SHEKH MOHAMMED ISSA AIBUKA NA USHAHIDI WA CLIP MZITO ZA MOHAMED IDD ALIZOKUWA ANAWASHAMBULIA WENZIE

  Рет қаралды 50,479

Saimu gwao Online tv

Saimu gwao Online tv

Жыл бұрын

Shekh Mohammed Issa amuibukia Shekh Mohammed Idd kwa tuhuma alizotoa kwa Wenzio hivyo amekuja na ushahidi wa clip alizoshambuliwa kishk Kilemile na Shekh wa Mkoa Alhad

Пікірлер: 125
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 Жыл бұрын
Sheikh Mohammed Isa Subhaana llah kosa alilolifanya Mwenzio na wewe umelifanya Mtihani Huu ,Tujitahidi kufata sunna za Mtume kama Sisi WA kwelii Katika matendo yetu ,kwani tukilifanya katika njia ambayo sio basi wenye uwelewa watauona ubaya huwo Na malengo yaliyokusudiwa, Mwenyezi Mungu Atujaalie njia njemaa ya kutatuwa mambo kama alivyokuwa akifanya Mtume WETU Muhammad S.A.W Allahumma Amiin Yaa Rabbi
@makameshibli2797
@makameshibli2797 Жыл бұрын
tumugope Mungu jamani tunakosea umoja wa kislamu utasimama lini Kwa hali hii
@khamisi_SHILINGI
@khamisi_SHILINGI Жыл бұрын
Hii nidalili ya wazi nandomana Allaàh AZZA WAJALLA akaleta utandawazi kwafaida mbalimbali
@aminasallumu3324
@aminasallumu3324 Жыл бұрын
As alkum mashekhee mnavyofanya sio vizuri magomvi yenu kuyaweka mtandaoni ,mnaposigana au yanapotokea magomvi Rudini kwenye adidh na suna ,za MTUME angalieni msije mkaenda motoni ,kwa ajili ya mitandao
@user-to7my3bf7l
@user-to7my3bf7l 3 ай бұрын
Ww sheikh muhamed idd umepewa pesa
@aishabagayo616
@aishabagayo616 Жыл бұрын
Nyie Masheikh wetu, hatutaki magomvi yenu muyalete kwenye mitandao. Sisi tunaweheshimu Saana. Mnatupa mifano gani!!
@c.e.o_abdiroush
@c.e.o_abdiroush Жыл бұрын
Hilo mohamed Idd ni mshenzi na mnafiq
@hidayasaid5131
@hidayasaid5131 Жыл бұрын
Sheikh Idd innalillahi wainnaa ilahiraajiun , kinachonisikitisha saana ni kwamba eti asiekuwa BAKWATA sii muislam innalillahi wainnaa ilahiraajiun . Tunapelekwa wapi jaman
@abdallahmwasiho1521
@abdallahmwasiho1521 Жыл бұрын
Huyu siyo Shekh
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
Tumeiacha quran
@hasaniabdalah6148
@hasaniabdalah6148 Жыл бұрын
@@ahz6907 point 👍👍👍 msingi wa tatizo uko hapo tumeiacha quran na sunna za mtume wetu
@selemanimakau9026
@selemanimakau9026 Жыл бұрын
Kumbe we mzed idi huna akili
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 Жыл бұрын
Hatupotoshi na ss tunasoma pia tunakuchambueni masheikh nyote
@gulamomar6394
@gulamomar6394 Жыл бұрын
Subhaana llah
@khamisi_SHILINGI
@khamisi_SHILINGI Жыл бұрын
Haki sikuzote haijifichi lazima iwekwe wazi ukisema jambo lifichwe asitiriwe kwani hamjui Asattaaru Albaatin kwani ndivyo walivyo wanaafiq nahawapatikani ispokua ndani ya uwisilaam hizo ni dalili za qiyama watu wanashindwa kutatua tatizo kwasababu wao wenyewe wanamatatizo namaradhi ktk nyoyo zao na Allaàh huwaonezea maradhi sijui watajitibu ktk hospital gani kama hawakuridi kwa Allaàh kikwelikweli
@malikinjama2587
@malikinjama2587 Жыл бұрын
Shekhe isa nakuunga mkono kabbisa watu hawana ikhlasw
@emuthree
@emuthree Жыл бұрын
Kuonyana mabaya na kuelekezana mema ni sahihi, lakini labda tuangalie ni wapi hayo yafanyike. Huenda tukawa tunajikaanga sisi wenyewe
