Dr. Chris Mauki: Dalili 5 kwamba upo kwenye mahusiano feki

  Рет қаралды 449,102

Chris Mauki

Chris Mauki

3 жыл бұрын

Je kuna nyakati huwa huyaelewielewi mahusiano yako? Je unahisi mpenzi wako ni mtu wa kubadilikabadilika? Unagunduaje kama uko kwenye mahusiano feki? Kumbuka mahusiano feki hayakupeleki sehemu, yanakupotezea muda tu. Ungana nami nikusaidie kufahamu dalili 5 za kukuonyesha kuwa upo kwenye mahusiano feki.
#DrChrisMauki#Dalili#Mahusiano

Пікірлер: 783
@heavenlightfrank6203
@heavenlightfrank6203 Жыл бұрын
Through your channel nimeweza kufanya maamuzi magumu ya kumove on baada ya kupoteza miaka 8 kasoro pasipo ndoa , hii channel imeniwezesha kujitambua na kutambua hali halisi ya mahusiano niliyokuwa nayo, barikiwa sana Dr. Endelea kuwasaidia wengine
@vickieeddie2230
@vickieeddie2230 Жыл бұрын
The same here
@merciefavoured6168
@merciefavoured6168 Жыл бұрын
Miaka nane n mm naona tano kaa mingi
@catherinemuhagama7338
@catherinemuhagama7338 Жыл бұрын
Mm miaka9 looh🙄
@IddahMmasi-gd9qi
@IddahMmasi-gd9qi 7 ай бұрын
Mimi mwaka na nusu ila nilikoma
@shamimshamim4238
@shamimshamim4238 6 ай бұрын
😢😢😢😢
@user-df9im5ly4p
@user-df9im5ly4p 3 күн бұрын
Mungu akubariki sana Doctor kwakutufumbua masikio ya ndani na yainje naakilizetu pia barikiwa sana , mdau mpya
@zaitunisingano8295
@zaitunisingano8295 Жыл бұрын
Daah kwa mara ya kwanza leo nimepata nafasi ya kusikiliza somo lako hakika kuna vitu nimejifunza 🙏🙏 barikiwa sana asilimia 90 ya maneno yako ndio tunayoyaishi kwenye mahusiano lkn wengi tunaishi kwa dhana potofu yakusema #ATABADILIKA pasipo kufaham kipindi unachosubiri mabadiliko yake ndo kipindi ambacho yey anakupotezea muda na njia ya maisha yako.
@halifaalliy6332
@halifaalliy6332 Жыл бұрын
😭😭😭true
@mariamponera6386
@mariamponera6386 9 ай бұрын
Sana kupoteza muda atabadilika wapi mpk unazeeka ndoa unakumbuka kama hiki choo sicho
@metrinembone9861
@metrinembone9861 2 жыл бұрын
Aki nilkua na stress ya mausiano yangu lkin after kuskiza haya maubili am okay and I know what to do now thank you so much God bless you
@samirahassani8606
@samirahassani8606 9 ай бұрын
Asante sana kaka CRIS kwakweli unatuelimisha saana ,Mungu akubarik naomba taaratibu za kukuona live kiushaur Nasaha.
@wilkisteregesa4845
@wilkisteregesa4845 3 жыл бұрын
Hapa ni msumari lakini nimepata jibu yaani shindano inadunga kwa mfupa direct ♡
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
Asante sana
@elizabethmwabaya6905
@elizabethmwabaya6905 3 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 kaka na utajuaje kama uko mkwenye mhusiano sa hii
@saifsaif8162
@saifsaif8162 3 жыл бұрын
Ubarkiwe sana krish mwenyezi Mungu akuzidishie zaid na zaid katika mafundisho Amina
@rahmasuleiman9334
@rahmasuleiman9334 3 жыл бұрын
Naam Dr nathibitisha sasa kwa somo lako hili kuwa nipo na mtu sahihi kwa ndani ys miaka 37 ya ndoa..shukran saaana Dr
@marymwanga7542
@marymwanga7542 2 жыл бұрын
Amen ubarikiwe Sana brother hakika nimejifunza kitu kwenye somo lako🙌🙏🙏
@dianamasao1210
@dianamasao1210 Жыл бұрын
DO NOT IGNORE RED FLAGS. This is so true ni vile huwa tunakaza ubongo
@merryg5520
@merryg5520 2 жыл бұрын
Asante Sana Dr nmeelewaa Asante mungu Asante kwa Somo zurii kabisa 🙏🙏🙏 tuokoe vijana
@sacg9783
@sacg9783 Жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU,tunajengeka kiroho na kimwili🙏🙏🙏🙏🙏😍
@juliawnjeri5913
@juliawnjeri5913 3 жыл бұрын
Wow I get dhis link today...thankyou Jesus kwa kupatana na mutumish wako anayefuza watoto wako maneno matamu hivi🙏🙏🙏God bless u mutumishi.....
