Ukimsikiliza Uyu Ostazi Maneno Yake Yamejaa Elimu Kubwa Sana Sijajua Kwa Watu Mnaomsema Mnawaza Nini Kichwani Maneno Yake Ziko Pointi Nyingi2 Moja Anasema Mtu Ukipata Pesa Kupitia Jini Ujue Wewe Unamuamini Jini Kuliko Mungu Na Yapo Maneno Mazuli2 Tuache Kusema Uchawi Uchawi Mimi Nachukia Sana Mashee Wale Kazi Yao Maubili Yao Wanawake Na Ngono Wanawake Na Ngono Mpaka Unawaza Inamana Kitabu Kinazungumza Ngono2
@abdulrauphaiy30322 ай бұрын
Naam.
@user-je7no7lq7d2 ай бұрын
exactly
@fredducaunt2 ай бұрын
Hakuna cha elimu Wala nn Ushirikina tu Mwogopeni Mungu Achana na mapichapicha Jini ndo ushenzi gani acheni dini za uongo
@user-bc2wd1sq3k2 ай бұрын
Kesho Miele ya Allah kutatanda 😢😢😢😢😢😢 na jasho, Ya rab nisamehe mimi na unionize ktk kheri na uongoze ulimwengu mzima.
@ramadhaninchimbi88072 ай бұрын
Huyu jamaa ni mshirikina...Tanbih kwa waowafuata hawa jamaa kwaajili ya tiba,,wajue wanawaendea washirikina wanaojificha ktk kivuli cha dini
@user-pe1qv1sn5p2 ай бұрын
dunia hii inamambo mengi sana mwenyezi mungu atunusuru mana kila mtu analake kwasababu moyo wa mtu ni msitu Allah atuongoze ktk kheri zake atuepushe na tamaa za maisha haya kumekua na mambo mengi mnoo yaarabi tunusuru yaarabi
@Matunzo_Classic2 ай бұрын
1a
@AbdulMikidadi-sl9gx2 ай бұрын
Kuita jinn ni katika ushirikina ushahidi aya ya 6 suratul jinn na hadith ya mtume (s.a.w) alipomfunga sheytwan akakumbuka maneno ya nabii suleiman ('alayhi salaam) aliposema Allah (s.w) asimpe kiumbe yeyote uwezo aliopewa yeye wa kuamrisha majinn Hakuna wa kati na kati ktk kuleta rizk, Allah (s.w) haitaji pete kukuletea rizk wala jinn muogope mola wako rejea ktk manhaj sahihi ya ahlul athar wa sunna wa jama'a kutoka kwa ufahamu wa wema waliopita
@RamadhaniMsukuma2 ай бұрын
We😂 nawe hata haujui tofauti ya shwaitan na jini
@AbdulMikidadi-sl9gx2 ай бұрын
@@RamadhaniMsukuma tafauti yake nini?
@user-kn8pw7vk4e2 ай бұрын
Hadithi tu izo ...sifa za shetani hakuna wa kumfunga zaidi ya MWENYEZI MUNGU, funguka akili
@user-yv3qi1yf3j2 ай бұрын
Swadakta
@omarmzaham72482 ай бұрын
!!Hii ni SHIRKI!! kwa muislamu yeyote anae soma labda hana uhakika hapa, tiba ya ruqya na shifaa yeyote inatoka kwenye Quran kwa idhini yake Allah(s.w.t) na RasullAllah(s.a.w) ame tu ongoza kwenye Sunnah zake zote na dini ime kamilika usi danganywe kwenye Bidaa,ingekua kweli haya mambo sijui nyusi za samaki sijui nini ..kutoka kwenye sahaba wa kizazi cha pili auTābiʿū al-Tābin ingekua hizi sunna zote ziko wazi kwa waumini...chunga imani yako na amali zako jitenge na kufur!...
