#kivumbi

  Рет қаралды 115,005

Yuhai media

Yuhai media

19 күн бұрын

LEMA AANGUA KILIO WANAICHI WAMEWACHOSHA BOLA WAHAMIE CCM WOTE HAYO AMEYASEMA AKIWA KATIKA MKUTANO ALIPOKUA AKIZUNGUMZA NA WANA NCHI AKIYASEMA KWA UCHUNGU MKUBWA

Пікірлер: 159
@mackrankagenzi5236
@mackrankagenzi5236 17 күн бұрын
Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 17 күн бұрын
Mungu hawezi kukibariki chama cha wahuni
@graysonpastory1918
@graysonpastory1918 17 күн бұрын
Wapenda uhuru wa ushoga hawa, labda sera zao wazibadili upya ,uhuru uwe na mipaka,.​@@ndogoroedson199
@nyerere1259
@nyerere1259 17 күн бұрын
Anajitolea vp na chama ni mali ya familiar
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 16 күн бұрын
​@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha
@damianmcba9525
@damianmcba9525 16 күн бұрын
Ccm au walimu wanaofundisha miguu ya panzi?​@@TegemeaFutemakatifu
@shikuhata
@shikuhata 13 күн бұрын
Nakukubali tuu kwa kuishauri ccm kuboresha huduma kwa njia tofauti tofauti
@allyalijai7143
@allyalijai7143 4 күн бұрын
Hamna kitu hapoo, utawadanganya wasiojitambuaa.
@thomasrobert-bf1mf
@thomasrobert-bf1mf 16 күн бұрын
mbona kipindi ukiwa ukiwa mubunge mbona hujawai kusikika
@JoshuaSabu-r2p
@JoshuaSabu-r2p 13 күн бұрын
Unamfaham vzr alipokuwa bungeni
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 15 күн бұрын
#TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA,MAMA SAMIA OYEE, MAKONDA OYEEE, PITER MSIGWA OYEEE, BASHE OYEEE, CCM OYEEE.
@olivermwakikuti
@olivermwakikuti 15 күн бұрын
Oyeeeeeeeeeeeeeeee
@halimamasai2234
@halimamasai2234 11 күн бұрын
Oyeeeee CCM oyeee Msigwa oyeeee mama Samia oyeee Makonda oyeee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Anordgration
@Anordgration 16 күн бұрын
Mzee democrasia ipi mnaongelea jamanii? Tengeneza kwanza democrasia ya chama chenu ndo muongelee hiyo democrasia
@user-vb8ki3jo9t
@user-vb8ki3jo9t 14 күн бұрын
Ulipo kuwa mbunge ulishindwaje kufanya hayo muzeeee acha uongo watanzania wanaakili
@talentshow2024
@talentshow2024 13 күн бұрын
Mh
@user-vr1ly3rw4h
@user-vr1ly3rw4h 12 күн бұрын
Mbunge kazi yake ni kuishauri serikali wewe
@sammykateregga6238
@sammykateregga6238 17 күн бұрын
Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie
@malikeyndotopopote
@malikeyndotopopote 17 күн бұрын
Salute bro
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 17 күн бұрын
Point god bless lema
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 17 күн бұрын
Mashaaalah lema,huna baya,
@tibbsminja2575
@tibbsminja2575 17 күн бұрын
Lema hebu acha story njooni kwenye Mada ya chaguzi zijazo na jinsi gani tunaleta mabadiliko.!!
@ShamteMaganga
@ShamteMaganga 17 күн бұрын
Subiri kampeni zianze
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 17 күн бұрын
Hii ndiyo hoja ndugu ambayo itakutia wewe uchungu uiondoe ccm Kisha ndo tuje tutengeneze katiba. Ccm hawataki kabisa kusikia hiyo kitu
@MohamedHamsini
@MohamedHamsini 17 күн бұрын
LEMA MUONGO SANA WEWE ULIKUWA MBUNGE ULIFANYA NINI?
@ericlowasa3097
@ericlowasa3097 13 күн бұрын
Ulitegemea atafanya nini na bajeti ya utekelezaji wa maendeleo kwenye majimbo wanatoa ccm kunachakufanya happ
@edgeredson9691
@edgeredson9691 15 күн бұрын
Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish
@victorsanga2229
@victorsanga2229 16 күн бұрын
Ki ukweli waliopo upinzani wanastaili pongezi , watanzania wengi ni wanafiki na ndiyo hatuaminiki nchi za nje.
@stanastana3199
@stanastana3199 17 күн бұрын
Nenda ccm lema,chadema utafulia sana
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 17 күн бұрын
Hakuzaliwa hivo
@usembiphonedar5632
