Makonda ni mtoto wa magu ukute anafata nyayo zote👏👏👏
@bongo59146 ай бұрын
namuona magufuri 💯
@barakarobert10296 ай бұрын
Dawa hatar sana yaaan makonda wananchi wanamuamini makonda kama rais JPM hatar sna
@eaglecrown11016 ай бұрын
Asante Sana. Mheshimiwa Paul makonda shikilia hapohapo
@user-wu9zz1bm9h6 ай бұрын
Makonda mungu akubariki sana haya tuliyamiss sana watanzania masikin Leo wanapo pakusemea zidi kumsaidia mama ktk kutafuta haki za wananchi mungu atakubariki raisi wetu mtarajiwa baada ya mama Samia kumaliza miaka mitano Tena insha Allah
@user-ps1fx2qs6h6 ай бұрын
Kaka yangu mungu akubariki sana umekuja kumaliza kero zetuu
@goodlucktarimo61706 ай бұрын
Tumeipenda wenyewe chaguo letu milele acha waisome namba eeeee
@JumaMadebe-gp7ov17 күн бұрын
Makonda, pole aisee, duh mbona hii kazi ngum sana, duh,
@ramadhanimaricha37996 ай бұрын
Taarifa za gongo😂😂😂katoe taarifa za mafisadi achana na gongo za walala hoi😊😊
@fredybanda28616 ай бұрын
Gongo sio nzuri mkuu
@user-pq1tk3js2f6 ай бұрын
Mungu akubariki kijan mwenzang kwa mambo unayofanya hakika una hofu ya Mungu
@tingathebest6 ай бұрын
Hongera sana kwa kutukusanyia yanayo jili katika ziara nchini❤
@shikuhata6 ай бұрын
Hekima kubwa akili nyingi uwezo mkubwa. Much appreciated baba kiagan
@deckyidrissa8855Ай бұрын
Mimi niko apa congo Dr nafata saana mambo ya makonda anavyo tetea watu kweli imenipa fulaa
@vickysteven11726 ай бұрын
Mungu akutunze makonda
@alimwafisi66596 ай бұрын
Wow kumbe tanzania wsko ivyo
@mahelaolban82246 ай бұрын
Safi saaana chama langu hilooo
@EliasMwasambili-hu6ph6 ай бұрын
Safi sana afande uko sahihi wewe umekwenda kambini sio kwake hapo ni kambini
@JumaMadebe-gp7ov17 күн бұрын
Duh!! Hicho chuma! Noma njoo na morogoro, mzee
@humaidalnaamani78596 ай бұрын
Duu huyu mama mbishi vipi hajaenda kwake huku anasema nyumba iko katika mpaka wa police
@omarybakunda25546 ай бұрын
Polis acheni izo.
@frankngoloka54166 ай бұрын
Askari wananyanyasa sana raia makonda fanya kazi yko
@EdwardOkembaАй бұрын
Hawa wananchi wa Arusha kero zao hazikomi rc mbona utakonda kwa siku chache hizi ambazo umekaa hapo jamani
@Mrugurudigitalsolutions6 ай бұрын
Hatuitajii kuwa na vyamaa vingi kama tutakipata kimoja kikaamuwa kuvaa uzalendo wa nchii mfumoo wa vyama vingi kamwe hatutoboii
@kamanapomo70296 ай бұрын
Sahihi
@mejamiela74362 ай бұрын
Nakubali
@seif34016 ай бұрын
Hivi wale walioiba tirioni200 wamechukuliwa hatua gani
@user-em7dw3li4d6 ай бұрын
Nimeipenda hii kwa kweli police huyu mwongo hata maswali hamjui kujibu
@GreceMwalende24 күн бұрын
Wasenge Sana nchi hii haonii hata aibu kunibu
@showshowtv1854Ай бұрын
paul makonda nakuombea uchaguliwe wazir mkuu wa nchi ili uinyoosheTz mzma
@AllySelemani-ne5wv2 ай бұрын
Makonda wewe ni mwambaaa hamia dodoma ukiwanyosha arusha
@PhilipoMwasha6 ай бұрын
C.c.m imeoza!
