KIMEUMANA! MTENDAJI AFYEKA MAHINDI ya WANANCHI - MAKONDA AMWAMBIA - ''LIPENI FIDIA''...

  Рет қаралды 143,095

Global TV  Online

Global TV Online

5 ай бұрын

KIMEUMANA! MTENDAJI AFYEKA MAHINDI ya WANANCHI - MAKONDA AMWAMBIA - ''LIPENI FIDIA''...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 208
@globaltv_online
@globaltv_online 5 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 5 ай бұрын
Mama yangu ametumika miaka 30 ya enzi ya nyerere hadi mwinyi, aliambulia m3, na amekufa kwa depression alisumbuliwa na ofs zote kuanzia elimu, waziri mkuu hakuna kitu
@Nagmah-gf4lp
@Nagmah-gf4lp 5 ай бұрын
Makonda hongera kwa bidii na kazi njema
@IsayaPaul-qq2li
@IsayaPaul-qq2li 5 ай бұрын
Makonda piga kazi baba mungu akubariki
@joycekalago532
@joycekalago532 5 ай бұрын
Makokonda anajibu amina kwakweli anabarikiwa sana
@jumakubili1512
@jumakubili1512 5 ай бұрын
Tanzania tuweke wizala ya malalamiko na wazili wake awe makonda maana wataanza wanaonewa sana na sehemu ya kupeleka malalamiko Yao akuna, alikuwa mwenda zake na Sasa ni makonda.
@neemanziku5403
@neemanziku5403 5 ай бұрын
Mama Samia huyu makonda ni mtu muhimu ktk Tanzania tunataka viongoz bora kama Makonda
@israelmhada7285
@israelmhada7285 5 ай бұрын
Yupó poa xana
@MwanaishaSiri572
@MwanaishaSiri572 2 ай бұрын
Kabisaa
@robertnkaragano298
@robertnkaragano298 5 ай бұрын
FANYA KAZI comrade MAKONDA!! Aisee nakutabiria mbali sana
@ruzindazajonas8506
@ruzindazajonas8506 5 ай бұрын
Hivi? Kama kiongozi anakataa kulipa watu pesa yao na ni mali ya sarekali sio ya mfuko wake, anakua na lengo gani kama sio rushwa.
@estellemwai5402
@estellemwai5402 5 ай бұрын
Makonda katika ubora wake 💯❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 5 ай бұрын
Yesu wa Ekaristi aendelee kukuongoza Sema kweli daima fitina kwako mwiko
@AndulileNdasalama
@AndulileNdasalama 5 ай бұрын
O 5:11o 6:32ko
@AndulileNdasalama
@AndulileNdasalama 5 ай бұрын
Pm
@AndulileNdasalama
@AndulileNdasalama 5 ай бұрын
Ol P Okk😅 op L😅
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 5 ай бұрын
Halafu unakuta mpumbavu mmoja anasema makonda asiendelee kusikiliza watu. Safi sana Makondaaaa
@mayaally2512
@mayaally2512 5 ай бұрын
Analiwa yule mama na mapaka
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 5 ай бұрын
🤣🤣🤣🙌🏿🙌🏿🙌🏿​@@mayaally2512
@aminielabraham
@aminielabraham 5 ай бұрын
Makonda angalia mbele usiangalie pembeni kwanza Mtangulize Mungu, na umalize na Mungu hatakuacha 3:28
@DicksonIgnas-pq1rj
@DicksonIgnas-pq1rj 5 ай бұрын
Yule mama namashakanae kama anafasi yoyote selekalini wamuondoe hafai kutumikia wana nchi mfungo nao wawe paka
@onelovetz7935
@onelovetz7935 5 ай бұрын
Tuko pamoja apamdanie wananchi makonda oyee
@RobbyMukonjero-rp5gt
@RobbyMukonjero-rp5gt 5 ай бұрын
Magufuli anerudi,that is very good
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale 5 ай бұрын
Mimi nashangaa sana,, hayo ndio matatizo yaliopo ndani ya serikaliyetu,haikuonekana mkiyatatua muda wote!! Saizi Kuna Nini?? Tulishajizoelea siye..hizi mbwembwe zakujifanya mmekuwa wema saizi,nikutupumbaza2 watanzania nabaada yahapo kunakitu nyuma ya pazia...acheni kufanya viinimacho.mnayakujibu Kwa mungu.
