QUEENMASANJA AFUNGUKA KUICHUKIA NDOA NA DR MWAKA/SINA MAHUSIANO/NATONGOZWA/KUIMBA NA ZUCHU/HARMONIZE

  Рет қаралды 43,924

Carrymastory

Carrymastory

10 ай бұрын

Tumepiga Story na Queen Masanja

Пікірлер: 124
@Yness-vh4yy
@Yness-vh4yy 10 ай бұрын
Some how Queen anafanana na Zari the boss lady!
@gabbyhenrgy1157
@gabbyhenrgy1157 10 ай бұрын
Sanaaaaaaa
@user-zt3et5kl5m
@user-zt3et5kl5m 10 ай бұрын
Wanafanan kabisaa ila hutu dada kamzidi zari kwa uzuri asee
@Kakwasi
@Kakwasi 9 ай бұрын
Halafu yeye ni mnatural kila mahali
@rahmaoman470
@rahmaoman470 10 ай бұрын
Uyu dada anajielew sana Allah akujaliy kweny kaz zko na akutunze 🥰🥰
@kamanapomo7029
@kamanapomo7029 9 ай бұрын
Anajielew nn? hakuna checho te hapo, huyo kunamtu nyuma yake ukitaka kujua hilo sikiliza majib anayo yatoa kuhusu ndoa akitoka kwa mwaka kwa sababu tayar alijua anapo elekea
@anisanassoro5246
@anisanassoro5246 10 ай бұрын
Inshallah mungu amsaidie huyo dada mie Huwa nampenda sana mungu amuongoze apate mume mwema nikiwa kama mzazi mungu akubariki kipenzi
@CalisternongiHaule-vk6ch
@CalisternongiHaule-vk6ch 10 ай бұрын
Kunabaadhi ya watu ukiachana nao katika maisha milango lazima ifunguke
@user-nd8gg4ig7m
@user-nd8gg4ig7m 10 ай бұрын
❤❤❤❤❤natamani nikupe zawadi umenigusa mno
@iddymohammed1890
@iddymohammed1890 10 ай бұрын
milango ipi mzeee?? unadhani ni yeye hapo au unadanganya watu waachane na sehem sahihi walizopo waige kutoka kwemye ndoa waje warande mitaan... huyo ni mtu mzima saiv kutangaza mapensi mapaja nje haina maana na huo sio uhuru.. msikilize vizur yeye mwenyew anachoongea usipoteshe watu.. NDOA ni kitu cha heshima sana subiri uoe au uwe na mtoto aolewe then itokee aachike ndo utajua vzr pia kama huna cha kusema kaa kimy ni bora zaid kwako anasema hafikirii tena ndoa ila ana mahusiano ya kawaida, je wewe ungependa mwanao awe kweny ndoa au mahusiano ya kawaida?? SHIRIKISHA AKILI KABLA HUJANYANYUA ULIMI WAKO UKAJIFANYA UNA INSPIRE SANA
@matridamwandambo9656
@matridamwandambo9656 10 ай бұрын
Kabisa mm nilikuwa na mpenz toka niachane nae 😊😊❤❤❤walah na enjoh
@monicaissah5662
@monicaissah5662 10 ай бұрын
​@@iddymohammed1890mmmh ayo simaoni yake
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx 10 ай бұрын
​@@iddymohammed1890umeongea maneno mazito sna ila madada wa uko wnawaza uhuru wa kujitofikiria kuna kesho yke ndio hao
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 10 ай бұрын
Nampendaga huyu Dada Ni Queen kweli kam jina lake yuko very classy feminine yan huwa nawmanglia sana anatufundisha waweza kuvaa classy na ukapendeza mzuri bila kuonesha sana
@user-tt6jt8pz5m
@user-tt6jt8pz5m 10 ай бұрын
Queen NAKUPENDA SANA. ULIPITIA MAGUMU❤❤SASA UNA LIFE YKO MUNGU AKUONGOZE. UR SO BEAUTIFUL
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 10 ай бұрын
Wewe mzuri sana mwaka alikua mnyanyasaji uyo
@MatildsChami
@MatildsChami 10 ай бұрын
Kwakweli nakukubali sana na najifunza kupitia wew sana natamani nipate mawasiliano yako Mungu akulinde daima
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 10 ай бұрын
Mama safi 🎉
@salimnassor3212
@salimnassor3212 10 ай бұрын
what a germ huyu ni mwanamke ukisikia anavyojibu na alivyo muonekano kitabia anastahili heshima nimempenda sana
@marryeliasmarryelias9289
@marryeliasmarryelias9289 7 ай бұрын
Nakupenda dear sister queen ❤❤
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 9 ай бұрын
Mimi nampendaaa yaaaan sisemiii NI mkweri. SANA.❤❤❤❤
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 9 ай бұрын
Uyooo NIII original ❤🎉🎉
@elishaworkout6116
@elishaworkout6116 17 күн бұрын
Mungu akulinde malkia wang uish sana
@ashamonamachicha8653
@ashamonamachicha8653 10 ай бұрын
Allah akulinde na kila unachopamba
@user-ex6kk5jb4y
@user-ex6kk5jb4y 7 ай бұрын
Love😂 U so much my dear unatia moyo sana ww dada ujui tu
@Kakwasi
@Kakwasi 9 ай бұрын
Very beautiful mama
@osodowilberforce2321
@osodowilberforce2321 9 ай бұрын
Huyo mtangazaji hana adabu,mbona anamusogelea huyo dada kishenzi hivyo?Na hayo maswali yake mengi ovyo ovyo tuu.
