Asante sana Mch Gwajima mbunge wetu.kwa Kutukumbuka.... mito inatumalizia watu, inabomoa mpaka nyumba zilizo kwenye ramani ya mipango miji ... kwakweli kingo za mito.... mtusaidie wananchi. Mito Nyakasanga, tegeta, mpiji ni hatari unapanuka kwa kiasi cha kutisha. Mungu tusaidie mlione hili. Asante sana Mbunge wetu Gwajima kwa kuwakilisha.
@JohnMashamba2 ай бұрын
Unafaa kuwa waziri wa Madini.
@NancyMatuli-fb5jp2 ай бұрын
Gwajima gwajima Mungu akusamehe uliwadanganya wana nchi londa kuhusu barabara leo watoto wanashindwa kwenda shule alafu unapiga porojo za uongo Bungeni
Huu ni Askofu sio mtmshi wa Selikali hakuna aweza tumikia Mabwana 2, akabidhi Uaskofu watu wengine,yeye amtumikie kaisali ndo kAmchagua,
@manethmwiyanja7654Ай бұрын
wewe unajua nini kuhusu Mtu anaeitwa mtumishi wa Mungu kabla huja comment jaribu kufikiri kwanza, nakupa ufahamu Hata Rais ni mtumishi wa Mungu kwa kuwa kiongozi wa watu kwa kuwa Mungu ni Mungu wa watu wote wenye mwili, uje nikufundishe wewe.
@tarithalusola445817 күн бұрын
Nayeye kamtumikie Mungu KAZI yako kumfatilia Mch Gwajima kwa mabaya Tu soma biblia akina Luka walimtumikia Mungu huku wanafanya KAZI nyingine
@EMANUELMUSHI-kk4df2 ай бұрын
Wamemvua nguo
@petermakundi1220Ай бұрын
Sasa gwajima mambo ya ziwa victoria yanakuhusu nini wananchi wa kawe tuna shida nyingi umeacha kuzungumzuia mambo ya kawe umeanza mambo ya zebaki kwani huko kanda ya ziwa hawana mbunge wa kuwasemea
@zamukahemele1505Ай бұрын
Kwan yeye anatokea wapi
@mdl6463Ай бұрын
😂😂😂😂
@RamadhaniLukambuziАй бұрын
Samaki wanauzwa nchi nzima kwahiyo kama wanasumu Gwajima nae anaweza kupata madhara hayo,Kwahiyo hakuna kuchangia hoja kwake ni muhimu sana!
@user-we5cc2dq7t2 ай бұрын
Waziri kalewa pombe
@GentleGiant-pj2rk2 ай бұрын
Gwajima ni mzee wa story za vijiweni, anawakamata akili wajinga kwa jinsi anavyo present unaweza ukadhani ni mtaalam kweli kumbe ni mastori ya town tu.