Walai i feel crying This are the right people God bless this man and Tanzania
@justkibet11254 жыл бұрын
Kenya hutawahi ona wakuu wa serikali wakijituma kwa watu. Hongera viongozi wa TZ
@mwanaafrika_tz5 жыл бұрын
Magufuli Hajakosea kukuteuwa Mkuu Wa Mkoa, piga Kaz kwa Haki.
@antonykashube20655 жыл бұрын
Hapiiiiii. God bless you man. Thanks Hon Magufuli for Hon Hapi.
@deejayrula25485 жыл бұрын
i wish tupate viongozi watenda haki kama hawa kenya.
@najma32685 жыл бұрын
Asante muheshimiwa , haki itendeke milion moja watu wauze nyumba
@muhsinsalum23055 жыл бұрын
Wehu saana hao. Vipara vikubwa tu
@ericksebastian51594 жыл бұрын
Kwel
@vaniaruta4 жыл бұрын
Magufuli with your team... keep it up ! I believe Julius Kambarage Nyerere in paradise is proud of you ! Touched I am a Rwandan.
@hawaabubakar26194 жыл бұрын
Nilikua nimetegeya hii sehemu ya pili hongera bro safi kwetu kenya unyanyasaji tele haswa wajane,mackini i salute u Bro Big up from saudi Arabia
@kirwaisa87725 жыл бұрын
Kazi nzuri mkuu wa Mkoa.i wish Kenyans should emulate such kind of leadership
@barackabaracka78545 жыл бұрын
Kama umeangali hii video ukajikuta unalia kwa furaha gonga like hapa
@elizabethjames2925 жыл бұрын
huyu mkuu wa mkoa atumikie miaka yote hadi uzeeheni nimempenda bure
@poureenkunambi64135 жыл бұрын
Nimefrahi yaaan daaaaaaaa
@dandeenndandeen30475 жыл бұрын
Yaan wey ach tu nmelia kw furah n Hurum pia😀😁😢
@emyshaibu80895 жыл бұрын
Hapiii mwa mwa nakupenda bure
@mackinabdalla84175 жыл бұрын
dogo umekwiva sasa nakufahamu toka unasoma st thomas pale gongolamboto ukonga safi sana kijana
@lukanadric44915 жыл бұрын
gonga like kama unaamini mwanasheria ana GPA ya 0.
@chayogasperi97834 жыл бұрын
Mwanasheria wa hovyo kabisa .
@issahketon47195 жыл бұрын
Baba Mimi Niko Nairobi, pongezi kwa kazi nzuri. Pia huku watufaa
@kietiaziz7254 жыл бұрын
AAm from kenya and am very happy to see this kind of leadership
@khamisshariff66005 жыл бұрын
muheshimiwa rais kiongozi kama huyu anatufaa nampa pokezi sana RC
@nurureuben65125 жыл бұрын
Kabisa
@medarddotto595 жыл бұрын
Asante baba tenda haki mungu atakulipa
@Amani7155 жыл бұрын
Another King Solomon of our day. God may you give him more wisdom
@allymahmoud99515 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa hongera sana,tungekupata kama WW Zanzibar tungejivunia sana M,mungu akupe afya njema kwa kazi yako nzr
@mathayoayubu86355 жыл бұрын
Shikamoo mkuu wa Mkoa umefanya kitu chema saana
@johanesjofrey21055 жыл бұрын
Hawa ndio biongozi tunao wahitaji, wachapakazi. Safi sana Ally,
@wendelipwera75825 жыл бұрын
Asante Kaka Ally Mkoa wangu 💪💪💪💪👌 NMB IRINGA #KAMWENE#
@pendoanzigar31725 жыл бұрын
Kama umemuhurumia hugo meneja wa nmb nipe like hapa
@user-uc8ei8kn3l5 ай бұрын
Mi nimemuhurumia sana
@user-jh7io9hd4q5 ай бұрын
I like this like of leadership of TZ.ALLAH BLESS TZ LEADERS
@collooloo10745 жыл бұрын
We need some brilliant people like this in kenya
@josphatmbegera16804 жыл бұрын
I wish TZ was Kenya from this man to president they are doing a good job
@cypmkutubi31095 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu Akupe cheo zaidi ili uwatetee wanyonge na waja wake kwa ujumla
@boniphaceambwene75685 жыл бұрын
inatakiwa pongez
@mwamvuajumanne60905 жыл бұрын
yes hii ndo nchi yangu nnliyoichagua
@stevek83185 жыл бұрын
Uliichagua vipi nchi hii? Labda wewe uwe umehamia tanzania basi umeichagua lakini kama wewe mzaliwa hukua na choice
@samwelimwinyi92675 жыл бұрын
Maandishi hayadanganyi! Respect u RC. HAPI
@saimonmwansile61015 жыл бұрын
Big up mkuu ! Hongera pia kwa JPM kwa kumwona Huyu bwana mdogo huyu !