@Ostica..Omie..junior3 ай бұрын
Wewe mtangazaji..ni mgombanishi sana..DR sule ajasema kuwa aiwezekani kumwita jinni..amesema kuwa inawezekana rakini inaitajika uwe na elimu ya kutosha ya kuongea na majini...ninekusawisha vizuri mtangazaji..ukiwa na elimu ya kutosha ya kuongea na majini..utakuwa nao uwezo wakuwaita
@abdallahmkali32512 ай бұрын
Mtangazaji amejikanyaga
@chunaabdullah13332 ай бұрын
Alafu anataka kujua kila kitu mtu ashasema ni siri yake lakini yy analazima ajue khaa
@FridayMwassa2 ай бұрын
Unamwita jini Kwaajili ya nini,nyie watu acheni uchawi, Muhammad hakuwa mtume wa Mungu na ndiyo maana hakuna mahali kwenye koran panaonyesha Mungu alisema naye kama alivyosema na wakina Musa, Yesu, Samuel au Daniel,mud ni muongo na ndiyo maana hata mafundisho yake yanachanganya sana
@hatibubalozi5922 ай бұрын
wewe mwehu huna akili@@FridayMwassa
@maciaali36982 ай бұрын
Mwamini Allah,hakuna mafundisho ya Pete katika Quran tukufu watanzania wacheni ushirikina
@rashidbusanya58432 ай бұрын
Allah kuongelea shiriki Kwa mara nyingi zaidi Tena Kwa uzito kunamaana sio Bure
@jovinmancomedytz2 ай бұрын
Mungu akujalie kaka mi nimekuelewa sana sule anatuongopea sana etikunamajini wazuri nimekuelewasana kaka
@alianboori97342 ай бұрын
Mm pia namkubali
@user-rt5vq5vc3k3 ай бұрын
Subuhanallah Allah tujalie mwisho mwema
@Onchieku-cp8wd2 ай бұрын
Uislamu ni miongoni mwa wachawi, washirikina na ushetani pia
Masheikh wa bongo njaa zinawasumbua sana.. Allah atawahuku.
@hakizimanaselemani19953 ай бұрын
Mimi na fwatiya sana vipindi vyako : Ila naku hakikishia wote wana tumia ilimu ya Siri ambayo ki sheria yaki islam ni shirki aina ubish ndanimo , Allah pekee ndo mwenye kutowa utajiri na ku kadiria kila kitu , Allah ndo mlinzi , na akuna ushirika wowot saw bin’Adam n majin wot weny kumia ilumu y nyota wot nyuma yao kuna nguvu y jini hutumika nao yot ni ushirikina , haijalish alo sem ame vaa kanzu na kilemba au ni mwarabu au ni nani Ila dini yetu iko waz waz , ndoman mtume saw ame tumia miak mingi kuifundish tauhid, turizik n maish alo tukadiria … Allah uko shahid nime fikish
@yusuphibrahim-yq9mv3 ай бұрын
Allahu akuongoze ktk hqq ndugu yangu
@nundabe2 ай бұрын
Mimi na YESU wangu fresh, pengine panatisha…
@softymoha54842 ай бұрын
yeu hakuwa mkiristo. wala wakiristo hamufwati yesu wala mafundisho yake wala lolote alilolifanya yesu hamna mnalilifanya. kwa taarifa yako. yesu hakuwahi ingia kanisani, wala wakati wake hakukuwa na kabisaa sasa wewe unamffwata yesu yupi?
@AlfredZacharia-of3je2 ай бұрын
YESU ni kristo, na sisi niwakristo soma wagaratia 3:29. Na tunafuata mafundisho yake, kwanza tunaamini kuwa alikufa na kufufuka, tunabatizwa kama alivyowaamulu wanafunzi wake, matayo 28:19
@fredducaunt2 ай бұрын
@@softymoha5484toka pepo
@JumaHamisi-qh3lo2 ай бұрын
Acheni kuusema uislamu kwa vibaya kwasababu ya haya maneno qur-ani na sunaa za mtume Muhammad swalla llahu alayhiwasallam hazjafundidha upuuzi 17:54 hio
@abelwillium42862 ай бұрын
Kaka nimekuelewa vizuri Sana Ira mtangazaji hajakuelewa
@halimamohamed48422 ай бұрын
Subhnallah Allah tujalie mwisho mwema😢😢
@mohammedmasudi-dz6hb3 ай бұрын
SUBHAANA ALLAH SUBHAANA ALLAH YAARABBY TUONGOZE NAHAWA NDUGU ZETU KTK HAKI ZAIDI
@trophywilson72112 ай бұрын
Tunapata Maneno jinsi waislamu Wanavyoita Majini na Jinsi wanavyotajirika kupitia Majini
@ismailsoud36343 ай бұрын
Acheni uongo, kwa Mwenyezi Mungu hakuna siku mbaya, siku zote ni nzuri. Vinginevyo ni shirki. Na sio mnaita majini mnaita uchawi.