@omanqqwe4061
@omanqqwe4061 14 күн бұрын
Nakupenda sana dada
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 9 ай бұрын
Mzuri SANAAAA Jamani khaaaa
@happynescostat7420
@happynescostat7420 9 ай бұрын
Ongera dada!
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt 10 ай бұрын
Wow mom🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪
@BabaBalingasi-hp6gd
@BabaBalingasi-hp6gd 10 ай бұрын
Hivi kwelii hata kama amekuzidi umri una ubavu wa kumkata? Ni hatarii sana huyo
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 10 ай бұрын
❤🔥
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 9 ай бұрын
Nyie WAACHENI USHAMBAAA. WASWAHILII WAKUBWA. UYO BINTI SIO MZEEE LOOOO NA NGUO AU MAVAZI AYANA UZEEEEE. SIO MKUBWA NA SIO MZEEEE DUUUU WABONGOOOOO
@kombakomba7922
@kombakomba7922 10 ай бұрын
Una damu ya nguo,in short unapendeza Sana.
@jojotz1210
@jojotz1210 10 ай бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉😊
@Kakwasi
@Kakwasi 9 ай бұрын
WAOH WAOH.
@lindahjoseph8360
@lindahjoseph8360 9 ай бұрын
You look like mama tiffah
@marryeliasmarryelias9289
@marryeliasmarryelias9289 7 ай бұрын
Mungu akutunze wewe na wanao
@fedhandunga5935
@fedhandunga5935 10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-zn3un8gs3d
@user-zn3un8gs3d 10 ай бұрын
Dada naomba mawasiliano nataka kununua nguo unazitangaza nipo huku Iringa
@rudiaeliakim2172
@rudiaeliakim2172 10 ай бұрын
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@JeniferMassawe-lu3de
@JeniferMassawe-lu3de 10 ай бұрын
Mzuri sana
@Judy-dy4zt
@Judy-dy4zt 10 ай бұрын
Sana wanaume wanatuchakaza ingawa sio wote
@jacklineanthony5191
@jacklineanthony5191 9 ай бұрын
Napenda majibu yako
@glorianikiza3940
@glorianikiza3940 10 ай бұрын
Piga kazi dada uachane na ndoa kwa sasa
@issazalala4907
@issazalala4907 10 ай бұрын
Umri ukienda isia zina pungua yupo Sawa
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 10 ай бұрын
Huyu mwanamke ame change sana masikini roho yake alikuwa mtu mwenye kujistiri asaivi amekuwa upande wa shetani
@munirahassan5969
@munirahassan5969 10 ай бұрын
Mkiritu uyu dada.