@DBrownstain
@DBrownstain Жыл бұрын
Wow! Wow! Wow! Asante sana Doc,... Hakika Mb zangu hazijaenda Bure. Mwenye sikio na asikie. God bless you sir.
@neemasamwel27
@neemasamwel27 Жыл бұрын
Barikiwa sana doct chris nimejifunza kitu kupitia mafundisho yako mazuri
@floranceh5333
@floranceh5333 3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kw mafunzo mazuri
@mdmansoor9920
@mdmansoor9920 3 жыл бұрын
Nmependa somo lako pastor barikiwa xana
@upendosollomon8998
@upendosollomon8998 3 жыл бұрын
That's why you talk true dr.balikiwa kwa ushauli wako mzuli🙏🙏🙏
@RhodaSilass-wq3xl
@RhodaSilass-wq3xl 4 ай бұрын
Asante sana ubarikiwe na Mungu mapenzi yametup shida kwa kweli
@ossyhaule5128
@ossyhaule5128 5 ай бұрын
Asante sana Dr. Chriss umeniongezea maarifa...Mungu akubariki sana
@oliviasalivatory5934
@oliviasalivatory5934 3 жыл бұрын
Asantee saana Dr umenifungua kwel mungu akubariki
@MegaNasri-bv7tc
@MegaNasri-bv7tc Ай бұрын
Sir thank you so much, nimetoka kilia dk chache nyuma baada ya apo nikaingia apa. Kwakweli nimepata jibu I need to move on, may God continue to bless you sir. 🙏
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 3 жыл бұрын
Shukran Shukran Shukran Shukran sna Allah akulipe kheir
@thomasthobias3369
@thomasthobias3369 3 жыл бұрын
Nimekupata vyema mtumishi, Barikiwa.
@hellennekesawanjala1860
@hellennekesawanjala1860 Жыл бұрын
Amen, amen and amen. You opened my eyes. This is my message Man of God. May God bless you
@faithmsungu3272
@faithmsungu3272 2 жыл бұрын
Asante Dr ...somo zuri sana,Nazidi kujifunza,Ubarikiwe sana.
@TinaMalyosi-gr3sw
@TinaMalyosi-gr3sw 9 ай бұрын
Ahsant San kak crs
@MwaminiBoniphace
@MwaminiBoniphace 9 ай бұрын
Asante sana pastor MUNGU akubaliki
@josephinemosha4618
@josephinemosha4618 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Dr Chris
@user-li3lh6xm7w
@user-li3lh6xm7w Жыл бұрын
Mafundisho mazuri Dr Chris God bless you ❤so much
@leahmungure6538
@leahmungure6538 Жыл бұрын
True that man of God you have helped me a lot, am leaning more 🙏🙌
@lilianlubanga4010
@lilianlubanga4010 3 жыл бұрын
Wow Ni Mara ya kwanza kuskiza clip zako Na nimefundishika sana sana
@floranahashon4180
@floranahashon4180 11 ай бұрын
Mungu akubariki Sana kwa hii elimu ya mahusiano 👏👏🙏
@felixchristian7912
@felixchristian7912 Жыл бұрын
You have touched my heart Dr i feel so pain in my life🙏
@loicewanjira7750
@loicewanjira7750 Жыл бұрын
Watching from Kenya 🇰🇪keep it up good work👌
@pendomaliaki1896
@pendomaliaki1896 3 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri.