@usembiphonedar5632 17 күн бұрын
Akili zako na kufikiri kwako ndiyo kumeishia hapo! Lema siyo type yako kununuliwa kwa tamaa kama mnavyonunua wengine! Hovyoooo kabisa!
@stanastana3199
@stanastana3199 17 күн бұрын
@@usembiphonedar5632 hii komment naitunza,ni swala la mda tu
@halimamasai2234
@halimamasai2234 11 күн бұрын
Anakaribishwa hata Msigwa mlisema hataenda CCM yako wapi na Lema ajee tu chadema wamekwisha ki siyasa wanaimba taarbu tu sasa 🤣🤣🤣🤣
@Flaviosafari
@Flaviosafari 17 күн бұрын
Wanataka Mungu ashuke labda aongee mwenyewe ? Wakati unakuja.
@user-kc6hg1se7b
@user-kc6hg1se7b 15 күн бұрын
Mungu atusaidie WA Tanzania ambao hatuna uelewa, pipooooosss
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 17 күн бұрын
Kapunga wameiua wenyewe, halafu wanaagiza mchele kutoka
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 17 күн бұрын
Na mashamba ya Basuto enzi hizi😮😮
@MnubiMm
@MnubiMm 17 күн бұрын
Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya
@JeremiaholendikaMakeseni
@JeremiaholendikaMakeseni 17 күн бұрын
Hogera sana kiongozi makini
@AbdallahBabu-jl8ld
@AbdallahBabu-jl8ld 17 күн бұрын
Mngefanya hata moja lamaana sio kusambaza maneno hata kwenye kanga yapo
@mwaramimbuya5443
@mwaramimbuya5443 9 күн бұрын
amina ccm mwamba
@sarikielimbise447
@sarikielimbise447 17 күн бұрын
Peleka huko,wewe hata familia inakulalamikia, licha ya Nchi,mkimbizi
@foibennjeje7730
@foibennjeje7730 17 күн бұрын
Mbalikiwe Mungu ndugu zangu
@AnaniaBulaya-rc3jv
@AnaniaBulaya-rc3jv 17 күн бұрын
Kama hampati Hela yoyote.Hela ya ruzuku imetoka juzi imeenda wapi?
@frankjoely3313
@frankjoely3313 15 күн бұрын
We ni mpuuzi tu
@user-rk9gr9yf3i
@user-rk9gr9yf3i 17 күн бұрын
Huna mpango kilichobaki kakojoe ukalale unataka siasa ndo hiyo
@heriethmsambili5711
@heriethmsambili5711 14 күн бұрын
😂😂😂hapo kwenye tunaongozwa na machiziiiii😅😅😅
@UmmyDaud
@UmmyDaud 13 күн бұрын
Sema lema inatakiwa tushikamane hakuna kujali kitu😂
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 15 күн бұрын
Hamna mtu hapo lema ni hewa nenda machame
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki 16 күн бұрын
Tulikupa ubunge ukaenda bungen kupinga kilsa kitu tuambie kipindi chako ulifanya nini
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 17 күн бұрын
ila hawa wapinzani wameteseka kweli
@ombenipenieli1432
@ombenipenieli1432 15 күн бұрын
Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo
@ZakayoYohana
@ZakayoYohana 15 күн бұрын
Yani Kodi akusanye mwigulu harafu zahanati ajenge lema huna Akiri
@RwegoshoraPatt-os2ik
@RwegoshoraPatt-os2ik 16 күн бұрын
Lema zuri gani umewafanyia watanzani?
@HashimuAbubakar-ej8gc
@HashimuAbubakar-ej8gc 17 күн бұрын
Wananchi siku wakiweelewa hoja zenu amtatumia nguvu kushawshi watu
@JamesMatondo-fk4bh
@JamesMatondo-fk4bh 17 күн бұрын
Hongera kwa mawazo mazur
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 17 күн бұрын
Leo wanasema Tanzania ya viwanda
@carloschikawe3244
@carloschikawe3244 16 күн бұрын
Aisee Mungu atusaidie
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 17 күн бұрын
Kweli tunaongozwa na watu wasio na uwezo
@thomasrobert-bf1mf
@thomasrobert-bf1mf 16 күн бұрын
mbona ujawai kuongelea bungeni
@user-od1pl6ox5m
@user-od1pl6ox5m 15 күн бұрын
Mungu awenawe mwambaaa 🙏🙏
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 17 күн бұрын
Sasa wewe unawatetea wanyonge yajaze hayo maji acha ngonjera zako
@MeshackKaboja
@MeshackKaboja 17 күн бұрын
Hamna lolote mjingatuu ndo atakuerewa
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 17 күн бұрын
Zero brain ww
@user-mo3ik6go6r
