RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"

  Рет қаралды 727,156

Global TV  Online

Global TV Online

5 жыл бұрын

#RC Hapi#RCIringa
RC HAPI 'amtumbua' Daktari Hadharani "una matatizo nilishakwambia"
JESHI la Polisi mkoa wa Iringa limelalamikiwa na baadhi ya wananchi kwa vitendo vya unyanyasaji dhidi yao ambavyo vimedaiwa ni ukiukwaji wa haki za binadamu.
Wananchi hao wamemweleza Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi, wakati wa ziara yake ya Manispaa ya Iringa aliyotembelea mitaa mbalimbali akizungumza nia wananchi hao.
Aidha baada ya Mkuu huyo wa Mkoa kusikiliza malalamiko hayo ya wananchi juu ya Jeshi hilo la Polisi amelazimika kutoa maelekezo kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Iringa Yohana Mjengi.
bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.kzfaq.info FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1 / uwazi1 WEBSITE:
globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .

Пікірлер: 1 400
@dastansimpanzye5558
@dastansimpanzye5558 4 жыл бұрын
Daaaaa! safi sana Ally Happy viongozi kama hawa ni wachache sana. kama unamkubali huyu kiongozi gonga like
@patriciamkupasi8838
@patriciamkupasi8838 3 жыл бұрын
Ally Happy hongeraaaa
@mbutaleetz225
@mbutaleetz225 2 ай бұрын
Safi sana dkt hana hakiri
@mbutaleetz225
@mbutaleetz225 2 ай бұрын
Safi dkt hana akiri
@malynarda2682
@malynarda2682 5 жыл бұрын
Kama unamkubali rc ally gonga like I am the first
@deokimaro7177
@deokimaro7177 4 жыл бұрын
Piga chini mheshimiwa naona kama unataka kuingiwa huruma afai kabisaaaa
@davidevarist6371
@davidevarist6371 4 жыл бұрын
Jamaa kang'ang'ania mheshimiwa. Inatakiwa atubu amekosea sana wanairinga ,Ally oyeeeee
@ExavelMapunda
@ExavelMapunda 3 ай бұрын
@abdallahhamad4499
@abdallahhamad4499 4 жыл бұрын
Kama umesikia kigugumizi - gonga haraka like 💗 💗
@rahmasalum2130
@rahmasalum2130 4 жыл бұрын
Hahahahhahahahahaa
@nickisonikyando2431
@nickisonikyando2431 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@faustaamasy2482
@faustaamasy2482 3 жыл бұрын
😂😂
@user-uw4pu9nm1u
@user-uw4pu9nm1u Ай бұрын
😅🤣👍👍
@jumambwana7074
@jumambwana7074 4 жыл бұрын
Kama mnamkubali Rc Ally from Iringa , Rc mwanri from Tabora gonga like
@saloujohn3639
@saloujohn3639 5 жыл бұрын
wananchi hatuipendi nchi yetu kwa ajili ya mijinga kama hiyo upo sawa mkuu wa mkoa,,asante sana,,.sijui nikushukuru vipi ila tu mungu akubariki kwa kutetea mama zetu,dada zetu,watoto zetu wanakufa mkuuu
@danielmgomo717
@danielmgomo717 15 күн бұрын
Karibu hospitali zote nchini zinatoza hela kwa watoto chini ya miaka 5 ,wazee na wajawazito.Huyu mganga mkuu ni kamba imekatikia pabaya.Hakuna cha bure katika hospitali zote nchini.