@leahmgunda5055
@leahmgunda5055 3 жыл бұрын
Makanisa yanajitahidi sana kulea watu wake Mungu azidi kuwapa mafunuo.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@jasonmwamba-mp2ql
@jasonmwamba-mp2ql Жыл бұрын
Shukran Kaka kwa somo lako maan umeniondoa kwenye kiza nilichofichwaa
@tatukahumbira3317
@tatukahumbira3317 2 жыл бұрын
I am seeing this after a year but am not regretting at all,be health,stay blessed THANK YOU SO MUCH🤝
@peshngina7430
@peshngina7430 8 ай бұрын
Aki nimepitia kila kitu 😢😢I date for 4yeras na tukawachana
@josephmathias159
@josephmathias159 Жыл бұрын
Nakukubali Dr Chris ni kweli kabisa
@moonpatienceongara5607
@moonpatienceongara5607 2 жыл бұрын
Hii nzuri sana kwa vijana, big up Dr
@vascoyohana5811
@vascoyohana5811 3 жыл бұрын
Asante kwa ushaur mzur nime upenda
@neemashao4749
@neemashao4749 2 жыл бұрын
Barikiwa Sanaa baba Mungu akutie nguvu
@mercyaa1863
@mercyaa1863 Жыл бұрын
Ni kama umenigusa,sana umenifundisha jambo nzuri sana ,for thanks for good advice
@anethmushi5997
@anethmushi5997 2 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa somo lako nimejifunza niliko na nitakapoelekea Kama kijana
@mariampalinje6933
@mariampalinje6933 2 жыл бұрын
Thank you nmekuelewa sana doctor
@gidionmheni3165
@gidionmheni3165 4 ай бұрын
Ni mara ya kwanza kutembelea channel yako but nilichokipata , Mungu akubariki sana Doctor 🙏🙏
@yuliahenry3383
@yuliahenry3383 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtu wa Mungu
@stevenrichard189
@stevenrichard189 2 жыл бұрын
Mimi huwa naanza mahusiano, lakn nikiumizwa au kukumbushwa aisee huwa piga chini, lakni kwa hii somo I have to change na sasa namwomba Mungu anijalie wa ubavu wangu.
@winventoti3710
@winventoti3710 Жыл бұрын
Woow hayo mafundisho ni matamu sana, I love it
@tabumwaipaja5116
@tabumwaipaja5116 Жыл бұрын
It's first time but I understand alot but be blessed man of God
@user-hm2wv6fe3k
@user-hm2wv6fe3k 9 ай бұрын
Allahamdulilah na kushukuru sana MUNGU akuzidishie🤲🤲🤲🤲
@waridiirongo2061
@waridiirongo2061 3 жыл бұрын
Nakupenda bur Baba nipo kwenye mausiano bora💕💕💕💕💕
@jacintakhaombi3474
@jacintakhaombi3474 3 жыл бұрын
Barikiwa zaidi tena Sana mtumshi wa MUNGU,am blessed n nimejifunza mengi mno,🙏🙏🙏
@user-ik4fe2yi8b
@user-ik4fe2yi8b 5 ай бұрын
Exactly Dr I feel so tired in my life so longtym,,,,,good point lkn mwisho nilijiondoa kwenye usiano huo Dr it's true be blessed keep it up ur lesson teaching
@froliankakwezi9513
@froliankakwezi9513 3 жыл бұрын
Asante Dr umenifungua
@nufairahalex9010
@nufairahalex9010 Жыл бұрын
@Aiseee kumbe nilikua kwenye giza nene sana and sometimes naona dalili zote lkn sikuwahi kujidadavua,nadhani this time ntaweza na kulea watoto wangu,Nimekusikiliza vizuri sana Dr shukrani
@ednaJF1028
@ednaJF1028 Жыл бұрын
Dr Chris thank you for your knowledge 🙏 I wish if we can talk
@KiliyaniMahanganile-xv5mi
@KiliyaniMahanganile-xv5mi 8 ай бұрын
Asante mtumishi kila atua unayo pig unaenda kujenga mwenyez mungu akubalik
@Maria-fy6sj
@Maria-fy6sj Жыл бұрын
Asante kwa kunifungua akili yangu...... ubarikiwe sanaaaaaaa....