@LumolaSteven2 ай бұрын
Una ushahidi gani kusema siku zote ni nzuri? Siku ya ijumaa ni siku bora kuliko zote imetukuzwa na tumepewa umati Muhammad.
@ismailsoud36342 ай бұрын
@@LumolaSteven Siku zote ni nzuri, na Al jumaa ni nzuri zaidi Na ndiyo maana inawakutanisha waja pamoja..
@ismailsoud3634Ай бұрын
Kweli, ubora uliomo ndani sala ya al jumaa ni bora kuliko uhai wako. Ila watu hawajuwi. Njooni kwangu niwafafaulie sala ya al jumaa na siku yenyewe. Nipo Toangoma( al musabih ) na maswali yenu yoye najibu Mimi mfano kama waliopita. Allah ameniruzuku elimu toshelezi.
@mohammedrutta4989Ай бұрын
Inna shshriki ladhulmun a'dhwiim.Hii ndo dhambi kubwa kuliko dhambi yoyote kuweni makini na hayo mnayoeneza na muandae majibu mazuri kwa Allah s.w
@rukaka_jr45142 ай бұрын
Sule anachakujifunza hapa, ule wa sule ni ushirikiana wa wazi na kakufuru mpaka sasa
@hawakassimu612019 күн бұрын
Mwenyezi Mungu atunusuru na atukinge na ushirikina Ushirikina unashika kasi Na hawa watu ndio wanao utukanisha uislam waislam wanaonekana ni wachawi na washirikina kumbe watu wana elim zao za kishirikina ambazo hazipo katika qur-an Yaallah nikinge mimi na kizazi changu dhidi ya ushirikina na washirikina
@amyassyassin79092 ай бұрын
Wote waongo hawa, si ktk mafunzo ya Quran wala mafunzo ya Mtume salallahu alayhi wasalla. Majini wema wanaomtii Allaah hawaingii ktk vichwa vya watu wala hawashirikiani na wanaadamu.
@KassimAlly-xp4dz2 ай бұрын
Swadakta
@thabitimkufi73882 ай бұрын
Yaani hawa waganga kweli leo ndio wanaiharibu dini kiasi hiki
@FatmaayoubsuleymanSuleyman2 ай бұрын
(@@thabitimkufi7388
@8pistons1942 ай бұрын
Hakunaga shetani mwema acheni uzwa,wa
@FridayMwassa2 ай бұрын
Majini wema uliwaona wapi, mafundisho potofu ya Muhammad,
@vijanawapendakherfoundatio50692 ай бұрын
Watu wengi wamebabaishwa na lugha mkamuona huyu shekh apana ni shirki tu
@abuarifhassan63162 ай бұрын
Sikliza mpk mwisho amefafanua vizuri kabisa
@luqmanjafari2 ай бұрын
Hakuna chchte hapo
@abubakarahyan95153 ай бұрын
Yye hyu anajita bin laden aah hwa wote matapeli wallah mungu shahid hta mm kanitapeli anatafuta umaarufu hana lolote Na ushahid ninao juu ya u tapeli wke asimponde mwenziwe, asitoe aibu ya mwenziwe wakt zak anazoo
@SuleimanMsechu2 ай бұрын
Ulikutapeli je tuambie
@user-hi8le2vb7z3 ай бұрын
JAMAAA KASOMA HAYO MANENO SIO YA KUOTESHWA😊,,,NA NDIOMANA TUNAMSIKILIZA,,,OPTION NI 2 TU,,,KUBALI AU PUUZA,,,USIANZE KU CRITISAIZ WATU NA HUNA UNACHOKIJUA TULIA ELIMIKA.