@azizahabdalla2338
@azizahabdalla2338 5 жыл бұрын
Wallah najivunia kweli kutoka Zanzibar na kuja kusoma Iringa baba unajitahidi na mungu akusimamie kwa kila hatua inshaallah👏👏👏
@robertadolf7831
@robertadolf7831 5 жыл бұрын
Aziza Ali Abdalla mambo
@zezezeze8408
@zezezeze8408 5 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH nataman zanzibar watokee watu km hao .....wallah tutafadika na mola atatujazia neema
@agneskadzo6105
@agneskadzo6105 5 жыл бұрын
Wau very true Mheshimiwa Ally Hapi.. Good bless you... Iringa mko na bahati Sana Mungu amewaonekania
@karolishayo9338
@karolishayo9338 5 жыл бұрын
Kama unaangalia hadi sahi2019 gonga like
@godfreylonyoto9888
@godfreylonyoto9888 4 жыл бұрын
Tz is the best place to be good work
@zakayomtundiloporesanajoha7958
@zakayomtundiloporesanajoha7958 4 жыл бұрын
Ilinga mna bahati mbona kigoma hatupati viongozi kama hao Kuna mkuu wa mkoa tabora ni jembe kama unawakubari gonga like
@youngtada2118
@youngtada2118 5 жыл бұрын
RC u are the best all over the world 🌎 keep doing that 😛😇
@muzammilrajab5107
@muzammilrajab5107 5 жыл бұрын
safi sanna kaka pambana alagwa tuko nyuma yako Allah ndie mlinzi wako
@sarahlydia2635
@sarahlydia2635 4 жыл бұрын
Ameen
@bensonbaraza2145
@bensonbaraza2145 5 жыл бұрын
Nmefrahi Sana mkuu wa mkoa jinsi unavyochapa KAZI endelea hivyo hivyo, kutoka kenya
@dr.erickjmazyala8905
@dr.erickjmazyala8905 5 жыл бұрын
Wow, hali ni tete kweli, RC chapa kazi, mkiyaweka hayo waziwazi hata wengine tuliojisahau huku mikoa mingine lazima tuanze kujitathmini kwa maamuzi tunayochukua! Mungu azidi iongoza serikali hii ya awamu ya tano, Mungu azidi ibariki Tz!
@silisamachite3428
@silisamachite3428 5 жыл бұрын
nakuomba njoo kwetu baba
@estermpagama9664
@estermpagama9664 4 жыл бұрын
Dr. Erick J Mazyala uje moro
@atukuzwerobert5270
@atukuzwerobert5270 2 жыл бұрын
Kweli
@franckruzibiza1909
@franckruzibiza1909 4 жыл бұрын
I am from Rwanda ,so proud of sir!
@furahalunyungu936
@furahalunyungu936 5 жыл бұрын
Nakupenda bure MKuu wa mkoa!!!!!!
@hermanhermannkwatile3355
@hermanhermannkwatile3355 Жыл бұрын
Mbn huku kwetu hajawah kutoka bahati ya hiv
@mussaalphonce9322
@mussaalphonce9322 5 жыл бұрын
Big up to Mr All happy ct kuchapa kazi from busega simiyu
@yafangunda4524
@yafangunda4524 5 жыл бұрын
Jamani magufili alimtoa wapi huyu Ali Happ??
@atukuzwerobert5270
@atukuzwerobert5270 2 жыл бұрын
Acha tu natamani awe rais
@bjzee1981
@bjzee1981 5 жыл бұрын
Huyu itakua alisoma aliko somea uncle Magu 😂
@e.j.starelia5672
@e.j.starelia5672 4 жыл бұрын
Na ni kweli
@abubakarngaiywa1165
@abubakarngaiywa1165 4 жыл бұрын
Ally mungu akulinde
@agnesmashauzi4445
@agnesmashauzi4445 4 жыл бұрын
Tunakupenda..sana..Aly
@juliaslengai3323
@juliaslengai3323 4 жыл бұрын
Kweli uyu jamaa ni kiboko khaaa
@juliaslengai3323
@juliaslengai3323 4 жыл бұрын
Kweli wananchi wakikataa wamekutaa tu
@florianmwaibabile5308
@florianmwaibabile5308 5 жыл бұрын
Thank you brother Hapiii saruti nyingi kwako
@Ntambwe4040
@Ntambwe4040 4 жыл бұрын
☆☆☆ Hata Burundi tunahitaji wa kuu wa mikoa kama hawa☆☆☆ Tanzania oyeeee nyi ni mifano yakuigwa. Love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@malikamanara4076
@malikamanara4076 5 жыл бұрын
Kweli uongozi unawenyewee .alhamdulillahi hapa kazi tu
@luomusicchannelfromtanzani5650
@luomusicchannelfromtanzani5650 5 жыл бұрын
Nani amemuona mama aliefunga kilemba chekundu nyuma ya RMO. alivyo shilawadu.....😂😂😂😂😂😂
@leonardpetro1463
@leonardpetro1463 5 жыл бұрын
Hahaha mwanangu unafuatilia kinoma
@zuusaidibushiri5556
@zuusaidibushiri5556 5 жыл бұрын
Minene.mungu anakuona 😀😀😀😀😀
@asteriayohana3746
@asteriayohana3746 5 жыл бұрын
Hah hah
@khadijanjama9016
@khadijanjama9016 5 жыл бұрын
MINENE News Chanel Tv 😂😂😂😂
@chazzkessy2371
@chazzkessy2371 5 жыл бұрын
Hahahaaha shilawadu kweli
@thomasnyarusanda2608
@thomasnyarusanda2608 5 жыл бұрын
I aonekane Iringa pana shida. Inawakilisha sehemu nyingi nchini yakichunguzwa yataibuka mengi na makubwa. Iringa hoyee, mkuu wa mkoa Mh. Hapi ,hoyeeee big up. Wengine mikoani wanakataa bima za afya.
