Kampuni ya Biobuu iliyoko nchini Tanzania imekuwa ikitumia takataka kuwalisha funza/nzi ambao baadaye wanageuzwa kuwa chakula cha mifugo na mbolea. Haya ni makala ya Teknolojia Janja kutoka kitengo cha BBC Biashara
Пікірлер: 16
@abbasjuma69766 ай бұрын
Habari yako. Nawezaje kujifunza kwa ajili ya kulisha mifugo yangu
@susanemora6873 жыл бұрын
Hongera kwa ubunifu wako
@kadilisagudadaniel49993 жыл бұрын
Brilliant!
@mzeewakudownload51663 жыл бұрын
Safi sn bonge la aidia alafu mtaweza kutusaidia Miji yetu
@LulendiSabbi-kr3qz Жыл бұрын
Ninatamani kujifumza zaidi toka kwenu
@mosesojuma9783 Жыл бұрын
How much do sell the eggs, i need them
@mosesojuma9783 Жыл бұрын
Where are you located in Kenya?
@kevingay95252 жыл бұрын
Kweli harati kama hizi ni muhimu kwa Africa ambapo magonjwa mengi ni mazingira machafu lakini vijana wakiwekeza ktk miradi kama hii ni faida kwa pande mbili.
@geoffreyrutihinda48272 жыл бұрын
mnapatikana wapi hapa Dar es salaam
@martinredisony46942 жыл бұрын
Mimi nataka kujifunza hii kaz
@aljabery.binruz3 жыл бұрын
Machine Ina cost ngapi for full production?
@mpahukaemmanuel9957 Жыл бұрын
Do you sell BSF eggs?
@bilalbaker92383 жыл бұрын
Wipi kudhibiti athari za kusambaza maradhi zinazoletwa na Enzi
@geoffreyrutihinda48272 жыл бұрын
Nahitaji hiya mbolea mnapatikana wapi na nawaza kuwapataje
@vedastokeya33442 жыл бұрын
Naomben namba zenu
@bilalbaker92383 жыл бұрын
Ni Faraja kuona bawa lenye faida la Inzi...Ama kweli Mungu ameumba kila kitu kwa jozi, (viwili viwili). Faida kwenye Inzi.