IPHONE 14 PRO MAX YAHARIBU PENZI | KAKA ATAKA KUMPIGA DADA | SITAKI KUONEKANA

  Рет қаралды 36,312

KIREDIO

KIREDIO

21 күн бұрын

Пікірлер: 158
@user-gb8dh2mr3l
@user-gb8dh2mr3l 15 күн бұрын
Huyo kaka anajua alivopata shida kuipata hiyo hela ndio maan anauchungu😂😂
@SanjerSiamon
@SanjerSiamon 19 күн бұрын
Huyu sio mwanamke kabisa anaweza kukuacha wakat wowote
@elizabethandrew8533
@elizabethandrew8533 19 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@marcelinebyamungu3463
@marcelinebyamungu3463 18 күн бұрын
Kweli kabisa akuna mwana mke apo kabisa
@kelvinakyoo3737
@kelvinakyoo3737 17 күн бұрын
umenena hakka
@RayChausa
@RayChausa 15 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@Boyhoodking
@Boyhoodking 14 сағат бұрын
Hata kama hv kweli akose iphone 14 pro max kwa oppo😂
@JaneroseWarren
@JaneroseWarren 11 күн бұрын
😂😂😂😂😂 dada nyoko sana wengne hawajawah ata kununuliwa kitochi ww smart kabsaa
@joebinarysignals
@joebinarysignals 17 күн бұрын
Dem kazingua hata kama ingekua kitochi huwez vunja kitu ulicho nunuliwa na mwanaume kisa iphone ya kupewa uo ni umalaya. Big up sana mwamba umeonesha uwanaume huyo sio mwanamke ambaye hakusikilizi.
@user-km6eh2tf9c
@user-km6eh2tf9c 8 күн бұрын
Huyu dada hana heshima kwa mwenzie na akiri hana kbsa na hajui uchungu wa hela anatamaa cy mwanamke mzuri kbsa😢
@user-xd7qi2lk5f
@user-xd7qi2lk5f 13 сағат бұрын
Eni ni ndoto ya kila mdadaa kama senge vile watu wana kuwa na ndoto na vitu vya maana yeye ana doto ya simu kunduchi kweli hili demu fyuuuuuu
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 19 күн бұрын
Uyu sio mwanamke wa kuoa kaka kuwa makini anauwezo wa kukuacha kisa gari au kitu kingenine chchote be careful
@KINGTZMOVIEr3o
@KINGTZMOVIEr3o 8 күн бұрын
huyo dada hana akili kabisa anashindwa kusamini na kumsikiliza mpenzi wake🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@tagx_boe
@tagx_boe 19 күн бұрын
Sema demu anatamaa uyo
@christophermsekena616
@christophermsekena616 19 күн бұрын
Hii manake akitokea mwanaume mwenye uwezo zaidi ya bwanake....demu anamuacha mshkaji..... zingatia neno 'simu hii ni ndoto ya kila mdada'😂😂😂
@marcelinebyamungu3463
@marcelinebyamungu3463 18 күн бұрын
Uyo dada Ana tamaa mbaya sana
@TreasureMagumba
@TreasureMagumba 19 күн бұрын
Yani iphone 14promax TU umuonyeshe daharau mwanaume wako kweli kha ujinga ni mwingi
@SosthenesseA.
