroho akaomba wakutane kiama
@bas28233 ай бұрын
ANOSEMA KINATAKIWA CHANO NI MGANGA! ANAJIDAI KUPANDISHA SHETANI KICHWANI KWAKE STI SHETANI ANATAKA CHANO! WAKATI SIO SHETANI NI HUYO MGANGA ONLY NDIE ANOTAKA KILE CHANO! WALA SIO JINNI AU SHETTANI NI MWANA ADAM NDIE ANACT TUU HUYU ANA PALACE LIKE KING! KAZIPATIA WAPI PESA HIZO KUWA YEYE AWE NA JUMBA HILO!? HUYU SHEIKH!? OR MGANGA ONLY!
@bas28233 ай бұрын
WEYE SIO SHEKHEE! ABADAN!
@JumOnyancha3 ай бұрын
@@hanifamasudi9732 huyu ni mganga wa majini ya Muhammad ndiye mnayemsifu ....
@stevensosipita3 ай бұрын
KUMKUBALI KWA LIPI?KWA UCHAWI AMA KWA LIPI?HAWO WOTE MOTO WA JEHANNAM UNAWASUBIRI
@benjaminlisi60973 ай бұрын
Mtangazaji ana maswali mazuri sana.. watching from Kenya
@user-hu3sc4kg1f3 ай бұрын
Mashaallah tabarika allah mungu akubariki zaidi sheikh
@saiddigogogo82183 ай бұрын
Nili wai kukupigia cm nilikua na mgonjwa anatapika damu ukanielekeza dawa ...nikaona kama umenizalau kumbe ilikuwa dawa kweli .... inshallah Mungu akuzidishie na akupe maisha malefu
@imanimakishe86322 ай бұрын
Kwanini ulozani kakuzarau au dawa ilikua ya ajabu
@MakondaPaul-uq7cm2 ай бұрын
Ndugu naomba namba yake
@hamiduyusufuhamiduyusufu50082 ай бұрын
Ilikua daw gn hyo jamn
@hamiduyusufuhamiduyusufu50082 ай бұрын
Daw gn alikupa
@UwayezuJosee2 ай бұрын
Naomba namba ake
@saloom49023 ай бұрын
Bro una maswali critical sna umefit kabisa kuwa presenter Allah akufanye bora zaid ufikie ndoto zako❤
@bashirmahero70213 ай бұрын
Sule nakupenda bro
@mwajuangenje66282 ай бұрын
Huyu dr sule ni mjanja sana,kuna kijana alikua anaumwa mapepo.alipita sehemu nyingi sana ila huyu dr sule alimpa dawa yake ya fettiesupereto yule kijana alipona mapepo.Sule Ana confidence na ni mpembuzi wa vitabu
@user-fg5zi1ly3r2 ай бұрын
Kaka, nipe number ya Dr SULE please.
@zahraalbaloochi28413 ай бұрын
MashaAllah shkh Allah bless you
@abdullahmsuya6653 ай бұрын
Kwa upande wa majini, umeusemea uislamu uongo jambo usilo na ilimu nalo, unataja aya za uongo, nawanasihi waislamu na wasiokua waislamu wajifunze uislamu kwa watu sahihi watu wenye ilmu sahihi ya dini. Wasikilizen mashaykh wakisalafy Shaykh Qassim mafuta, Abdallah humeid, Abuukhaulah Mbwana Abdi Allah awahifadhi
@hajihaji123-lp5lx3 ай бұрын
kweli kabisa huyu ni dr wa nguvu za kiume sasa ukimfanya ni sheikh unapotea
@jayabdy72732 ай бұрын
Baarakallah fiyk.
