Huyo kaka anajua alivopata shida kuipata hiyo hela ndio maan anauchungu😂😂
@SanjerSiamon19 күн бұрын
Huyu sio mwanamke kabisa anaweza kukuacha wakat wowote
@elizabethandrew853319 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@marcelinebyamungu346318 күн бұрын
Kweli kabisa akuna mwana mke apo kabisa
@kelvinakyoo373717 күн бұрын
umenena hakka
@RayChausa15 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@Boyhoodking14 сағат бұрын
Hata kama hv kweli akose iphone 14 pro max kwa oppo😂
@JaneroseWarren11 күн бұрын
😂😂😂😂😂 dada nyoko sana wengne hawajawah ata kununuliwa kitochi ww smart kabsaa
@joebinarysignals17 күн бұрын
Dem kazingua hata kama ingekua kitochi huwez vunja kitu ulicho nunuliwa na mwanaume kisa iphone ya kupewa uo ni umalaya. Big up sana mwamba umeonesha uwanaume huyo sio mwanamke ambaye hakusikilizi.
@user-km6eh2tf9c8 күн бұрын
Huyu dada hana heshima kwa mwenzie na akiri hana kbsa na hajui uchungu wa hela anatamaa cy mwanamke mzuri kbsa😢
@user-xd7qi2lk5f13 сағат бұрын
Eni ni ndoto ya kila mdadaa kama senge vile watu wana kuwa na ndoto na vitu vya maana yeye ana doto ya simu kunduchi kweli hili demu fyuuuuuu
@YustoMlay-cv4zb19 күн бұрын
Uyu sio mwanamke wa kuoa kaka kuwa makini anauwezo wa kukuacha kisa gari au kitu kingenine chchote be careful
@KINGTZMOVIEr3o8 күн бұрын
huyo dada hana akili kabisa anashindwa kusamini na kumsikiliza mpenzi wake🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@tagx_boe19 күн бұрын
Sema demu anatamaa uyo
@christophermsekena61619 күн бұрын
Hii manake akitokea mwanaume mwenye uwezo zaidi ya bwanake....demu anamuacha mshkaji..... zingatia neno 'simu hii ni ndoto ya kila mdada'😂😂😂
@marcelinebyamungu346318 күн бұрын
Uyo dada Ana tamaa mbaya sana
@TreasureMagumba19 күн бұрын
Yani iphone 14promax TU umuonyeshe daharau mwanaume wako kweli kha ujinga ni mwingi
@SosthenesseA.15 күн бұрын
Wew uwezo wa kuinunua unao?😂😂😂😂
@TreasureMagumba15 күн бұрын
@@SosthenesseA. Sina lkn hata hainishtui, na siwezi kuvunja kitu ameninunulia mpenzi wangu kwa upendo wake eti kisa iphone 14promax huo ni ujinga
@jacklinelenatus71219 күн бұрын
Daaa jmn hiyo challenge ya kuvunja simu yangu nipate I phone 14 si ingenikuta na mm jmn
@happynkya977019 күн бұрын
Sema dem anaonekana anamdharau jamaa hata mm ningekasirika walahi, yaan kitu nimenunua mm kma zawd afu uje upasue tuu inamaana uliidharau
@Aishatheboss11717 күн бұрын
Uyu dada ni mjinga sana ila uyu kaka ni mpole sana mwanamke unakua mbishi mbele ya mwanaume wako dhuuu🤣🤣🤣
@user-mx1uz1zb8s5 күн бұрын
😂😂😂kiredio unanikera sana unapoingilia mtu akianza kupigwa huwa naumia inabd uache wapigww😂😂
@NnietechnologyКүн бұрын
Same here😂😂😂
@tagx_boe19 күн бұрын
Sema mwanangu demu ako anatamaa
@TreasureMagumba19 күн бұрын
Uyu dada ana dharau sana dah😢😢
@AzizaMussa-n6v13 күн бұрын
Yan mtu kama hajaweza kuthamini kitu alichonunuliwa na mpenzi wake kwa tamaa t basi huyo si mwanamke kwekwelii
@Officialrockzompa18 күн бұрын
Huyu nae sio dem😂😂
@user-iv8wt5oq8r19 күн бұрын
Uyo bola mwanamke siyo wakuishinae uyo
@josephinamichael237413 күн бұрын
siyo vizuri umeumiza moyo uyo kaka. Mimi kitu nilichopewa na mpenzi wangu nakiheshimu sana sasa huyo dada amedharau hakupenda ndo mana amevuja cm
@jacklinekaaya196719 күн бұрын
Dada ana imani ya kuhamisha milima eti tutaelewana nyumbani 😂
@nahventure171719 күн бұрын
Tamaa ya iphone kha😅😅😅😅😅😅😅 Mungu atusaidie
@ErnestMalima19 күн бұрын
Mwanamke mpumbavu ndo huyu kwa ambao walikua hawamjui🤔
@HudhaimaYussuf19 күн бұрын
Wanawake tuna tamaa sana dah!