@SosthenesseA. 15 күн бұрын
Wew uwezo wa kuinunua unao?😂😂😂😂
@TreasureMagumba
@TreasureMagumba 15 күн бұрын
@@SosthenesseA. Sina lkn hata hainishtui, na siwezi kuvunja kitu ameninunulia mpenzi wangu kwa upendo wake eti kisa iphone 14promax huo ni ujinga
@jacklinelenatus712
@jacklinelenatus712 19 күн бұрын
Daaa jmn hiyo challenge ya kuvunja simu yangu nipate I phone 14 si ingenikuta na mm jmn
@happynkya9770
@happynkya9770 19 күн бұрын
Sema dem anaonekana anamdharau jamaa hata mm ningekasirika walahi, yaan kitu nimenunua mm kma zawd afu uje upasue tuu inamaana uliidharau
@Aishatheboss117
@Aishatheboss117 17 күн бұрын
Uyu dada ni mjinga sana ila uyu kaka ni mpole sana mwanamke unakua mbishi mbele ya mwanaume wako dhuuu🤣🤣🤣
@user-mx1uz1zb8s
@user-mx1uz1zb8s 5 күн бұрын
😂😂😂kiredio unanikera sana unapoingilia mtu akianza kupigwa huwa naumia inabd uache wapigww😂😂
@Nnietechnology
@Nnietechnology Күн бұрын
Same here😂😂😂
@tagx_boe
@tagx_boe 19 күн бұрын
Sema mwanangu demu ako anatamaa
@TreasureMagumba
@TreasureMagumba 19 күн бұрын
Uyu dada ana dharau sana dah😢😢
@AzizaMussa-n6v
@AzizaMussa-n6v 13 күн бұрын
Yan mtu kama hajaweza kuthamini kitu alichonunuliwa na mpenzi wake kwa tamaa t basi huyo si mwanamke kwekwelii
@Officialrockzompa
@Officialrockzompa 18 күн бұрын
Huyu nae sio dem😂😂
@user-iv8wt5oq8r
@user-iv8wt5oq8r 19 күн бұрын
Uyo bola mwanamke siyo wakuishinae uyo
@josephinamichael2374
@josephinamichael2374 13 күн бұрын
siyo vizuri umeumiza moyo uyo kaka. Mimi kitu nilichopewa na mpenzi wangu nakiheshimu sana sasa huyo dada amedharau hakupenda ndo mana amevuja cm
@jacklinekaaya1967
@jacklinekaaya1967 19 күн бұрын
Dada ana imani ya kuhamisha milima eti tutaelewana nyumbani 😂
@nahventure1717
@nahventure1717 19 күн бұрын
Tamaa ya iphone kha😅😅😅😅😅😅😅 Mungu atusaidie
@ErnestMalima
@ErnestMalima 19 күн бұрын
Mwanamke mpumbavu ndo huyu kwa ambao walikua hawamjui🤔
@HudhaimaYussuf
@HudhaimaYussuf 19 күн бұрын
Wanawake tuna tamaa sana dah!
@oscarclaine5878
@oscarclaine5878 19 күн бұрын
Huyu dada anazalilisha wadada aiseeh!!!😢
@misstee102
@misstee102 18 күн бұрын
Hata kama ni mimi ningevunja tu😂😂😂😂😂niache iPhone 14 milion ngapi izo aiiii😂😂siweziii kuachaa
@farajaMezza-qn4be
@farajaMezza-qn4be 8 күн бұрын
Kabisa yani kaka ndo mbinafsi
@janethdavidsanga5999
@janethdavidsanga5999 17 күн бұрын
😅😅😅wanawake na macho ma3
@festohaule9716
@festohaule9716 19 күн бұрын
Manzi anatamaaa sana .
