MUHINDI APAGAWA NA USAJILI FADLU DAVIDS NDANI YA SIMBA TUNAENDA KUFANYA MAKUBWA WASALITI WAMEONDOKA

  Рет қаралды 26,381

SPORTS MAX

SPORTS MAX

10 күн бұрын

KWA HABARI NA MATANGAZO
TUPIGIE SASA
0753393036 CALL
0625466848 WHATSAPP

Пікірлер: 51
@mustaphawelder7022
@mustaphawelder7022 7 күн бұрын
Uko vizur, umeongea point chama alikuwa duka tena la jumla
@MajidMajid-ll8mf
@MajidMajid-ll8mf 8 күн бұрын
Bro nakuunga mkono asilimia 150 chama ameenda kulipa fadhila ya maovu yake
@tanzaniakwanzamaadili5083
@tanzaniakwanzamaadili5083 8 күн бұрын
Kuhusu cha ni kweli kabisa hata mkude pia hao ni friends of manara na TARIMBA
@LenatussylivesterPetro
@LenatussylivesterPetro 8 күн бұрын
Umeongea point san
@NaaJuma-k5i
@NaaJuma-k5i 8 сағат бұрын
Hata mimi nimefurahi sana namuunga mkono mwarabu
@AbbasyMdabwa
@AbbasyMdabwa 8 күн бұрын
Wanasimba wote msijali kirusi kimeondoka
@user-ve7kb4jm2r
@user-ve7kb4jm2r 8 күн бұрын
Mwarabu upo sw chama akipata mpira uwanjani anapozesha au akiwa hachez Simba inafanya vizuri mwarabu hoyeeeeee
@frankkiundo3240
@frankkiundo3240 3 күн бұрын
very good mr mhindi
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 8 күн бұрын
Maduka yote bye bye byee🖐️🖐️
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 7 күн бұрын
Mi naona kama bado Kuna mmoja hivi hajatolewa bado.
@HarunaMbwana-s6y
@HarunaMbwana-s6y 6 күн бұрын
Safi sana mwarabu
@aminaomary5567
@aminaomary5567 7 күн бұрын
Kweli Mhindi:chama miaka 3 ametuvuruga kweli❤❤❤🎉🎉🎉👍👍👍👍👍👍👍❤❤
@ivanminja7954
@ivanminja7954 8 күн бұрын
Wanajua hao wachezaji ni wazuri, wanakuwa wanajua walivyowaroga, kwahiyo wanatoa huo uchawi wao na wanacheza vizuri kwao
@levocatuspjohn8638
@levocatuspjohn8638 8 күн бұрын
Kumbe chama alikua kasenge me hapa ndo nagundua
@adrophinamwanguse1510
@adrophinamwanguse1510 2 күн бұрын
Tena Kweli Manara si MTU mzuri hata kwenye ilimwengu wa mpira
@MlekwaMlekwa-d1k
@MlekwaMlekwa-d1k 4 күн бұрын
Upo sawa
@loishiyesamwel1374
@loishiyesamwel1374 8 күн бұрын
Chama kumbe alituumiza sana, Huyu Chama na Manara ni maadui wa Simba 😂😂
@vumiliamgendi148
@vumiliamgendi148 7 күн бұрын
Kabisa kaka manala nikirusi
@IssaAbdallah-rt2sh
@IssaAbdallah-rt2sh 8 күн бұрын
Yanga wanachukua tusiowataka
@alenjoel3777
@alenjoel3777 7 күн бұрын
Hata mimi nilifrahia chama kujiona kama Mungu
@johnmwita9370
@johnmwita9370 8 күн бұрын
Ninaomba viongozi was Simba sc na wanachama mrinde wachezsji wetu
@DM_15
@DM_15 8 күн бұрын
Chama ndio alimpiga msumari kramo. Now cramo atacheza
@salimmalaka256
@salimmalaka256 8 күн бұрын
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@user-ib7kx9dc5m
@user-ib7kx9dc5m 8 күн бұрын
Viongizi wachezaji mualinde na na misunari kwani upande wapili hawapendi maendeleo ya blandi yetu Wana taka waishushe
@adrophinamwanguse1510
@adrophinamwanguse1510 2 күн бұрын
Kweli kabisa
@shimoamos9109
@shimoamos9109 6 күн бұрын
mimi napenda sauti ya haka ka dada jamani khaaa ,,,,,,, na anajua kuongea kweli yaan
@shabaninangomwa4136
@shabaninangomwa4136 7 күн бұрын
Huyu nani tena mbona bonge bwana anaongea mambo ya maana sana
@SalimRamsei-ok9el
@SalimRamsei-ok9el 4 күн бұрын
Pmj sanaa
@user-xv2zm5ec9y
@user-xv2zm5ec9y 7 күн бұрын
Uko poa mkuu simba nguvu moja
@salimmalaka256
@salimmalaka256 8 күн бұрын