@PaulMsema3 ай бұрын
Mungu ni mwaminifu pia mvumilivu sana,siku moja maji na mavuta yatajitenga kuhusu Imani zetu
@mwanaikaomar86283 ай бұрын
Ni kweli kabisa maneno yako.lkn tunapaswa kuchunguza kabla ya kujitenga hayo Maji na mafuta.ili tuweze kufuata dini ya kweli.kwani tukisubiri Hali hiyo mpaka itokee itakuwa Ni too late.hapo litakalofuata Ni moto tu.hivyo tuchunguze na kusoma Kwa undani zaid vitabu.tusijetukachelewa.mara nyingi kwenye viwili.kimoja kinakua wrong.nayo Ni dini ya kikristo.tubu mapema kabla ya kifo
@Rmkh883 ай бұрын
Yameshajitenga tayari, Uislamu ni haki na ukristo ambao Mungu ameuliwa na akasulubiwa ni batili. Mungu amezaliwa na binadamu? Lol
@saidbakari24083 ай бұрын
Hizi dini tumeletewa watu wengi sasaivi wamerudi kwenye asili zao, jamani turudi kwenye asili zetu 😂😂😂 jamani hivyo vyote vyawezekana
@ELIASFELIX-bq2nc3 ай бұрын
@@Rmkh88 dini za majini na mapepo na mizimu zimekuwa haki. Ama kweli hekima ya mwanadamu kwa Mungu ni upumbavu
@jabirkasunzu68413 ай бұрын
Mungu wako hakujua kuwa atauliwa na binadamu wake, mission ya Mungu imefeli maana Bado tunaendelea kutenda dhambi...ukristu ni rubbish in the rubbish pit.
@SeifHamad-vn6bo3 ай бұрын
Allah akulinde kwa Kila Shari uzidi kutangaza elimu ya dini❤
@MavisMunyiva3 ай бұрын
Very true Daktari Kindly pray for my sons Brian and Raymond to excell in life .Thank you
@MansourKabuhaya3 ай бұрын
Are they islamic?? How can he pray for non Muslim??
@faudhiasaidi36693 ай бұрын
Dr. sulle nakukubali unajua kunyoosha maneno adi raha
@samwelmatemu88733 ай бұрын
Dini yenu hiyo ya mashetani
@faudhiasaidi36693 ай бұрын
@@samwelmatemu8873 Kwa maono yako
@IbrahimMwinyi3 ай бұрын
@@samwelmatemu8873kwa nn
@chusseboywcb28083 ай бұрын
@@samwelmatemu8873yenu yakishoga sio
@samwelmatemu88732 ай бұрын
Kwa kufuga mashetani sio
@anthonymgina38933 ай бұрын
Daah hapo kazi kweli kweli, Masheikh wanatakiwa wasome tawd sana wanapotosha watu haswa wale ambao wanataka kuingia kwenye uislam
@DOCTORYKAGUFA3 ай бұрын
kwann unasem ivo
@trophywilson72113 ай бұрын
ndo ukweli huo wa Doctor Sule ndugu
@trophywilson72113 ай бұрын
@@DOCTORYKAGUFAAnaogopa tumejua ukweli ndani ya Uislamu
@anthonymgina38933 ай бұрын
Ni kweli katika Quran Allah amesema amewaumba binadamu na majini lengo ni kumuabudu kama ilivyo kwa viumbe vingine ambavyo hatujui wanaabudu vipi nao ni waislam ila jini lolote likiungana na binadamu tayari hakuna lolote isipokuwa ni uovu tu maana hakuna ushirika wa jini na binadamu kisheria, wao wanaabudu kinamna yao nasi kinamna yetu. NB yoyote ambaye yupo karibu na viumbe hawa mara nyingi wote wanakuwa ni waasi na niwashirikina. Na hakuna mwislam yoyote ambaye ni Sheikh atakuja na hadith au aya ambayo ina ruhusu sisi kufungamana na majini.
@jabirkasunzu68413 ай бұрын
Misunderstandings tupu
@ShomaryGango3 ай бұрын
I like this interview, you did bro.
