KWA HABARI NA MATANGAZO TUPIGIE SASA 0753393036 CALL 0625466848 WHATSAPP
Пікірлер: 51
@mustaphawelder70227 күн бұрын
Uko vizur, umeongea point chama alikuwa duka tena la jumla
@MajidMajid-ll8mf8 күн бұрын
Bro nakuunga mkono asilimia 150 chama ameenda kulipa fadhila ya maovu yake
@tanzaniakwanzamaadili50838 күн бұрын
Kuhusu cha ni kweli kabisa hata mkude pia hao ni friends of manara na TARIMBA
@LenatussylivesterPetro8 күн бұрын
Umeongea point san
@NaaJuma-k5i8 сағат бұрын
Hata mimi nimefurahi sana namuunga mkono mwarabu
@AbbasyMdabwa8 күн бұрын
Wanasimba wote msijali kirusi kimeondoka
@user-ve7kb4jm2r8 күн бұрын
Mwarabu upo sw chama akipata mpira uwanjani anapozesha au akiwa hachez Simba inafanya vizuri mwarabu hoyeeeeee
@frankkiundo32403 күн бұрын
very good mr mhindi
@hassanabdala73838 күн бұрын
Maduka yote bye bye byee🖐️🖐️
@venancemwanya42127 күн бұрын
Mi naona kama bado Kuna mmoja hivi hajatolewa bado.
@HarunaMbwana-s6y6 күн бұрын
Safi sana mwarabu
@aminaomary55677 күн бұрын
Kweli Mhindi:chama miaka 3 ametuvuruga kweli❤❤❤🎉🎉🎉👍👍👍👍👍👍👍❤❤
@ivanminja79548 күн бұрын
Wanajua hao wachezaji ni wazuri, wanakuwa wanajua walivyowaroga, kwahiyo wanatoa huo uchawi wao na wanacheza vizuri kwao
@levocatuspjohn86388 күн бұрын
Kumbe chama alikua kasenge me hapa ndo nagundua
@adrophinamwanguse15102 күн бұрын
Tena Kweli Manara si MTU mzuri hata kwenye ilimwengu wa mpira
@MlekwaMlekwa-d1k4 күн бұрын
Upo sawa
@loishiyesamwel13748 күн бұрын
Chama kumbe alituumiza sana, Huyu Chama na Manara ni maadui wa Simba 😂😂
@vumiliamgendi1487 күн бұрын
Kabisa kaka manala nikirusi
@IssaAbdallah-rt2sh8 күн бұрын
Yanga wanachukua tusiowataka
@alenjoel37777 күн бұрын
Hata mimi nilifrahia chama kujiona kama Mungu
@johnmwita93708 күн бұрын
Ninaomba viongozi was Simba sc na wanachama mrinde wachezsji wetu
@DM_158 күн бұрын
Chama ndio alimpiga msumari kramo. Now cramo atacheza
@salimmalaka2568 күн бұрын
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-ib7kx9dc5m8 күн бұрын
Viongizi wachezaji mualinde na na misunari kwani upande wapili hawapendi maendeleo ya blandi yetu Wana taka waishushe
@adrophinamwanguse15102 күн бұрын
Kweli kabisa
@shimoamos91096 күн бұрын
mimi napenda sauti ya haka ka dada jamani khaaa ,,,,,,, na anajua kuongea kweli yaan
@shabaninangomwa41367 күн бұрын
Huyu nani tena mbona bonge bwana anaongea mambo ya maana sana
@SalimRamsei-ok9el4 күн бұрын
Pmj sanaa
@user-xv2zm5ec9y7 күн бұрын
Uko poa mkuu simba nguvu moja
@salimmalaka2568 күн бұрын
TUWAOMBEE KWA M'MUNGU KUPITIA MADUWA NA ALBADIRI WACHAWI WATOWA RUSHWA WAPOKEA RUSHWA NA MAFITINA WAFE HAPO HAPO
@salimmalaka2568 күн бұрын
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HairuIssa-f9y7 күн бұрын
Upo xahih mtu wa maan xan
@allyabdallah43578 күн бұрын
Ushauli wangu muhakikishe mna walinda kwa nini msijiulize mbaona yanga Wana wachukua wachezaji mnao waa cha wao wana jua kinacho sababishia wakiwa simba wana kuwa wabovu lakini mkiiwaacha wana wakimbilia hapo lazima muwe makini husuda zipo vita ina mbinu nyingi mna waleta wazuri wakisha fika simba wabovu msipo kuwa makini kila mwaka mta fukuza sana wachezaji sasa bareke ana tua yanga nae
@sangaelly85488 күн бұрын
Mchukue tu tutapata mwingine
@IssaDede8 күн бұрын
kweli kabisaa tusome albadirii
@user-pn3wz2eb5z8 күн бұрын
Hawa ndio wachezaji wafanya biashara wote bye bye
@SalumMkugwa-i9i8 күн бұрын
Points
@user-ld6fy2fi5s7 күн бұрын
Matola ni kirusi simba yeye ndo alikuwa anawajua wachezaji vizuri mda mrefu ila upangaji wa kikosi ni wa ovyo sana
@user-ld6fy2fi5s7 күн бұрын
Wachezaji wajengewe sprit ya kupambana na sio kusaini simba ilimradi
@neemaben99898 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏🧠🧠🧠🧠🧠🔐
@ushiwamarandu74338 күн бұрын
mbona makofi machacheeeeee....?
@josepahatmargwe65048 күн бұрын
Toa maduka yote ,Used wote , wasaliti wote, wazee wote , peleka Utopoloni ,
@BADAWY5758 күн бұрын
Yani simba mazumbu kuku huyu muhindi eti kina jobeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@IssaAbdallah-rt2sh8 күн бұрын
Ndio maana mangungu hatumtaki yeye wachezaji wanarogwa yeye amekaa tu kama mshipa mjingasana huyo
@BADAWY5758 күн бұрын
Kasomeni al badiri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mumechanganyikiwa hahahahahahahaha
@fredrickipembe81888 күн бұрын
Sawa sawa chama hakua wetu
@BADAWY5758 күн бұрын
Hahahahahahahahahaha yani Simba ni birudani sana ndani ya nchi yetu adi raha simba ni litimu limoja ambalo limejaa machizi hahahahahahahahahaha mpira umebadilika fedhaaa baba pesa mahesabu mijitu imekaa inaropokwa mgogoro mwingi yule anasema hivi yule vile .😂😂😂😂😂😂😂😂😂.umeona wapi yanga tumekaa tunapiga kelele watu wako mahofisini yani Yanga majuu pesa kuna nukia njuruku pesa pesa
@BADAWY5758 күн бұрын
Simba muna wewe seka .yanga mchezaji akicheza chini ya kiwango dirisha dogo kwaheri na bench anakalia Yanga mziki mpana.sisi ndio yanga tuko kamili any time tasisi inafanya kazi tunaenda kwa tarehe timu nnnzimaaaa
@avitusmichael58 күн бұрын
Huyu mwarabu wa kayenze hajui kitu kwenye mpira mwambie akale pilipili