#EXCLUSIVE

  Рет қаралды 80,033

Global TV  Online

Global TV Online

10 ай бұрын

#EXCLUSIVE: MAMBO ni MOTO! QUEEN MASANJA AFICHUA KUPATA MWANAUME ARUSHA, POSTI ILIYOZUA GUMZO INSTA...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 191
@globaltv_online
@globaltv_online 10 ай бұрын
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@peninashungu6633
@peninashungu6633 10 ай бұрын
Tuseme. Tu ukweli huyu Dada amebarikiwa mzuri Sana
@leaherasto929
@leaherasto929 10 ай бұрын
Sana
@rudiaeliakim2172
@rudiaeliakim2172 10 ай бұрын
kwa wale mnaomtukana huyu dada mdangaji wote mnamuonea wivu dada mzuri kweli mungu kambariki kweli mtakoma wanyooshe hao wanaokutukana queen
@MwigaKatumpula-mi3zt
@MwigaKatumpula-mi3zt 10 ай бұрын
Hiyo ndio maana halisi ya Neno au msemo wa tuna feli kwa sababu ya tulikutana na watu kwenye maisha yetu na watu sio sahihi kwa muda usio sahihi 👏👏👏👏😀😀🙌
@happymarwa4517
@happymarwa4517 10 ай бұрын
Asante kweli kabisaaaaaaa
@safiasaleh669
@safiasaleh669 10 ай бұрын
Swadaktaaaa
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 9 ай бұрын
Swadakta 👌💯
@bintalmasi2393
@bintalmasi2393 10 ай бұрын
Ana upeo mkubwa sana, nafasi yake ilifunikwa kwa marital status.
@user-qo8eu1br6f
@user-qo8eu1br6f 10 ай бұрын
Mungu akufikishe kwenye ndoto zako Nakupenda sn Oueen huna baya hata mavazi yk yako vzr kabisaa 😍💕💞🔥🔥🔥
@user-tt6jt8pz5m
@user-tt6jt8pz5m 10 ай бұрын
QUEEN NAMUONA MBALI SANA. MWAKA UTAKUFA KWA KIHORO.. BADO WA KWANGU MIMI. YAN WANAUME MSITUCHUKULIE POA KENGE NYIE. MNAPATAJE UJASIRI WA KUFUJA WANAWAKE WAREMBO KA QUEEN NA MIE😂
@olicej7837
@olicej7837 10 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂afu unamuacha miaka 3 mwanamke mzuri kama huyo unategemea Nini 😂😂😂
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 10 ай бұрын
Nazidi kuamini yule Mke aliyebaki na Mwaka ni kwa nguvu za Giza ipo siku Mume atazinduka atakua keshachelewa hivi Queen Mzuri hivi anabakiaje kwa Mfano ❤❤🙏🙏
@ernestsereli8559
@ernestsereli8559 10 ай бұрын
Mke Bora sio sura"ila tabia njema
@vincej9275
@vincej9275 10 ай бұрын
Nimefurahi sana kusikia unafanya endelea vizuri Queen. You are very smart and hard working, you will be blessed with a good man to love and respect you.
@gracegrace6510
@gracegrace6510 10 ай бұрын
Kulia Tena tupa kule wabaki wanateseka wao dada angu enjoy u are life umelia Sana Dada Sasa imetosha Mungu mwema
@priscajonas7805
@priscajonas7805 10 ай бұрын
Mimi napenda Sana Huyu Dada ❤
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj 10 ай бұрын
Dada Queen hongera umependa sana Dr Mwaka alikua anakufuja tu 😁
@user-nc6ts5im7h
@user-nc6ts5im7h 9 ай бұрын
Huyu dada anastahili kuw na mahusiano ayapendayo kwahyo walimwengu mlitaka kila siku alie kwa sababu ya mapenzi.achen ushamba life is too short also we live at once.❤
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 10 ай бұрын
We 💕 u SANA. Mungu akusimamieeee sanaaaaa Masanja
@hellenmachibya2681
@hellenmachibya2681 10 ай бұрын
Ni kweli madam Qwen,,usiweke mahusiano Yako hadharani,,sio sawa kabisa Mahusiano na kaz nivitu viwili tofauti Fanya kaz my,,mahusiano Yako yabaki Yako tuu!!
