Mwanao akiwa na hisia hasi tegemea tabia mbaya kwake na akiwa na hisia chanya jua kuna mengi mazuri utayaona kwake. Unamgundua je mwanao kama ana hisia hasi au hisia chanya na utamsaidia je? Nifuatilie
Пікірлер: 2
@judithnjunwa666827 күн бұрын
Jamani mafundisho ni mazuri,,,,nimepata kitu,,,, barikiwa sana
@StevenMatheo27 күн бұрын
Tangu nmeanza kukufuatilia nmebarikiwa Sana,nahisi nilichelewa kukujua, ubarikiwe Sana,