Asante Mh mkuu wa mkoa tena wamezowea kweli hao wauza nyumba. Hasa wamezowea kudhulumu nyumba za wajane mikoa yote hata Dar es salaam wamezidi. Mh Makonda pia tusaidie maana hata tukitaka kuja kukuona kwa mambo kama hayo hapo ofisini kwako kuna kukiritimba mkubwa haturuhusiwi kabisa.
@franciskarangwa65543 ай бұрын
I honestly like this young man >> may God bless him abundantly!!
@exaverymponguliana405 жыл бұрын
Daaa,yani hapi sijui ukiwa raisi itakuaje,uko vizuri
@rahelmasiga15034 жыл бұрын
Yupo vizuri Sana kweli mchapa kazi
@aminaamina51865 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu mkuu wa mkoa kwa usimamizi mzuri
@albertchubwa25465 жыл бұрын
Hongera sana Ally Hapi kazi nzuri
@mazuriedward45005 жыл бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa, eti mtu anasema anatumia bausa km jeshi lake kwenda kubomoa nyumba?? Hii haikubaliki kabisa.
@rizikikigala69305 жыл бұрын
Nilikuelewa kwa uelewa wako na iringa uwa atupendan kama mikoa mingine inayopenda maendeleo,sio majungu kama in atom in a finish a kwa mh mkuu was mkoa tunaempenda wanairingà
@alistachiusalistidesmwemez19305 жыл бұрын
Good Rc Iringa mmebarikiwa mchapakazi Ally Hapi good work brother
@ibadimohamed643510 ай бұрын
Natoa pongezi kwa Serikali ya Hawamu ya sita kwa kazi nzur
@hamzamussa29305 жыл бұрын
Hongera Sana mkuu mi niliumia ulivyotolewa Daresalama lakini kazi zako tunazikubali
@HappynessJose2 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa na kufatiria sana nipo🇴🇲🇴🇲🇴🇲
@omarinjiwa39454 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa Wa Iringa kwa kweli unawatendea haki wananchi mungu akulinde kwa kila baya inshaallah
@alicedusabe39885 жыл бұрын
Hahhh kama mkuuwamkoa katumwa na mungu❤️❤️❤️
@aishaaisha4082 Жыл бұрын
This mkuu wa mkoa is very kind. God bless you.
@Blessedhopefamily5 жыл бұрын
kial jambo likiamuriwa kwa busara huacha amani kwa kila mtu. utawala bora ni kitu cha muhimu sana katika maisha ya uongozi na utumishi
@jeffreymalingula14895 жыл бұрын
Hapi big up ni mpambanaji wa haki za wanyonge
@deomsigwa31505 жыл бұрын
awa mjembe walizoea sana kaka vibanda vyetu vingiwameuza
@husseinibrahim67784 жыл бұрын
Mimi naitwa Hussein mawaya ni mkenya lakini Tanzania kwa wake zangu?kilicho nifurahisha tanazani viongozi wanakuja kwa raiya na kuliza kero ni ipi?mna kero gani?inchi yoyote iko uadhilifu wako na maendeleo?leo Tanzania wanamaendeleo kila kukikucha ndege mpya bara mpya stima vijijini maji mitani na kadhalika wacha niwapongeze watanzani MUNGU awabariki muko na viongozi wanaogopa MUNGU?leo Kenya kama hauna rikodi ya ujambazi basi huwi kiongozi?tanazani oh oh
@jamalsalimalmahry68785 жыл бұрын
Mashaallah makuu wa mkoa iringa🤲🤲🤲🤲👍
@husseinsalimmaula42544 жыл бұрын
Mungu akupe umri mrefu ally wanaokuekea vikwazo wasomee Surat nas
@hollojuma95382 жыл бұрын
Nakukubali mkuu wa mkoa ilinga njoo namwanza
@amersaidoon73795 жыл бұрын
Huyu rc simba pls mh rais mprleke mikoa ya arusha au mwanza ambako kero za wananchi ni nyingi mungu ibariki tanzania
@aishaail44555 жыл бұрын
Mh/hongera umewagundua ,nyumba nyingi sana zimeuzwa na hao watu wengi wamedhurumiwa hata yetu wameuza ipo dar pande za chanika,tena hata tarehe yakumaliza deni haijafika kisa kuchelewesha rejesho, yani hao matapeli.
