Kwahiyo mnawafundisha Na wanyama ushoga Mara paa siku mjikute huyo Dume amepata mimba.
@oswardnshoki14185 жыл бұрын
Hakika nimefurahi sana kwa somo hili , Iringa huduma hii tunapataje?
@kamgomoli36505 жыл бұрын
Sio libido sema nyege acha kuficha ficha
@nasraharuna85002 жыл бұрын
Ati bao hahaha
@kamgomoli36505 жыл бұрын
Haaa huyo mbunge eti bao
@bennymisheto16555 жыл бұрын
Heeeee! Wanamtumia dume kama jike😓 huu ni ushoga
@sarahpolite63435 жыл бұрын
Benny Misheto kitaalamu n g'ombe jike haruhusiwi kusogea eneo ilo na hapo kituoni hakuna ng'ombe jike hata mmoja na hao madume wako mbali sana na makazi ya watu na wamezungushiwa uzio ili wasije sikia harufu ya jike wakatoroka
@tuphujekumuhkunonyiile37395 жыл бұрын
Hahahahaha
@jacksonswai10894 жыл бұрын
Hizo mbegu mbona mikoani wanauza gali sana kuanzia 25000 na kuendelea.
@rubbymassawe7885 жыл бұрын
sijpgaaa mpka kwa ng'ombe
@nehemiahbudi57535 жыл бұрын
Enyi wasomi wa Tanzania siaminini akili fikra zenu, na mkifanya hivyo maendeleo yanajitokeza. Kwa ufupi " juu ya elimu bora Kuna imani, na juu ya imani kuna maendeleo, pia kwenye elimu isiyo bora Kuna kasumba, na juu ya kasumba Kuna umaskini" yashikeni haya mtafakari na mchukue hatua mbele yenu kutakuwa na maendeleo au umasikini.