@gradnessshitindi3694
@gradnessshitindi3694 10 ай бұрын
Huyu dada nampenda had nampenda tena!
@ummykitira5371
@ummykitira5371 10 ай бұрын
Mfyuuu punguza zarau
@asmahassan5661
@asmahassan5661 10 ай бұрын
​@@ummykitira5371😮😢zarau gn wakat kasema anampenda ama hujasoma vzr umekurupuka
@ernestsereli8559
@ernestsereli8559 10 ай бұрын
Nyie ndio wale wanafki
@lovierlion-vs9rn
@lovierlion-vs9rn 9 ай бұрын
Neno langu moja kwako Queen,,you have to be expensive,,,usitangaze kila kitu,unatangaza nguo za watu wengi mno ,sasa hivi magari nayo unaaanza kukubali kufanya na makampuni mengi,,,,yaani utawahi mno kuwa normal,,,ebu punguza baadhi ya matangazo ili ugombaniwe na ubaki kuwa wa ghali
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 9 ай бұрын
Kama zarii
@nickjuma6020
@nickjuma6020 10 ай бұрын
Watangazaji uchwara ni aibu tupu! eti anamuuliza unalipwa kiasi gani! ni upumbavu wa kiwango cha Lami!! Maswali ya kipumbavu!!
@mwajumalubunga1534
@mwajumalubunga1534 10 ай бұрын
Apo sasa 😂
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 10 ай бұрын
Queen keep it I adore you from being humiliated by a man to where you are now, you really struggled and you never give up. You indirectly show your opponent that he is never going to out you down.❤❤❤❤
@lucianaisrael3841
@lucianaisrael3841 8 ай бұрын
Mungu azidi kukubariki Queen umependeza mno na Mungu kakujaalia uzuri wa sura na umbo,wanaokuchukia achana nao ishi vile utakavyo mamy❤❤
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 10 ай бұрын
FANYA KAZIII MPENDWAAA. UKO SAWAAA❤
@omanmct135
@omanmct135 10 ай бұрын
Kweli kabisa mungu ndokilakitu❤❤❤safi
@neemaloy889
@neemaloy889 10 ай бұрын
Hongera sana Queen
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 10 ай бұрын
You are right your private life is yours not for PUBLICITY Good show dear❤❤❤
@veronicawilsonmbwambo1054
@veronicawilsonmbwambo1054 10 ай бұрын
Hongera sana endelea kufanya Kaz na kupenda San njisi ulivyo
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 10 ай бұрын
Safiii sana nguo ZOTE ni nzuri mnoooo
@slicehamfrey3504
@slicehamfrey3504 10 ай бұрын
Safi sana kipenzi Mungu akufikishe mbali
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 10 ай бұрын
MashaAllah 🎉🎉🎉🎉🎉
@hadijahadija4699
@hadijahadija4699 10 ай бұрын
Nimekupenda.sana.
@user-tf7sx9xg7d
@user-tf7sx9xg7d 10 ай бұрын
Mama samia suluh akupe kazi wewe mwanamke washoka
@aishajuma7813
@aishajuma7813 10 ай бұрын
Mungu atatenda
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 4 ай бұрын
Alokuipa jila la queen hajarogwa mashallah.
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 10 ай бұрын
Hongera sn Queen ❤
@matswelomphela972
@matswelomphela972 10 ай бұрын
Asante dada nimekupenda since then
@eddamsalilwa4876
@eddamsalilwa4876 10 ай бұрын
Hongera sana Quene unapambana sana
@ElizaLaurent-gc3hx
@ElizaLaurent-gc3hx 10 ай бұрын
Jaman kaz nzur dada mungu akubariki
@zainabwage4658
@zainabwage4658 10 ай бұрын
Nampenda sana queen
@haifamiraji6483
@haifamiraji6483 10 ай бұрын
Zali kama Zali my binamu upo vizuri kwenye kuhoji.
