MCH.KATEKELA:SIFA 3 ZA NABII WA KWELI WA MUNGU NA JINSI YA KUMTOFAUTISHA NA WAUONGO

  Рет қаралды 10,847

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Ай бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.13322701
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Пікірлер: 48
@jastinmkoba
@jastinmkoba Ай бұрын
Yaaaan ukielezea ivi Kila mwenye sikio lazima asikie na macho aone ....🤝
@user-fu6fx8if6w
@user-fu6fx8if6w Ай бұрын
Uyu mchungaji amekuwa wa baraka Kwa watoto wa Mwenyezi Mungu,acha Mungu akulinde na familia yako
@patricialiveti3520
@patricialiveti3520 Ай бұрын
Mungu ni mwema katuletea wa kuambia kweli yake.
@nursechunga4470
@nursechunga4470 18 күн бұрын
Sifa ya kwanza ya nabii wa kweli, asilimia 90 ya maisha yao wamewekeza kwa Mungu 🙌 Yesu akutunze mtumishi wa Mungu🙏
@aminathatwahir8462
@aminathatwahir8462 Ай бұрын
Hakika YESU ni Bwana
@user-tf9pl1wh7b
@user-tf9pl1wh7b 29 күн бұрын
Heeeee. Mungu wangu. Tulinde na manabii wahuwongo
@MariaMwasyila-mq6yc
@MariaMwasyila-mq6yc Ай бұрын
Kabisa Mtumishi wa MUNGU aliye hai
@user-rj1ef6je8k
@user-rj1ef6je8k 19 күн бұрын
Ni kweli Mtumishi,Mungu akubariki sana,unatutoa kwenye upotevu
@user-md1ih8eo2l
@user-md1ih8eo2l Ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa kutufundisha haya yote na kutufunulia tusiyoyajuaa 🙏🙏
@FortunateAkaro
@FortunateAkaro 10 күн бұрын
Amina Mtumishi naomba uje na huku Kilimanjaro wengine wametoka makanisa ya kiroho kukimbilia manabii
@lydiamichael5509
@lydiamichael5509 Ай бұрын
Stay blessed man of God
@edinahKwamboka-j2q
@edinahKwamboka-j2q Ай бұрын
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed ❤
@EZRA-b1c
@EZRA-b1c Ай бұрын
Eh! MUNGU TUSAIDIE JAMANI Ee
@edinahKwamboka-j2q
@edinahKwamboka-j2q Ай бұрын
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed
@user-od6cg6uh4h
@user-od6cg6uh4h 29 күн бұрын
Barikiwa mtumishiiiiiiii
@user-28Gerardineakimana
@user-28Gerardineakimana Ай бұрын
Pasta Katekela amekuwa baraka kwangu
@HappyMwaigwisya
@HappyMwaigwisya Ай бұрын
YAAAAANNIIIII UPO SAHIHI SANAAAA. NAFAHAMU KANISA AMBALO HUWA WANATABIRIWA ULIZALIWA MWAKA FULANI UNAITWA FULANI KUMBE NI SHETANI KATAWALA. YAANI WATU WAKIPIGA MAKOFI NAWAONEA HURUMA MNO. KUWENI MAKINI WATU WA MUNGU
@RodahAdonice-dz4sm
@RodahAdonice-dz4sm Ай бұрын
Ni kweli kabisa watu hata hawastuki nabii unakuta anaombea mtu anataja in the name of prophet (..hapa anataja jina lake si jina la YESU KRISTO....) kuwa huru na watu hawastuki😢
@ellenatilio5666
@ellenatilio5666 6 күн бұрын
Ameen
@laita8218
@laita8218 Ай бұрын
Ameeeen
@livinhillary9804
@livinhillary9804 Ай бұрын
Amen
@marthaumazi2197
@marthaumazi2197 Ай бұрын
Haleluya amen
@user-iw1yq3op8f
@user-iw1yq3op8f Ай бұрын
Ameen and ameen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana kwa neno zuri la mungu nimebarikiwa and be blessed more
@user-28Gerardineakimana
@user-28Gerardineakimana Ай бұрын
Mungu turehemu sisi niwenyezambi Nisame
@upendomhagama3236
@upendomhagama3236 Ай бұрын
Hakika, mungu alikuchagua ukiwa tumboni mwa mama yako ili uje tuokoe mkononi mwa shetani ubarikiwe
@eunicendunge-nb1qq
@eunicendunge-nb1qq 22 күн бұрын
Yesu anikomboe toka kwao
@rosemarymwanitega7926
@rosemarymwanitega7926 Ай бұрын
Amen Hallelujah
@IbrahimMgimba
@IbrahimMgimba Ай бұрын
I got it🖐️
@jastinmkoba
@jastinmkoba Ай бұрын
Apo sasa upo korect
@JaneKuyokwa-ng2qf
@JaneKuyokwa-ng2qf Ай бұрын
Mungu akubaliki muchungaji
@lilyg2134
@lilyg2134 14 күн бұрын
HII NDO INJILI YA KWELI DUNIA INAYOITAFUTA, NA SIO WAUZA MAFUTA...HUYU NI BARAKA TOSHA TANGU NIKUJUE, NIMEKUWA KARIBU SANA NA MUNGU
@DograsMussa
@DograsMussa Ай бұрын
Amen🙏🙏🙏🙏
@user-ft6vx2ee9n
@user-ft6vx2ee9n Ай бұрын
Amen mtumishi, umekuwa wa baraka kwa wengi mungu akubariki
@DAVIDMAGHANGA
@DAVIDMAGHANGA 22 күн бұрын
Nakuunga mkono
@ElizabethRobart
@ElizabethRobart Ай бұрын
Mungu akutunze
@JosephinaLeonard
@JosephinaLeonard 18 күн бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌😢🙏
@InjiliyaUfalmetv
@InjiliyaUfalmetv Ай бұрын
Usicheke kwenye madhabahu huo Ni mzaha Mtumishi
@JulianaTryphony
@JulianaTryphony Ай бұрын
Ety baba kunamtumishi anauliza kwanini unasema inalilah wa inalilahi lajuuni..