@wnjink8400
@wnjink8400 3 жыл бұрын
Asante sana somo zur
@husseinchai1133
@husseinchai1133 Жыл бұрын
Ahsanteh Sana Engineer mauki
@marymlewa6736
@marymlewa6736 3 жыл бұрын
Ameen Ameen nabarikiwa sana sana
@aberamartine123
@aberamartine123 3 жыл бұрын
Daah! Doctor Chris kiukweli somo la leo limenigusa Sana dah Kila kitu kipo hivyo barikiwa Sana Kaka angu
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
asante sana
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 3 жыл бұрын
Asante sana
@happyalphonce9287
@happyalphonce9287 3 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 daaah! Mch kiukweri haya yapo baba nimetendwa Sana mpaka nikakoswa mwelekeo.
@witnessobadia3076
@witnessobadia3076 3 жыл бұрын
Nikweli vijana tunapaswa tujitambue ili tufikie malengo
@eunicemwanjile5202
@eunicemwanjile5202 Жыл бұрын
Doctor Chris nimependa somo lako ingawa nimechelewa kupata mwanga tokea mwanzo ,,,niko kwenye mahusiano ambayo siyaelewi tuna miaka miwili lkn niko na mwanaume ambae simjui rafiki ake hata mmoja na always he says he misses me lkn am the only one paying him a visit nikimuuliza anasema someday atafanya something big ,,I just don't feel love and trust to him ,when am with him its only a sexual way
@yuliahenry3383
@yuliahenry3383 Жыл бұрын
Uishi miaka mingi ukomboe nafs za watu #Smart mind✍️🙏🙏🙏🙏🙏
@lucksonrupa3618
@lucksonrupa3618 9 ай бұрын
Duuuu aiseee Mungu akubaliki sana sana somo nzuri
@tausimickidad6733
@tausimickidad6733 3 жыл бұрын
Amiiiin dr. Umetufungua wengi
@faith7040
@faith7040 Жыл бұрын
Nashukuru sana dr Chris
@jessiepaulthebeautifulange1749
@jessiepaulthebeautifulange1749 2 жыл бұрын
My first time to watch ,Thankyou Dr .Chris ,am more educated than before🇰🇪🇰🇪🔥🔥🙏🙏
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@wendekinyamagoha6435
@wendekinyamagoha6435 Жыл бұрын
God bless you Dr Chriss
@mlishohadija6923
@mlishohadija6923 4 ай бұрын
Very true Dr .chris God bless you
@shamirammolo3170
@shamirammolo3170 3 жыл бұрын
Asante usia mzuri
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 3 жыл бұрын
Salute Dr wangu. Ukweli mtupu..
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@tatumaalim1160
@tatumaalim1160 2 жыл бұрын
Asante sana dokta umenifungua macho
@vailethjames1934
@vailethjames1934 2 жыл бұрын
Ahsant mungu kwajili ya uponyaji wa mindset umenitowa kwenye shimo ni heri kuzimia kuliko kufa
@omariochumu935
@omariochumu935 3 жыл бұрын
Barikiwa sana pastor
@mwavitafuraha7244
@mwavitafuraha7244 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwaujumbe wako
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 жыл бұрын
Ndoa yangu ulikuwa ya kukatisha tamaa nilimpenda Sana mme wangu,niliposikia haha nilichukua hatua! Pole pole,nilimtoa moyoni na kuendelea na Maisha,Asante Sana,
@user-vd9gi8ik4n
@user-vd9gi8ik4n 4 ай бұрын
Uliwezaje dadaang maana dah
@elimeliklyampinga6608
@elimeliklyampinga6608 3 жыл бұрын
Barikiwa na mafundsho
@esteremmanuel1796
@esteremmanuel1796 3 жыл бұрын
Ubarikiwee sana doctor nimejifunza sanaa
@asteriakimbi7183
@asteriakimbi7183 3 ай бұрын
Asante doctor nimejifunza.nimejigundua nipo wap
@sophiahatibu1435
@sophiahatibu1435 Жыл бұрын
Nimejifunza mengi,Barikiwa
@leahmungure6538
@leahmungure6538 Жыл бұрын
May Almighty God continue to keep you strong and healthy in Jesus name amen.