@sharriffcharo1915
@sharriffcharo1915 Жыл бұрын
Muhammad IDD hana makosa abadan
@giltaemi4017
@giltaemi4017 5 ай бұрын
Hata kahaba hua anaona biashara anayo ifanya ni sahihi. Na kahaba hawezi kukosolewa na kahaba mwenzake bali kahaba mwenzake ataona ni kitu sahihi
@wazirihamisi6484
@wazirihamisi6484 3 ай бұрын
Wallahi sasa watu wa bidaa muwe makini mnao fata mkumbo hao ni watu wapo kazini wanalinda ajira zao
@taurehassan7399
@taurehassan7399 Жыл бұрын
Mengine alosema alisema kweli lazima na ww sheikh upime,kw hili la mashia Katoa maoni ingawa ypo ktk ughafilikaji kidogo lakn kuhusu araf maulid twamuunga mkono
@mohammedomar2865
@mohammedomar2865 Жыл бұрын
Abuu idd njaa inamsumbua aliogombananao wote wamzidi elimi na kipato
@user-fp9ye4vv3y
@user-fp9ye4vv3y 10 ай бұрын
Anaemzidi elimu hapo nani,
@hasaniabdalah6148
@hasaniabdalah6148 Жыл бұрын
Lima takuluuna ma laatafaaluna. hapa .tunazungumza tusicho kitenda oo nafsi yangu uisilam ni dini yako ya hakki ewe nafsi yangu tubia kwa mola wako.
@akthammuhammad7844
@akthammuhammad7844 Жыл бұрын
Sheikh Abuu Eid ni mwanadamu kama wengine kama kakosa atakua amekosea tuuu.Hiyo Hadith unayoitaja wewe mwenyewe huitumi sababu wewe unataja aibu za mwenzio.Wewe naona ni katika Mashehena tuuuu.Enyi Masheikh Mcheni Allah.Sababu wasiofahamu wapo wengi na nyie munawatatiza wengi.
@sefoadelino6684
@sefoadelino6684 Жыл бұрын
Kumbe wapumbavu sana. Kuanzia mashekhe zake
@bakarikaoneka1080
@bakarikaoneka1080 Жыл бұрын
Mimi nachukia sana namna hii ya kujibishana kwenye mitandao ya kijamii. Aibu tupu. Fedheha tupu
@jumaamartin7929
@jumaamartin7929 Жыл бұрын
sikuzote ukisinamia haki na sheria utachukiwa na utaonekana mbaya.hata ktk familia watoto wakifanya machafu yote.baba akiwa hajali watoto watamita baba yao mngu.ila baba akisimamia haki nidhamu maadili mema.watoto watamwita baba yao mzee mtata.leo haya tunayaona kiogozi akisimamia ukweli haki sheria anaonekana mbaya kwaku msimamo wake unazuia waoovu waiopenda haki.hivi ndivyo ilivyo.
@karimambosanga4290
@karimambosanga4290 4 ай бұрын
Zaman ilikuwa tabu kuwajuwa mashekh siku hizi kupitia media utawajuwa tu hawaulinganii uislam ila dunia yao
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 Жыл бұрын
Assalaam allaykum warahmatullah wabarakatu jamani mashekhe wetu Hebe kaeni chini muelewane hivo mnavo endelea waislam rutafika wapi masjdi aqswa vipi uta kombolewa wakati sisi waislam runakuwa hivi kwani hebu kaeni chini mkubaluane hizo hitlafu zipo tangu enzi za mtume mpaka tutakufa ndipo zitaisha
@bakarikaoneka1080
@bakarikaoneka1080 Жыл бұрын
Hivi hakuna jukwaabla mawasiliano kwa masheik wetu ila mitandao ya kijamii? Mtapuuzwa hasa na waisilamu wanaojielewa na watu wa imani nyingine. Mnatia aibu sana sana.
@subiriabdulrahmani2343
@subiriabdulrahmani2343 Жыл бұрын
Waislamu hawa siwaelewi kwann hawapendani
@salehally1082
@salehally1082 3 ай бұрын
Acheni siasa na chuki elimisheni umma wa kiislam kwa mawaidha mazuri
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Abuu iddi anatafuta umufti
@bakarikaoneka1080
@bakarikaoneka1080 Жыл бұрын
Igeni good practices toka kwenye dini nyingine.