@saloujohn3639
@saloujohn3639 5 жыл бұрын
I love this...We need ppl like RC HAPI,MAKONDA NA MKUBWA WAO MAGUFULI..we beg u please change our country ,.this is soo good..ppl are eating our money for no reasons
@kenyalatelyupdatestv9770
@kenyalatelyupdatestv9770 5 жыл бұрын
Tanzania mpya Jameni, natamani sana hao viongozi mko nao wengekuwa wa huku kwetu Kenya walai, tukuwe na Kenya Mpya, Hongera Hapi, Hongera JPM.
@muddah7559
@muddah7559 2 жыл бұрын
Haiezi! Mkenya na shilling, nomaaaaaaa
@rosebundala965
@rosebundala965 5 жыл бұрын
Nimekupenda sana, Rais Magu akuhamishie Morogoro hospital Mheshimiwa.
@aminasaleh6134
@aminasaleh6134 4 жыл бұрын
duh huy mkuu wa mkoa nimempenda sana angekuw mume wang maan yupo sirias kabisa anatenda hak
@sarahlydia2635
@sarahlydia2635 4 жыл бұрын
Same here
@kingoman7895
@kingoman7895 5 жыл бұрын
Muheshimiwa kumbe mkali ww hahah..safi sana
@recholukasi1817
@recholukasi1817 5 жыл бұрын
Safi kabisa...
@stephenameeenlowoko323
@stephenameeenlowoko323 5 жыл бұрын
King Oman wakome!
@user-uw4pu9nm1u
@user-uw4pu9nm1u Ай бұрын
Kumeanza kuchangamka 🤣🤣
@gesyogongi5659
@gesyogongi5659 5 жыл бұрын
Kudis to RC, in Iri ga Tanzania,.I wish Kenyan RCs' could learn from this leadership. You are the man RC, Hapi. Be Blessed for standing up for the week and poor specifically the children and the women wanao nyanyaswa ulimwenguni. Hasante kwa kumshulikia huyo mama aliye nyanyaswa kishamba kwa sababu eti alikuwa adopted. Sante kwa ku aangiza haki yake apewe. Pongezi sanasana Ubarikiwe
@majaaliwajuma5512
@majaaliwajuma5512 4 жыл бұрын
RC Ally happy nakukubali ndani ya moyo wangu wewe nikijana mdogo kiumriiiiii Ila kazi unayoifanya nikubwa Ile mbaya ,hongeraaaa mungu akulinde
@datiabdallah6012
@datiabdallah6012 4 жыл бұрын
Kama umekisikia kigugumizi Cha ghafla gonga like
@minjaminjaukovizurdogo5187
@minjaminjaukovizurdogo5187 5 жыл бұрын
Asante sana muheshimiwa happy. Hapa kaz tuu
@nancykaseko
@nancykaseko 5 жыл бұрын
Asante ..Rc ..May God protect him in Jesus name..I pray 🙏Amen
@hamisirama7386
@hamisirama7386 5 жыл бұрын
Duhu!! Huyu ALLY api Natamani aje kua Mkuu wa mkoa wa Tanga
@angelpella437
@angelpella437 5 жыл бұрын
Hamisi umeona eeeeeee
@rayaqme6935
@rayaqme6935 5 жыл бұрын
Kweli kabisa mm mwenyewe nataman
@pendotitu7754
@pendotitu7754 5 жыл бұрын
Hamisi Rama 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂aje hospital ya bombo maana wanatukera sana unakuta unamgonjwa ila hautakiwi kulala nae mgonjwa apambane na hali yake
@dandeenndandeen3047
@dandeenndandeen3047 5 жыл бұрын
Kwel yaan me nlikuw nawaz hivy hivy,, na akija wote hawana kaz
@tz5454
@tz5454 5 жыл бұрын
Tuachie mkuu wa mkoa wetu😕
@estakapufi2582
@estakapufi2582 5 жыл бұрын
Kaka yangu piga kazi Mungu azidi kukulinda unajuwa kutetea wanyonge
@frankmitande8764
@frankmitande8764 5 жыл бұрын
You are the best indeed big up Mh.