@user-bb1np6ln9l
@user-bb1np6ln9l 19 күн бұрын
Uwosio mwanamke wakupendana nae
@IsayaTarakwa
@IsayaTarakwa 19 күн бұрын
Me mwenyew ningenuna yani angekua anajua jamaa kaitafutaje hiyo ele hadi kanunua mmh sio bure jamaa kanuna ase inauma sana ujui jamaa kajibana je hadi kanunua hiyo simu kudadeki😢 fac*
@rahmaninoh7434
@rahmaninoh7434 19 күн бұрын
Jaman Naomba kuuliza hizo. IPhone original or ndo zile za akina mimi
@abaismailhatibu
@abaismailhatibu 19 күн бұрын
Hiii sixon mzur😅😅😅
@NoorAli-gk8bj
@NoorAli-gk8bj 11 күн бұрын
Tamaa mbaya yani umpendae akwambia usivunje cm kakununulia ata kama kanunua elfu moja ungeeshimu maamuzi yake yani nduguyangu mapenzi nikusikilizana nakuoneana uruma izo zako ni dharau kutokunsikiliz
@user-zq1bn8zs2v
@user-zq1bn8zs2v 6 күн бұрын
Ila wewe dada una tamaa sana.kwanini umemuaibisha mpenziwako. Ujafanya poa kama mwanamje mwenzangu sijapenda
@Official83640
@Official83640 18 күн бұрын
Huyu kweli sio demu wala mke wa kuoa kaka kuwa makini na hayo mapenzi siku utavunjwa na ww vipande vipande😂😂
@rachelkaminyoge1046
@rachelkaminyoge1046 19 күн бұрын
😂🎉 ni ujasiri
@eliambowe2576
@eliambowe2576 15 күн бұрын
Yan kiredio amani haaaa😂
@esthermakelemo2864
@esthermakelemo2864 8 күн бұрын
Big up mrembo,Hawa Wanaume niwakwenda nao mputamputa, sometimes yes,sometimes no
@user-gz2sr2xf9w
@user-gz2sr2xf9w 4 күн бұрын
😢😢 hajui thamani ya hayo mahusiano 😢 tamaa tu akimuoa huyo niko paleee wanaume wanapenda kuheshimiwa kusikilizwa na kuthaminiwa hujui amejitafut vp hadi kumpa huyo dada hio simu hlf anamdharau kisa 14pro 😅
@HidayaTwitunge
@HidayaTwitunge 19 күн бұрын
Jamani iyo challenge naitamanii mapema sana nabreak
@verynice7879
@verynice7879 19 күн бұрын
Uyu dada Hana akili Yan ajui jamaa kajichangaje mpaka kapata iyo simu😭 yaan usipo jali kidogo hata kikubwa huwez kukijali nimejiskia vibaya sana japo mm mwanamke wadada acheni tamaa
@idrisajuma-fi9hh
@idrisajuma-fi9hh 19 күн бұрын
Dah hawa watu huwa wana badilika sana ivi unawezaje kuvunja zawadi uliopewa na m2 umpendae ten yeye mwanaume anatumia sim ya kawaida sana asee wadada wa hivi wanadharau san ipo siku ataridhika ata mpenz wak atolewe roho atasem saw tyu😢😢
@user-lg9sx7fk1b
@user-lg9sx7fk1b 19 күн бұрын
Kweli amekosea😢
@AkyooMamad
@AkyooMamad 19 күн бұрын
Na kwanini simu zivunjwe Sasa??hiyo haijakaa sawa tafuta mbinu nyingne tofauti na kuvunja simu huko ni kuharibu pesa.😢
@DM_15
@DM_15 2 күн бұрын
Unaweza toa jasho lako kughalamikia but akitokea mtu akamsev kitu kimojatuu jasholako lakilasiku halina thamani
@user-il8wx3eq8i
@user-il8wx3eq8i 19 күн бұрын
Ila kiledio tatizo unacheka cheka sana
@user-mf2jf6dp7z
@user-mf2jf6dp7z 19 күн бұрын
Kaka kuwa makini na ako kadangaji jichunge siku ukiwa nae mnatembea kwa miguu ikitokea lifti anakuacha hapo hapo hata kama ukimzua uyo ni nyoka tafuta demu mwingine 😂😂😂😂
@AkuBoe
@AkuBoe 19 күн бұрын
Ila kiredioo😂😂
@albanomkoka5577
@albanomkoka5577 19 күн бұрын
Hizi challenge hiz nyie jaman
@mlimbila9942