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 10 ай бұрын
Nakupenda sana Queen
@Adje244
@Adje244 10 ай бұрын
❤ nakupenda tu
@nestor384
@nestor384 10 ай бұрын
Madam miradi ya serikali ya kutangaza tena?! Utaanza kutukanwa bure maana miradi hiyo mingine iko midomo tangibly haipo?!
@jescawilson39
@jescawilson39 10 ай бұрын
Nampenda sana Queen❤
@samiatsungura
@samiatsungura 10 ай бұрын
Hongera sana dada
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 10 ай бұрын
MashaAllah, am happy for you darling 😘❤
@sultansallah8772
@sultansallah8772 10 ай бұрын
Mashallah kwenye zinaa ten
@verombwambo3703
@verombwambo3703 10 ай бұрын
Kuna mijiwanaume ikikuoa inakufanya kuwa nuksi ona ulivyo sasa kwanza umekuwa mrembo pili umeshatoka kimaisha
@user-tf7sx9xg7d
@user-tf7sx9xg7d 10 ай бұрын
Unafaaa sana unamuono mzuri
@aleyidukury8333
@aleyidukury8333 10 ай бұрын
Saiv mwanamke akiwa mdangaji ndio mnamsifia ww nidanga Kama madanga wengine tu
@Trappqueen970
@Trappqueen970 10 ай бұрын
watu wengne nyie ni wachawi sana wa maisha ya watu km wew aleyidukury ntmn nije ulipo nkutemee mate ya uso
@user-db2hi8jn3e
@user-db2hi8jn3e 10 ай бұрын
Roho mbaya haijengi
@user-tk5yy6vj3b
@user-tk5yy6vj3b 5 ай бұрын
Mashaalaah hubby yan me nampendaga sana uyu dada jamani
@AgathaSanga-ec5hl
@AgathaSanga-ec5hl 10 ай бұрын
Nakupenda tu❤
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 10 ай бұрын
Queen mzuri bwana acheni wivu
@omarymnuru8746
@omarymnuru8746 10 ай бұрын
Nafasi za Serikali hupatikana kupitia Ajira portal utumishi... kwa vigezo.. Kwa nafasi unayotala serikali bado hawajaitengeneza nafasi hiyo.... Gervas Msigwa anaweza pia kuifanya hiyo hata katibu uenezi
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 9 ай бұрын
Acha hizo wewe, hizo kazi Hadi kina shishi wa darasa la Saba wanapewaga... Ndo wanaitwaga mabalozi. Kuna siku nimemwona shishi mkavuu eti anahojiwa katika kwenye mkutano wa kuwafundisha wabunge miradi ya malaria Tanzania
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 9 ай бұрын
Kina msechu na moto ndo kazi hizo wanafanya. Msechu Hadi ule mradi wa puto wa hospital ya serikali
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 9 ай бұрын
Mrisho mpoto Hadi anatembea peku peku😅
@omarymnuru8746
@omarymnuru8746 8 ай бұрын
@@Josephineexsuper Hao ni wasanii wa kuimba...hutumia Sanaa zao Katika kufikisha ujumbe wa kazi walizopewa...
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 9 ай бұрын
Unachezewa tuuu hakuna cha miradi wala nn utaburuzwa mwanzo mwisho na uzee umekufika wakati wa kutulia na familia yako unafanya vitu vya kitoto
@justinendizeye714
@justinendizeye714 10 ай бұрын
Come on mtangazaji kamuambiya nani uyo mwanaume kuangaliya uumbo la mwanamke???
@bennamush4616
@bennamush4616 10 ай бұрын
Nyie mnaosema huyu dada ni mdangaji mnataka asiwe na mahusiano amekuwa bundi Kwan haha zake mnataka azipeleke wapi
@spreadlove5300
@spreadlove5300 10 ай бұрын
Shangaa wewe walitaka afie kwa mganga mwaka 😮
@rosehillary8742
@rosehillary8742 10 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mzuriiiii sana
@begukulemosobe9685
@begukulemosobe9685 10 ай бұрын
Unajua kujipigia promo dada big up
@veraisaria
@veraisaria 10 ай бұрын
Huyu dada ana akili ana focus kubwa sana😅
@zaidasalumualute6437
@zaidasalumualute6437 10 ай бұрын
Congratulations
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 9 ай бұрын
Queen umekuja na upepo wa kisulisuli hata waliotangulia hawajaufikia
@ashudahiza7871
@ashudahiza7871 9 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@joank7929
@joank7929 9 ай бұрын
Queen kama Queeeeeen.