@user-jd6vr9xw1o3 ай бұрын
Asante sana Sheikh wangu , WE mkweli kabisa
@rasheedabby28713 ай бұрын
Mungu Tusaidie sana Hizi zama ni Hatar Sana
@user-sh3tr8cm1v3 ай бұрын
Sana walai...
@user-rq9hb7hl3g3 ай бұрын
Fitna kila kona, Allah atujaalie uongofu na tufe ilhali tupo katika uongofu
@fatmahussein12383 ай бұрын
Allah azidi kukubariki Dr Sulle ama kweli neema za Allah zitangazwe
@usrahismail31962 ай бұрын
Nilimuheshimu sana Sulle kwa maswali ya elimu ya Biblia ukilinganisha na Qur'an ila sikujua ana udaktari wa kishirikina,Allah amuongoze
@audifansisafari55872 ай бұрын
Kufuga majini
@user-dp8hr7ex5p3 ай бұрын
Dr mungu akubariki sana
@azizabuyonde83682 ай бұрын
Asante Yesu kunifiliya, ni hatari viongozi wa ma dini
@Blessedboi80193 ай бұрын
Sule ni mchawi anachificha kwa dini
@diagfinamix18613 ай бұрын
Fanya taratibu sasa umuhangushe akiruka hewani kwenye ungo tumshangile ndo tujuwe ni mcawi ama laa.
@heriabudu32073 ай бұрын
😮😮
@Onlyforfun1992tube3 ай бұрын
Dah bro sio fresh jamaa ana familia na ana watoto na ana wafuasi pia kwaio samahan usimtusi bana mzee
@uwimanajustine73132 ай бұрын
Mwenyezi Mungu aki kubariki ,jivunie na utangaze,mbone wenye watatoa kwa jina zengine wanatangaza!?
@user-ou2og1ze9d3 ай бұрын
Hongereni sana hakuna mkamilifu
@patsonkyando17323 ай бұрын
Huyo Dr sule ni mganga wa Kienyeji
@ELIASFELIX-bq2nc3 ай бұрын
Mungu akuhurumie Sheikh!
@erastoshedrackhaule92113 ай бұрын
Uhurumiwe wewe ambaye huna akili
@ELIASFELIX-bq2nc3 ай бұрын
@@erastoshedrackhaule9211 huna akili wewe unayetaka kumiliki Hela za majini!
@jabirkasunzu68413 ай бұрын
Mungu wako katailiwa na binadamu wake, biblia inasema.
@HubertMaleko863 ай бұрын
Sema mdaa mwingine Sule Biblia anaiamini vizuri tu.. Nabii hakubaliki kwao ni maneno ya kwenye Biblia sema mdaa mwingine anaiponda
@RamadhanMohamed-jz6xm3 ай бұрын
Tatizo la makafiri wakisikia jini tu wao wanawaza vitisho uchawi Habari na mambo mabaya tu
@bassambashirou46043 ай бұрын
Ndio walivyokarorishwa kuwa hakuna jini mwema na wanashindwa kujua nini shetani na nini jini
@user-sp7cm8pm4w3 ай бұрын
Hao ni malaika walio mias Mungu,wakatupwa hata pande za chin za nch,, lakin unyakuo ndio utatoa majibu ya muabudu wa kwel ni yupi.