@mlimbila9942 19 күн бұрын
Dem hanaakili kudadeki zake
@AbdulMagembe
@AbdulMagembe 18 күн бұрын
Ataekuja kumuoa huyo mwanamke ajipange tu.😂,asipokaa vizur mwanamke ndo ata take over kwenye maamuzi ya familia
@HamiduMrisho-ck1ft
@HamiduMrisho-ck1ft 19 күн бұрын
Jamaa Aache wivu.lakn dem Na yeye Hana adabu Kwa nn haskilizi maelekezo kutoka kWa mwanaume wake kwel wadada mnapenda vtu Na Sio MTU Yan yupo tayal Jamaa achukie akitaka amuache mradi apate iPhone 😂😂
@husnaahmada3224
@husnaahmada3224 18 күн бұрын
Dada acha tamaa😂
@Louizps30
@Louizps30 19 күн бұрын
Huyu demu anaonekana mtu ukiwa na Hela tu unampeleka
@InnocentAutoRace-my9jr
@InnocentAutoRace-my9jr 19 күн бұрын
Huyo jamaa akiendelea na huyu demu Bax Hana akili timamu Hamna mapenzi hapo demu hathamin hata k2 chake
@auntmakochela4202
@auntmakochela4202 6 күн бұрын
Yaan unavunja simu ulionunuliwa na mpenzi wako kwa sababu ya simu ya mtu mwingine daah akili ni nywele tamaa mbaya Mm sivunji hata ingekua ya tochi ni yangu kama ananipa anipe tu ila sio mpaka niharibu nilichonacho 😢😢😢
@GwantwaSamson
@GwantwaSamson 19 күн бұрын
😂😂yan uyu dada mm nimempenda 😂😂 mambo ya kuskiliza wanaume weeeeeh!!!!😅😅
@christophermsekena616
@christophermsekena616 19 күн бұрын
Ndo maana hamuolewi😂😂 mnachapwa tu
@AkissaBecky
@AkissaBecky 19 күн бұрын
😅😅
@LINETHMUNUO
@LINETHMUNUO 19 күн бұрын
😂 kweli kabisa
@SofiaMasawe
@SofiaMasawe 18 күн бұрын
Hata mkioa mbona hameshim wake Zenu Kila mtu aangalie fulaha yake
@user-mf2jf6dp7z
@user-mf2jf6dp7z 19 күн бұрын
Yani kanatamaa paka kamepitiliza kama kaswila kanyoka kanajivua gamba,kanasema na wewe kamekununulia tafuta hela acha malaya wa dar wadangaji wote kuwa makini 😂😂😂😂😂no love hapo
@enockmaige8936
@enockmaige8936 18 күн бұрын
Dada tamaa😢😢
@AminaHussein-n6m
@AminaHussein-n6m 19 күн бұрын
kitedio namm naombaaa
@tagx_boe
@tagx_boe 19 күн бұрын
Yani Apo demu kasahau kabisa kama bwana ake kakasiri ku.....m.....ke
@Boyhoodking
@Boyhoodking 14 сағат бұрын
Dada asilaumiwe huwez acha simu ya 3.5million kwa simu ya laki3 afu kwa simple reason tu eti kisa amenunua, sasa hapo kuna ubaya gani? Afu kiredio inajulikana kwamba ni mtu wa challenge 😂
@VERONICA-o7n
@VERONICA-o7n 8 күн бұрын
Nmemwonea huruma huyu kaka😢
@fauzishabani2622
@fauzishabani2622 7 күн бұрын
Huyu ni mtihani
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 19 күн бұрын
Huyu Mwanamke chizi
@user-zq1bn8zs2v
@user-zq1bn8zs2v 6 күн бұрын
Wewe dada auna eshima kabisa uwezi kumdhalilisha mpenziwako namna iyo
@latifamiluko-gr9iw
@latifamiluko-gr9iw 18 күн бұрын
Hata mm ningevunja chezea iPhone 14 pro max ww😂😂
@nobody07241
@nobody07241 18 күн бұрын
Tamaa mbaya
@latifamiluko-gr9iw
@latifamiluko-gr9iw 18 күн бұрын
@@nobody07241 inategemea na tamaa ipi yani rizki imenifata yenyewe arafu niikatae Aaaweee siwezi kwakweli
@DM.2200
@DM.2200 19 күн бұрын
Hatimay kiredio account ipo active
@user-sn6dc9gh8k
@user-sn6dc9gh8k 19 күн бұрын
Sema bora ata ww video zako za ukweli mr uk mswahili2😮
@hildachiboti6080