@rubeniharuna1874
@rubeniharuna1874 Жыл бұрын
acheni majungu kaeni mezani myajenge mnadharirika Sana
@womanofsteel1402
@womanofsteel1402 Жыл бұрын
Tatizo la Hawa watu kila mtu Ni mjuaji
@husseinhamza4819
@husseinhamza4819 Жыл бұрын
Sheikh iddi anafundisha sio kutoa aibu za watu nyinyi mnaelewaje!?
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 Жыл бұрын
Abuu idi hitilafu hazikuanza leo huna kalima nzuri huna ilimu zaidi ya kilemile
@yasiniselemani3917
@yasiniselemani3917 9 ай бұрын
Shekhe abu iddi anafundisha hataji wenzeke vibaya au mrangi wewe umeelewaje
@user-es4tm2yv6t
@user-es4tm2yv6t 5 ай бұрын
Mpaka leo umekaliwa na mamuzi ya warab jitambueni
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Abu idi anafuga sharubu ndevu ata moja hana
@nassirhamad9407
@nassirhamad9407 Жыл бұрын
Hahahahahha
@ahz6907
@ahz6907 Жыл бұрын
Ndevu ndio uislamu?
@nassirhamad9407
@nassirhamad9407 Жыл бұрын
@@ahz6907 ni alama kubwa ya kumfata mtume na mafundisho yakeeeee....ambazo haifai kwa muislm kuzikataaaa
@Yu-jr9uf
@Yu-jr9uf Жыл бұрын
@@ahz6907 na pia ni katika sunnah
@ramygichero1016
@ramygichero1016 Жыл бұрын
Abu idy Elimu ipo hakuna shekhe anae chomoka apo ata moja Adi walimloga mdomo wa Shekhe ukapinda ila Mufti aka mwombea duwa akapona
@abuutamiimattanzaaniy8676
@abuutamiimattanzaaniy8676 Жыл бұрын
Huwa najiuliza HUO UMOJA WA WAISLAM UNAOLINGANIWA MAWAHABI HAWAHUSIKI? MAWAHABI SI WAISLAM? NA WAKISEMWA VIBAYA MAWAHABI SI UVUNJIFU WA AMANI? WANAOTUKANA MASWAHABA WA MTUME WAKISEMWA, AMANI INAVUNJIKA NA MNALALAMIKIA UMOJA. ACHENI KUWAZUGA WAISLAM, WAISLAM WANA AKILI ZILIZOSALIMIKA, HAWAWEZI KUFUATA PROPAGANDA ZENU ZINAZONUKA UNAFIQI
@nassirhamad9407
@nassirhamad9407 Жыл бұрын
Mashiaaaa wameshamwga helaaaaaa kwa baadhi ya masheikh njaaaa...Umoja gani na watu wanowatukana maswahaba matusi makubwaaa...wanawaita Aisha na Hafs makfiriiii...wanaita Abuu bakar na Umar masanamu wawili... MASHIA NI WATU WAOVUUUU... bali kwa matusi yaooo wanatoka katika Uislam...na Ni mashia MARAAAFIFDHWAAA
@abuusufian6506
@abuusufian6506 Жыл бұрын
@@nassirhamad9407 swadaqta
@sakinaunderwood
@sakinaunderwood Жыл бұрын
INASIKITISHA SANA,WANAFIQ,TENA WALA HAWANA HOFU YA MUNGU.JAMANI MKIWA MNAHITAJI KITU WALA USIOMBE DUA KWA MASHEHE.FUNGA MWENYEWE,SALI DUA YAKO NI MORE POWERFUL KULIKO YA HAWA WANAFIQ.WATU WAACHE KWENDA KWA MASHEHE KWA DUAA.HAWA NDIO WATU WATAKUFANYIA DUAA ITAFIKA WAPI KWELI.HATA AIBU HAWANA WAMEJIGEUZA KUWA MACHAWA
@nassirhamad9407
@nassirhamad9407 Жыл бұрын
@@sakinaunderwood Allah akubarik kwa kuliona hili Aniongoze mim na wew katika njia ya Hakki na usaw mpaka tukutane nae hali ameridhiaaa
@ibrahimusagondo5228
@ibrahimusagondo5228 Жыл бұрын
Mnatuchanganya na nyinyi, sasa mbona na wewe unamshambulia tena wewe unatumia nguvu
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg 2 ай бұрын
Angalieni ameacha mustachi, huyu ni s sio sheikh
@ramadhaniramadhani3774
@ramadhaniramadhani3774 Жыл бұрын