@saidishekalaghe34962 ай бұрын
SWADAKTA
@mpodilesefu34372 ай бұрын
😂Ni kweli kabsaaaaah
@CKMO2 ай бұрын
Hii imekuwa Bishara ya uganga sasa wallahi j😢Jamani watangazaji acheni kutafuta waganga kwenye mitandao watu wote wenye tamaa fupi muwataingiza ktk ushirikina hii dunia imekuwa ya ushirikina tuu loooh mungu atuhifadhi
@kasichimoses68692 ай бұрын
Wewe unasema kweli na hutaki unafiki, endelea kuweka wazi wengi wajue, mwenyezi Mungu atakukipa mema, achana na muongo dr Sule
@sadikiissa77563 ай бұрын
Waislam tujizatiti ktk kusoma Tawhiid na kujifunza tiba ya Ruqya ya kisheria kwa jinsi Mtume S. A. W alivyofunza.
@jesusislord91903 ай бұрын
Bado ni uchawi na majini watakuja tu uislam na majini ni kitu kimoja
@jpmanotaofficial6393 ай бұрын
Mtume wako kajifunza kwa nani na yeye
@jesusislord91902 ай бұрын
@@jpmanotaofficial639 mtume gani?? Sijawahi kuwa na mtume mchawi
@mohamedmwatuwano55262 ай бұрын
Huyu jamaa anajichanganya. ALLAH ndio kila kitu, haya mengine ni utunzI na uzushi tu wa siku nyingi. Huyu jamaa ni kibaraka wa maandishi asiyo yaelewa vizuri. Muulize nani kaandika hivyo vitabu. Mwambie aende akasaidie wapalestina wasidhulumiwe na waisrael. Kama kweli elmu hiyo yawasaidia waarabu wangesumbuliwa na muamerika. Huo wote ni ulaghai. Kama kweli hio elmu yao na mapete yao yafanya kazi nawaruhusu waitumie kunidhuru mimi, wayatume kwangu majini mabaya sana wafanyie unyama watakavyo wao. Hawa watu wana elmu potoshi. ALLAHU AKBAR!
@fredducaunt2 ай бұрын
@@jesusislord9190😂😂 washenzi hawa wananafasi yao peponi kuongopea watu na kupotosha watu sio bure
@saadislam718Ай бұрын
Namba ya simu dkt sulle tafadhali
@Zaharaamiri2 ай бұрын
Subhanallah Allah Akbar Nyie ni washirikina wakubwa sana Na mtaingia motoni milele Mnatuaibisha ss waisilam
@shamimnelly.80423 ай бұрын
Huyu ana ukweli fulani mimi najua na naelewa chenye anakiiongelelea
@vijanawapendakherfoundatio50692 ай бұрын
Umemuelewa kwasababu ya rugha lakini akuna kitu
@albertpike62083 ай бұрын
12:55 kitu chochote ukivaa kwa malengo ya kinga huo ni ushirikina hata ukiandika aya za quran alafu ukazitundika ukutani ama mlangoni alafu ukaamini ni kinga yako huo ni ushirikina
@jumaa0523 ай бұрын
Je upo Sawa kabisa usitoe hukumu Hali ya kua hujui hukumu ya jambo
@thabitimkufi73882 ай бұрын
Yaani hawa waganga dahh dini inaharibiwa jamanii
@user-pl8pn7qb9e2 ай бұрын
Hawa waganga wa kienyeji ndo wanao tuharibia dini ,ushirikina umewajaa
@mwatumsaidi51043 ай бұрын
SubhanaAllah mtihani Allah atuepushe na shirki
@samsonfredricktv17 күн бұрын
Huo ndio uchawi hakuna Jini mwema alafu akiitwa lazima ahitaji damu Bora Mimi nime mpokea Yesu
@user-yv3qi1yf3j2 ай бұрын
Wote washirikiina muislamu safi anamjua mungu pekee.
@ismailsoud3634Ай бұрын
Abdullah ni neno la kiarabu, pia ni jina Abdullah maana yake ( KUMTEGEMEA MWENYEZI MUNGU ) sasa wengine Wanategemea majini kinyume na Mwenyezi Mungu. Hili ni balaa.
