KWA HABARI NA MATANGAZO TUPIGIE SASA 0753393036 CALL 0625466848 WHATSAPP
Пікірлер: 49
@reginaldmapunda6702Ай бұрын
Kama Mayele aliondoka na benchi lote la ufundi hivi Feitoto ni nani? Ni kweli ni mchezaji mzuri lakini hana adabu wa shukurani na hii tabia ni ya kimalezi kwa sababu hata mamake alitumia kauli ambazo usingetegemea kutoka kwenye kinywa cha mwanamke mwenye haiba yake. Simlaumu sana Feitoto bali watu wake wa karibu wanampa ushauri mbovu na wanashindwa kumwonya kwa kuogopa kuenguliwa kwenye maokoto.
@LassonDominickАй бұрын
Wewe nae unasema usilo lijuwa!!!!!!! Hivi fei kakufanyia nn hadi umulaum hivo kama vile alikutukana jaman???
@@LassonDominick Nitakuwa mwehu kusema nisilolijua. Kwani kusema alilishwa ugali na sukari sio tusi au dharau? Haya Kayataka mwenyewe . Kwani akiondoka bila kutuksna na kudharau watu anakosa nini?
@DevidMfipa7 күн бұрын
Karibu msimbaz😂
@JoseMtewele27 күн бұрын
Kalibu msimbazi fei
@akrajackson85429 күн бұрын
Kila familia nasikia ina mbumbumbu na mwwndawazimu mmoja!😂
@LeonardMayala-gv1yx8 күн бұрын
Ogea baba waambie hao wajiga
@Damasioconstancio2 күн бұрын
Adi chama Ana mizamu uma tumeishinao adi tnamuacha
@MACHOYATAI-jk6fuАй бұрын
Aaaaa! Yanga ni mashetani Hawanaga shukurani ni wachawi mayele alisema
@MuammaryAbdallaАй бұрын
Ulitumwa usikilize
@lemamolelilemamoleli77408 күн бұрын
anachuki wanayanga mnamboyoyo sana
@mrliverpoolynwa7641Ай бұрын
Safi sana luzinyoo mlete mdogo wako FEI TOTO unyamani💪💪💪#SIMBA nguvu moja
@LeonardMayala-gv1yx8 күн бұрын
Muachen mwana simba aogee
@LeonardMayala-gv1yx8 күн бұрын
Joo Simba dogo achana na yaga wajiga 2
@PauloMole-lv4tfАй бұрын
wewe Fala kweli sasa kaongea nini kibaya mpaka umtukane
@chng1990Ай бұрын
Kwanza hujui boli coz Azam ashashiriki champions league alafu Dogo lako mtovu wa nidhamu kugomea kuvaa medal
@SimonSamson-wp5ik28 күн бұрын
Yanga ni Taasisi na timu ya wananchi sio timu ya mtu na hayupo aliye juu ya yanga zaid ya wananchi wenyewe Fei toto mchezaj wa kawaida sana na ndo maana alivyoonyoondoka yanga imepga hatua zaid sisi ndo yanga sasa kama ni Bora katakiwa na timu Gani hapa afrika zaid ya madunduka yeye aende na kuwakanda kupo palepale nje ndan 😂😂
@julianajeremiah435329 күн бұрын
Wape wape ni kweli wanaomsema sanaa wana wivu tu mtoto anawauma
@nicodemuswidambe5132Ай бұрын
Wewe kakayake ndo unaemdanganya Yanga hawanashida na Fei. Fei anataka aonekane bora kwa Yanga. Ishara aliyofanya ni sawa? Tumchekee kwa ujinga huo.
@Damasioconstancio2 күн бұрын
Acha majungu ww umechukuwa chama wanasimba wamesema nn
@akrajackson85429 күн бұрын
UGARI NA SUKARI!!!
@FatmaSalm-jn4xuАй бұрын
Wewe kaka nimbaya wa fei hajajuaa tu naunamfanyia ushirikina asikukundue kama wewe ndio mchawi wake eti biidhinni llaah unaijua dini wewe wewe nimnafiki sana unamgombanisha mdogo wako na viongozi wake hakuna shabiki wa yanga ambaye hampendi fei kwataarifa yako fei nikipenzi Cha wanayanga kama hujui
@PauloAlfayo-qi1gnАй бұрын
Nakushauri ndg kama wewe kweli ni kaka yake ,acha kumwaribia fei maana ni mchezaji.ujui mawazo ya fei wala mawazo ya yanga
@Esterkomba-ef7ebАй бұрын
Sijawai kuona timu yenye Mashabiki wa hovyoo kama yanga mtu kahama Bado mnamganda daaaa amakweli nyinyi mnaroho ya kichawi sana hebu mwacheni huyu kijana.
@reginaldmapunda6702Ай бұрын
Hakuna anaye mganda Feitoto bali Feitoto anajigandisha mwenyewe. Sasa kuacha kuvaa medali Yanga anahusikaje? kwani wale walovaa sio wachezaji kama yeye? Huyu mtoto amejiweka kwenye kiwango ambacho ni cha juu kuliko watu wanavyomwona na hii itamsumbua sana hasa pale anapofanya vibaya. Mchezaji makini hana muda na mashabiki wa Timu pinzani jukwaani bali na wachezaji wa upinzani uwanjani. Mpira sio kama mziki kwamba unatakiwa kucheza na jukwaa. Fei ni mtoto wa kiume hebu aache taarabu na ushamba acheze mpira alinde kipaji chake.
@sakinasakina12869 күн бұрын
yanga machizi cnyie vyura fc fei katulia akini mitahira ya yanga yanaumia kwelikweli mbumbumbu mishabiki ya yanga muwacheni mtoto wa kizanzibar atulie
@mirajihaji9520Ай бұрын
Wewe kaka yake kama ni kweli ndio unaemueka pabaya. Si dhani kama unamuongoza vyema. Unamponza!!
@FatmaSalm-jn4xuАй бұрын
We ni mjinga kweli mishavu kama kam unachochea mchuzi wa pweza
@judithtitomalyeta4000Ай бұрын
Hatuna hata shida naye huyo feo
@PauloAlfayo-qi1gnАй бұрын
Huyu ana chuki mno kwa yanga utafikiri yy ndio mwenye uchungu kuliko fei
@MACHOYATAI-jk6fuАй бұрын
Umeongea point sana blaza
@maclaudismail6606Ай бұрын
Hana point huyu. Anavizia hela ya mdogo wake kupe huyo
@MACHOYATAI-jk6fuАй бұрын
Yanga si watu wazuri wao ndo wamesababisha bandari zetu ziuzwe zoote
@user-yh3dv2bl7uАй бұрын
Tuombe tu watusajilie wachezaji ambao wenye chachu nanembo yasimba wenye kuipambania nembo ya simba
@mrliverpoolynwa7641Ай бұрын
Mashabiki wa SIMBA huwa wanajitoa sana siyo wa🐸🐸🐸 wameamka kwa ajili ya matokeo tu na wengine bendera kufuata upepo😂😂😂#SIMBA nguvu moja
@kamazimamuganyizi6932Ай бұрын
Maneno unayoyaandika apa yanatoa taswira ww ni mtu wa vipi kueni wastaarabu
@Ibbz-sk3vvАй бұрын
Jamaa ume0ngea p0ints sana
@rufinermwamdanga4946Ай бұрын
hata aende uarabuni
@omarysalim2851Ай бұрын
Huyu nae apeleke ushoga wake huko atasijui anaongea nn