TUWAOMBEE KWA M'MUNGU KUPITIA MADUWA NA ALBADIRI WACHAWI WATOWA RUSHWA WAPOKEA RUSHWA NA MAFITINA WAFE HAPO HAPO
@salimmalaka256
@salimmalaka256 8 күн бұрын
SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@HairuIssa-f9y
@HairuIssa-f9y 7 күн бұрын
Upo xahih mtu wa maan xan
@allyabdallah4357
@allyabdallah4357 8 күн бұрын
Ushauli wangu muhakikishe mna walinda kwa nini msijiulize mbaona yanga Wana wachukua wachezaji mnao waa cha wao wana jua kinacho sababishia wakiwa simba wana kuwa wabovu lakini mkiiwaacha wana wakimbilia hapo lazima muwe makini husuda zipo vita ina mbinu nyingi mna waleta wazuri wakisha fika simba wabovu msipo kuwa makini kila mwaka mta fukuza sana wachezaji sasa bareke ana tua yanga nae
@sangaelly8548
@sangaelly8548 8 күн бұрын
Mchukue tu tutapata mwingine
@IssaDede
@IssaDede 8 күн бұрын
kweli kabisaa tusome albadirii
@user-pn3wz2eb5z
@user-pn3wz2eb5z 8 күн бұрын
Hawa ndio wachezaji wafanya biashara wote bye bye
@SalumMkugwa-i9i
@SalumMkugwa-i9i 8 күн бұрын
Points
@user-ld6fy2fi5s
@user-ld6fy2fi5s 7 күн бұрын
Matola ni kirusi simba yeye ndo alikuwa anawajua wachezaji vizuri mda mrefu ila upangaji wa kikosi ni wa ovyo sana
@user-ld6fy2fi5s
@user-ld6fy2fi5s 7 күн бұрын
Wachezaji wajengewe sprit ya kupambana na sio kusaini simba ilimradi
@neemaben9989
@neemaben9989 8 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏🧠🧠🧠🧠🧠🔐
@ushiwamarandu7433
@ushiwamarandu7433 8 күн бұрын
mbona makofi machacheeeeee....?
@josepahatmargwe6504
@josepahatmargwe6504 8 күн бұрын
Toa maduka yote ,Used wote , wasaliti wote, wazee wote , peleka Utopoloni ,
@BADAWY575
@BADAWY575 8 күн бұрын
Yani simba mazumbu kuku huyu muhindi eti kina jobeeeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@IssaAbdallah-rt2sh
@IssaAbdallah-rt2sh 8 күн бұрын
Ndio maana mangungu hatumtaki yeye wachezaji wanarogwa yeye amekaa tu kama mshipa mjingasana huyo
@BADAWY575
@BADAWY575 8 күн бұрын
Kasomeni al badiri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mumechanganyikiwa hahahahahahahaha
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 8 күн бұрын
Sawa sawa chama hakua wetu
@BADAWY575
@BADAWY575 8 күн бұрын
Hahahahahahahahahaha yani Simba ni birudani sana ndani ya nchi yetu adi raha simba ni litimu limoja ambalo limejaa machizi hahahahahahahahahaha mpira umebadilika fedhaaa baba pesa mahesabu mijitu imekaa inaropokwa mgogoro mwingi yule anasema hivi yule vile .😂😂😂😂😂😂😂😂😂.umeona wapi yanga tumekaa tunapiga kelele watu wako mahofisini yani Yanga majuu pesa kuna nukia njuruku pesa pesa
@BADAWY575
@BADAWY575 8 күн бұрын
Simba muna wewe seka .yanga mchezaji akicheza chini ya kiwango dirisha dogo kwaheri na bench anakalia Yanga mziki mpana.sisi ndio yanga tuko kamili any time tasisi inafanya kazi tunaenda kwa tarehe timu nnnzimaaaa
@avitusmichael5
@avitusmichael5 8 күн бұрын
Huyu mwarabu wa kayenze hajui kitu kwenye mpira mwambie akale pilipili
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 55 МЛН
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 10 МЛН
DEFINITELY NOT HAPPENING ON MY WATCH! 😒
00:12
Laro Benz
Рет қаралды 47 МЛН
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 22 МЛН
GB64:HUYU HAJI MANARA ANARUDI KUIMALIZA SIMBA
8:10
Mawengi TV
Рет қаралды 81 М.
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
진영민yeongmin
Рет қаралды 55 МЛН