@edithdickson30905 жыл бұрын
Nikiwa namuangali Mh, Hapi Akiwa anatekeleza majukumu yake ya kuwasaidia wanyonge nahisi niko paradiso yaani, Hongera sana M/ mungu akupe maisha marefu tuendelee kunufaika na kipawa alichokujaria M/ mungu.
@davidpaulmungai51312 жыл бұрын
Hongera nchi yangu Tanzania,hakika unanukia vzuri.Hongera sana! sana!! Kiongozi,Mungu wa mbinguni akupe maisha marefu na yawe mema siku zote na akuinue na kukuweka mahali pa wafalme
@malikamanara40765 жыл бұрын
Mwenyezi mungu ndio mjuzi wa malipo kwako kwautendaji wako wa kazi mzuri na utetezi wako wa hali na mali kwa wanyonge. Mungu akulipe pepo Allahumma Amiin.zaidi ya hili sijaona la kukuombea.
@abuuqaasim48154 жыл бұрын
Kusema kweli Mh ALI HAPI uko vizuri sana kikazi zaidi kaka big up na wewe ni mfano wa kuigwa,kwa maana hiyo MH MAGUFULI hujakosea kabisa kumteua huyu kijana hongera sana mkuu
@zuhraali85695 жыл бұрын
Am in love with mkuu wa mkoa! 😍😁🤗 congratulations to this man on how he handled this whole case!
@zainabuahmed59105 жыл бұрын
Allah akujaalie mkuu. Hizi Bank majanga,wanauza kwa ku deal na brokers na kuna list ya vibopa maarufu kwa kutengeneza deal za kuuza na kuuzia watu maalum ambao na wao huuza. Nasubiria Makonda afuate mkondo nikalitibue na mie.
@janesuma21935 жыл бұрын
Zainabu Ahmed mim nilikopa finca nikajitahidi kulipa ikabaki shilling lakin na nusu eneo langu la biashara likawa limebomolewa nikawaita finca wakaona nikaenda kwa menega kumuomba wasiniongezee riba niweze lipa lile deni wanipe miez miwi uwiiiiii nilipigwa riba ambayo nilihisi kuchanganyikiwa deni la 150,000 likazaa milion moja hapohapo wakataka kuja kupiga mnada vitu vyangu wakati haviko kwenye zamana
@zainabuahmed59105 жыл бұрын
@@janesuma2193 Hizi taasisi zinwapigaji kibao nyuma ya Pazia Ktk Bank ambazo ni Rafiki basi Amana Bank. Ukikwama wanakupa njia na sio kukomoa. Hii kazi ya issues za Bank mkuu huyu awe mfano kwenu BOT mliolala, Raisi kawatembelea BOT ila nyie hamtaki kutembelea wananchi wakawapa majanga ya hizi taasisi za fedha,tunajua mna yenu nyuma ya pazia ila kwa Mungu hakuna kubwa
@missmoresa88545 жыл бұрын
mungu yupo jamani
@kingimmanuely10075 жыл бұрын
Zai Nitumie Namba Yako Nitakuchek Hawa Washenz Sana Hata Wanaofanya Valuation Hua Wakiiiba Nakueka Bei Fake Bot Wanawasave Sana
@cjrtz3 жыл бұрын
Zey ukalitibue
@johnmkunde8735 жыл бұрын
Kama uwongozi ndio huu basi kweli nimeamini kwann mflame suleiman aliomba hekima na busara katika kuamuwa aamuzi yake
@ernestjohanes90875 жыл бұрын
Eti sipaswi kuwepo eti mwana sheria huyooooo
@user-ft4tq4ug4c2 ай бұрын
