Kaa KIMYA Wewe! Hapatoshi BUNGENI; ASKOFU GWAJIMA NA WAZIRI JAFO WAKUNJANA /SPIKA TULIA AINGILIA KAT

  Рет қаралды 59,000

Baharia TV

Baharia TV

2 ай бұрын

Пікірлер: 23
@dianasamson9311
@dianasamson9311 2 ай бұрын
Asante sana Mch Gwajima mbunge wetu.kwa Kutukumbuka.... mito inatumalizia watu, inabomoa mpaka nyumba zilizo kwenye ramani ya mipango miji ... kwakweli kingo za mito.... mtusaidie wananchi. Mito Nyakasanga, tegeta, mpiji ni hatari unapanuka kwa kiasi cha kutisha. Mungu tusaidie mlione hili. Asante sana Mbunge wetu Gwajima kwa kuwakilisha.
@JohnMashamba
@JohnMashamba 2 ай бұрын
Unafaa kuwa waziri wa Madini.
@NancyMatuli-fb5jp
@NancyMatuli-fb5jp 2 ай бұрын
Gwajima gwajima Mungu akusamehe uliwadanganya wana nchi londa kuhusu barabara leo watoto wanashindwa kwenda shule alafu unapiga porojo za uongo Bungeni
@samsongamash5252
@samsongamash5252 Ай бұрын
Acha zako wewe serikali ndo inayonjenga sio yeye
@user-no1xc9tv5z
@user-no1xc9tv5z 2 ай бұрын
Halfu.kama.akinamama.kuugua.kansa.inawezekana.utumiaji.wa.majira.yampango.uzazi.yanana.wauza
@leonardmwayeya13
@leonardmwayeya13 Ай бұрын
Yaani tanzania mabepari ndowanao kubarika kwajima yoko sahihi rakini wasio jiri afya xawatu hao wanaogopa wanapewa rushwa tu
@kyaro5945
@kyaro5945 2 ай бұрын
Australia nawala sangara toka Lake Victoria na kama wangekuwa na zebaki wasingefika Australia. Dr Ngwajima ni muongo.
@afidbillmusic8461
@afidbillmusic8461 2 ай бұрын
Hili ni Bunge....
@joycemagesa4752
@joycemagesa4752 2 ай бұрын
Unapopoat kitu usitoe maelezo mengi hvyooo. Mm binafsi nachukia
@davidmziray2048
@davidmziray2048 2 ай бұрын
Yaani ukiwasikia unapata chefuchefu
@benny4345
@benny4345 2 ай бұрын
Accridated ndo nini tena bwana Waziri? Inaitwa "Accredited" ndugu!
@feiswalsalim2117
@feiswalsalim2117 Ай бұрын
samahanii jee munatumiaa mfumoo ngani kubesabubuzalishaji kishaa mfumo nganii unatumika pvpi kutumika helabza mtz
@user-hi7hy3bk8j
@user-hi7hy3bk8j Ай бұрын
Gwajima J anapoint kubwa ya Bioaccumulation
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 2 ай бұрын
Huu ni Askofu sio mtmshi wa Selikali hakuna aweza tumikia Mabwana 2, akabidhi Uaskofu watu wengine,yeye amtumikie kaisali ndo kAmchagua,
@manethmwiyanja7654
@manethmwiyanja7654 Ай бұрын
wewe unajua nini kuhusu Mtu anaeitwa mtumishi wa Mungu kabla huja comment jaribu kufikiri kwanza, nakupa ufahamu Hata Rais ni mtumishi wa Mungu kwa kuwa kiongozi wa watu kwa kuwa Mungu ni Mungu wa watu wote wenye mwili, uje nikufundishe wewe.
@tarithalusola4458
@tarithalusola4458 17 күн бұрын
Nayeye kamtumikie Mungu KAZI yako kumfatilia Mch Gwajima kwa mabaya Tu soma biblia akina Luka walimtumikia Mungu huku wanafanya KAZI nyingine
@EMANUELMUSHI-kk4df
@EMANUELMUSHI-kk4df 2 ай бұрын
Wamemvua nguo
@petermakundi1220
@petermakundi1220 Ай бұрын
Sasa gwajima mambo ya ziwa victoria yanakuhusu nini wananchi wa kawe tuna shida nyingi umeacha kuzungumzuia mambo ya kawe umeanza mambo ya zebaki kwani huko kanda ya ziwa hawana mbunge wa kuwasemea
@zamukahemele1505
@zamukahemele1505 Ай бұрын
Kwan yeye anatokea wapi
@mdl6463
@mdl6463 Ай бұрын
😂😂😂😂
@RamadhaniLukambuzi
@RamadhaniLukambuzi Ай бұрын
Samaki wanauzwa nchi nzima kwahiyo kama wanasumu Gwajima nae anaweza kupata madhara hayo,Kwahiyo hakuna kuchangia hoja kwake ni muhimu sana!
@user-we5cc2dq7t
@user-we5cc2dq7t 2 ай бұрын
Waziri kalewa pombe
@GentleGiant-pj2rk
@GentleGiant-pj2rk 2 ай бұрын
Gwajima ni mzee wa story za vijiweni, anawakamata akili wajinga kwa jinsi anavyo present unaweza ukadhani ni mtaalam kweli kumbe ni mastori ya town tu.
Sir Keir Starmer assembles cabinet for first time
14:25
Channel 4 News
Рет қаралды 208 М.
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 53 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,3 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 33 МЛН
Weidel wünscht sich Trump als US-Präsidenten | ZDF-Sommerinterview 07.07.2024
20:20
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
00:30
MacDannyGun
Рет қаралды 53 МЛН