@hildachiboti6080 19 күн бұрын
Saiv simuangalii muongo muongo Mr uk
@user-fn1iv1hk6h
@user-fn1iv1hk6h 18 күн бұрын
Me niliangaliaga moja2 nikajua ni kaongo nikamtema
@elizabethandrew8533
@elizabethandrew8533 19 күн бұрын
Eti ndoto ya kila mwanamke 😂😂 mseng kwel uyo
@shaatvonline5249
@shaatvonline5249 18 күн бұрын
Mm siwez kuvunja ukiangalia cm mpyaa
@RukiaOmmari-so7nh
@RukiaOmmari-so7nh 19 күн бұрын
Huy ampend jamaa amemchok
@happynkya9770
@happynkya9770 19 күн бұрын
Si ununue camera nzuri na ww picha iwe quality
@maryamwilly8689
@maryamwilly8689 16 күн бұрын
Shda iwapi na anpta iphne jmni 😂😂😂😂tamaa ata angkua ni huyu mwanmume angvunja bana asjifnye
@mauwaadidaa9994
@mauwaadidaa9994 17 күн бұрын
Tamaa mbaya hawa ndo wanaotoa tigo kwaajil yasim t looo
@ZakiaSeif-p8w
@ZakiaSeif-p8w 19 күн бұрын
Sas mbon mliman tuuh njoo na kijichi uku
@JoyceLKisha
@JoyceLKisha 9 күн бұрын
Hafai kuwa mke
@muddyramadhan3255
@muddyramadhan3255 15 күн бұрын
Jamaa kazingua bhn
@user-rm9iz3yi5c
@user-rm9iz3yi5c 17 күн бұрын
Kwahiyo SIM inasamani kuliko Penzi maana uliyovunja umenunuliwa bado unatamaa tena na chakupewa eheeee🙄🤣
@shabanisalimu7391
@shabanisalimu7391 8 күн бұрын
Mimi ningemwambia vunja akishapewa tukiondoka naichukua SI kaipata kwasababu ya simu nliyonunua Mimi kwaiyo na hiyo ni yangu alafu napiga chini uyo demu
@ZuwenaZuwena-tz4xi
@ZuwenaZuwena-tz4xi 18 күн бұрын
Jaman zingatia iPhone ni ndoto ya kila mwanamke wa mjini😂😂😂😂😂😂😂
@neemakaisile3913
@neemakaisile3913 15 күн бұрын
Huyo jamaa anaweza ipasua hiyo iPhone
@keifatuke99
@keifatuke99 9 күн бұрын
HUYU. DADA. NI YUDA. HAFAI. HATA KIDOGO
@simba9563
@simba9563 16 күн бұрын
Aaaah kwanza unamnunuliaje demu simu 😢 me nimeumia
@StephenAdones
@StephenAdones 18 күн бұрын
Huy anatamaa
@user-um6dg4gn5c
@user-um6dg4gn5c 19 күн бұрын
Uyo kaka anawivu alitaka apewe yeye ilooooo
@aminamloka7545
@aminamloka7545 19 күн бұрын
Nadhani shida haikuwa anataka yy shida Ni cm mpya ambayo amemnunulia kwa mapenzi yake alitakiwa avalue lengo jitihada za mwenzie angeacha avunje yake Kisha amuombe iyo mpya Kama aliweza kumnunulia Ile hatoshinfwa kumpa ya bure wakabadilishan
@user-fn1iv1hk6h
@user-fn1iv1hk6h 18 күн бұрын
@@aminamloka7545naiwekea lamination comment yako❤
@NoorAli-gk8bj
@NoorAli-gk8bj 11 күн бұрын
Ajui jisi ya kutafuta pesa ndomana akawa na dharau nakutokumsikiliza mpenzi wake yani apo inaonesha akipata mwanaume mwenye pesa kushinda alonae anamsaliti mchana kweupee
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 Күн бұрын
Na hiyo ikavinjwe ndio uone sasa tamaa ilivo
@farajaMezza-qn4be
@farajaMezza-qn4be 8 күн бұрын
Huyo kaka ni very selfish, acheni kumuhukumu huyo dada hana tamaa, nan ambaye hapendinkitunkizuri?? N mbinafsi alivyosema bora wavunje yake, halafu anakuvuta nywele mbele za watu, hiyo ni zawadi hajauza mwili wake, mdogo wangu huna tamaa nipo na shemeji yako hapa anasema angenambia hata mm nivunje hakuna ubaya, Huyo kaka inaonekana hataki uwe na kitu kizuri aache ushamba!