😂😂Tuepuke kutoa aibu zawengine sheikh issa Endelea kutupatia daawah
@sefoadelino6684
@sefoadelino6684 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tanzaniaaaaa Poleni nyie, haki ya mungu. Mnaenda wapi? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆😆😆😊Nawasikitikia sana
@amransendoki
@amransendoki 2 ай бұрын
Huyu. Hajasoma
@popekatalango9409
@popekatalango9409 Жыл бұрын
Sheikh Mohammed Issa hizo clip za Mohammed Iddy umezikata sana sijui una lengo gani Mjadala wa Sheikh Kishk na Mohammed iddy tuliziona video zao wote hawa wawili kwaukamilifu wake na tulijua nani ana hoja za mashiko, na kingine mjadala wake na sheikh kilemile pia tulizisikia pande zote mbili kwa ukamilifu tunajua nani alisema nn na nani slijibu nn,lkn kubwa zaidi hayo yote yalishapita na watu waliyaweka sawa wewe unafukua makaburi ya nini hebu tuzungumze curent issue na mtuachie nafasi ya kuchuja
@aleyidukury8333
@aleyidukury8333 Жыл бұрын
Mm nawasiwasi nahuyu shekh mbona Kama myahudi huyu
@user-uy4zy2it4j
@user-uy4zy2it4j 6 ай бұрын
Kwan hawezi sheikh wako kukosea au kua na ufahm mbovu
@user-cy1od5xr8x
@user-cy1od5xr8x 5 ай бұрын
Sheikh wa pesa
@Nufaila442
@Nufaila442 Жыл бұрын
Mnyamani kuna wavuta bange na wabwiya unga wengi sana ..
@abuusufian6506
@abuusufian6506 Жыл бұрын
Hahah
@akthammuhammad7844
@akthammuhammad7844 Жыл бұрын
Wewe huna naswaha enda kalale na sauti mbaya.
@ramadhanijohoiddi2899
@ramadhanijohoiddi2899 Жыл бұрын
SHEIKH KANYOA NDEVU
@salimhamad3878
@salimhamad3878 Жыл бұрын
Hahaha eti Shaykh kanyoa ndevu
@osmanabuu7989
@osmanabuu7989 Жыл бұрын
Huyu sheikh sijui hua anajionaga Nani sijui!
@rahimaan6481
@rahimaan6481 Жыл бұрын
Yani anajikuta sanaa
@abuuruwaydatvTz
@abuuruwaydatvTz Жыл бұрын
@@rahimaan6481 Kwenye Haq Acha aonekane anajikuta
@shaushishaushi
@shaushishaushi Жыл бұрын
Anajua sana hilo halina ubishi
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 Жыл бұрын
Abu iddi ni mpumbavu wa kisufu kama masufi wengine
@khamisi_SHILINGI
@khamisi_SHILINGI Жыл бұрын
Wacha wayaweke hadharani tunaweka kumbukumbu ili tuwajue vongoz watakaotufaa baadae
@ruwaidahamad6598
@ruwaidahamad6598 Жыл бұрын
Huyu sheh ni mnafiki muoneni anavyoongea Tu mutajua
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 Жыл бұрын
SHEKH ABUU IDDI HAKUKATAZA KUSEMANA NA KUHOJIANA. KAKATAZA KUTISHIANA AMANI. LAKINI BINAADAMU KWA KUBADILISHA MAUDHUI NI HATARI. REJEENI TENA KASKILIZENI CLIP ZA ABUU IDDI. LABDA HUYU MUHAMMAD ISSA SIO MFAHAMU KICHWA CHAKE KIBOVU
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 Жыл бұрын
WATU WA SKUIZI WANASIKILIZA KWA USHABIKI NA SIO KWA KUFAHAMU. KWAIO ATA LISEMWE LA KWELI BASI ATATAFUTA UJANJA UJANJA. MWENYE AKILI KAMFAHAMU ABUU IDDI KAONGEA KWA UTULIVU NA KAELEWEKA
@akthammuhammad7844
@akthammuhammad7844 Жыл бұрын
Kwani kishki hashambuliwi ana nini? Yeye kishki amemshambulia masheikh wingi sana.Wacheni porojo kama kuna ukweli ongea tuuu wacha panganga wewe unaongea na ulimwengu mzima zumgumza point.