@ChoiceSportstv2 ай бұрын
@@bassambashirou4604 Kaka jini na Shetani wote walimuaasi MUNGU na hakuna Hapo mzuri ....Mzuri NI malaika haooo wengine walimuaasi MUNGU na wamelaaaaaniwa
@stevensosipita3 ай бұрын
MAZINGE ,SULLE SHEKHE MWAIPOPO SHEKHE MAJINI NK WOTE NI JEHANNAM INAWASUBIRI MATAPELI NA WANAPOTOSHA UMMA
@Rmkh883 ай бұрын
Kwa chuki zako tu
@user-tg5ru7cb9b3 ай бұрын
Duuh Mungu ndiye anaehukumu
@princessmakwega24443 ай бұрын
Kwaiyo wewe una pepo na una moto wa kuwapa watu duu Pole sana tubia mda bado unao
@muhsinihassani28053 ай бұрын
We kama nani mpaka umuhukumu mwanadam mwenzio kua ni wa motoni acha habari zako bwn hiyo ni kazi ya mungu mwenyewe si binadam
@stevensosipita3 ай бұрын
@@muhsinihassani2805 ahaa kama unajua hukumu nikazi ya mungu hao mashekhe wako wa mchongo wanachofanya kwa harmonize ni sahihi?hao ni matapeli tu kutwa mtandaoni
@user-ci1hf6fm7t3 ай бұрын
Nimekupendaaaaa
@user-cw8zn2dn6m3 ай бұрын
Hapana, jini? No plz!! Kwa mimi Michael siwezi kabisa kumwamini jini!! Yesu Kristo ananitosha. Ni hivo kwangu.
@kayumbasosthenes35963 ай бұрын
Mungu ni mmoja tu na asili yake niyeye mwenyewe,Ametuumba kwa mfanano wake
@salimsaleh93542 ай бұрын
Unaposema mungu katuumba kwa mfano wake hayo ni mawazo potofu mungu hafanani na chocho wala hana mfano
@godfreydavid68472 ай бұрын
Kwa hiyo yupoje? @@salimsaleh9354
@kambiyusufu27763 ай бұрын
Sjui unanielewa❤❤❤❤
@salumngakonda21823 ай бұрын
Shekh hyo aya siyo neema za kidunia Neema za duniani ukizitangaza unatengeneza hasadi kwa wasio nacho. Na ni riya. Na ndiyo maana haifai kuzungumzia furaha ya wazaz kwa kwa yatima atajisikia vibaya. na mengne mengi yasiyo kuwa hayo.
@user-wf4vp6zu2y3 ай бұрын
Nakupenda shekh kwaajil ya allah
@ashurakodd15893 ай бұрын
Watumishi wa Mungu wamebarikiwa bhana wanadamu sisi tuache maneno
@nassoroyahaya8213 ай бұрын
Wamebarikiwa vipi watumishi wa Kikristo ambao wanaamini na kuhubiri Uungu wa Yesu,Utatu mtakatifu haya mambo 2 ni makubwa ni laana kumshirikisha Mungu na viumbe
@vesper25483 ай бұрын
@@nassoroyahaya821 mwenyezi mungu anawarehemu wema na waovu hapa duniani, ata uwe kafiri vipi mwenyezi mungu anakubariki2
@oklahommy98383 ай бұрын
Audhu Billah huyu Dr sule ...Allah ndio ajuaye
@user-gi2jv4kl7s3 ай бұрын
Nipe ya ndani
@abduljabbarmohammed41882 ай бұрын
Upo vizuri hujakosea.