@oscarclaine587819 күн бұрын
Huyu dada anazalilisha wadada aiseeh!!!😢
@misstee10218 күн бұрын
Hata kama ni mimi ningevunja tu😂😂😂😂😂niache iPhone 14 milion ngapi izo aiiii😂😂siweziii kuachaa
@farajaMezza-qn4be8 күн бұрын
Kabisa yani kaka ndo mbinafsi
@janethdavidsanga599917 күн бұрын
😅😅😅wanawake na macho ma3
@festohaule971619 күн бұрын
Manzi anatamaaa sana .
@user-bb1np6ln9l19 күн бұрын
Uwosio mwanamke wakupendana nae
@IsayaTarakwa19 күн бұрын
Me mwenyew ningenuna yani angekua anajua jamaa kaitafutaje hiyo ele hadi kanunua mmh sio bure jamaa kanuna ase inauma sana ujui jamaa kajibana je hadi kanunua hiyo simu kudadeki😢 fac*
@rahmaninoh743419 күн бұрын
Jaman Naomba kuuliza hizo. IPhone original or ndo zile za akina mimi
@abaismailhatibu19 күн бұрын
Hiii sixon mzur😅😅😅
@NoorAli-gk8bj11 күн бұрын
Tamaa mbaya yani umpendae akwambia usivunje cm kakununulia ata kama kanunua elfu moja ungeeshimu maamuzi yake yani nduguyangu mapenzi nikusikilizana nakuoneana uruma izo zako ni dharau kutokunsikiliz
@user-zq1bn8zs2v6 күн бұрын
Ila wewe dada una tamaa sana.kwanini umemuaibisha mpenziwako. Ujafanya poa kama mwanamje mwenzangu sijapenda
@Official8364018 күн бұрын
Huyu kweli sio demu wala mke wa kuoa kaka kuwa makini na hayo mapenzi siku utavunjwa na ww vipande vipande😂😂
@rachelkaminyoge104619 күн бұрын
😂🎉 ni ujasiri
@eliambowe257615 күн бұрын
Yan kiredio amani haaaa😂
@esthermakelemo28648 күн бұрын
Big up mrembo,Hawa Wanaume niwakwenda nao mputamputa, sometimes yes,sometimes no
@user-gz2sr2xf9w4 күн бұрын
😢😢 hajui thamani ya hayo mahusiano 😢 tamaa tu akimuoa huyo niko paleee wanaume wanapenda kuheshimiwa kusikilizwa na kuthaminiwa hujui amejitafut vp hadi kumpa huyo dada hio simu hlf anamdharau kisa 14pro 😅
@HidayaTwitunge19 күн бұрын
Jamani iyo challenge naitamanii mapema sana nabreak
@verynice787919 күн бұрын
Uyu dada Hana akili Yan ajui jamaa kajichangaje mpaka kapata iyo simu😭 yaan usipo jali kidogo hata kikubwa huwez kukijali nimejiskia vibaya sana japo mm mwanamke wadada acheni tamaa
@idrisajuma-fi9hh19 күн бұрын
Dah hawa watu huwa wana badilika sana ivi unawezaje kuvunja zawadi uliopewa na m2 umpendae ten yeye mwanaume anatumia sim ya kawaida sana asee wadada wa hivi wanadharau san ipo siku ataridhika ata mpenz wak atolewe roho atasem saw tyu😢😢
@user-lg9sx7fk1b19 күн бұрын
Kweli amekosea😢
@AkyooMamad19 күн бұрын
Na kwanini simu zivunjwe Sasa??hiyo haijakaa sawa tafuta mbinu nyingne tofauti na kuvunja simu huko ni kuharibu pesa.😢
@DM_152 күн бұрын
Unaweza toa jasho lako kughalamikia but akitokea mtu akamsev kitu kimojatuu jasholako lakilasiku halina thamani
@user-il8wx3eq8i19 күн бұрын
Ila kiledio tatizo unacheka cheka sana
@user-mf2jf6dp7z19 күн бұрын
Kaka kuwa makini na ako kadangaji jichunge siku ukiwa nae mnatembea kwa miguu ikitokea lifti anakuacha hapo hapo hata kama ukimzua uyo ni nyoka tafuta demu mwingine 😂😂😂😂
@AkuBoe19 күн бұрын
Ila kiredioo😂😂
@albanomkoka557719 күн бұрын
Hizi challenge hiz nyie jaman
