Hata hili somo ni sauti ya Mungu nilihitaji kusikia kitu kama hiki kabisaaa,
@joelnanauka3 ай бұрын
Ameen, chukua hatua bila kuchelewa
@mariamwikedzi16382 ай бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri
@BukelebeTv2 ай бұрын
Amina. Ahsante kaka Joel
@IreneSantu-fd7kb2 ай бұрын
Asante Kaka Joel, hii ni yangu imekuja kwa wakati wake. Barikiwa saaana🥰
@mohamedKudura7 күн бұрын
Mungu akuongoze
@priscapius42533 ай бұрын
Thanks Joel. Umeongea somo zito na la maana sana leo. Natamani hata nikutafute tuongee ana kwa ana ili moyo wangu upone na nipate ufumbuzi.
@user-yk2sf7vy3x2 ай бұрын
Hili somo naona ni kwaajil yangu Asante sana
@pendogwisu3 ай бұрын
Nakumbuka marafiki zangu walinitenga baada ya kuwa nawaeleza mafanikio yangu..nilipogundua nilijitenga nao na nikajifunza kukaa kimya
@Jumamussa.-gm1eo17 күн бұрын
Hii kitu ndo napitia saiz rafiki wote washaondoka na amebaki mmoja lakn nae ana chuki na ananizungumzia vibaya kwa watu kuhusu mafanikio sijui nimuondoeje kwenye maisha yangu maana ni rafiki yangu wa karibu sana😢😢
@avitus-thobias3 ай бұрын
Thank you so much bro, ninabarikiwa sana na life wisdom series....
@MSHINDICLEMENCE3 ай бұрын
Ahsante kwa mafundisho yako chakwetu ni actions za kitu Tulichojifunza . See you at the top
@jacksontumaini91083 ай бұрын
See you at the top JAN 🇹🇿
@PaulMLukumay3 ай бұрын
Asante Uncle Joel, Mungu amekutuma unene na mimi kuhusu jambo hili. Ndio wakati napitia sasa. God is Great.
@FadgaThedecomposer-xs1hh3 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza nipo mapemaaa 🍁
@michaelsafari3 ай бұрын
Unanitia hamasa kweli mentor wangu Mr Joel ,juu nilikua naona nii mm ndio mkosa
@florakimario8733 ай бұрын
Upo sahihi Kaka barikiwa Sana. Endekea kuinjilisha kupitia kipaji ulichojaliwa na Mungu
@faudhiasalum72793 ай бұрын
Yeah my brother Joel ❤
@RuthMomanyi-bh3ez3 ай бұрын
Kila leo najifunza tu hata nikiwatch late am blessed more grace mr.
@hamisally9743 ай бұрын
good morning top team
@impactospace3 ай бұрын
Morning!!
@liliantitus70672 ай бұрын
Asanteee Yesu Kristo kwa Ajili ya Hili SOMO.
@gidomonji16712 ай бұрын
Kaka joeli umenigusa sana ninandoto za kufika mbali naomba msaada wako
@SaraSambo-po7cw3 ай бұрын
Shukran sana kaka Mungu Aendelee kukuweka kwaajili yetu nimejifunza meng Sana kupitia wew ubarikiwe Sana🙏
@jumannemlimakala64423 ай бұрын
Asante Sana kaka Joel Nanauka kwa Elimu hii MUNGU HAKUBALIKI SANA 🤝
@rosesimon46303 ай бұрын
Hapo kwenye watu wenye ajenda za siri aisee ni maumivu sana Lakin Mungu ni mwema tumeshatengana sasa nimefungua ukurasa mpya
@clarasabutoke69073 ай бұрын
Asante sana
@pialafrance79222 ай бұрын
Hapa nmekuelewa mno mtumishi asante sana tena sana
@monicakauky89142 ай бұрын
Nimejifunza kitu kizuri na Mimi nilikuwa kinganganizi ila sasa nimeelewa sitangangania watu.