@bashirbaruan39693 ай бұрын
Dr sule me ktk masuala ya Dini ya ukristo upo vizur sana lakini kwenye Quran tukufu sio saana but all in all nakupa big up sana ktk kazi zako za biblia
@annakattoa75022 ай бұрын
Mm napenda tu huyu mtangqzaji anamasqali mafupi ya hekima yenye point yaani hajakutupuka amejipanga hongera sana
@AhmedHassan-vl5zf3 ай бұрын
Tapeli Tu huyu anatuma dini kuibia watu
@hamzarangi79893 ай бұрын
Natamani nisome kwako na nifanye kazi ya Allah unaniispare sana
@rogerabdallah4393 ай бұрын
Mkweli mungu tu ata wewe tapeli
@sulleymanselenge49753 ай бұрын
Kweli au unamdharirisha2 kaka
@user-sn2wz8zs8y3 ай бұрын
Kwan naww umeibiwa
@amanimanase87993 ай бұрын
Sawa mganga wa kienyeji tumesikia
@DhaharaniJongo-gt2un3 ай бұрын
Namkubali sna sheikh doctor sule
@abdallahsalem84992 ай бұрын
Salaam Aleikum Dr. Sule, Nakuomba unipatiye number ya Clinic yako Mombasa, jazakallahul kheir
@ramadhanimussa26253 ай бұрын
Shida tunapenda kumuona Paster anaendesha V8 lakini shekhe akiendesha inakuashida kwa watu kuna watu maostadhi wanafundisha watoto wa ma boss ila kanzu imefubaa 😢😢😢 ndio tunasikia furaha si ndio tuache kujishusha waislam tuwaombee sn kwa allah
@abdurahfaris84383 ай бұрын
Haahaahaahahhahha
@audifansisafari55872 ай бұрын
Ya majini
@donaldmwahalende48413 ай бұрын
Muongo wewe Suleiman mungu alimuongoza sio jin
@heriabudu32073 ай бұрын
Huyu shehe namwonea mbali Kwa maneno yake
@3leggedbird2223 ай бұрын
Ohoo hapo kwa suleiman ni kweli unajua lile hekalu ni kweli lilijengwa nq majini tena wakubwa wenye nguvu hapo amepatia
@mmeagroup-TV3 ай бұрын
Allah akuongoze kaka ,wew una elimu nzuri ila hapa hatupo pamoja mche allah , hakuna mfungano wa muislam na majini kufanya hvyo ni kujiingiza katika ushirikiano.
@user-te5ps3xd2d3 ай бұрын
Doctor su anajua anachokifanya mwenyezi Mungu amlinde inshaallah
@SherburnSireid3 ай бұрын
Baki kuwa mganga tu...uislamu Bado hujausoma vzr
@jabirkasunzu68413 ай бұрын
Wewe ndio mpumbavu kabisa maana mtume s.a.w. anasema fikisha ujumbe angalau kwa aya 1, yeye anatekeleza wajibu wake, wewe endelea na majungu
@abdurahfaris84383 ай бұрын
Soma dini ww utajua uganga umetokea wap mbakurupuka tu kuandika ushuz
@MatildeBjelland3 ай бұрын
Jini ni jini Tu hapaswi kuishi na binadamu
@VukaRails-jp6mf3 ай бұрын
Mbona kuna watu wanaishi na simba?
@user-gt8fw9vk4c3 ай бұрын
😂😂😂😂acha uoga,mbona Paka Mbwa tunaishi nao ndani
@BakariChimako-gq6st2 ай бұрын
DR Sulle MUNGU akujali kwa kilalakheri inshallah
@muktarikwangaika18573 ай бұрын
Mungu akubariki sana shekhe
@thomasgogomoka64043 ай бұрын
Huyu ni Mganga tu wa Kienyeji aliyechangamka, mkiambiwa Waislam mnafuga majini mnakasilika.
@solissereeh79133 ай бұрын
na nyie hamuabudu mpka muonyeshwe miujiza😮
@kennethjunior60713 ай бұрын
Mmi nakukubali sana Dr sure, even though am a Christian
@Itsblackghost2 ай бұрын
Unasubur nn😂
@user-nu4qn4ep4z3 ай бұрын
Sulle yuko vizuri...
@mbondelotv83803 ай бұрын
Shekh upo sawa najua unajua kuwa nivigumu kumshawi mtu kupata kitu ambacho (mhamasishaji,) huna.uko sawa tujifunze kwako
@rogersiddy3 ай бұрын
Simu yako alete nani sasa Dr.Sule wakati simu unayo mwenyewe?😂😂🙌
@frankmichael4113 ай бұрын
😅
@rogersiddy3 ай бұрын
@@frankmichael411 Bhana weeee watu tunambwembwe kwenye mgongo wa ardhi hatari sana😂😂
@ahmadifataha66773 ай бұрын
Huyu magumashi si ndio allkiuwa anatoa hukumu juzi juzi kwa msanii
@khamisyahya77033 ай бұрын
Bwanaweeh
@omariaman78183 ай бұрын
Uzuri doctor sule anaongeaga na kutoa ushahidi kama kuna kitu kakosea mkanushe kwa ushahidi sio kwa kubwabwaja
@SumaiaIssa-px4pl3 ай бұрын
Wew una sapoti ujinga tu basi
@hajikomora7033 ай бұрын
Mungu akuhidha sheikh.