@Misheckkazilist-cv2hb
@Misheckkazilist-cv2hb 5 ай бұрын
Kweli😢
@ReginaldAplonary
@ReginaldAplonary 5 ай бұрын
Nakuona ukifika mbali sana mkuu
@astrinomgesi-np5xv
@astrinomgesi-np5xv 5 ай бұрын
Barikiwaa mkuuu
@lucaschipanga4466
@lucaschipanga4466 5 ай бұрын
Kaka makonda juwa watanzani Wana kuamini wasaidie wanyonge mungu atakuripa kwakira njambo
@mwanamwendy9265
@mwanamwendy9265 5 ай бұрын
Safi sana baba
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 5 ай бұрын
Mnawapangia watu walime nini kwani mnawajua mahitaji ya familia zao kweli hii siyo sawa.mnahisi kama angepandisha Mori km Masai kingetokea nini?
@clrarasekuza
@clrarasekuza 16 күн бұрын
Mungu akutunze kwa dumu ya Yesu
@godwimmkolomi8988
@godwimmkolomi8988 4 ай бұрын
Uyu mwamba apangiwe utalatibu mzuri zaidi ili awafikie watu wengi anaweza kulinda nakutafuta kura nyingi kwa wakati mmoja na peke yake uyu jamaa ni jeshi la mtu mmoja ni mbunifu anakipa heshima chama aongezewe uwezo na mbinu zaidi huu ni ubunifu zaidi
@franktibwita228
@franktibwita228 5 ай бұрын
Makonda piga kazi binafsi nakupenda mwambie rais nampenda sana ila kama unaweza naomba mtaji million 5 nifanye biashara naitwa frank tibwita Frome mwanza
@rashidisaidi8535
@rashidisaidi8535 5 ай бұрын
Njaa izo
@SaidHassan-wz1px
@SaidHassan-wz1px 5 ай бұрын
Unafaa Kua Waziri Mkuu amini Kaka mm nakuombea San
@aminielenock2050
@aminielenock2050 5 ай бұрын
Nakuombea kwa mwenyezi MUNGU akulinde sana mkuu ❤
@user-gr7rn7zp8t
@user-gr7rn7zp8t 5 ай бұрын
Naomben jaman namba za makonda Mimi pia nimsitaaf
@user-vu8jn5zp3u
@user-vu8jn5zp3u 5 ай бұрын
Hongera makonda Kwa kazi nzuri unayoyafanya na mama
@petermarco8656
@petermarco8656 5 ай бұрын
Ukitaka kuamini hana uwezo,Mh Bashe ameshawataja viongozi wa juu wanaoweza kuingilia issue ya sukari yaani bei elekezi, ama kumshauri,hayupo
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 Ай бұрын
Mwenyekiti wa CCM uko vizuri
@user-xk2wc8ro3b
@user-xk2wc8ro3b 5 ай бұрын
Makonda weye noma aisee
@nashonkibayayu3776
@nashonkibayayu3776 5 ай бұрын
Nakushukuru mheshimiwa mwenezi C.P. makonda.maelezo Yako no darasa Bora.