Ongera sana Allya Ape kwa ma'mzi mazuri uliyo yafanya ivi-ndivo viongozi wanapaswa kufanya juu ya Aki ya mwananchi binadamu Acheni zuruma fanyeni uwadirifu katika kazi zenu
@stephanomchenya63445 жыл бұрын
Tanzania tulifikia pambaya sana asante mangufuli asante mkuu wa mkoa
@elizabethsimemba51465 жыл бұрын
Stephano Mchenya 5
@radhiasalum71565 жыл бұрын
Sana.yena ilioza tanzania
@ramadhanyusuph92694 жыл бұрын
@@hashmumwamedi296 mvbh ycnj
@thobiasbolen24965 жыл бұрын
I wish they were granted the greatness power. My God help them
@edwinwafula3258 Жыл бұрын
usione wembam na wa reli gari Moshi hupita,mkuu wa mkoo mdogo kimwili lakini amekomaa kiakili,ungekuwa Kenya bwana mdogo tungepata nafuu baba,Kenya wezi ajabu.congrats men
@imallya65135 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania, mungu wabariki viongoz wote na raisi magufuli...
@munirdatisha6844 жыл бұрын
Wee noma rc m mungu akuzidishie kuwasaidia wananchi nakupenda sn na kukubali
@kajjd405 жыл бұрын
Nakukubali sana mkuu wangu wazaman Wa kinondoni kazi kazi Ali hapi 💪👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@stephenkasigara70705 жыл бұрын
Safi sana Mh.Hapi.
@AlAl-sd9pl4 жыл бұрын
Asante mkuu wa mkoa unafwata nyendo za magufuli big up xana mungu awe nawe wanyooshe Hao mabwege
@bahatifrank48695 жыл бұрын
Mungu akubariki sana, tunatamani na sehemu zingine haki itendeke hivyo
@waitbird65495 жыл бұрын
BAHATI FRANK z Bof
@uledihassan60655 жыл бұрын
Ni vigumu kuongea fact mbele ya mtawala anaetafuta kiki
@riz00rajebo825 жыл бұрын
Muheshimiwa ningekupata mm huwe mume wangu ingependeza +254
@nuraakram1025Ай бұрын
Kazi safi watching from kenya
@fatmahmwinyi40615 жыл бұрын
Kwa hili baba wallah hata mungu yupo pamoja na wewe na inshallah atakulindaa...watu wananenepa na kungaa kwa fedha za wenzao tena maskinii...Allah akulindee...
@oliviakemuto14125 жыл бұрын
Mimi naona nikihama kenya niende kuishi Tanzania kuzuri bhana
@luluamri3705 жыл бұрын
Karibu 🤣🤣🤣
@fatmahmwinyi40615 жыл бұрын
Sana nakuna amanii telee
@dismasdonald7455 жыл бұрын
Ilitakiwa na Mwanza tupate mkuu wa mkoa kama huyu!!! Dah! Namuelewa sana Hapi! Fantastic
@charlesmwango27365 жыл бұрын
Congrats mkuu wa mkoa... From 254
@kacharimwangi5373 жыл бұрын
Big salute from 🇰🇪 Rc hapi
@user-fj9it6mq4u5 жыл бұрын
Eeh mungu shusa viongozi wa haina hii kenya watu wanyambishwe kwelikweli
@kacheali47775 жыл бұрын
Hak ya Mungu sijui n nani atakomboa wanyonge Kenya Mungu sikia kilio chetu..ndio maana sipend mambo ya mikopo heri nijenge miaka kumi..mawakili n wafanyikaz wa benk waiz kaa nn.