@zayanazayana5518
@zayanazayana5518 9 ай бұрын
Nyumba nzuri haikosi mpangaji Vipi Queen akose mpangaji
@rachelmikey5493
@rachelmikey5493 10 ай бұрын
Ana fanana na zari the bowse
@julianapatrick7911
@julianapatrick7911 10 ай бұрын
Wow
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 10 ай бұрын
Safi sana dada yule upara roho imuume😂😂😂😂🎉🎉🎉
@fabiansemba4918
@fabiansemba4918 10 ай бұрын
Acha basi😂😂😂
@joyce55727
@joyce55727 10 ай бұрын
😁😁😁
@mwajumamwajuma55
@mwajumamwajuma55 10 ай бұрын
😂😂
@zainabwage4658
@zainabwage4658 10 ай бұрын
Atakufunga wewe 😂😂😂😂
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt 10 ай бұрын
@@zainabwage4658 aniwezi hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha 🤣😂😂😂😂😂
@ivodaman6236
@ivodaman6236 10 ай бұрын
kuna leo na kesho,,,ngoma ikivuma sana jua inakalibia kupasuka, wanawake mungu awasaidie sana hakuna jipya chin ya jua
@joyccembalakele9286
@joyccembalakele9286 10 ай бұрын
Jaman 🙄🙄🙄🙄
@nancyg8664
@nancyg8664 10 ай бұрын
We nae
@zakiakusaja8603
@zakiakusaja8603 10 ай бұрын
Sasa unatakaje watu wasifanye kazi kwenda huko
@spreadlove5300
@spreadlove5300 10 ай бұрын
Nini mbaya 😮😮 mpaka ukasema hivyo???
@user-sq7pz9ex5g
@user-sq7pz9ex5g 10 ай бұрын
​@@spreadlove5300😅😅😅ukute katumwa na DK mwaka huyoo
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 9 ай бұрын
Wanamkomesha Dr Mwaka hao 😅😅
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 8 ай бұрын
Huyu mama Mungu ame mjaalia alaf tangu ame achana na mumewe ame toboa kimaisha 😂kweli dr mwaka alikua ni JINI MNYONYAJI
@user-qb3nr6gl1z
@user-qb3nr6gl1z 10 ай бұрын
Namba plx namba zako nashida San na wew
@SophiaKilimo-gx7xh
@SophiaKilimo-gx7xh 9 ай бұрын
Pambana dadaangu mungu atakusaidia
@farhannahomary5505
@farhannahomary5505 10 ай бұрын
Mie qiunee namwona ni wakawaida saana Yani ni mwanamke aliyejutoshelaza Ila sijaona kuwa ni mzuuuuri mno Ila ni wakawaida sifa zoote anazo za kuwa mwanamke Kama wengine tu na dizaini hii wapo wengi mno kwa rangi yake na black pia wapo Ila ni wakawaida ni mwanamke aliyeubwa kike.hivi huyo na sinya tuseme ukweli Nani kachangamka kwini kapooza mno
@kiazikitamu3985
@kiazikitamu3985 9 ай бұрын
Kaingia Tena kwenye Siasa loh 😢
@jescawilson39
@jescawilson39 10 ай бұрын
Et ukiwa kama binti 😮 watangazaji bana sasa huyo binti mpe heshima yake ni mama huyo
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 9 ай бұрын
Huyo ni binti au mama 😂😂😂 ww bn sema mama ...au uzur umekuchangany
@mbanga6759
@mbanga6759 10 ай бұрын
Kwani ndo alokua mke wa dokta mwaka
@AllyRamadhani-wl3um
@AllyRamadhani-wl3um 2 ай бұрын
Mh yani nimeamini mwanamke mzuri ni mama yako tuuuuu mimi namshauri dk mwaka achukue watoto wake alee mwenyewe huyo x wake atamuharibia watoto.tuangalieni wanawAke wa kuoa jamani
@mammyspecial2
@mammyspecial2 11 күн бұрын
Kawaiyo dr ndiyo mama wa watoto au😂😂
@alexvenas2699
@alexvenas2699 10 ай бұрын
Hakika kama maana halisi ya ndoa ni hiyo ambayo vitabu vya dini nimeeleza basi 🤔
@sumaidgasto4721
@sumaidgasto4721 10 ай бұрын
Ezekiel 44:22
@michaeljames403
@michaeljames403 10 ай бұрын
Kwani huyu ndo aliyenaniliwu na mchungaji!?