@rosadamassawe80193 ай бұрын
Shukrani sana kaka Joel, we are proud to have you . Mungu akubariki sana
@charletsada87793 ай бұрын
Ameeen barikiwa sana eeii hii moto dah! Let the living GOD to bless you
@user-pm3mt6iy6y2 ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI SANAAA NAKUELEWAAA
@stevenobunde93452 ай бұрын
Jo Asante sana kwa ushauri wako. Inakuaje jambo hili kwa wanandoa ni sahihi watengane??!!!
@angelnjiku19793 ай бұрын
Thank you my bro kwa hili somo limeniongezea nguvu I'm in separation season
@hellyfridy3 ай бұрын
Sioni kama wewe nimtu wakawaida naona kama joel ww sio mtu uliye zaliwa nikwamba kama uliumbwa tu kuja kuokoa. Hii imenigusamoja kwa moja had nikajihisi unasimulia maisha yangu halisi daa. sina uwezo mkubwa japo uelekeo nauona sana naomba no yako nitoe sadaka kidogo pls.
@user-cd8rc5jp2i3 ай бұрын
Joeli nanauka Ubarikiwe🙏🏾
@starplatnumz3 ай бұрын
Mungu akulinde daima kaka
@yusufuheri65243 ай бұрын
Asante kaka yangu kwa elimu nzuri
@Globalpixel233 ай бұрын
nimejifunza sana kitu kikubwa sante sana
@astoneluoga98703 ай бұрын
Nimeelewa sana zaid ya sana
@user-iv3fd1wp7p3 ай бұрын
Kbs kaka Dah!!! Nimekubali,
@salomemrembo74823 ай бұрын
Morning. Very true hasanti kwa Nuru ya maisha
@user-hm5zz4ec5v3 ай бұрын
Asante baba Kwa mafudisho mazuri
@method13143 ай бұрын
Ubarikiwe sana mwalimu.
@asmaali15003 ай бұрын
Dah Asante sana Nanauka!
@BisweckJchimenya3 ай бұрын
asante sanaaa kaka yanguuu.
@user-jg2qe4vj5t3 ай бұрын
wakati ukifika no turn bck! C u around again ❤
@samkimani54263 ай бұрын
Mafundisho haya ni mazuri sana
@janetmbwana5533 ай бұрын
🙏🙏🙏 Barikiwa sana
@impactospace3 ай бұрын
Absolutely 🦁
@nightkibete32483 ай бұрын
Asante sana ubarikiwe
@user-pm3mt6iy6y2 ай бұрын
UPO SAWA KABISAA
@Sumay2283 ай бұрын
Current situation thank u!
@abdallahshaibu61063 ай бұрын
NI kweli kabisa
@pauljosephtarimo22793 ай бұрын
Shukrani kwa somo
@michaelkabeta79743 ай бұрын
Umeniongelea mm kabisa
@BabalandaSimon-fk2vy3 ай бұрын
Asante baba.
@zainabudihenga84133 ай бұрын
GROWING SEASON
@dorotheawilliam99233 ай бұрын
Asante Mkurugenzi
@godfreynyangusy3 ай бұрын
Asante sana kaka wewe ni mwalimu wa walimu mungu akusimamie.
@joelnanauka3 ай бұрын
Ameen Ahsante sana
@agkimedicallaboratory3 ай бұрын
Thanks @kaka Joel
@MARYTHEBLESSEDONE3 ай бұрын
True brother God bless you for being the light to many🌸👌🙏
@user-zy4cm7od4h3 ай бұрын
Aisee blooo Joel nanauka 🙏
@user-dw1pu4eo2n3 ай бұрын
Thank u
@NatalieRian-qh1el3 ай бұрын
🙏🙏🙏✨
@user-nu6ge7rg7n3 ай бұрын
🙏🙏
@Keyjop3 ай бұрын
SoMo limekuja on time saana kaka😂
@user-op9lq3qw1k3 ай бұрын
💯🙏
@albertmbwilinge54493 ай бұрын
🏋🏾✊
@user-gz1cd6kn5j3 ай бұрын
Kweli nilipo taka kufunga ndoa nikagundua anitakii mema ana shilikiana na maasimu wangu nikaamua kuachana nae Yani maumivu kukiacha kitu ulichokizowea