@imeldabamba37795 жыл бұрын
Aisha Ail maskini poleni,sema hamkuwa na mtu wa kuwatetea,lkn mngepata mtu km Ally hapi nyumba inerudi mbona.Hapa Iringa nyumba zilizopigwa mnada zimerudishwa kwa wenye nazo
@riz00rajebo825 жыл бұрын
Sadkta maskeen mbona sjazaliwa tz
@ramadhanimmana38295 жыл бұрын
Safi saaaaan mkuu
@luhajufilmstanzania4 жыл бұрын
Safi sana. Mheshimiwa
@joelnaja99355 жыл бұрын
Nimependa utendaji wako mh mkuu wa mko, chukua 5 zako
@stahimilmassawe85405 жыл бұрын
Mungu akutunze kiongoz,
@kadogoomushadi54095 жыл бұрын
Mashaallah.iringa.tumepata kiongozi
@kadogoomushadi54095 жыл бұрын
@@rehemaibrahim8475 nikweli kabisaa mungu ampe afya njemaa daiman. Mafisadi wote.waumbuke
@radhiasalum71565 жыл бұрын
Nchi ilikuwa haina nuelekeo.mijitu kama hiihaitaki kufanya kazi kazikula vya dhuluma tu
@pinielpamojasanaelias76214 жыл бұрын
Namkubali sana huyo mkuu wa mkoa mungu amlinde na kumuongoza
@rajabungereza87555 жыл бұрын
Unacho kifanya mkuu wa mkoa mungu atakusaidia kwan ni mfano wa kuigwa tunaonelewa san
@queenhusna2044 жыл бұрын
Akitoka MH JONNY POMBE MAGUFUL kwenye uongozi mwaka 2025 ataingia uyuu
Mimi nimkazi wadodoma ila ata mkuu wangu wamkoa simjui ata kwajina coz hana maajabu yyte
@mwanahalimamwachili96794 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 Mzee amenywea hasa,Chapa Kazi Muheshimiwa Okoa Wanyonge.
@dinahnyagosaima12593 жыл бұрын
Iko cku utakuwa Rais Mungu akusimamie
@kajaymopao16725 жыл бұрын
Hawa ndio viongozi wa ukweli sio kama kenya wote waizi watupu
@mariamustapha16775 жыл бұрын
Mungu akulinde DC Hapi
@bethmsigwa67424 жыл бұрын
RC uko vizuri sana wote wange kua kama wewe tungekua mbali
@davidmkeya63265 жыл бұрын
So nice mkuuu;
@mwanajuma26665 жыл бұрын
Safi sana mkuu wa mkoa....
@shakiramshule3422 жыл бұрын
Mungu ukuongezee umri mlefu
@suzanmgaya43235 жыл бұрын
Mungu akubariki mkuu
@salustianhhado74194 жыл бұрын
Huyu Hapi ni zile mbegu bora za uzao wa Wazalendo halisi tunaowataka. Hadi raha.
@j_gh8125 жыл бұрын
Katika siku nimekukubali mweshimiwa hapi na kukuona akili zimetulia ni hapa tukio la majembe....wamedhulumiwa wanyonge wengi sana na ikiwa italisimamia kwa dhati kama ulivoahidi basi na mungu pia atakubariki......