@zayanazayana5353
@zayanazayana5353 10 ай бұрын
Ni Wanaume Wajinga Wanasababisha hayo Mwanamke Anakubali Kusilimu Anakufata kwnye Dini yko Anakuzalia Watoto Jicho lke linakuangalia ww vp Aishi Matokeo yke Mwanamme wnyw Bilisi hana hata kimoja anachokift kwny Dini yke wl hana Mapenzi Wengi Wanard kwny Dini zao na Watoto wao kw sbb ya Ufisadi Wanaukuta
@happymarwa4517
@happymarwa4517 10 ай бұрын
Utashangaa wewe unaingia motoni yeye peponi
@wardamohamood
@wardamohamood 10 ай бұрын
Mungu mtu
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 10 ай бұрын
Mbona sioni ziwa hapo wala mguu wala uchi mbona kavaa kieshima sana mwenzio anafanya kazi watoto wapate kula
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 10 ай бұрын
Abaya zipo hadi za 30000 kwani.lazima za pesa ndefu mbona sie tunavaa na hatujachujika😅😅
@munirahassan5969
@munirahassan5969 10 ай бұрын
Mnunulie
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 10 ай бұрын
Wapi na Mimi nikanunuwe mpendwa
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 10 ай бұрын
@@rithadonatus8110 zanzibar
@KhadijaAbdallah-kn3ii
@KhadijaAbdallah-kn3ii 10 ай бұрын
@@munirahassan5969 kwani mwanzo.alipokua akivaa nilimnunulia mm?
@mimikimanga3126
@mimikimanga3126 10 ай бұрын
Endeleeni kuvaa shida iko wapi kwani ye akivaa akitakacho we na familia yako pia vaeni hizo abaya
@nassirsalim6679
@nassirsalim6679 10 ай бұрын
Ila dada mgumu kukubali uyu mm pia mmoja wapo narusha msg sana 😅😅😅
@bahiyaseleman5838
@bahiyaseleman5838 10 ай бұрын
😂😂😂😂
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 9 ай бұрын
Dr mwaka alimpuuzia mwanamke mwenye hekma na akili
@MohonoMwita
@MohonoMwita 8 ай бұрын
Unatafuta kiki lakini huna jipya kama umeachana na mwaka kwanini bado unamoongelea mitandaoni huna akiri ila punguza maneno kwenye mitandao
@welcometoeat165
@welcometoeat165 10 ай бұрын
Roja anajarb kutupa ndoano
@florencemeza6540
@florencemeza6540 10 ай бұрын
Wasukuma wazuri jamani
@user-uo6bo3ph6g
@user-uo6bo3ph6g 10 ай бұрын
😂😂😂😂hujawaona wengne ww,mdomo koma😝
@florencemeza6540
@florencemeza6540 10 ай бұрын
@@user-uo6bo3ph6g huwajui wasukuma
@suzanlucas9493
@suzanlucas9493 9 ай бұрын
Tuko wazur mno
@florencemeza6540
@florencemeza6540 10 ай бұрын
Mwaka alikuzeesha nahisi umeondoka na nyota yako maana siku hizi hasikiki
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 10 ай бұрын
Ata post Sion skuhizi😂
@florangido202
@florangido202 10 ай бұрын
Ni kweli kabisa
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 10 ай бұрын
Hataki tu malumbano baba wa watu kaamua kukaa kimya huo ndo uungwana...hongera Dr. Mwaka kwa kukaa kimya...
@HappyMakoga
@HappyMakoga 10 ай бұрын
Queen bado kijana hana utuuzima jamani bado sana nyie mnajua mtu mzima nyie
@user-us8gy5pz6w
@user-us8gy5pz6w 10 ай бұрын
Jamani mdada mzuri Mashallah alikuwa akivaa hijabu mwenyewe alipokuwa na Dr sasa kavua Mungu ajaalie wasuluhishe waendelee kuwa pamoja rudianeni jamani
@kazkaz1943
@kazkaz1943 10 ай бұрын
Hata alipokua na dr mwaka alikua havai hijabu muda wote alikua anavaa akienda kwenye interviews ila muda mwingi alikua anavaa kichwa waz n jeans michaniko
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 10 ай бұрын
Ulikuwa humfatilii wewe wakati anaishi SA... Alikuwa anavaa vinjunga kinyamwez nouma
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 10 ай бұрын
Warudiane ili iweje
@happinesshezron6633
@happinesshezron6633 10 ай бұрын
Mwache aishi maisha yake ya furaha.
@anisanassoro5246
@anisanassoro5246 10 ай бұрын
Anatafuta mabwanaaa huyo Hana lolote kaishiwa na umri huo Hana aibu!!!!