@e.j.starelia5672
@e.j.starelia5672 4 жыл бұрын
Natamani mkuu Wa mkoa Wa Manyara aige kutoka kwa mheshimiwa Hapi,,, Hapi is the best leader,,, uongozi wa Magu uko Imara sana,,,,,nadhubutu kusema Rc hapi yuko kama Magufuli,,, huku simanjiro kuna vijidaktari vinatakiwa kutumbuliwa mana wamefanya hospitali za serikali kama nyumba zao,,,,mkuu wa mkoa Wa Iringa God bless you!!!! Then mkuu Wa mkoa Wa Manyara tembelea wilaya ya Simanjiro kata ya oljoro no5 kijiji cha oiborkishu kuna madudu ya kufa mtu tena bora ya huyu doctor Wa kutoka Iringa yana nafuu,,, huyu Wa huku anajifanya Mungu kwa wananchi na kusahau kwamba yupo kazn
@user-we3or9ol4o
@user-we3or9ol4o 5 ай бұрын
HAPO SINA CHA KUKUPA 👍💯, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO
@marijanimohamed7619
@marijanimohamed7619 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😉😉😉 noma anatumbuwa majipu kama magufuli
@williamkipondamali1936
@williamkipondamali1936 5 жыл бұрын
Huyo ndio Rais wa Mkoa bwanaaa safi sana Ally Hapi
@jamilakizya7792
@jamilakizya7792 3 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa anafanya kazi vizuri sana mungu akusimamiye na akupe umri mrefu na akulinde na mahasidi unafanya kazi nzuri sana mheshimiwa
@Pappyoffical
@Pappyoffical 5 жыл бұрын
Wanatuuniza sana awa binafsi respect zangu zote serikari awamu ya tano tunaomba mzdi kukaa kalibu nawananchn
@mamafatuma138
@mamafatuma138 5 жыл бұрын
Jamani naomba viongozi wa Kenya ebu jifuzeni kitu nimependa sana
@geresonochieng7098
@geresonochieng7098 4 жыл бұрын
Umeona hata mimi nimeipenda tunaomba uhuru wetu afanye hivi wanao muharibiya raisi wetu hapa kenya
@allybaraza2923
@allybaraza2923 4 жыл бұрын
Hata kwetu wapo mheshimiwa
@jeremymakokha4797
@jeremymakokha4797 4 жыл бұрын
Napenda vile Tanzania inaongozwa.....Najihurumia mm mkenya
@sanjafarmmachinerystractor4205
@sanjafarmmachinerystractor4205 4 жыл бұрын
Court mashinani
@sanjafarmmachinerystractor4205
@sanjafarmmachinerystractor4205 4 жыл бұрын
Good wapi wa kenya
@ibnabou1886
@ibnabou1886 5 жыл бұрын
Hakuna kona sema matumbo tumeweka mbele sheria nyuma bas, kona za nini? RMO kaongea ukwel ahsant mzee wang.
@frankwilliam438
@frankwilliam438 2 жыл бұрын
Safi baba kaz unaindeleza ipasavyo 😂😂mungu akulinde na akupe maisha marefu 🙏🙏🙏
@marianuswilla4814
@marianuswilla4814 5 жыл бұрын
Uongozi uliotukuka. Ahsante Ally, mkuu wa mkoa Iringa. Marvelous leadership
@salvatorypaul6119
@salvatorypaul6119 5 жыл бұрын
Yes!! We need people like this!! Speak up RC
@marijanimohamed7619
@marijanimohamed7619 5 жыл бұрын
Yani RAIS MAGUFULI VIONGOZI. KAMA. HAWA INGEKUWA HAKUNA MALALAMIKO KWA. WANANCHI YANI HUYU MKUU WA MKOWA NOMAA ANAWAJIBIKA IPASAVO
@patricejacob2285
@patricejacob2285 5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa mungu akutangulie
@patricejacob2285
@patricejacob2285 5 жыл бұрын
Ningemwomba mheshimiwa rais uje hapa manyara maana ni zaidi hapo
@janethjustin5256
@janethjustin5256 5 жыл бұрын
Marijani Mohamed kabisaaaa
@johirhossian9257
@johirhossian9257 4 жыл бұрын
Shikamoo baba
@saidasimba9979
@saidasimba9979 5 жыл бұрын
Ata mm nimelipishwa elfu 50,000/= hapo gvmt juzi nilimpeleka bibi yangu na bado kalazwa pale ad sasa
@munirdatisha684
@munirdatisha684 4 жыл бұрын
Nakukubali sana kaka nafatilia sana habari zako fanya kazi kaka wananchi wapate haki zako kaka rc
@mahingilasambichuma1369
@mahingilasambichuma1369 5 жыл бұрын
Uko Sawa Mh RC kwa kwani umefanya Utaratibu ili mamlaka husika zichukue hatua. Huo ndio Uongozi dhabiti 👏👏👏
@emmanuellubadisha3170
@emmanuellubadisha3170 5 жыл бұрын
Naelewa Kwmba Kuna viongozi na watawala big up mh. piga kazi ww ni kiongzi nandomana wasikiza kero Za wananchi wako
@alexoyombera6763
@alexoyombera6763 5 жыл бұрын
My friend your a good leader and those people they shoul be in prison.