@user-tu2il2tu8v
@user-tu2il2tu8v 5 ай бұрын
Mungu akusaidie mkuu utafika mbali. Upo kama magufuri mungu fundi kwakwer
@user-lf7nu6gg9s
@user-lf7nu6gg9s 3 ай бұрын
Fundi kweli kweli anatoa analeta Allah akutunze
@NemerikaIekoko
@NemerikaIekoko Ай бұрын
Pole makonda utakiwa upewe mkoa wa tanzani
@petermarco8656
@petermarco8656 5 ай бұрын
Ccm ni wasanii sn wameona waanze na hili la makonda kujifanya anatatua matatizo binafsi kama vile magufuli lkn hana uwezo,ni kurudisha japo matumaini yaliyopotea lkn hamna lolote
@machilafaustin9473
@machilafaustin9473 5 ай бұрын
Kwa upande wako unaona hao watu hawasaidiwi
@mussakeston5768
@mussakeston5768 Ай бұрын
Ukiona huwez kutoa coment acha
@syliveriuszaverius2347
@syliveriuszaverius2347 Ай бұрын
MUNGU akutunze mkuu 👏👏
@petermbuma9056
@petermbuma9056 5 ай бұрын
makonda umelalamikiwa sana na wananchi je hizo kero mnazitatua???au mnafanya mambo kisiasa???
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale 5 ай бұрын
Mkuu viinimachooo!!2
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 5 ай бұрын
Makonda anafaa kuwa Rais kabisa
@EmmanuelGabriel-xq5ym
@EmmanuelGabriel-xq5ym 2 ай бұрын
Makonda nimekukubali.nmekutabiria mbali sana unasaidia wana nchi
@user-eu1wq8bn9y
@user-eu1wq8bn9y 5 ай бұрын
🎉🎉
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 5 ай бұрын
Zambi kubwa sana kuharbu chakula hiyo ni laana
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 5 ай бұрын
Hii Tanzania watu wanaumia sana kwa kuonewa sijui itaisha lini naona dawa ni Makonda Mungu akulinde Baba
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale 5 ай бұрын
Subili uchaguzi upite,kama utayaona hayo. Mwamba alikuwa magu2 wengine wanatuonesha viinimacho,wajisafishie njia,kuweni na macho jamani watanzania!
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 5 ай бұрын
Makonda 🙏🙏
@user-bf4dk2pk4w
@user-bf4dk2pk4w 5 ай бұрын
Hapo kazi tuu mtu wa Mungu.
@user-kq9lb7bd8l
@user-kq9lb7bd8l 4 ай бұрын
Makonda mungu akuzidishiye miyaka uzidi tu kuwateteya wanyonge
@MurulaAhmadi
@MurulaAhmadi Ай бұрын
MIKUU WA MKOA ARUSHA MAKONDA MUNGU MAONO YA HEKIMA KWA KUTUA MATATIZO YA WANANCHI KWA UTURIVU MWENYEZI MUNGU AIBARIKI KHEKIMA ZAKO
@KafugeFrancis-be8qp
@KafugeFrancis-be8qp 5 ай бұрын
Piga kazi mwenezi
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u 5 ай бұрын
Tatizo ni serikali inataka kutawala chama tatizo ni serikali
@atugonzalugemalila5142
@atugonzalugemalila5142 4 ай бұрын
Ninachokiona mnazunguka mbuyu lkn kinachotutesa ni katiba leo hii chama kinafanya kazi ya serikali
@riazshaikh8577
@riazshaikh8577 2 ай бұрын
Sasa makonda malizia basi sh ngapi hiyo fidia, maana huo ni mgogoro mwengine
@zainabumohamedy6988
@zainabumohamedy6988 27 күн бұрын
Safi Sana makonda.