@OmaryKhalfani-ko8qx
@OmaryKhalfani-ko8qx 9 ай бұрын
njaaa tu inakusumbua
@albassammusaalbassam7487
@albassammusaalbassam7487 Жыл бұрын
Abu idd mropokaji tu hajui chochote
@amransendoki
@amransendoki 2 ай бұрын
Somavizurihadidhihiyo
@grexrabon9938
@grexrabon9938 Жыл бұрын
Abuu Idd hafai🥱 anajipinga hadi yeye mwenyew🤣🤣🤣 daah jamaa haishi kwa kumbukumbu kabisaaa
@alliyrubea5731
@alliyrubea5731 Жыл бұрын
Huyu Muhammad Idd hili jina limekuwa kubwa na yy!
@kadizosea6250
@kadizosea6250 Жыл бұрын
Ww kelele kwanza mkimbizi
@akthammuhammad7844
@akthammuhammad7844 Жыл бұрын
Sheikh kilemile amekosea sana.Kubalini makosa yake wacha porojo sheikh wewe
@swahibually8349
@swahibually8349 Жыл бұрын
Wewe pimbi achana na mambo ya kielimu, alichosema Abuu Idi, ni "AIBU ZA KIMAADILI"Elewa alichoongea ABUU IDI, usipotoshe watu kwa kuwakaririsha watu uelewa wako Mbaya. Na hiyo Bakwata ya juzi siyo ya leo, kwahiyo kama Bakwata imeshakaa vizuri ni lazima Ieleweke, wewe ndio hueleweki
@mahamudhadi6781
@mahamudhadi6781 Жыл бұрын
Kakamatwa pabaya😂😂😂 what goes around comes around
@salimumbaraka272
@salimumbaraka272 Жыл бұрын
.mbona hamuongelei jihad m naogopa
@hidayasaid5131
@hidayasaid5131 Жыл бұрын
Wewe abuu idd kwani unabifu na sheikh kishk ? Kinyume cha mambo hujulikana jambo na kila mwenye ilm yupo aliejuu zaidi yke mimi naona kama unawachongea mashekh serikalini maana unaposema misikiti ni miswala hata jimai waweza manyia mle
@KADALAtv255
@KADALAtv255 Жыл бұрын
Mchungaji kimaroooooo
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Жыл бұрын
Wewe mwisirsm acha siaasa Tanya yako wewe mwisirsm yuremkiristu mfante mwabizane hukohuko sio MPAKA mropoke mitandaoni mnatia aibu mtakwenda motoni
@shabanirashidi2218
@shabanirashidi2218 3 ай бұрын
sasa ww sheikh muhammed issa nimecho kiona kwako nikutaka sisi tufate msimamo wako ila kiukweli TUTABAKI NA MUFTI WA TANZANIA TUU BASI
@binaisaissa
@binaisaissa Жыл бұрын
Shekhe abuu iddy upo vzr ila kunajambo hawa mashekhe wa Saud ni shida
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 Жыл бұрын
Katika jitu la ovyo ni huyo Abu iddi mpumbavu wa kisufu kama masufi wengine
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 Жыл бұрын
Kwani mashekh wako wewe walipata elimu wapi?
@nassirhamad9407
@nassirhamad9407 Жыл бұрын
acha TAAASUB hizoooo....
@nassirhamad9407
@nassirhamad9407 Жыл бұрын
Katika uwnja wa elimu humo binaissa issa Na hata hujui masuala ya kiakidaaa nakuhisi unafuata mkumbo tuuu na kupend watu kuliko kutetea dini na maslahi ya dini
@rizikilukali1558
@rizikilukali1558 Жыл бұрын
Shekh nilikua nakuheshimu sana wakati ukichambua qur'an na sayansi lakini baada ya kugundua ni wahabi waletaji wa fitna katika uislam heshima yako imeshuka
@osmaniidrisa6290
@osmaniidrisa6290 Жыл бұрын
We mwehu kweli umkatae mtu kwa Kia Yuko kwenye haki
@Zainabnoor0087-ze
@Zainabnoor0087-ze Жыл бұрын
Mhhh! Kwa hiyo masahaba wakitukanwa sawa🎯?!huyu riziki anajitambua ???
