I'm from BURUNDI. Joel Nanauka is not teaching only Tanzanians but the World
@faidandaha11748 ай бұрын
Exactly really seen and noted
@joelnanauka8 ай бұрын
Thank you, let’s keep learning
@user-rc7tf1ml1k6 ай бұрын
Saw mkuu Mungu akubali sana unakufunza vitu muhimu sana
@timothykengere25358 ай бұрын
Huu nao ni Ukweli 💯 Mtupu lazima upige esabu ,Ndugu Nanauka Shukrani Sana............
@frankmisalaba92258 ай бұрын
kila siku najifunza na fursa nazidi kuzipata. mungu akubarik xan
@faidandaha11748 ай бұрын
Nakupatia vyema Niko kigoma kakonko
@hakizimanagerome92748 ай бұрын
Nilwahi kuishi hapo kasanda
@joelnanauka8 ай бұрын
Tuendelee kujifunza
@mohammedrashid29067 ай бұрын
Ahsante
@Mama-A8 ай бұрын
Much love from kenya
@officialmagreth4798 ай бұрын
Ur blessed sir 🙏🙏
@rizikimwaikugile60408 ай бұрын
Thank you so much
@meshackngadango68557 ай бұрын
Big up my mentor Joel nanauka
@user-hi3mj6hw3u8 ай бұрын
Uko vizur mkuu
@bahatikamihanda36897 ай бұрын
Ongera uko vizuri, lkn kama kuna lazima kutumia kingereza jitahidi kutafasiri kwani unatuhacha wengi nyuma.
@user-ig2ci2ch1v7 ай бұрын
One point
@andersonleheni78607 ай бұрын
Ninahtaji hata sk moja nikuone tuu maana napata vtu from kwako
@evodiamangula86918 ай бұрын
Mungu akubariki zaidi sana Tena fanikiwa katika Mambo yote kutoka njombe nakufutilia sanaa
@meshackngadango68557 ай бұрын
Njombe sehemu gani Evodia?
@Yohana-tt3sn8 ай бұрын
Utabadirisha maisha yangu mwalimu mungu aendelee kutoa neema ya maarifa
@joelnanauka8 ай бұрын
Ameen
@user-jg3rc7pz9p8 ай бұрын
Mm niko Nairobi nakupata vema wewe mwalimu mzuri sana
@joelnanauka8 ай бұрын
Thank you, let’s keep learning
@johnkonakuze97007 ай бұрын
🙏🙏
@JanvierVenas-ro9us8 ай бұрын
Nime kuelewa mwalimu wakimataifa
@chuiinternationalinvestmen7198 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏👍
@HeriethSylvester-dm3nb8 ай бұрын
Cjawahi kuacha kukusikiza
@Udindigwa8 ай бұрын
Amina
@janetfrancis71804 ай бұрын
😅
@justinmwenda74498 ай бұрын
2030 tunakupa kura RAIS...
@godfreymwenesho17708 ай бұрын
Kaka punguza English tukuelewe ote
@alicenice17118 ай бұрын
Alie kwambia usiende shule nani 😂😂
@chuiinternationalinvestmen7198 ай бұрын
Msikilize kwa Makini Godfrey akiongea English anatafsiri pia, Omichooo hhhh.
@kanyikatzmg72287 ай бұрын
Wewe wenzako language ni ngumu😅😅
@mukamambeba79668 ай бұрын
Kama kila kitu utategemea pesa yako kukipata basi your very poor person.Mwaka 2015 aliyekuwa the former prime minister E Lowassa aliamini pesa ingempitisha kuwamgombea wa urais.Lakini cha kustaajabisha Hayati JPM aliyekuwa hana watu wengi..yeye alikuwa na watu wachache waliokuwa na value kwake kama B Mkapa,aise cha kustaajabisha jamaa alitoboa.😅