@mlimbila994219 күн бұрын
Dem hanaakili kudadeki zake
@AbdulMagembe18 күн бұрын
Ataekuja kumuoa huyo mwanamke ajipange tu.😂,asipokaa vizur mwanamke ndo ata take over kwenye maamuzi ya familia
@HamiduMrisho-ck1ft19 күн бұрын
Jamaa Aache wivu.lakn dem Na yeye Hana adabu Kwa nn haskilizi maelekezo kutoka kWa mwanaume wake kwel wadada mnapenda vtu Na Sio MTU Yan yupo tayal Jamaa achukie akitaka amuache mradi apate iPhone 😂😂
@husnaahmada322418 күн бұрын
Dada acha tamaa😂
@Louizps3019 күн бұрын
Huyu demu anaonekana mtu ukiwa na Hela tu unampeleka
@InnocentAutoRace-my9jr19 күн бұрын
Huyo jamaa akiendelea na huyu demu Bax Hana akili timamu Hamna mapenzi hapo demu hathamin hata k2 chake
@auntmakochela42026 күн бұрын
Yaan unavunja simu ulionunuliwa na mpenzi wako kwa sababu ya simu ya mtu mwingine daah akili ni nywele tamaa mbaya Mm sivunji hata ingekua ya tochi ni yangu kama ananipa anipe tu ila sio mpaka niharibu nilichonacho 😢😢😢
@GwantwaSamson19 күн бұрын
😂😂yan uyu dada mm nimempenda 😂😂 mambo ya kuskiliza wanaume weeeeeh!!!!😅😅
@christophermsekena61619 күн бұрын
Ndo maana hamuolewi😂😂 mnachapwa tu
@AkissaBecky19 күн бұрын
😅😅
@LINETHMUNUO19 күн бұрын
😂 kweli kabisa
@SofiaMasawe18 күн бұрын
Hata mkioa mbona hameshim wake Zenu Kila mtu aangalie fulaha yake
@user-mf2jf6dp7z19 күн бұрын
Yani kanatamaa paka kamepitiliza kama kaswila kanyoka kanajivua gamba,kanasema na wewe kamekununulia tafuta hela acha malaya wa dar wadangaji wote kuwa makini 😂😂😂😂😂no love hapo
@enockmaige893618 күн бұрын
Dada tamaa😢😢
@AminaHussein-n6m19 күн бұрын
kitedio namm naombaaa
@tagx_boe19 күн бұрын
Yani Apo demu kasahau kabisa kama bwana ake kakasiri ku.....m.....ke
@Boyhoodking14 сағат бұрын
Dada asilaumiwe huwez acha simu ya 3.5million kwa simu ya laki3 afu kwa simple reason tu eti kisa amenunua, sasa hapo kuna ubaya gani? Afu kiredio inajulikana kwamba ni mtu wa challenge 😂
@VERONICA-o7n8 күн бұрын
Nmemwonea huruma huyu kaka😢
@fauzishabani26227 күн бұрын
Huyu ni mtihani
@SalamaNauthar19 күн бұрын
Huyu Mwanamke chizi
@user-zq1bn8zs2v6 күн бұрын
Wewe dada auna eshima kabisa uwezi kumdhalilisha mpenziwako namna iyo
@latifamiluko-gr9iw18 күн бұрын
Hata mm ningevunja chezea iPhone 14 pro max ww😂😂
@nobody0724118 күн бұрын
Tamaa mbaya
@latifamiluko-gr9iw18 күн бұрын
@@nobody07241 inategemea na tamaa ipi yani rizki imenifata yenyewe arafu niikatae Aaaweee siwezi kwakweli
@DM.220019 күн бұрын
Hatimay kiredio account ipo active
@user-sn6dc9gh8k19 күн бұрын
Sema bora ata ww video zako za ukweli mr uk mswahili2😮
@hildachiboti608019 күн бұрын
Saiv simuangalii muongo muongo Mr uk
@user-fn1iv1hk6h18 күн бұрын
Me niliangaliaga moja2 nikajua ni kaongo nikamtema
@elizabethandrew853319 күн бұрын
Eti ndoto ya kila mwanamke 😂😂 mseng kwel uyo
@shaatvonline524918 күн бұрын
Mm siwez kuvunja ukiangalia cm mpyaa
@RukiaOmmari-so7nh19 күн бұрын
Huy ampend jamaa amemchok
@happynkya977019 күн бұрын
Si ununue camera nzuri na ww picha iwe quality
@maryamwilly868916 күн бұрын