@ala16082 ай бұрын
Muthani kweli kweli mie nampenda sana sheikh Nurdin kishik havai pete kbsa 😢😢🤔🤔🤔
@SureBoy-o2t22 күн бұрын
Kishki pia kipenz chang
@swahilitherapytv38462 ай бұрын
HIZI ZOTE NI ELIMU ZA SHIRIKI MSIMFUATE WAISLAM. WAMUACHE ALLAH HAWA MASHEIKH NI WA GANGA KAMA WANGA WENGINE
@alianboori97342 ай бұрын
Elmu zipo ila kuwa na mipaka yake
@thabitimkufi73882 ай бұрын
Sahihi
@SaeedMughayyar-jv8et2 ай бұрын
Kusoma hizi elimu sio shida madhali Allah ametuteremshia, ispo kua ni mbaya sana kiupande Fulani kama ukizojua Kuna asilimia kubwa sana ya kumuasi Allah. Binadam tumeumbiwa na tamaa
@JamesMoses-jd1yqАй бұрын
Yaani huyu mwamba Muhammad ana nguvu nyingii za giza hadi kawafanya wafrika wakafata ujinga wake duh mungu tusaidie
@fredducaunt2 ай бұрын
Ukristu ndo dini ya kweli Duh nkajua mnaakili kumbe manyumbu tu Majini toka lini akawa integral part na Dini Upuuzi huu
@OmarMohamed-bs2hfАй бұрын
Nanyie angalieni na watu mnaokuja kuwahiji uchawi ni sayansi hivi kunashekhe gani Tanzania hii anaemshinda Dakta sule kwa sayansi jini kuitwa mpaka akaja kunajazi na jini ambae anaitwa mpaka kukufika tayari ashaweka mawasiliano na wewe na hili dka sule asha lizungumza
@raiswamaraishalisi842614 күн бұрын
Tumekujuwa kupitia dr sule, Nenda ukasome kwake
@aziziatumanially4242 ай бұрын
Asante mtu uliyenihubilia injili ya Yesu
@muhammadmbaraka45152 ай бұрын
ALLAAH akuongoze
@noors7030Ай бұрын
Ukae ukijua wate ni washirikina wanamshirikisha Allah na majin Muslim humuomba Alla pekoe mmoja tu
@AishouSamantha2 ай бұрын
Mmmmmh dunia iyi inamengi kwl allh tup mwisho mwem yarab
Hakuna jini wakuleta pesa fanyeni kazi acheni kudanganya umati Muhammad
@issahajjiira54112 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@thabitimkufi73882 ай бұрын
Sahihi
@meckmussa18402 ай бұрын
Sahihi, Hawa wote ni wezi tu.
@alijuma6752 ай бұрын
Mmoja kaua kisha kapotea mkali wa tiktok
@salumuledisalum80382 ай бұрын
wote hawa ni wezi tu wapumbavu hawa
@omarbinjaa28012 ай бұрын
Wengi hawa ni wachawi na washirikina watu wa Elimu za majini na nyota n pete
@hamzarangi79893 ай бұрын
Mtangazaji umemsingizia dr sule huyo shehe yupo right ila umemsingizia dr sule hawezi kusema jini haitwi
@amidanibimenya96922 ай бұрын
Yani wewe unajaribu ili ujuwe mungu akulinde .yani wa somi poleni .sis wamungu mungu atazidi kutulinda
@qariuzzamaantanzania70742 ай бұрын
Tuna mashehe wengiiiii wa mitandaoni. Mojawapo ya dalili za qiyama Ukiona wasiokuwa na darsa la watu mbele yao, kw maana angalau wanafunzi watatu tu, akifundisha Qur'an fiqihi tauwid nk. Yupo mitandaoni tu ama mihadhara ambayo mwisho wake ziuzwe dawa na michango kw ajili ya matumbo yao.....