@khadjamhozya
@khadjamhozya 9 ай бұрын
Na picha ya hamo na zuchu imekukaje, harafu watangazaji wa mutanzania Ni mpenzi tu kuriko aanze na Swari la maana anaanza na mpenzi😂😂😂😂😂
@farida4595
@farida4595 9 ай бұрын
Mm nlipoona picha ya hamo ndio nmekuja kumbe hkuna kinachoendlea
@happypetro2948
@happypetro2948 10 ай бұрын
Kama dokta mwaka anammezea mate hapo
@user-ix9rn5yh4l
@user-ix9rn5yh4l Ай бұрын
hakuna zaidi ya ushabiki wa kidini
@MwandigaRuhobe-fm3it
@MwandigaRuhobe-fm3it 10 ай бұрын
Unaumbile la kapendeza bala
@JafariAbdallah-ot9gp
@JafariAbdallah-ot9gp 9 ай бұрын
Dunia imechukua chake hapo
@zuheorsalim7759
@zuheorsalim7759 8 ай бұрын
Ulikua unataka kuvua stara tu sio?? Uko huru sasa uhuru wa kishetwan
@ahmedbashash3672
@ahmedbashash3672 9 ай бұрын
Umalaya tu ndio uzeeni
@Kakwasi
@Kakwasi 9 ай бұрын
Ni mzuri ni mrembo. Tena huyu sio muislamu tena
@shaaden-
@shaaden- 10 ай бұрын
Ila dada usirudi kuva vile vinguo vifupi miguu yako hairuhusu😢
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 10 ай бұрын
Mbona anapendeza sana
@khadijajuma6271
@khadijajuma6271 10 ай бұрын
Anapendeza mnoo acha makasiriko t
@winnerlucas5924
@winnerlucas5924 10 ай бұрын
Miguu yake haipendezi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 weeeeeeeeee
@shaaden-
@shaaden- 10 ай бұрын
@@khadijajuma6271 acheni kumdanganya
@Kakwasi
@Kakwasi 9 ай бұрын
Miguu kapewa na Mungu. Unataka aombe ingine wapi. Ukona miguu ya kumpa
@anisanassoro5246
@anisanassoro5246 10 ай бұрын
Hana lolote....
@abdulrahmanhussein8719
@abdulrahmanhussein8719 10 ай бұрын
Wewe unalo?
@wardamohamood
@wardamohamood 10 ай бұрын
Kama wew tu
@winnerlucas5924
@winnerlucas5924 10 ай бұрын
Nyoooooo
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 10 ай бұрын
Dr mwaka kaachia chombo kizuri alikua mshauri wa ndoa yule
@anisanassoro5246
@anisanassoro5246 10 ай бұрын
Namuonea huruma sna maskini Sasa amekua anajinadi mwili wake mpka no ya simu anatoa hakika amepotea mungu amuongoze alikua amestirika kwa mwkaa umri wake umeenda anajinadi huyo Hana lolote hata kama mzuri sio sawa anachokifanya ni uchafu mtupu!!!!anatafuta wanaume wenye pesa Hana lolote huyo....
@queenmollel6739
@queenmollel6739 10 ай бұрын
Wewe nawe makasiriko tuuu, amesitirika wakati alikuwa ananyanyasika wewe kama umezoea mateso sio wote wanataka ,
@queenmollel6739
@queenmollel6739 10 ай бұрын
Unamuonea huruma wewe kama nani, unadhani anatangaza biashara za sh mbili, za mamilioni acha ujinga maisha ni mtandao funguka
@glory.patrickkitigwa4564
@glory.patrickkitigwa4564 10 ай бұрын
Vipi huwa mnadanga nae mbona unamzungumzia as if unamjua sana😅
@glotysadiki3425
@glotysadiki3425 10 ай бұрын
Acha makasiliko ww ndouna lolote
@wardamohamood
@wardamohamood 10 ай бұрын
Nenda wew basi uko kwa mwaka mbona mnapenda kuingilia maisha ya watu
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 10 ай бұрын
Afu ni lika la zar uyu ila zar kujikana sasa
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 21 МЛН
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 40 МЛН
Поймал редкий кадр🤨
0:22
FERMACHI
Рет қаралды 3,3 МЛН
Heavy package 🤭🤣 #demariki
0:25
Demariki
Рет қаралды 7 МЛН
Поймал редкий кадр🤨
0:22
FERMACHI
Рет қаралды 3,3 МЛН
رورو ضد رقيه🔫😲🚀 #shorts
0:13
رورو فاميلي | Roro Family
Рет қаралды 35 МЛН