@fredrickbaryagati21946 ай бұрын
Nakupongeza kwa iro makonda kwa maporisi
@JosephKaka-nh3coАй бұрын
Hapa naona mungu kamleta magufuli kisiri siri
@MatronaThomas-wz5si6 ай бұрын
Mama uko vizuri sana unafaa Kesho si maeneo ya kuvamiwa
@GraceMhoja-zc7yg6 ай бұрын
Mhhhhhhhh
@richkaja33176 ай бұрын
Makonda watamumanua sio mda sanaa
@richkaja33176 ай бұрын
Huyo mama anaogea nn achia maiki
@margarethpolepole74386 ай бұрын
Mbaya wewe mwanamke Polisi una roho mbaya
@merckmdamu29426 ай бұрын
Jpm staily🔥🔥🔥🔥makonda
@JohnManyilizu-jz2qu6 ай бұрын
Mwizi anaeleza mwizi wanajitafutia pesa kwa kupika gongo maana maisha magu
@solomondanny-15076 ай бұрын
Sijaelewa hii ya katibu wa chama wa wilaya kuhusu chama kuchukua hatua😮😮
@barakampenja-to4sm6 ай бұрын
Kuna mda mwingine ccm iko vizuri lkn mda mwingne no ndo wezi wakuu
@user-nz6vm4oe9f2 ай бұрын
Makonda mheshimiwa mung akulinde na akupe siku nyingi za kuishi
@PetroMaiko5 ай бұрын
❤❤❤❤
@rabielkaaya37646 ай бұрын
Any way
@daudkhatib-qn5tr6 ай бұрын
Iloo dada lisura mbaayaaa kweliii 😊
@user-qk9iz5lt8qАй бұрын
Hawa ni majambazi ndio maana wanakimbia na mabango, na serikali ya ccm kwanini imemuondoa makonda kwenye nafasi hii? Wanataka uchafuzi uendelee? Je huu ndio utawala boraaaa?
@salumjumaruhaga25136 ай бұрын
Innalilahii wainnailaih rajiuuni
@barakamfilinge69436 ай бұрын
😢
@idrissaabubakari8596 ай бұрын
Kama upo kalibu na uyo mama police mpige kibao kimoja
@amonymzawaaa89346 ай бұрын
Hapana, amejibu vema sana binafsi nmemuelewa na amezingatia maadili ya kazi
@AlfaniAlmasiАй бұрын
Naongea kutoka didis pabu apa Fanya kweli uwe raisi wanchii
@JescaSimon-sg3rtАй бұрын
Jaman ndugu zangu wa katesh kazeni buti
@MwanaishaShattry6 ай бұрын
Uwe Raisi Makonda tunakupenda
@user-ec8zv7lq8y6 ай бұрын
Nchi hii bado shida kubwa
@daudkhatib-qn5tr6 ай бұрын
Wewe dada sema ukweli polisi hamutendi haki kwa raiya
@zuanshimchina22786 ай бұрын
Makonda Makonda Makonda Tanzania sio ila ya 60 au 70 Tanzania ya ss inauelewa eeeee Mungu kitukuu changu kiwe na Subra kwasababu kizazi hicho kitakuwa chenye hasira kali sana
@salumjumaruhaga25136 ай бұрын
Mpaka bango jamani
@hemedjackson22614 ай бұрын
Mathias bwana kazinguwa😂😂😂
@GraceMhoja-zc7yg6 ай бұрын
Jamn maskin tunateseka
@user-de2rg9kk7u6 ай бұрын
SAMIA Amna kiongozi hapo, MAKONDA kidogo wew ni kiongozi
@tashone78846 ай бұрын
Anafanya kwa maelekezo na Baraka za Raisi
@Mrugurudigitalsolutions6 ай бұрын
Kama ccm imeamuwa kuamka basii mungu kaikumbuka nchi yetu, hii nchii haiwezi piga hatua kama ccm haijabadilika
@user-nt4mw7zm7d6 ай бұрын
Ccm Tuokoeni jaman
@user-tn2cd3rr9o6 ай бұрын
Njoo Baba jamani mang'ola karatu jamani
@user-nt4mw7zm7d6 ай бұрын
Tatizo pesa tulizo tafuta kwa Jasho letu sasa tuishi je Tanzania jaman
@kjb_user00776 ай бұрын
Hii inchi imejaa uozo
@evaemil8566 ай бұрын
Nasikitika, nakipenda chama changu cha CCM lakini sipendi uozo uliojaa kwenye viongozi wa juu wa serikalini. Hii yote ni kwa sababu ya ukosefu wa maadili, kutokufuata sheria, kudharau wananchi na kujifanya wao ndiyo Mungu wa pili. Sasa matatizo siku zote kila mwaka no hayo hayo hayaishi. Wananchi wanaonewa na kudhulumiwa mpaka wengine wanakufa. 😢 Acha tuwaachie CHADEMA tu for 5 years watuonyeshe mambo siyo site miaka 60 na bado tunamtamani mkoloni arudi.