@user-ei9rh7vh7e2 ай бұрын
Tumcheni Allah tungu zanguni kwenye uwislam elimu zote zipo tunaamin lakn so kila elimu inafaa kuifanyia kazi ,hapo hatuna masheikh wote wamrudie Allah kabla kufa
@azizabuyonde83682 ай бұрын
Yaaani jini anajuwa dini la kislamu, kanisani hatupandishi jini, sisi tuna Roho mtakatifu
@MathayoAugustino2 ай бұрын
Mnamtania Mungu
@kaundemtanga3 ай бұрын
Uyu kijana nilimjua mwaka 2021 anaitwaa sir Bin laden Nilimpata Kwa Bingo alinisahidia Sanaa kunitibia matatizo yangu uyu anajua haswaa Tiba SEMA umri wako ni mdogo
@gideonjohn89123 ай бұрын
Habari ndugu naomba namba zake ninamgonjwa labda anaweza nisaidia
@faudhiasaidi36693 ай бұрын
@@gideonjohn8912 Kachukua kwenye channel yake inaitwa firdausi
@hamisiiddi73403 ай бұрын
Tunaomba namba
@GoodDeeds-Jesus2 ай бұрын
Naomba kuwasiliana na wewe tafadhali nikwambie Habari za uponyaji kupitia Yesu Kristo kama hutojali @@gideonjohn8912
achakuogopa pumbavuwe uklsto niushilikina kaamini yesu nimungu kumpinga mungu kusema kunamungu baba namungu mwana niushilikina kuamin msalaba nakuutii niushilikina waklstowote niwashilikina kakuna mklsto anabisha nimpeandiko ndani yakitabuchake biblia awa wakilsto niwasomi ila awaisomi dini wanaelimu yakutafuta ajilatu kwaio wewe usiogope kusema ukweli abuwewe mklsto soma kwanza issaya 10..56
@user-ve3wu5jn1l2 ай бұрын
Hahahahaha . Allah akuongoe ujue njian sajihi
@OG_The_King2 ай бұрын
Amina, Hakika Yesu ni Bwana
@raymondmunis35532 ай бұрын
Unahoji watu wenye sifa hizo tafuta watu wenye elimu.Pete zilizokuwa zikitumika kipindi hicho ni alama au kama muhuri ilikuonesha ujumbe umetoka kwa nani?Hao ndio wanabadili sasa kuwadanganya watu
@OmarMohamed-zf8dp2 ай бұрын
Mm nimmoja wa watuambao nimekutana na mambo mengisana ya kidunia ambayo sijaomba wala kutafuta ispokuwa ulimwengu ndio ulinifanya iweivo baadakuwa napigwa vita na wanadamu tena wandani ya familia sasa majini nilokuwa natupiwa kwaajili ya kuzulumiwa sasa mungu hajawa tayari kuwa mm mjawake kufa sasa majini waliamuwa kubadilika ndio wakaja kwangu naniukweli wamehitaji mm nifanye kazi ya utibabu na utafanya vip utibabu bila kukutana na hawaviumbe lazima uwaite tena anakuja na mnaongea na kiukweli hata wachawi iliuchawi wao utumike jini na quani na miti ifanyekazi tofauti na mti na quani mti unaroho iriji toka umeubwa ila quani mpaka uisadifu hayomambo nimakubwa sana
@user-qw3fj1zw6pАй бұрын
Mungu nijaariye mimi naummawako woote
@mansoorsuleiman16452 ай бұрын
Acha uongo ndugu yangu kumbuka kuna kesho unaongea uongo tu na hata hufikirii hio elimu wenyew ya majini hujui acha kupotesha
@musapfute66082 ай бұрын
Tukisema wabarakatu wafuga majini mnabisha
@abuudachi39862 ай бұрын
Huyo sheikh mwenyewe anang'ata maneno hajaweka wazi anavaa hiyo Pete kwa malengo gani anatakiwa afunguke kama anavyo funguka mwenzie Sule
@hassanmohammed62292 ай бұрын
Aww msiwasikilize hawa wahuni shauri zenu.elimu ni bahari 🙏🙏
@zuberhamza78522 ай бұрын
Bakabla hujacoment kwanza umewaskiliza alafu ndio umecoment Sasa unatwambiaje tusiwaskilize?? Kwanza Kuna kuskiliza na kukubali
@user-ih7nl5nv3c2 ай бұрын
Tuwasomeshe watoto wetu ttauhidi wasije kua waganga
@josephmgeni2082 ай бұрын
Ujue Jini linatisha sasa Mtu anapoambiwa kua linaitwa na kulituma unalituma waambieni wapo Majini wema na wabaya wema nao ufanya Ibada lkn wale wabaya ndio hao akina Lusifa hivi mbona Binadamu wema wapo na wabaya wapo how come!