@callgodbaraka9904
@callgodbaraka9904 4 жыл бұрын
Uwiiii nimekupenda sana waziri mungu akutie nguvu na kukulinda
@samueljr9105
@samueljr9105 5 жыл бұрын
RMO hazitaki hizo microphone na dactari anazichukua haraka maana anajua kibao kiko kwake😂😂😂😂😂😂😂😂l LOVE you mkuu wa mkoa
@kidawaabubakari8142
@kidawaabubakari8142 5 жыл бұрын
Safi sana mueshimiwa Ally happy wamezoea mpenafasi yakufagia huyo
@suzanmgaya4323
@suzanmgaya4323 5 жыл бұрын
Mungu akubariki ally hepi uishi maisha marefu
@alexmatt9504
@alexmatt9504 2 жыл бұрын
Huyo ndiye Ali Hapi kiongozi anayejiamini na kutendea haki wadhifa aliopewa,inatakiwa RC uwe mtatuaji matatizo kama hivi na sio kubweteka ili mradi unapata mshahara wako na kusahau kwamba wanaokulipa wanateseka na hawapati haki zao inavyosihili. Hata kwa Mwenyezi Mungu ujue huna dhawabu yoyote na unailisha familia yako sumu.
@miriammande8325
@miriammande8325 5 жыл бұрын
nampenda uyu mkuu wa mkoa jaman ninampenda sana mfikishieni salam zangu mnao mfaham
@rasulymwalukuta1004
@rasulymwalukuta1004 5 жыл бұрын
Nampa salam tunaswali nae sana iringa
@carinamatt1031
@carinamatt1031 2 жыл бұрын
Sio peke yako mimi mwenyewe namuelewa sana
@angelavayinga914
@angelavayinga914 5 жыл бұрын
Iringa hoyeeeeee mimi ni mnyalu asilia na wanyalu wenzangu gongeni like hapo basi..
@Mariam-ez4qw
@Mariam-ez4qw 5 жыл бұрын
Angela Vayinga oyeeeeeee
@lukindomagembe3374
@lukindomagembe3374 5 жыл бұрын
Chaz paschal
@lukindomagembe3374
@lukindomagembe3374 5 жыл бұрын
saf sana
@sundaymakungu2500
@sundaymakungu2500 5 жыл бұрын
Wanasiasa watatupeleka pabaya
@issamwansasu8323
@issamwansasu8323 5 жыл бұрын
Xf
@user-lf3lf5sw5h
@user-lf3lf5sw5h 3 ай бұрын
Daaaa nimekukubali kaka watetee wanyonge kama ss ningependa ufike arusha ❤
@fatemafatema4780
@fatemafatema4780 2 ай бұрын
Ahsante sana mkuu wa mkowa kwa kazi nzuri
@frankjonas1094
@frankjonas1094 5 жыл бұрын
Good,, Mambo mengine Ili yaende anatakiwa apatikane kiongozi Mwenye maamuzi magumu sanaa!!.....
@issaramadhani9714
@issaramadhani9714 5 жыл бұрын
Sahihi kaka,Uongozi ni jambo kubwa sana na dhamana kubwa sana kwa ajili ya kuihudumia jamii ipate haki zake.
@maulidyyahaya9881
@maulidyyahaya9881 5 жыл бұрын
dar uyu jamaa noma sana allah amjaze nguvu aweze kuwapigania wanyonge
@daughterofgod9185
@daughterofgod9185 5 жыл бұрын
Asante sana Mh. 🙏🏽
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 4 жыл бұрын
Hospitali nyingi nchini wanadai hizo hela wafuatiliwe wote
@fatemafatema4780
@fatemafatema4780 2 ай бұрын
Muheshimiwa mkuu wa mkowa hongera sana mungu akubarik❤❤
@osianaakimu9332
@osianaakimu9332 5 жыл бұрын
Hiyo video imenikera sana na hao wananchi hawajitambui kabisa, siasa kila mahali; poleni madaktari wangu Mungu aendelee kuwapa ujasiri.