@lilyg2134
@lilyg2134 14 күн бұрын
hcho ni kiarabu, maana yake sisi ni wa Mungu na kwa Mungu tutarudi.....ni lugha kma zngne
@bahatiamandi5193
@bahatiamandi5193 26 күн бұрын
Ila kuna nguvu ya Mungu ndani ya karama ya Mungu mafuta yapo kwa biblia mzeituni Wanafunzi wa yesu walitumia mafuta mtumishi Marko 6:12 Agano la kale Isaya 10:21 Biblia ina mafunuo mengi sana Sina upinzani na mahubiri haya Ila kupulizia watu pumzi watu kudondoka sio nguvu ya vitu vya kuzimu wewe pia unaweza kutumiwa na Mungu kulingana na ufunuo Mungu aliokupa na maandiko yapo mengi kwa biblia wewe mwenyewe Mungu alipo kuumba alikupulizia pumzi ukawa nafasi hai ndoo pumzi unayo hubiria leo alafu naomba kama ulivyosema kuna sifa za manabii ni kumi12 hauta sisema sema hapa wapendao mafundisho tujifunze wote
@gilliansiara3324
@gilliansiara3324 29 күн бұрын
Uzuri mnajitambulisha wenyewe,Sasa ubinaadamu tayari, madhabau hayalingani na karama pia
@edinahKwamboka-j2q
@edinahKwamboka-j2q Ай бұрын
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed ❤
@josephmutemi7494
@josephmutemi7494 29 күн бұрын
Amen
@edinahKwamboka-j2q
@edinahKwamboka-j2q Ай бұрын
Haya mafundisho ni poa sana mtumishi be blessed
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 Ай бұрын
Ila baba ungetutajia majina yao kabisa ya hao waongo ili tuwajue me saiv naogopa kabisa habar za manabii maana kumjua mkwel na muongo co jambo dogo baba ang
@flm1530
@flm1530 Ай бұрын
Hata mkitajiwa mtawafwata tu
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 Ай бұрын
@@flm1530 sasa hapo utakuwa huna hatia juu ya mtu huyo maana cku ya mwisho atacmama.mwenyewe kujieleza..kuliko ukaacha kututajia tubak tu bila kuwajua plzzz baba tutajie tuwajue saiv mambo hazalan hakuna kuficha kitu wataje baba plzzzzz
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee Ай бұрын
Femida Yahaya, nikujulishe siri ya kuwa mkristo wa kweli ni.1 mwamini Yesu moyoni mwako kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yako 2 ufanyiwe maombi ya kufunguliwa vifungo vyako.3ubatizwe kwa maji mengi,4 ujazwe nguvu za Roho mtakatifu 5 ufundishwe kuukulia wokovu,6 uwe msomaji wa biblia, mwombaji na mtu wa mifungo na Ibadan nyingi. Ukiweza hatua hizi utakuwa na viwango vya juu kiroho hakuna kitakachokushinda duniani.
MCH.KATEKELA:UKOMBOZI WA NYOTA ILIYOIBIWA
53:22
PROMOVER TV
Рет қаралды 5 М.
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 85 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 15 МЛН
NJIA ANAZOTUMIA SHETANI KUFELISHA MIPANGO YA MTU ISITIMIE |NABII ESTHER MASANJA
27:58
NGUVU YA KUZIFUNGUA KAMBA ZA MAUTI MCHUNGAJI AMIEL KATEKELA
49:17
PROMOVER TV
Рет қаралды 1,4 М.
TENGENEZA URAFIKI NA WATU WENYE AKILI WATAKUJA KUKUSAIDIA BAADAE "PASTOR MGOGO
50:27