@angelsblackboard8008
@angelsblackboard8008 10 ай бұрын
hivi ilikuwaje mrembo kama huyu akaangukia kwa pwagu kama mwaka? inasikitisha.
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 10 ай бұрын
😂😂😂bahati mbaya inatokea
@elizabethtindwa7739
@elizabethtindwa7739 10 ай бұрын
Hiyo speed unayoenda nayo itakusumbua maana ngoma ikivuma saaana hupasuka, so be care full...
@marthagabriel3417
@marthagabriel3417 10 ай бұрын
Atakuwa kashatengeneza hela
@glorykweka1631
@glorykweka1631 10 ай бұрын
@@marthagabriel3417 Amen
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 10 ай бұрын
😂😂😂😂
@zulekhasaud483
@zulekhasaud483 10 ай бұрын
​@@marthagabriel3417😂😂😂😂asante jbu zuri
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 9 ай бұрын
Sahizi atakuwa ashamake hela ya kununua ngoma ingine😂
@AwaziBange-yo1wq
@AwaziBange-yo1wq 10 ай бұрын
Huyo ni mume wake wa 3 sasa apo me sijui nimuamini mwaka au bidada masanja
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 9 ай бұрын
We mtangazaji usimwambie eti awashawishi watu acha mtu aheshimu ndoa zao unazani wote wakiachika watakuwa kama Queen?
@selemankishema5780
@selemankishema5780 10 ай бұрын
Kwisha mama kwisha
@jestinabenedict4620
@jestinabenedict4620 10 ай бұрын
ZARI MSHIKE MKONO MDOGO WAKO AENDEREE KUTUFURAISHA WATAZAMAJI
@mariajemutai2968
@mariajemutai2968 10 ай бұрын
Kwani ni dadake zari wa diamond?
@simbajumanne9718
@simbajumanne9718 10 ай бұрын
Dangaaaa umri umeenda ndio hichoo kilikutoa kwa mumeoo
@aishaa2930
@aishaa2930 10 ай бұрын
Una hakika
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 10 ай бұрын
​@@aishaa2930achana nae uyo anaroho ya lichawiii 😂
@gracekenan4665
@gracekenan4665 10 ай бұрын
Mbona unamhukumu yeye...ulitaka akae kwenye ndoa ambayo mume anaoa na anafanya uhuni kisa awafurahishe nyie .
@rabsonchisumo6640
@rabsonchisumo6640 9 ай бұрын
Umalaya tu hakuwa sahihi kwa Mwaka
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt 9 ай бұрын
Kweli kabisa na hajistiri kabisa mtu mzima ovyoo
@mashamsangi4679
@mashamsangi4679 8 ай бұрын
Unatoka kwenye mwanga unaenda gizani. Hivi ni akili yako? Tafakari maisha ya dunia ni mafupi sana
@happywilkins4391
@happywilkins4391 10 ай бұрын
Nilidhn ni mim mwenyew nimeon
@laurencemassawe9100
@laurencemassawe9100 10 ай бұрын
Uyu malaya tu amna jipya
@spreadlove5300
@spreadlove5300 10 ай бұрын
Why alishakuuzia?
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 10 ай бұрын
Roho ya kichawi io loh😂😂 uumie tu mwenzio anafanikiwa we lia lia tu hapa
@angelashitindi5427
@angelashitindi5427 9 ай бұрын
Uchawi huo
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 10 ай бұрын
Jimbo limekwishachukuliwa
@marympochela7903
@marympochela7903 10 ай бұрын
Una donge, u ovyo wake ni nini?