@DuliBrillant-mr8er2 ай бұрын
Dr sule i'm proud of you 4rever❤❤❤
@CKMO3 ай бұрын
Doctor tuzidi kutuelimisha na tuna zidi kukupenda sana ❤
Anamtokea Kwa sura ya kibinadamu na hakuonyeshi tofauti Wala vitimbi
@muhammadally3933 ай бұрын
Elimu huna na hujataka kujua tafuta Elimu utajua ulimwengu
@user-hv4px1dh4l3 ай бұрын
Uislam ni upagani wa kistaarabu/Mw/ Mungu awasaidie🎉🎉🎉😢😢😢
@issakisalu92373 ай бұрын
Ukristo ni pagani wa kiteknologia
@aziziamimu60113 ай бұрын
Naamini katika Islam. Mwenyezi Mungu akusamehe na akujalie elimu yenye manufaa.
@israelthomas86213 ай бұрын
@@aziziamimu6011Manufaa gani bro hivi Quran huwa unaisoma na kuielewa kweli?
@aziziamimu60113 ай бұрын
@@israelthomas8621 Jibu rahisi ni ndio. Ulikua na swali lingine?
@safarsafari683 ай бұрын
Nenda kalale huko we nyau
@YusuphMbwilo-xh9mu3 ай бұрын
Ukanajin anaee mubudu mungu wote majin niwaas ndomana wakaitwa majin kabra awajamuas mungu walika nimalaika ila walivo muas mungu ndo wakaitwa majin ko akuna jin aliee njiaa yaa mungu
@solissereeh79133 ай бұрын
kasome tena. majini ni viumbe wengine na malaika ni viumbe wengine. aliemuas Mungu ni iblis (kwa asili ni jini )ambae tunamuita shetani!!!!! sio majini wote ni shetani!
@robertmwangiotieno61833 ай бұрын
Wakristo ss tunamtegemea Mwenyezi Mungu peke
@zawadichalale40473 ай бұрын
Nampenda sana YESUKRISTO mimi jamani nampenda kuliko maelezo
@znaqmumeja26783 ай бұрын
Muongo wewe , unampenda mtu usimuona, na hakujui, eti kuliko maelezo,🤣🤣🤣🤣🤣
@user-nb2ql7zw3i3 ай бұрын
Sasa tukusaidiaje na huyo ndiyo bwana yako uliyomchagua.
@jabirkasunzu68413 ай бұрын
Kuna siku utang'ata kidole
@user-yu1zo9pf4o3 ай бұрын
Endelea kumpenda ila elimu haina mwixho soma ujiue njia sahihi❤
@jumamwacharodzikowa5233 ай бұрын
Kumpenda ni huko kumwita mwana wa Mungu ndio Kumpenda
@fababindawood83633 ай бұрын
Dr Sule safi sana watu wamezowea kuwaona mashekhe wanamaisha ya chini sana lkn ww umeweka wazi safi sana
@HalimaSuleiman-ks8md3 ай бұрын
Doctor Sulee you vzr sanaa Allah akuzidishie elmu na ufahamu
@DakorTrony3 ай бұрын
Majini tuu. Huyu majini ya kuiba pesa. Uongo majini ndio yanampa mali
@Onlyforfun1992tube3 ай бұрын
Dah vibaya kijana
@mudhihirIbrahim-hb7ry3 ай бұрын
Anae toa rizq ni Allah sio jini mche Allah sheikh sulle
@user-gn4lc5sk6p3 ай бұрын
Dini ya majini
@user-gn4lc5sk6p3 ай бұрын
Hiyo siri yake maanake ni mfuga majini.Okoka
@ClementinaHabineza3 ай бұрын
Mnapenda sana waisiraamu majini Sisi tunashamga
@uwimana65333 ай бұрын
Na mwamposa ni mwislam anaetapeli watu kuwaombea ?