@uledihassan6065
@uledihassan6065 Жыл бұрын
Mohammed Idd sio mwanachuoni hakusoma na hakuelimika
@saidmilanzi3788
@saidmilanzi3788 Жыл бұрын
huyu abuu idd ni mbumbumbu jambaz la kibakwata
@saidburuji9984
@saidburuji9984 Жыл бұрын
Maalim saimu jitafakar sana ikiwa sheikh amemfanyia mwenzake kitu mbaya halafu na wewe ukasambaza ubaya huo huoni kwamba na wewe unatangaza mabaya
@mbaroukkhalfani9244
@mbaroukkhalfani9244 Жыл бұрын
Sheikh idd hanatatizo
@hidayasaid5131
@hidayasaid5131 Жыл бұрын
Khaswaa
@alliyrubea5731
@alliyrubea5731 Жыл бұрын
Nani ana tatizo!
@user-jr7fg6rc1q
@user-jr7fg6rc1q 3 ай бұрын
mook
@stationerykinondoni7241
@stationerykinondoni7241 Жыл бұрын
Kwamba misikiti ambayo ipo vituo vya mafuta sio misikiti 🤔🤔🤔jinga sana hili sheikh kwani msikiti ni majengo?
@shaushishaushi
@shaushishaushi Жыл бұрын
Jua kutofautisha kati yamswala na msikiti 👂👂👂
@stationerykinondoni7241
@stationerykinondoni7241 Жыл бұрын
@@shaushishaushi nipe tofauti
@shaushishaushi
@shaushishaushi Жыл бұрын
@@stationerykinondoni7241 halafu huwa mnapatwa namatatizo katika maisha bila kujua chanzo chake kwavitu vidogo dogo kama hivi kwanini utukane kisa tu kaongea tofauti na unavofahamu wewe hiyo siovizuri kwenye mambo yadini ni kutoa hoja yakielimu tu nawala siomatusi
@shaushishaushi
@shaushishaushi Жыл бұрын
@@stationerykinondoni7241 muswala nisehem iliotengwa kwaajili yakuswalia swala zavipindi tu bila ijumaa na mwenye sehem hiyo anaweza kupabadilisha muda wowote kuweka maduka nalawa hatokuwa nadhambi lakini musikiti nijengo lililojengwa kwaajili yakuswalia swala zote pamoja na ijumaa pia swala zote tano nilazima ziswaliwe humo
@mdoekibai5063
@mdoekibai5063 Жыл бұрын
wee humuwezi abuu IDD ngoja atakurekebisha mjinga ww
@Gamba177
@Gamba177 Жыл бұрын
Wewe fala nenda kafuwe Boksa za Abuu Idi Ubwabwa.
@mdoekibai5063
@mdoekibai5063 Жыл бұрын
@@Gamba177 sawa na unafua chupi za nani vile? Ebu kuwa mkweli
@jumakambunga1882
@jumakambunga1882 Жыл бұрын
Kila penye wajuzi Kuna wanaojua zaidi
@binaisaissa
@binaisaissa Жыл бұрын
Hapo wewe unataja Nini hata wewe jitafakari
@user-uy4zy2it4j
@user-uy4zy2it4j 6 ай бұрын
Kwan hawezi sheikh wako kukosea au kua na ufahm mbovu
@amransendoki
@amransendoki 2 ай бұрын
Somavizurihadidhihiyo
@uledihassan6065
@uledihassan6065 Жыл бұрын
Mohammed Idd sio mwanachuoni hakusoma na hakuelimika
@answaryhussein256
@answaryhussein256 Жыл бұрын
Huyo muhabi hata kusoma hadithi hajui halafu anajifanya anamkosoa Abuu iddy
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,9 МЛН
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 24 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 88 МЛН
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 50 МЛН
MISIMAMO YA MASHEIKH  DHIDI YA USHIA KUNAKO MANENO YA SHEIKH MZIWANDA
28:05
MAMBO YALIYOZUSHWA KATIKA MAZISHI SHEKHE NASSORO BACHU
56:06
Madrasatulfurqani Tv
Рет қаралды 12 М.
MASHEIKH WA BAKWATA WANAWASAPOTI MASHIA TANZANIA sheikh Mohammed Issa
43:46
HATIMAE BABA KIRUWASHA ATIMIZA AHADI YAKE
17:15
Baba kiruwasha official
Рет қаралды 16 М.
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,9 МЛН