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 5 ай бұрын
Sasa kunausiana Nini? Nakufyeka mazao mnaingiza siasa uonijinga
@valenakomba7686
@valenakomba7686 5 ай бұрын
YAANI VIONGOZI WA TANZANIA NI WAONEVU , WANYANYASAJI TENA WANAZAMBI SANAA. YAANI HAWAJALI KABISA BINAADAMU WENZAO. TANZANIAAAAA, HALAFU TUNAJISIFU ETI TUNA AMAAANI?😮
@MurulaAhmadi
@MurulaAhmadi Ай бұрын
NARUDIA TENA MHESHIMIWA MAKONDA MWENYEZI MUNGU AKUPEMAISHAMAREF
@fuhuruffelix5682
@fuhuruffelix5682 4 ай бұрын
Kiongozi bora sana
@allymmahmudhassan
@allymmahmudhassan 2 ай бұрын
😊zero
@user-jz6lm5yv4f
@user-jz6lm5yv4f 5 ай бұрын
Safi sana
@issakwisamwasanjobe541
@issakwisamwasanjobe541 5 ай бұрын
Sheria za mkoloni hizo usipokuwa na busara mahindi ni chakula
@geophureysamsoni5033
@geophureysamsoni5033 2 ай бұрын
Mkuu wa mkoa mzima kaongea uongo kazi yake huyo rushwa tuu
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 5 ай бұрын
Uchunguzi ufanyike wakati team ya wahusika wakikaa pembeni na wasiwe ofisini kwa vyeo vyao viwekwe pembeni.Walichotenda ni unyama na sheria ya makosa ya jinai ifuate mkondo wake.
@user-xg1tt7vt2f
@user-xg1tt7vt2f 4 ай бұрын
Viongozi wenzangu tunajichanganya kweli unafyeka mahindi kweli halafu we umefikia hapo Kwa kula nn?
@user-hs5tb5qq8e
@user-hs5tb5qq8e 5 ай бұрын
Ccm Ina madudu sana piga kazi makonda
@belafontesteven5144
@belafontesteven5144 5 ай бұрын
Daaah!
@user-lf7nu6gg9s
@user-lf7nu6gg9s 3 ай бұрын
Ila Makonda unawasikiliza watu san hogera kaka
@awetumtengera1147
@awetumtengera1147 5 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 Ай бұрын
Mkuu wa wilaya ana sauti ya mahaba
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 5 ай бұрын
Uonevu mkubwa na ubaguzi unaofanywa na viongozi kupandikiza chuki miongoni mwa watanzania.
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 5 ай бұрын
Mpanda ni kijijini msilazimishe iwe mji acheni watu walime mahindi ili waishi wakiwa waganga mnawatuhumu kuwa ni wachawi
@user-ez3tk5ry5f
@user-ez3tk5ry5f 5 ай бұрын
Daaaah Makonda hana tofaut na Hatati maguful
@VeronickaAdam-jn4rn
@VeronickaAdam-jn4rn 5 ай бұрын
Makonda pambana na hao watu mafisad jaman
@AminaRamadhani-gx8yr
@AminaRamadhani-gx8yr 5 ай бұрын
Asante mkurugezi wewe ni kiongozi wawanachi
@brunidamadege3747
@brunidamadege3747 5 ай бұрын
Mungu akutunze baba wewe.Namkumbuka Magufuli pia alituruhusu wanyonge kutoa hoja zetu kama unavyofanya.
@user-xx4yc2if8w
@user-xx4yc2if8w 5 ай бұрын
Uje na mkoa wa DSM tunateseka
@peninashungu6633
@peninashungu6633 5 ай бұрын
Mpaka nyumbani kwake
@davidsibejo4916
@davidsibejo4916 5 ай бұрын
tabia imejaa sana mkao wakatavi watu wengi wana porwa mashamba wana pigwa kifupi mkoa huo umejaa maovu mengi
@kgmbara3109
@kgmbara3109 5 ай бұрын
Kama namwona rais makonda
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 2 ай бұрын
Baada ya Arusha nimerejea kufatilia yote hadi dar makonda nimeona utakuwa rais baadae
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 5 ай бұрын
💔😪😪
@gefreymtalo5613
@gefreymtalo5613 5 ай бұрын
Kama eneo ni la mtu alipwe hilo eneo Lao ili liwe la manispa kwa ujenzi Wa huo mji
@GraceMhoja-zc7yg
@GraceMhoja-zc7yg 5 ай бұрын
Mungu mlinde makonda
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 5 ай бұрын
Makonda juuuu zaidi
@GraceMaro-wz4bu
@GraceMaro-wz4bu Ай бұрын
Mtetezi wa wanyonge
@user-kd3ey6ez5s
@user-kd3ey6ez5s 4 ай бұрын
Baba yangu na mimi nafitaji numéro zako za sim watumishi huko Tanzanie wa natunyanyasa kihasi na hatujuwe kisho kitakao tokeya huko!!!