@NicholausAlois6 ай бұрын
Makonda usilazimishe mambo
@dotojohn93166 ай бұрын
Kama hujui nyamaza
@mdemualphonce15596 ай бұрын
Huyo kiongozi wa polisi anasema hapajui kwawananchi halafu anasema amejenga eneo la polisi anajuaje naye hapajui?
@muhmmadilutando95616 ай бұрын
We jamaaa ni hatari weka mbali na mafisadi
@jacksonmbonea74116 ай бұрын
Mheshimiwa Naona ukiwakiongozi mkubwa hapa nchini,piga kazi
@user-tn1bn5ou2i6 ай бұрын
Malinda upo vzr hawa polisi wetu mm hata cjui kweli mafunzo wanajifunzia wapi mbona siyo waaminifu kwa Nini mm naona polisi niea serikali maana waonevusana laia wanapata taabu nao sana
@AllySelemani-ne5wv2 ай бұрын
Huyo askari anababaika, kibanda anaionaje ? Halafu anasema hapajui kwake??!!
@AlfaniAlmasiАй бұрын
Acha kutetea mwenyekit
@bennie72396 ай бұрын
Siasa tu hamna kitu hapo..
@DaimaNyakunga-jb6do6 ай бұрын
Hao nda wara rushwa wa tanzania hakika tunaumizwa na hawa asikari
@AlfaniAlmasiАй бұрын
Kaka unafa uhalisia ama nisiaas tu izi?
@selemanimvungi72596 ай бұрын
Katibu mwenezi kuna wilaya umeziacha haswa simanjiro Ina changamoto ya migogoro ya aridhi viongozi wameshindwa kutatua migogoro nada yake wao ndio wanachochea migogoro kewa mslahi Yao
@ishipalemypasco25676 ай бұрын
Kwamba tunaweza kulewa jua kali hahaaa makonda bana😂😂😂😂
@baghabaghaingwengwe17506 ай бұрын
Aibu una pora bango liloletwa kiongozi alisoma ni dharau kwa mwenezi
@ahmadiomari69136 ай бұрын
Amebomolewa aisee hapo ni tumbua tumbua tu. Vp abomolewe kwa kuonysha gongo
@salummohamed26896 ай бұрын
Nani anakimbilia huko
@salumjumaruhaga25136 ай бұрын
Kwako DJ musondo
@amonymzawaaa89346 ай бұрын
Uyu dada ni askari, nimemkubali sana.....usilazimishe kujibu swali ambalo hauna majibu sahihi
@raphaelmlewa19016 ай бұрын
Kwann hawakuvunja mapema kabla ya kutoa taarifa ya wauza gongo au ilikuaje wakamuacha kajenga mpaka wameanza kuishi? Jaman
@malkavoice25706 ай бұрын
Makonda amekuja kuendeleza kazi ya magufuli kinyume na sheria akiamini kwamba atapewa uraisi jamani watanzania msije mkaingia mkenge Nchi haiendwahwi kwa maamuzi ya kiujanja inahitaji utashi na elimu iliyo nyooka. Hana tofauti na Iddi Amin mpeni Nchi mtanikumbuka. Ccm wenyewe atawanyonga na anaweza kufanya maamuzi ambayo yatatugarimu hatari. Tuwe makini sana na huyu mwamba. Hapo anazuga tu lkn shida zenu zinaishia hapo hapo akiondoka tu.