@annajohn8803
@annajohn8803 9 ай бұрын
Nimejifunza vitu vingi sana
@lilianlubanga4010
@lilianlubanga4010 3 жыл бұрын
Wonderful teachings .GOD BLESS you.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@jojojojo8896
@jojojojo8896 2 жыл бұрын
Am marione am whoching from kenya 🇰🇪 fosure napenda your advice,,, may God bless your work 💪
@murundikazitvlyditiffahruk8954
@murundikazitvlyditiffahruk8954 3 жыл бұрын
Asante nashukul
@pendomramba1755
@pendomramba1755 3 жыл бұрын
Asante kwa somo🙏🙏🙏
@ediusiganiza4737
@ediusiganiza4737 Жыл бұрын
Ahsante Dr. duuh !!!
@saranzunda158
@saranzunda158 Ай бұрын
Daaa sijachelewa sana kujifunza SoMo hili. Barikiwa kaka
@belitangove704
@belitangove704 Жыл бұрын
Thank you for this lesson aky 😢😢😢 kutoka leo nimeacha mtoto wa wenyewe .11/2 yrs cjapelekwa introduction have turn 31 yrs.tukimet hakuna kitu huwa nambiiwa about marriage has not put things in order ni complain za doh kila saa no kasonge kasonge God bless me with another man plz 🙏
@imaculatemhagama3277
@imaculatemhagama3277 Жыл бұрын
Sijui nisemeje Ila umenisaidia Sana Mungu akubariki
@martinmatinde3789
@martinmatinde3789 2 жыл бұрын
Asante sana brother🙏🙏
@angelnjiku1979
@angelnjiku1979 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Dr Chris, japo nimechelewa kuliona hili somo ila nimejifunza, nimetoka kuachana na mtu wa hivo yan kilakitu ulichosema alikuwa ivo,
@angelnjiku1979
@angelnjiku1979 Жыл бұрын
God bless you 🙏🏼
@r14kgroup68
@r14kgroup68 3 жыл бұрын
Asante sana
@NeemaNjile9
@NeemaNjile9 3 ай бұрын
Ubarikiwe mno mtumishi wa mungu
@annajaydenjayden3517
@annajaydenjayden3517 2 жыл бұрын
Asante kwa kufumbua ufahaham Wang kwa SoMo zuri...ningependa kupata no yako
@neemajumbe5802
@neemajumbe5802 Ай бұрын
Asante sana nimejifunza ya hayo ndo maisha yangu niyoishi jaman
@catherinenasambu5366
@catherinenasambu5366 3 жыл бұрын
Point wel noted boss.. B blessed moo 🙏💕🌹
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@noelathomas5770
@noelathomas5770 Жыл бұрын
Nakusikilizaga mara nyingi nakuelewa sana ila Huwa sicomment , but for today let me say Thanks for the lesson unaongea fact
@robbynyamriba251
@robbynyamriba251 3 жыл бұрын
Huo ni ukweli kabisa kakaangu ubarikiwe sana
@qasigwa8981
@qasigwa8981 3 жыл бұрын
Thanks Dr🙏🙏🙏
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 2 жыл бұрын
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@witnesmolell9487
@witnesmolell9487 3 жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi
@qeengervas524
@qeengervas524 3 жыл бұрын
Thank you for advaice
Dr. Chris Mauki: Dalili 6 za Penzi linaloegemea Upande Mmoja
12:16
UNAMPENDA LAKINI YEYE HAKUPENDI - JOEL NANAUKA
9:15
Joel Nanauka
Рет қаралды 190 М.
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 7 МЛН
Tom & Jerry !! 😂😂
00:59
Tibo InShape
Рет қаралды 63 МЛН
WHO DO I LOVE MOST?
00:22
dednahype
Рет қаралды 80 МЛН
Dr Chris Mauki - Utajuaje penzi la mpenzi wako limeisha?
12:39
Chris Mauki
Рет қаралды 345 М.
Dr. Chris Mauki: Dalili 4 Kwamba Mpenzi Wako Amekuchoka
9:45
Chris Mauki
Рет қаралды 211 М.
FAHAMU VIASHIRIA VYA KUWEPO KWA HESHIMA KATIKA MAHUSIANO
16:41
Mwl. JOYCE KISHA
Рет қаралды 2,6 М.
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
MAKOSA UNAYOYAFANYA WAKATI WA MAOMBI YAKO // REKEBISHA HARAKA
12:45
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 181 М.
Dr. Chris Mauki: Dalili 3 kwamba anakufaa kwa ndoa
6:31
Chris Mauki
Рет қаралды 54 М.
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 7 МЛН