@ramadhanathuman5119
@ramadhanathuman5119 5 жыл бұрын
Shikamoo mkuu wa mkoa iringa magufuli hajakosea kukuweka ww
@alfredmwangi9127
@alfredmwangi9127 5 жыл бұрын
How I wish ungekua huku kwetu Kenya.... Corrupt leaders are all over... For one to get service from any office lazima ulipie/hongo
@josephinenanyaro3877
@josephinenanyaro3877 4 жыл бұрын
Mungu akubariki baba
@edwindaniel7306
@edwindaniel7306 2 жыл бұрын
Ally hapi hongera sana kwa utendaji wa kazi nzuri hakika mwenyezi mungu atakulipa hakika ww ni mzalendo mtetezi wa wanyonge
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 5 жыл бұрын
Brother kachachamaa kweli kwelii
@omarimsangi3136
@omarimsangi3136 5 жыл бұрын
Ally upo vizur Sana yaan hayo madudu walizoea ..piga kaz nakukubali Sana unatetea wanyonge ambao walikosa pa kuyaongelea
@marwa2862
@marwa2862 5 ай бұрын
I really like this kind of leadership
@isunga1964
@isunga1964 4 жыл бұрын
😆😆😆hao sukuma ndani wote mbunge mtalajiwa hongera sana kaka Happy nani mwngine yupo hapa 2020
@zachariamishai7258
@zachariamishai7258 5 жыл бұрын
Tatzo la huyu dokta hata kuomba msamaha hajui😞 anazid kuongea tu yale yale na nd yanayopingwa na Mh; Hapi😄😄😄
@ramsokhamis9262
@ramsokhamis9262 5 жыл бұрын
Yaaan uyuu cijui mkingaaaa mbishi kinoumaa alafuu mgumu kuombaa Msamahaaa ili yaishee next Tim warekebisheee.. 🤔🤔
@theresiakaruhanga9502
@theresiakaruhanga9502 5 жыл бұрын
Ramso Khamis aombe msamaha ili iweje. who is Ally hapi by the way??
@hongeramgaya714
@hongeramgaya714 4 жыл бұрын
@@ramsokhamis9262 dharau na kutomua wajibu wake.he deserves it
@mdasad2148
@mdasad2148 4 жыл бұрын
Tumbua hao mkuu wa mkoa
@ridhwansaad5017
@ridhwansaad5017 4 жыл бұрын
Umeona ee
@EK-kp2np
@EK-kp2np 5 жыл бұрын
Jamani, yaani ni mzito kuelewa huyo jamaa, anaambiwa anakiuka sera anang’ang’ania anaongeza mapato, ni mgumu sana maskini, haelewi na haombi radhi
@jennyjonas1359
@jennyjonas1359 5 жыл бұрын
hata Dodoma hivyo hivyo inauma sana
@zuberimkakatu8098
@zuberimkakatu8098 5 жыл бұрын
Safi sana rc happy kaza mwendo
@mpenzizayumba1863
@mpenzizayumba1863 5 жыл бұрын
Kulipia ni haki yetu msiwachafue madaktari na wauguzi inapobidi lazima kulipa msiwadhalilishe mnawapa stress.
@EK-kp2np
@EK-kp2np 5 жыл бұрын
Mpenzi Zayumba taifa limekubaliana KUTOWALIPISHA watoto chini ya miaka 5, wazee zaidi ya miaka 60 na wajawazito, yeye anawalipisha, hilo ni kosa
@mpenzizayumba1863
@mpenzizayumba1863 5 жыл бұрын
Shida ni hiyo kuwa wazee na watoto hawalipi hilo sawa ni kosa.
@douglaskombo5773
@douglaskombo5773 2 жыл бұрын
Am following this guy from kenya 🇰🇪 in future he can make a very good president
@samuelimori5711
@samuelimori5711 3 жыл бұрын
Hiyo nchi yetu iliko kuwa. Mungu ahusike kuisaidia nchi.