@user-xy9ze1od3w
@user-xy9ze1od3w 14 күн бұрын
Huyo kaka yupo sahihi kabisa
@user-ny4ig2ii8b
@user-ny4ig2ii8b 17 күн бұрын
jaman wee dada iyo sm sii ungenipa mm jamn et
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 18 күн бұрын
Ndoto y kila mdada y nyokoooo, hyu demu ukiwa n hela tu unapiga yaan hta aibu tamaa mbele mauti nyuma....
@Zahara-or3cf
@Zahara-or3cf 17 күн бұрын
Sawa tu kila siku Julie sie
@user-oq2wp8oh1f
@user-oq2wp8oh1f 19 күн бұрын
Huyu dada jamani
@frankdickson9880
@frankdickson9880 19 күн бұрын
MWANAMKE KIMEO
@user-ix5wp9yu7b
@user-ix5wp9yu7b 16 күн бұрын
Huyu mwanamke akili hana
@GraceMwasambili
@GraceMwasambili 12 күн бұрын
Ndoo wanawake w siku
@giftyeliasy8112
@giftyeliasy8112 19 күн бұрын
Mwanaume hana haya yaan kaitaka yeye hyo cm hasira zakuikosa likaondoka mnxeew yaan huyo ndo wale ukimzdi maendeleo ndan anakuua
@farajaMezza-qn4be
@farajaMezza-qn4be 8 күн бұрын
Very true mwanaume ni selfish
@seneu.2128
@seneu.2128 18 күн бұрын
Mwanamke ambaye hawezi kukutii tena mbele za watu huyo hakufai hata kidogo ukimsikiliza huyo dada ni tamaa mwanzo mwisho.
@kyannickk2be
@kyannickk2be 18 күн бұрын
kizazi hiki dah...so.....
@user-on6mb6ic1b
@user-on6mb6ic1b 16 күн бұрын
Njoo zenj kiredio
@Mery-st4nu
@Mery-st4nu 18 күн бұрын
Dem Hana akili naninaomba jamaa asimrudie
MPENZI KADANGANYA ANA SAFIRI
10:02
Mr Uky
Рет қаралды 59 М.
Fumanizi Tabata Pt3 Mfumaniaji Afumaniwa
14:31
KIREDIO
Рет қаралды 127 М.
Little girl's dream of a giant teddy bear is about to come true #shorts
00:32
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 30 МЛН
Получилось у Миланы?😂
00:13
ХАБИБ
Рет қаралды 3,3 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 14 МЛН
NLIKUA NAMTAFUTIA SABABU | WAKUTANISHWA
15:01
KIREDIO
Рет қаралды 205 М.
Zingatia maelekezo ya mpangaji "TX DUlla" yamenyooka
3:32
Mtu ni Afya
Рет қаралды 2,6 М.
AIBU! AKOSA IPHONE 14 KISA KUCHEAT, KAJA NA BWANA MWINGINE
7:40
BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI
11:32
KIREDIO
Рет қаралды 145 М.
KILICHOTOKEA BAADA YA MREMBO KUKOSA GARI KISA KIREDIO
2:43
Wasafi Media
Рет қаралды 14 М.
World’s Deadliest Obstacle Course!
28:25
MrBeast
Рет қаралды 182 МЛН
JAYMELODY ATAKA KUMZULUMU KIREDIO
8:05
KIREDIO
Рет қаралды 31 М.
КАРОЧЕ НЕУДОБНАЯ СИТУАЦИЯ😱🔥 #shorts
0:45
ПОПОВИЧИ
Рет қаралды 7 МЛН
Бабайка #юмор #рекомендации #прикол
0:32
МэдПринц 👑
Рет қаралды 1,9 МЛН
А ЧТО С ЗУБАМИ ТО?😂😂🦷
0:54
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 4,3 МЛН
Они не знали, почему он так поступил, пока
0:39
бим бам бум💥💥 типа..
0:18
Ma1x1
Рет қаралды 6 МЛН