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492 10 ай бұрын
We nimalaya tu
@yosephakomba1201
@yosephakomba1201 10 ай бұрын
Mh kazi mnay
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 10 ай бұрын
Iloooo roho inakuuma mjombaake doc mwaka
@patrinussanga519
@patrinussanga519 9 ай бұрын
Wewe kwenye ndoa yako hukutulia kabisa huyu bwana ulishaanza naye muda mrefu acha kutudanganya
@barutiabuu9492
@barutiabuu9492 10 ай бұрын
Wewe ulichoka kuwa mke wamtu kwasababu umesha zoea umalya sasa ukaona kam unabanwa sana so we enderea tu nakudanga kwakua utadumu milele kumbuka utaded hautokaa milele kavumilie kwenye ndoa yako wewe umalaya hautokusaidia popote
@spreadlove5300
@spreadlove5300 10 ай бұрын
Kwa nini unaongea kwa uchungu hivo??? Unajua kilimkuta nini mpaka unasema ni malaya?
@yosephakomba1201
@yosephakomba1201 10 ай бұрын
Wemkundu kweliyani mama ako adangi?
@yeslord2276
@yeslord2276 10 ай бұрын
Umetumwa na yule mwamba mganga eti 😅😅😅 pole sana
@provianapaul6634
@provianapaul6634 10 ай бұрын
Hii coment ni ya mwanaume malaya ,,, alafu mnyanyasi anaedhani kila mtu anaweza kuvumilia ujinga acheni bwana hamjui kitu na hajawah sema lolote kuhusu year wenu muacheni mnaumia
@user-xg8mt1mh7v
@user-xg8mt1mh7v 9 ай бұрын
Duh una maneno makali, kila mtu ana maisha yake na akili yake pia
@sumaidgasto4721
@sumaidgasto4721 10 ай бұрын
Mambo yamebadlika siku hizi. Tunaoa wanawake waliozaa eti ndio wanakili ya maisha. Noma sana.. akili tu ya kujilinda asizae hadu ndoa kwa mujibu wa mila na desturi hana za maisha anapata wapi
@nancyg8664
@nancyg8664 10 ай бұрын
Umeongea utopolo asee,kwan we hujui kuwa aliolewa huyu...
@mariamshabani769
@mariamshabani769 10 ай бұрын
Mpuuzi kweli wewe!..na kwanza hizo mbina wanapeana wanawake kwa wanawake!? Akili kama unayo unayo tu haijalishi umezaa ama lah! Na huyu kazaa akiwa kaolewa!! Makasiriko tu😏
@sumaidgasto4721
@sumaidgasto4721 10 ай бұрын
@@mariamshabani769 unatukana haisaidii soma EZEKIEL 44:22 kama ni mkristo
@sumaidgasto4721
@sumaidgasto4721 10 ай бұрын
@@nancyg8664 pole ila umeshawahi ona katika maandiko mtu kaoa mwanamke asiye na bikra
@mbwawafillingstation
@mbwawafillingstation 10 ай бұрын
Pambana Qeen usisikilize wenye wivu Huwezi kupendwa na kila mtu
@mashamsangi4679
@mashamsangi4679 8 ай бұрын
Umelaaniwa wewe
@shamimageta6651
@shamimageta6651 10 ай бұрын
Ovyo jinga chizi
@mrs2918
@mrs2918 10 ай бұрын
kula chumaaa kikikukaba utajua kupambana na hali yako
@estermahenge-ks3dr
@estermahenge-ks3dr 10 ай бұрын
kwako mtuma koment unateseka ukiwa wapi😅😅
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 10 ай бұрын
huyu nae mdangaji tu mtu mzim hovyo
@aminathaabubakarmasoud565
@aminathaabubakarmasoud565 10 ай бұрын
Wivu tuu huna lolote, mdangaji amekudangia babaako,pita hivi😏😏😏
@dianajohnson7268
@dianajohnson7268 10 ай бұрын
acha roho mbaya utakufa mapema,
@mmn7480
@mmn7480 10 ай бұрын
Nawe danga
@khadidjasuleiman8006
@khadidjasuleiman8006 10 ай бұрын
😂😂😂waja bhana mnatisha😅😅
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 10 ай бұрын
Mbona na wewe unadanga sana
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 31 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 54 МЛН