@janesuma21935 жыл бұрын
سالم السعدي atawapa tu wakati ukifika ila ni wakati wa Africa kubadilika wananchi wanaumizwa sana karibu kwetu Tanzania ndugu yetu Jiran yetu
@marijanimohamed76195 жыл бұрын
Hongera tunataka viongozi kama. Hawa wanaowajibika na haki za wanyonge
@abelasmerom48322 жыл бұрын
God bless your hard work mweshimiwa your doing a remarkable job
@WilliamChristopher-dq2vn4 ай бұрын
hongera sana mkuu wa mkoa kweli RAISI WETU anao watu wazuri mungu ambariki sana nawewe pia mkuu wamkoa ubarikiwe sana
@zefamange72815 жыл бұрын
ALLY HAP WEWE NI AINA YA WAKUU WA MIKOA WANAOFIT KATIKA AWAMU YA JPM. HONGERA DOGO
@buddycharles50455 жыл бұрын
wish this was in kenya,one day we will be auctioned
@shadyahamad37242 жыл бұрын
nyonge mnyongeni haki yake mpeni Ali happy alifanya kazi nzuri saiv watu hawayaoni
@franceslenis45125 жыл бұрын
This government is the best if it would be in Europe or america the world could appreciate I wish Tanzanians and Africans become the fans to this gvnt and learn something
@stephenwakuloba70864 жыл бұрын
Wow, what a leadership!!!
@secylovenessadaa42454 жыл бұрын
Hongera sana mheshimiwa ,I'm watching from Nairobi Kenya
@voicejoachim13705 жыл бұрын
Nimekubali brother kuheshimiwa:)🤗🤗🤗🤗
@bernardkibet4 жыл бұрын
Kenya desperately needs such leaders. Hongera Jirani yetu Tanzania
@mungholomakalanga89585 жыл бұрын
Hongera Magufuri Rais wangu mpendwa!
@safari5774 Жыл бұрын
Napenda sana uongozi wako God bless you so much we need such leader in Kenya
@allyabeid41885 жыл бұрын
Baba nakupenda natamani nikuone ata sura tu mungu akupe maisha marefu
@ahmedali15524 жыл бұрын
Daaaah...uncle maguu kwenye awamu yake amechaguwa watu makinii kwelii...naomba zanzibar tupate viongozi kam hawaaa😥
@MohammedAli-up6cu4 жыл бұрын
Kwamuda mrefu sana wanyonge wamekua wakidhulumiwa,na hawakupata wakumlilia,,,hongera mhe,RC kwakufichua uovu huu,,,naomba uzidi kufuatilia,Kuna maouvu makubwa kuliko hayo.
@jumbelbrownman12955 жыл бұрын
Congrats Pal commandante Ally Salum Hapi!
@modestmassawe99405 жыл бұрын
Safi sana kiongoz anapaswa kuwa wa watu
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
Hongera Muheshimiwa Kwa Kazi nzuri,Hawa ndio Wanyanyasaji,Mwanasheria hajielewi,Meneja Hajitambui.
@mariamabdull41345 жыл бұрын
Mungu akuzidishie afyanjema mh. Ally Hapy
@Mohamedali-gr2ex5 жыл бұрын
Asante kaka umefaya zizuri Nigependa kukuja Tanzania
@dennismalima53654 жыл бұрын
Yunusi umeuaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣... Mwanasheria mafi ya mende shule hakuna... Hapi akili kubwa sanaa
@angelalaizer38955 жыл бұрын
THANK YOU GOD!