@mdidiomari7351
@mdidiomari7351 5 жыл бұрын
Hospital nyingi zinafanya hivyo Amana Tumbi
@hafsamichael246
@hafsamichael246 4 жыл бұрын
Akamwagezege hafai atamalizia hasira Kwa watoto
@peterrobert1799
@peterrobert1799 5 жыл бұрын
Hapi in kiongoz mzur sana nampenda anasimamia haki
@lucyjoseph5199
@lucyjoseph5199 5 жыл бұрын
hongera cna kaka rc kwa kazi nzuri
@norbethngailo6604
@norbethngailo6604 4 жыл бұрын
Aliomuona mama langi mbili I like
@nickisonikyando2431
@nickisonikyando2431 3 жыл бұрын
😆😆😆😆
@rajabungereza8755
@rajabungereza8755 5 жыл бұрын
Wakuu wa mikoa wangekua kama mkuu wa mkoa Iringa Tanzania tungekuwa mbali xana
@asteriambwei3349
@asteriambwei3349 4 жыл бұрын
Wakuu wa mikoa mingine nafikiri wako likizo wanatakiwa wamwige mkuu wa mkoa iringa happy
@doramarcel1013
@doramarcel1013 5 жыл бұрын
Kila nikaangalie video za RC Ally Hapi huwa nasemaga shinyanga inahitaji kiongoz kama huyu
@michaelfaustin1777
@michaelfaustin1777 5 жыл бұрын
Halafu kuna watu wasio na akili wanasema eti wanadhalilishwa wakati wanapora haki za watu
@mwanduchuma6189
@mwanduchuma6189 5 жыл бұрын
Dora Marcel tunakuomba uje shinyanga huku ni shida
@begumchunnyrazafinjatovo9378
@begumchunnyrazafinjatovo9378 5 жыл бұрын
Shinyanga kuna matatizo mengi mno, tunahitaji mkuu wa mkoa kama huyu.
@agneskadzo6105
@agneskadzo6105 5 жыл бұрын
Dora Marcel Kenya pia
@happybruno1764
@happybruno1764 4 жыл бұрын
Duuuuuu upanga hukata bila huluma kama wew usivyo na huluma na watoto
@kusinimediatz6747
@kusinimediatz6747 4 жыл бұрын
''Mh, mkuu wa mkoa kama nilivyokuambia lengo letu lilikuwa ni kuboresha huduma'' ha ha ha ha ha ha hongera sana RC Region commissioner Mh ALI HAPI tunapenda viongozi kama wewe unayechukua mahamuzi papo kwa papo Allah akuongeze vyema katika uongozi wako mungu ibarika Tanzania mungu tubariki watanzania
@shadyahamad3724
@shadyahamad3724 2 жыл бұрын
Mtetez wa wa nyonge mungu azidi kuku pa hekima nabusara akupe mwisho mwema kazi nzuri
@azezaalkh8536
@azezaalkh8536 5 жыл бұрын
Asanteee Rc mkoa waIringa hawa ndio viongozi tunaowataka RC shikiria KBS
@hassankitulotvsproduct8627
@hassankitulotvsproduct8627 5 жыл бұрын
Sikuhizi selekari imekuwa kama kambale kila mtu baba
@hassankitulotvsproduct8627
@hassankitulotvsproduct8627 5 жыл бұрын
Hawa ni watumishi ni vizuri hekima ikatumika
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 5 жыл бұрын
Muende na mbeya jamaniiiii,heshima na utu lazima ujengweee,wameshikwa pabayaaaaa
@reemangoko2550
@reemangoko2550 4 жыл бұрын
Hongera baba aliy happy Mimi ni mzaliwa wa iringa ni kweli wanalipishwa hera kwa watoto wadogo hapo
@mscantraah8210
@mscantraah8210 3 жыл бұрын
Very good god bless 🙏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@happygw6930
@happygw6930 5 жыл бұрын
Well done mkuu wa mkoa yaani watanyooka tu
@abdallahissammeta241
@abdallahissammeta241 5 жыл бұрын
Safi sana Brother hawa wanaojiita wataalamu na kuhisi hakuna Mbadala wao wanatuhujumu na kutuchonganisha kati ya Serikali na wananchi...Big up and Salutes Bro
@hb.johnson8105
@hb.johnson8105 5 жыл бұрын
mtanyooka kushabikia mambo yasiyo yakitaalam
@boniphasmvungi9807
@boniphasmvungi9807 5 жыл бұрын
Nawewe kasome tukuite mtalamu tatizo hamkusoma hahaha
@godlistengibson854
@godlistengibson854 5 жыл бұрын
Ngoja afukuzwe uone kama kuna mbadala
@joelosano8570
@joelosano8570 4 жыл бұрын
watching from Kenya. nafwatilia kwa kina mienendo ya Rc Ally Gomba. kwa ukweli mwenyezi Mungu amewapa viongozi...