@chriskudilla53556 ай бұрын
Maamuzi yapi ya kiujanja? Makonda kakosea nini mpka hapo kusikiliza wananchi?
@user-tm9oh9us2u5 ай бұрын
Huyo si asikati bali ni arishababu
@erickchitumbi13086 ай бұрын
Chama makini hulinda ustawi wa wananchi waliowapa dhamana ya kushika nchi.ccm mbele kwa mbele.
@hamiduchingi26726 ай бұрын
Watumishi tumieni nafasizenu vizuri watanzania sio wapumbavu niwastaarabu Sana nawapendaamani sana lakini awapendi kuonewa nawanapoamua WANAAMua kwaiyo musiwadharau kwaukimyawao wananchi watanzania niatali Sana siku wakiamuwa wateule mutatafuta mashimo, kwenyemaendeleo yanchi muache siasa😂😂😂
@user-em7dw3li4d6 ай бұрын
Hii ndo ccm tunayo itaka sio uhun uhuni
@MwigaKatumpula-mi3zt6 ай бұрын
Huyo mzee ni jau Sana ni zaidi ya mchawi maana ana roho mbaya sana Tena sana ☹️☹️☹️
@margarethpolepole74386 ай бұрын
una roho wewe mchawi baba yako na mama yako
@coastermahenge89106 ай бұрын
Makonda fanyakazi baba
@NicholausAlois6 ай бұрын
Ukionahivyo makonda ameshindwa umeuliswa tatizo unaeleza mengine
@malkavoice25706 ай бұрын
Sasa huyu Asikari anatetea Serikali yenu alafu mwananchi kawakataa.
@goodluckswai74966 ай бұрын
Unamueleza mkonda kama nani
@user-de2rg9kk7u6 ай бұрын
Paul MAKONDA wewe unafaa kuwa Raisi. Achana na Samia ni MPUMBAVU TU Amna kiongozi hapo
@user-jl5un4wf3uАй бұрын
Heistalking a lot for profit not for nothing as many others R.C
@cleversalbaba-em4jf6 ай бұрын
Huyo mkuu wa kituo ni mwanamke ila anaonyesha ni mkatili aondolewe kwenye hilo eneo anawavuruga watu wa hanang
@geraldlyimo28596 ай бұрын
Ina maana viongozi na wafanyakz wa serekali hawawezi kufanya kz ya maamuzi sahihi bila yakupigwa mikwara na viongozi wa siasa ili mwananchi kupata haki yakee?
@FrecoShirima-qb1qo6 ай бұрын
Mbona hatuoni watu wanachuliwa hatua?
@evaemil8566 ай бұрын
Mungu atakulipa
@user-zg4yz7je8d6 ай бұрын
Tani ccm imetengeneza kero alafu eti yenyewe inataka kutatua kero aya uyu bwana anaachwa hivi hivi hakuna kitu apo ni porojo tu
@hilaliusjohn83866 ай бұрын
Makonda acha kudharaurisha polisi
@dullayomwinyi33596 ай бұрын
ACHA uchawa Hawa polisi wananyanyasa raiya ww utakua ujawahi kuingia 18 zao tayari ni maadui na wananchi wake badala ya kuwalinda wananchi wanauvimba na wananchi ambao hawana mafunzo yeyote waende mataifa ya mambele kama Lebanon,siaralion, iraq,wakutane na wanaume si kuonea raiya siwapendi kabisa