@saidjuma45472 ай бұрын
watu wote hawezi kuwa sawa ktk Dunia hii wako wakiristo wako waislam Kwa undani wako washirikina wapo wapotovu wapo Wazinifu wapo wizi wapo waumini wakweli ktk uislam ila yule Alie sahihi ni yule muumin wakweli wadini ya kislam ambae hayuko tayari kumshirikisha mungu Kwa chochote
@sophiabaraka7602 ай бұрын
Kumuita jini mpaka kufata masharti hii ndio shirki yenyewe, Usimwamini Mungu akusaidie unamtegemea jini.
@abdulfatahumarsaideazamo26542 ай бұрын
Hapa Hakuna tcha ushekhe wala wislam safi. Huyu hana dhihirisha kuwa ni mshirikina na hana ijua shirk tena vizuri sana
@user-hd3pi3bc9v2 ай бұрын
Kuanzia ww unae hojiwa na huyo dokta sule wooote ni waganga wanaotibu kishirikina na wana itikadi chafu za kishirikina✓ Na waislamu msihadaike na washirikina hawa wenye sura za usheikh au sura za kiislamu✓woote hawa ni matapeli na pia ni wajinga wasioifahamu Qur'an Tukufu wala hawajui sheria ya kiislamu✓.
@shamimnelly.80423 ай бұрын
Huyu jamaa Ameongea vitu vya ndani saana tatizo watu kuambiwa ukweli ndio hawapendi
@chunaabdullah13332 ай бұрын
Kabisa, lakini Kuna watu kuelewa ndio shida
@rashidkapile2 ай бұрын
Wengi wavivu kusoma huyo dogo kasoma
@eliudieliya63942 ай бұрын
Huyu ostadhi anapatikana wap
@user-yd3me5rr2z2 ай бұрын
Huyu jamaa anaelmu kubwa sana
@user-hw1fp6mb4s3 ай бұрын
Saf sana ndg yangu
@user-hf3sf7rh5m2 ай бұрын
Huyu kijana yuko vizuri kabisa ! Kumbe kwa wa islamu piya kuna wanao fafanua mambo kwa ukweli ?
@bare-gj2muАй бұрын
Da Hawa wakristo nao Hawana akili kabisa mwanaadamu anawezaje akawa mungu. Mtu amezaliwa anawzje kuw Mungu, jamani hii ni akili kwel ya Mt?
@abedimasudi2682 ай бұрын
Wewe ma Doctor sule nyote hamna lolote ivi Qouran haiwatoshi Tatizo iman hamna ndiomana mnatumiya majini
@mRpLaN00743 ай бұрын
Huyo huwenda akawa mkweli sehem nyingine, lakini anaposema Waebrania ni waarabu anakosea. Ebrania ni lugha inayotumika Jerusalem (Jewish) ambayo kwa kizungu ndio inaitwa Hebrew. Ndio maana waisrael wenyewe kiarabu wamekigusa kidogo na lugha yao matamshi yake ni kama kiarabu. Akasome vitabu vizuri inaonekana yeye amekaririshwa vibaya asije akapoteza na wengine kwa kukariri kwake. Allah mjuzi zaidi.
@sadathashimu2232 ай бұрын
Huu ni ushirikina mtupu namuomba ALLAH mtukufu atuongoze sote maana Hawa ndo wachafuzi wa uislam kwa elim zao za kitaoeli za kutafutia ugali
@SAIDNYUNGUАй бұрын
Huyu na dr sule wote wasafiri wamoja gari moja isipokua mmoja manamba mmoja konda
@KhamisOmar-kt4kz2 ай бұрын
Mshirikina sana ww tubu kwa Allah la si hivo Allah atakutia.motoni
@salebmohd75362 ай бұрын
Yaani huyu ndo kazidi uongo eti majini Wana wazuri mkuu sio kweli majini wote viongoz wao ni binadam Kwa mfano majini wa Tanzania kiongozi wao ni samia na wa marekani rais kiongozi wao ni biden huo ndio msimamo wa ahlu sunna...hao wote ni washirikina waongo tu
Karibuni huku Kwa Yesu hatuitaji jini ni imani yako. 🎉 Nipo mahala sahihi Yesu anaokoa Karibuni wote muokoke
@caswaralbadry84812 ай бұрын
Hivyo kusema hivyo tu tyr una majini elf washakupotosha
@tygaknaan27563 ай бұрын
mengine kumuachia Allah A'alaa
@user-kn8pw7vk4e2 ай бұрын
Daaah...!! kazi ipo ktk izi Dinni...