@RemyDuma-db5fd3 ай бұрын
@@uwimana6533Mwamposa ndio kiboko yenu nyinyi na Majini yenu kuiba Pesa, kuloga,maradhi n.k
@susanejd77753 ай бұрын
Waisiraamu ndo kina nani. Inaonyesha ww zuzu mmoja usojijua
@RemyDuma-db5fd3 ай бұрын
@@uwimana6533 Mwamposa ndio kiboko yenu Wafuga Majini na Majini yenu
@KSJ65693 ай бұрын
Haya nyie mnae sema mlimoona Mungu amuoni kuwa mnamkufuru Mungu sikiliza maneno mjielew mlipoteya kiasi gani nyie
@nestarnestar45203 ай бұрын
Haya huyo apo shehe wenu anasema kuna majini mazuri na mabaya, yan unaeza kuyatumia yakuletee pesa, tukisema uislam ni dini ya majini mnakataa
@bobsalim42853 ай бұрын
Anaongelea majini na sio uislamu.
@savesadgeneration3 ай бұрын
Njoo nikufunze bilbilia
@swahililyrics46353 ай бұрын
Nabii Suleiman kwenye ukristo hayupo!?
@hassanmitayo18753 ай бұрын
Soma na utafiti kwa kina, inavyoonekana una imani ya kukaririshwa
@yassinwafula6923 ай бұрын
Kuna majini waristo
@msemakweli2433 ай бұрын
Hacha kudanganya hili upate maisha mazuri ni lazima uchague mungu au shetani kwahiyo wewe umemchagua shetani ndo maana hupo hivo
@yuhamrwambo37393 ай бұрын
Wacha maneno yako kaka ukitaka harak ndio unakufuru lkn ukikomaa unatusua huyo sule kitambo sana wala usishangae na wapo wengi tu wenye hali hizo kimaisha sema huwa hawasemi km Mungu kawaruzuku.
@msemakweli2433 ай бұрын
@@yuhamrwambo3739 sawa lkn ni zashetani sio mungu wa juu kwanza anayatukuza majini ndo yamempa mali
@user-us4if2ky6g3 ай бұрын
Wacha wivu wa kijinga
@msemakweli2433 ай бұрын
@@user-us4if2ky6g nimwonee wivu huyo au muisilamu yoyote
@SangaleSugume3 ай бұрын
Ndy Majin walijenga
@Magemria3 ай бұрын
Na wanaokusapoti ni wenzio
@ahmedalfan80753 ай бұрын
Hamna shee umo
@Omaryactor013 ай бұрын
We mwislam gani hawa ni warith wa mtuma acha upuuzi
@ahmedalfan80753 ай бұрын
@@Omaryactor01 mpuuzi mim au wew mtume awezi kua na mrith tajir ktk inchi ya kafir hakuna muumin wa kweli akainjoi ktk inchi ya kitwaahud nenda madrasa kwanza
@user-kd6xn7ux4v3 ай бұрын
@@ahmedalfan8075kuwa nahaya ww we unaona raha gn kuona masheikh wanakuwa maskini yaan sheikh akiwa napesa wee unachukizwa!
@silvanusjeremiah82563 ай бұрын
You're talking too much nonsense.... idiot
@safarsafari683 ай бұрын
Shekhe ni Baba ako2
@PtransJulius3 ай бұрын
Mtangazaji big up sana unajua
@FatumaMpokwa2 ай бұрын
Alhamdulillah Allah akutengenezee mambo yako
@rogersiddy3 ай бұрын
Sawa na swali dogo kwake Dr.SULE iyo PETE inamaana gan?