Shda iwapi na anpta iphne jmni 😂😂😂😂tamaa ata angkua ni huyu mwanmume angvunja bana asjifnye
@mauwaadidaa999417 күн бұрын
Tamaa mbaya hawa ndo wanaotoa tigo kwaajil yasim t looo
@ZakiaSeif-p8w19 күн бұрын
Sas mbon mliman tuuh njoo na kijichi uku
@JoyceLKisha9 күн бұрын
Hafai kuwa mke
@muddyramadhan325515 күн бұрын
Jamaa kazingua bhn
@user-rm9iz3yi5c17 күн бұрын
Kwahiyo SIM inasamani kuliko Penzi maana uliyovunja umenunuliwa bado unatamaa tena na chakupewa eheeee🙄🤣
@shabanisalimu73918 күн бұрын
Mimi ningemwambia vunja akishapewa tukiondoka naichukua SI kaipata kwasababu ya simu nliyonunua Mimi kwaiyo na hiyo ni yangu alafu napiga chini uyo demu
@ZuwenaZuwena-tz4xi18 күн бұрын
Jaman zingatia iPhone ni ndoto ya kila mwanamke wa mjini😂😂😂😂😂😂😂
@neemakaisile391315 күн бұрын
Huyo jamaa anaweza ipasua hiyo iPhone
@keifatuke999 күн бұрын
HUYU. DADA. NI YUDA. HAFAI. HATA KIDOGO
@simba956316 күн бұрын
Aaaah kwanza unamnunuliaje demu simu 😢 me nimeumia
@StephenAdones18 күн бұрын
Huy anatamaa
@user-um6dg4gn5c19 күн бұрын
Uyo kaka anawivu alitaka apewe yeye ilooooo
@aminamloka754519 күн бұрын
Nadhani shida haikuwa anataka yy shida Ni cm mpya ambayo amemnunulia kwa mapenzi yake alitakiwa avalue lengo jitihada za mwenzie angeacha avunje yake Kisha amuombe iyo mpya Kama aliweza kumnunulia Ile hatoshinfwa kumpa ya bure wakabadilishan
@user-fn1iv1hk6h18 күн бұрын
@@aminamloka7545naiwekea lamination comment yako❤
@NoorAli-gk8bj11 күн бұрын
Ajui jisi ya kutafuta pesa ndomana akawa na dharau nakutokumsikiliza mpenzi wake yani apo inaonesha akipata mwanaume mwenye pesa kushinda alonae anamsaliti mchana kweupee
@paskaziasholla7471Күн бұрын
Na hiyo ikavinjwe ndio uone sasa tamaa ilivo
@farajaMezza-qn4be8 күн бұрын
Huyo kaka ni very selfish, acheni kumuhukumu huyo dada hana tamaa, nan ambaye hapendinkitunkizuri?? N mbinafsi alivyosema bora wavunje yake, halafu anakuvuta nywele mbele za watu, hiyo ni zawadi hajauza mwili wake, mdogo wangu huna tamaa nipo na shemeji yako hapa anasema angenambia hata mm nivunje hakuna ubaya, Huyo kaka inaonekana hataki uwe na kitu kizuri aache ushamba!
@user-xy9ze1od3w14 күн бұрын
Huyo kaka yupo sahihi kabisa
@user-ny4ig2ii8b17 күн бұрын
jaman wee dada iyo sm sii ungenipa mm jamn et
@emmanuelmchomvu267618 күн бұрын
Ndoto y kila mdada y nyokoooo, hyu demu ukiwa n hela tu unapiga yaan hta aibu tamaa mbele mauti nyuma....
@Zahara-or3cf17 күн бұрын
Sawa tu kila siku Julie sie
@user-oq2wp8oh1f19 күн бұрын
Huyu dada jamani
@frankdickson988019 күн бұрын
MWANAMKE KIMEO
@user-ix5wp9yu7b16 күн бұрын
Huyu mwanamke akili hana
@GraceMwasambili12 күн бұрын
Ndoo wanawake w siku
@giftyeliasy811219 күн бұрын
Mwanaume hana haya yaan kaitaka yeye hyo cm hasira zakuikosa likaondoka mnxeew yaan huyo ndo wale ukimzdi maendeleo ndan anakuua
@farajaMezza-qn4be8 күн бұрын
Very true mwanaume ni selfish
@seneu.212818 күн бұрын
Mwanamke ambaye hawezi kukutii tena mbele za watu huyo hakufai hata kidogo ukimsikiliza huyo dada ni tamaa mwanzo mwisho.