@martinamarugu443 ай бұрын
Sijawahi fatilia habari zako. Nimekupenda Bure be blessed
@godfreymhochi62065 жыл бұрын
safi sana mkuu wa mkoa mungu akupe maisha marefu
@user-we3or9ol4o5 ай бұрын
HAAPIIIIIIIIIIII💯👍👍👍👍👍👍,MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO
@jamesassanga9220 Жыл бұрын
Kwa kweli hii nimeupenda, I wish to be like this man in leadership
@omarcpt11783 ай бұрын
Mungu akujalie kwakuwasaidi wanyonge
@nahashaban56105 жыл бұрын
Kweli naikubali serikali yangu Kwa kazi wanayoifanya ya kutete wanyonge na kuitimiza sheria ipasavyo.Hongera mheshimiwa
@chrismassawe3265 жыл бұрын
Huyu mkuu kamzidi hata wa dar sasa kwa kazi daa nimempenda kweli kweli
@emelianashauri83505 жыл бұрын
chris massawe dih
@annetiadyeri56383 ай бұрын
Makofuli Aliacha watoto mungu ababariki tunafurahi kwakazi zenu❤❤❤
@clemencesekabigwa58955 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akubaliki sana umesimamia haki hicho ndicho kinachotakiwa kazi njema bro.
@alpheondanzi25444 жыл бұрын
Mhe:Mkuu wa mkoa Wa iringa Ally Happy Iringa tumepata Neema Sana tunajivunia tunu yetu Karibu tena #mafingaTz
@dandeenndandeen30475 жыл бұрын
Safi sana mkuu ningekuw karib nmekupig bisu😁 nic job muheshimiw mung akupe nguvu na afya njema 😍😘😘 wameshajinyea hapo maskin
@nancymuseve5144 жыл бұрын
Tanzanian government is doing good work..well done
@aishaaisha22245 ай бұрын
Asante muheshima watu wanadhurumia sana yani Milion moja mtu anapiga mnada nyumba watanzania tunaumia sana
@simonlulenga70622 жыл бұрын
Hapi Iringa ubaki mpaka kustaafu kwako usiondoke wewe ni Mwanairinga mwenzetu maana unaonyesha uzalendo wa kweli kweli. Asante sana.
@kandidosamwel30305 жыл бұрын
Mungu wape nini wakazi wa iringa RC mnayo hapo mwenye speed ya JPM yani kama JPM kimaàmuzi ya papo hapo likê hapa kama nawe umemkubali RC
@emanueluledi56164 жыл бұрын
Viongozi kama awa ni muhimu sana ktk Tanzania yetu ahsante mkuu wa mkoa
@user-lo8xd8nc7w5 ай бұрын
Kwa hali hii naachaje kuipigia ccm kura 2025 mama samia hoyee❤❤❤❤
@biashaallyally37014 жыл бұрын
Huyu mkuu wa mkoa gani jaman mmm nimempenda sana kweli magu kafanya kazi zur sana kukuweka shikamoooo popote ulipo
@user-vt4je9eb5r5 ай бұрын
Hongera kiongozi mafisadi Hao wako hadi kilimanjaro same tusadieni
@fundikimweri5 жыл бұрын
Nimekubali kazi yko mkuu allah akuongoze
@irenejoseph66844 жыл бұрын
Nimekukumbali baba wewe ndo kiongozi bora maguful tunashukuru mngu kupat kiongoz bora 😍💪💪💪💪💪💪
@abdilahibg87942 жыл бұрын
I came across this clip in 2021 August..I can authotorively say this RC is Late Magafuli reincarnated.kumbe Tanzania hajaishiwa na magafuli?! Kudos from Kenya
@hemedwow88025 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa,kwa kumtetea huyo mtu aliedhulumiwa nyumba yake...
@GetrudeNaomi-wx1zdАй бұрын
safi sana bos nimeikubali hiyo RC
@ashuramhando52852 жыл бұрын
Nampenda huyu DC mpk bas Mungu ampe umri mrefu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@giffttymlemwa45232 ай бұрын
God bless you sir.
@user-ve6no6zp8e5 ай бұрын
Viongozi kama hawa ndio wanaohitajika mungu akulinde sana
@agesag.m24764 жыл бұрын
Such a wonderful and a resourceful RC,,Good work brother.