@bellutbellut3049
@bellutbellut3049 2 жыл бұрын
Mkuuu wa mkoa Ally Happy Nakukubali sana .Mama mpe Uwaziri .huyu ni mchapa kazi hodari
@dainesigebo7019
@dainesigebo7019 5 жыл бұрын
jamani naomba mje mwanza tunashida sana hosptali ya butimba
@hb.johnson8105
@hb.johnson8105 5 жыл бұрын
Ahahaha bonge la jembe dokta Pengo lake kubwa tunaosoma namba iringa mh kavuruga
@tinasodom5177
@tinasodom5177 5 жыл бұрын
Safi sana nakupenda sana iwe fundisho kwa wote
@moshillinde6835
@moshillinde6835 5 жыл бұрын
Hapo ndugu yangu mkuu wa mkoa unahaki zote, niko pamoja nawe, tuwakilishe vyema vijana wenzio.
@hildadaudi6109
@hildadaudi6109 5 жыл бұрын
Hi ni consultation fee I guess,which is higher in referral hospitals..consultation fee hospitali ya taifa Ni 25000/= referral hospitals Ni 10000/= na ndio maana ikaitwa hospitali ya rufaa. And hii Sera ya watoto bure...what the heck ...can someone please tell me sehemu inayotekelezeka. Newborns wenyewe wakiumwa wanalipa. And by the way huyo doctor anafanya kazi Sana Tena Sana ...muda mwingi analala hospitali. Ana fundisha madaktari wa undergraduate and postgraduate hizo surgery na hakuna major surgery inafanywa na residents without chief surgeon..anaatend emergency operations which some take hours and hours yet he plays administrative roles. Mi nahisi wengi hawafahamu ..Ni kwamba tu madaktari hawana Maneno mengi😡
@allymustapha2033
@allymustapha2033 5 жыл бұрын
good kiongozi
@marysulle4312
@marysulle4312 5 жыл бұрын
Mkuu we ni wa mfano nimekupenda bure
@REMMY962
@REMMY962 2 жыл бұрын
I think JPM left him here to be a Tanzania president soon in the future. RC PAPI will continue where JPM left left the work!
@samsonkaboko5137
@samsonkaboko5137 5 жыл бұрын
Magufuri oyreeerr Asante Mungu wangu
@mcrahaleo688
@mcrahaleo688 5 жыл бұрын
Nimeguswa sana na ww Mkuu wa Mkoa Iringa...hakika hospital za serikali za mikoa ni chombo cha kuwapigia pesa,kila leo watu wanakufa kwa sababu ya kukosa pesa na serikali inatoa maelekezo kuwa matibabu ni bure kwa watoto na wazee.... I wish ungekuwa waziri ili uje pia na huku Arusha maana tunanyanyasika sana
@jeniphermassawe3037
@jeniphermassawe3037 5 жыл бұрын
Mc Raha Leo ndugu mimi kidogo nimpoteze mwanangu kalolen na maunt meru walinifanyia kitu cha ajabu bila ela mtoto atibiwi,toka hapo mimi na hizi hospital hapana sitaki kusikia kabisa
@bukavutv8794
@bukavutv8794 5 жыл бұрын
IVI NJO INGETAKIWA NA CONGO IKUWE IVI. KUWA NA FIEKA BA MWIZI KAMA AWA.
@nickisonikyando2431
@nickisonikyando2431 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@saumuabdi5954
@saumuabdi5954 5 жыл бұрын
Mungu wangu Kama magufuli kabisa Safi Sana mtetezi wawanyonge napenda Sana nnchi yangu muheshimiwa hapa kazi tu
@georgeabala1559
@georgeabala1559 4 жыл бұрын
Tungekuwa na viongozi kama hawa Kenya.. Tanzania mnayo baraka. Uozo uliopo kenya ni ndoto mbaya ya ajabu
@tatually68
@tatually68 5 жыл бұрын
Mashallah upo vzr sana haki sawa miakaihi mungu akupe uhai mlafu
Usiku wa Kuamkia Leo RC Hapi amuweka Ndani Diwani CHADEMA, KISA?
25:35
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 8 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 37 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 12 МЛН
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 12 МЛН
Mzee Anena MAZITO kwa RC HAPI kwa Kubomolewa NYUMBA
53:22
Global TV Online
Рет қаралды 81 М.
"NENDA KAMKAMATE SASA HIVI, UMUWEKE NDANI HARAKA" - JPM
8:41
Global TV Online
Рет қаралды 1,1 МЛН
DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
11:32
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 8 МЛН