@user-jh1vr1vt2k2 ай бұрын
Tatizo duniya hii mtu akiongea ukweli anaonekana nimpotoshi yeye hajasena hivoo lakin
@ramadhanimtetu36563 ай бұрын
Kwa Tuliosoma CUBA tunajua Huyu Na mwenzie Wote mfano wa huyo Ni wachumia tumbo Ndio wale wale Waganga wa KIENYEJI hao Hizo kanzu ni Za kupigia tu Mjini Hapa
@mohammedjabir61282 ай бұрын
Kajitahidi shekhe kueleza lakini hapo katika pete kachemsha, Allah amuhidi!
@moudy4realibrahim6013 ай бұрын
Naomba umuulize sheikh hukmu ya kumdhurumu mtu haki yake inakuaj kwa mwenyezi mungu
Hata wew pia Ni mshirikina kwa maelekezo yako, Ni mtihani 😂
@maciaali36982 ай бұрын
Hawa watanzani wote washirikina mtapata laana kutoka kwa Allah
@huriyaomar33132 ай бұрын
HAWA WATU WAMETUMWA NI MAMBO YAMETENGEZWA ILI KUUPAKA TOPE UISLAMU HAWANA ELIMU YOYOTE ZAIDI YA KUUHARIBU UISLAMU NA WENGI WAO NI MASHOGA NA WASENGE!! KAMA KWELI YEYE ANITUMIE MIMI HILO JINI NA WENGI WA WATANZANIA NI WASHIRIKINA NA WANAWAOGOPA HAWA MACHOKO!!
@Muzmuayubu2 ай бұрын
Hii dunia imeisha ss mungu tunusuru😭🙏 mina
@MeenaHassan-fd9vv2 ай бұрын
Kwa uchawi na majini saluti sana kwenu
@moseskusamba4313 ай бұрын
Jamani hii ndini au uchawi!
@mbarakassa43472 ай бұрын
Amakweli sikuhizi Kuna wachawi watoto kamahuyu anaye zungumza aibu,hana Acheni ushirikina kaeni kitako musome wacheni njaaa
@ramadhanishabani27122 ай бұрын
Wacha kudanganya nyie wote mnatumia pete kufanikisha mambo yote basi mtuambie ukweli sisi waumini ndio tujue ukweli mbona kila shekhe lazima akuwe mganga?
@user-po1cq9so9h2 ай бұрын
Kuna watu waongo sana duniani mpaka idadi ya majini wanawajua utadhani yupo katika sensa ya kuhesebu watu ngoja nikwambieni waislam mwambie alete aya ambayo inasema kuna jini muislam kwasababu viumbe hao wote wamelaanika hata ukitaka kusoma Qur-an kwanza unanza na audhubilahi nimashetwan rwajim kwanini
@OmarMohamed-zf8dp2 ай бұрын
Elimu ya nyota kiukweli ni elimu ila utakapo ijuwa lazima utaingiandani na utashikishatuu na maustadhi wengi pete wanazo waulizwe kwa nn wanavaa pete tena tofaut tofaut na petelazim iwena wenyewe
@masoudjongo2 ай бұрын
Naisi huyu muandishi anaeye hoji ana kumbukumbu na anaowaoji unafarakanisha hapo
@saidjuma45472 ай бұрын
hawa ni waganga wa kienyeji na sule vile vile wanatangaza biashara zao na watawapata watu wengi Sana
@saidjuma45472 ай бұрын
Wacha ushirikina nakuasa ndugu yangu
@thehomeoffootballskills43583 ай бұрын
SHIRK HIYOOOO KAKA TATIZO WATU WANATAKA PESA ZA WEPESI