@DanielSamatembo-ks3vl
@DanielSamatembo-ks3vl 3 ай бұрын
Viongoz hawana akli ao
@naomicharles5444
@naomicharles5444 5 ай бұрын
😅😅Tunaenjoy sana kua na watu kama.jpm wasiwasi wetu wasije wakakupeperusha kama Baba etu JPM
@lizybabymgaywa8035
@lizybabymgaywa8035 5 ай бұрын
Yaani hii nchi jamani Sasa hivi watu wanafanya kampeni, lkn sisi hatujui
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale 5 ай бұрын
Kampeni zinapigwa,na hakaka stile kakusikiliza shida za watu wamefaulu maana watanzania wengi ufahamu mdogo sana,,,shida wamezitengeneza wenyewe alafu wanakuja eti kusikiliza..du! Siamini kamawatu wanaweza shabikia haya yanayoendelea.
@athanassimbila2603
@athanassimbila2603 5 ай бұрын
MATENDA AKITENDEWA HUONA KAONEWA .ANGALIENI SANA....
@aminimushi6945
@aminimushi6945 5 ай бұрын
Hao ndio wateule wa Rais,tatzo hilo lipo wilaya nyingi watu wanahamishwa,watu wanastaafu kwenye Halmashauri hizi hawalipwi haki zao.
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 5 ай бұрын
Ndg Watumishi na watalaam hawaheshimu viongozi wa chama .
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 5 ай бұрын
Chama kinaandaa umma serikali inatekeleza jamani mmesoma kweli
@JeremiahMwakanyamale
@JeremiahMwakanyamale 5 ай бұрын
Waamshe!!wajizima data,,miaka 4 kuburuzwa kiini macho wiki moja wanasahauyote,kwer walisema mjinga mnyime elimu jamani.
@AwaziRajab
@AwaziRajab 5 ай бұрын
Mabosi Wa Viongozi Ni Wananchi Sasa Wananchi Ndio Wamepata Msemaji Wao Alie Upande Wa Kotekote
@hawaelymaricca7602
@hawaelymaricca7602 5 ай бұрын
Makonda piga kazi
@user-gr7rn7zp8t
@user-gr7rn7zp8t 5 ай бұрын
Jamn nisaidie namba za makonda
@nasrahassan7346
@nasrahassan7346 5 ай бұрын
hapo sasa mfyeke ya wat baazi wengine muache uonevu
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 5 ай бұрын
Hii ilirushwa mpk azam
@madam-florensialutego
@madam-florensialutego 5 ай бұрын
Namuona Rais wa mwaka elfu 2031
@AminaRamadhani-gx8yr
@AminaRamadhani-gx8yr 5 ай бұрын
Awajato hongo awaviongozi bana dah
@zainabumohamedy6988
@zainabumohamedy6988 27 күн бұрын
Una akili nyingi
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 5 ай бұрын
UMATI KAMA UYO NDIO LAZIMA WACHUKIE NA KUKWITA JINI ALAFU CHIKI MPAKA WATUMISHI 😂😂😂
@MaAmal-gv3qs
@MaAmal-gv3qs Ай бұрын
Makonda kiboko mfano wa magufuli.
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 ай бұрын
Sheria inasema ufyeke chakula ambacho koshalimwa?
@rehemanziku4962
@rehemanziku4962 5 ай бұрын
MUNGU akutunze baba makonda uishi miaka mingi
@astrinomgesi-np5xv
@astrinomgesi-np5xv 3 ай бұрын
Mwamba sana
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 13 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 82 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 33 МЛН
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 13 МЛН