@zaidishabani57455 жыл бұрын
Safiii mkuu
@amerarolseid78115 жыл бұрын
Jamn kuwa mkuu WA morogor nakupenda
@asteriambwei33494 жыл бұрын
Hivi kwanini rais asiweke wakuu wa mikoa ambao wanafanana kikazi km ally happy wa iringa yaani happy angefaa kugawanya mara mikoa yote tanzania rais magu ungemgawanya mkuu wa mkoa iringa
@martinmargwe685 жыл бұрын
Dar kama mikoa mingine wangefanya kama huyu mheshimiwa nchi isinge kuwa masikini tungeendelelea haraka
@luganolusekelokajigili93435 жыл бұрын
We ni hatal Sijui kama Dada Joketi Anaweza kutenda kama ww unavyo tenda iringa huko
@ramadhanimmana38295 жыл бұрын
Kwan mikoa mingine c muige kutoka kwa ally hapy jmn mkuu wetu paul makonda na ss tunamatatizo yetu sema hampiti kutembelea majimbo
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
Fanya kazi KIJANA
@khalekichambo11315 жыл бұрын
Safi sana
@amrimalumbo17125 жыл бұрын
Mim na mim Hapy utakuwa Rais wa Tz
@naamohamed99645 жыл бұрын
Icho kichwa cha habari mie huku kicheko😃😃😃😃
@leokadiajuma12724 жыл бұрын
Daaah noma
@alikhamis95664 жыл бұрын
Cr mungu akubariki
@aleyslaim49355 жыл бұрын
ET Baunsa yani wizi
@marijanimohamed76195 жыл бұрын
Hakufanya makosa mheshimiwa Rais kukuweka mkuu wa mkoa unatetea wake wznyinge wanaostahiki kutetewa tunakuunga mno kwa hiko
@ayubujackson57825 жыл бұрын
unafaa kuwa Rais
@happyfiverickaldo46624 жыл бұрын
Tunakuwaga na mabaunsa yetuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-vh3yh2ec8r9 ай бұрын
Yn nyinyi ndo mtakao iongoza nchi iliyooza😊
@gracemwanjabala80735 жыл бұрын
jamniii plz naombeniiii no ya hapii mwenyeee no yake tafadhariii
@allykiwembo95535 жыл бұрын
Ally hap miaka yte ulikua wap kuja kutukomboa wana irnga
@jacksonshosi52465 жыл бұрын
Da!kuna wengine WAP huku mabaunsa
@joycemndeme16475 жыл бұрын
Duuuu safiii
@Crownvalz5 жыл бұрын
Huyu jamaa aje Dar kwa kweli...
@mishibakarikanwa30554 жыл бұрын
Mm ni mkenya lkn napenda kazi yako mwishimiwa
@salimabeid41704 жыл бұрын
HUYU NDIYO MKUU WA MKOWA WA IRINGA NI KIONGOZI WA KWELI
@amirilupembe21642 жыл бұрын
Gombea ulais mheshimiea nipo dar mabibo tunakuelewa sana
@zainabalothman53474 жыл бұрын
Uko vizuri kaka
@simonlulenga70625 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa Iringa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.. Maghufuli asante kwa zawadi ulotupatia wana Iringa. Ally Happy kiboko ya wakorofi Iringa. Safisha serikali, chama na mkoa wetu mwanakwetu Allyhapi. Unatukosha nyoyo sana wapenda haki na maendeleo Iringa. Mungu abariki uzao wako kaka!
@annaluvanda11685 жыл бұрын
oyeeeeeerreeeeeeeè Ally happy
@sharifachacha9785 жыл бұрын
mijizi hiyoooo sukuma ndanii
@zainaramadhan77694 жыл бұрын
miladi ayo daima wakuwachee
@shijemakenzi20472 жыл бұрын
Wakuu wengine wa mikoa jifunzeni kwa hapi na makonda wananchi wanadhulumiwa sana na wahuni wachache tu
@wahabmkazi79025 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa ameeleza wazi, hakuna ruhusa ya kupiga mnada mali ya mtu bila serikali kwa kupitia mkuu wa wilaya kujiridhisha. Tatizo liko wapi hapa? Mheshimiwa yuko sawa piga kazi mh Hapi