@user-mo3ik6go6r 17 күн бұрын
Kuwa na hakili kidog
@user-bj9nb1yh3o
@user-bj9nb1yh3o 13 күн бұрын
Luzuku mnapeleka wapi wacheni usani
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 17 күн бұрын
Chadema ni wehu lema na chadema walishika alimashauli ya arusha miaka 5 hakuna alichokifana tofauti na kujiongezea ela ya vikao
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 17 күн бұрын
Kama Lema ni mwongo basi mkweli atashuka kutoka juu
@daudibukuku6490
@daudibukuku6490 17 күн бұрын
Hao watu au mchanga???? People's!!!!!!!!!!!!!!!
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 17 күн бұрын
PAMBANENI. KARIBU KUNAKUCHA
@KaburuKimath-eu5nf
@KaburuKimath-eu5nf 17 күн бұрын
Cha msingi watu wajiandikishe tukutane kw sanduku la a kura
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 17 күн бұрын
Kwa hiyo tukudaidie.nini
@MnyamaTolu-kd5ct
@MnyamaTolu-kd5ct 17 күн бұрын
Nakukubali Mwamba
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 17 күн бұрын
Fisiyemu ni korona ya taifa la tanganyika
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 17 күн бұрын
chadema bado sana nyie pigeni kelele tu mtimize wajibu wenu wa kupayuka mchoke mpate usingizi vizuri
@samwelsimon7392
@samwelsimon7392 17 күн бұрын
umesahau na kesi ya mkeo
@user-md7sd3hk6l
@user-md7sd3hk6l 17 күн бұрын
nai penda chadema sana wa sema kweli siyo wale uki sema ukweli una tolewa bungeni muongo ana pigiwa makofi
@molenicharles9107
@molenicharles9107 17 күн бұрын
Napita tu...ila njaa mbaya
@davidchihimba9489
@davidchihimba9489 17 күн бұрын
Asee mungu anaona yote haya hao mambwa wachache kwa nini tusiwauwe tu mizoga hao wanatesa watu kwa faida gani
@rehemakarafuu-xi1py
@rehemakarafuu-xi1py 17 күн бұрын
kichwa san mwamba
@emmanuelkyandochali990
@emmanuelkyandochali990 16 күн бұрын
Mnatoa wap pesa
@davidmalisa8043
@davidmalisa8043 15 күн бұрын
Wazazi wako walitoka machame au
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 17 күн бұрын
kweli chadema mnazidiwa na mwamposa
@user-qh5lq7gx2b
@user-qh5lq7gx2b 16 күн бұрын
Hongera sana kamanda lema
@sadicksingogo260
@sadicksingogo260 16 күн бұрын
Unasikika mwanaume
@abubakarimchani8362
@abubakarimchani8362 16 күн бұрын
Iko sawa mkuu wangu
@edsonmoris
@edsonmoris 17 күн бұрын
Nimekuelewa lema
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 17 күн бұрын
Kateshi ulikuwa na ngano saafi,wengi hamjui lkn sisi tunaona ulikuwa ni kama ulaya
@ngwandukadama4229
@ngwandukadama4229 17 күн бұрын
Kwa hiyo
@emmanuelmashishanga7141
@emmanuelmashishanga7141 17 күн бұрын
Nisuala la muda tu
@azizimangara9024
@azizimangara9024 17 күн бұрын
Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!
@user-lw3tg3yg5b
@user-lw3tg3yg5b 17 күн бұрын
Viongozi
@noelyhaule5695
@noelyhaule5695 17 күн бұрын
wew n hasara kwa taifa
@erickmsigala138
@erickmsigala138 17 күн бұрын
Ulipatikana Guest akili mgando ndiyo maana mnajiita Chawa wachafu wakubwa nyie miccm
@pennymahombo9528
@pennymahombo9528 17 күн бұрын
Huwezi misquote ukimya,bora ukae kimya kuliko kuzungumza ujinga wenye akili watakudharau,
@user-px1tc1nj1w
@user-px1tc1nj1w 17 күн бұрын
Unachongea tu
@barakamanga5502
@barakamanga5502 17 күн бұрын
Upo sawa
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 17 күн бұрын
Mungu akubariki Lema. Kweli tupuu unayoiongea.
@ibrahimgwasma1223
@ibrahimgwasma1223 16 күн бұрын
Lema lkn ulikuwa Mbunge hapa Arusha miaka 10 je huduma inayopatikana Arusha ni tofauti na majimbo ambayo ni ccm ?. Au ndo kusema mpaka serikali
@athumanmtunguja4412
@athumanmtunguja4412 16 күн бұрын
tatizo hapo kunawapiga hela kila mtu anatetea tumbo lake
@KudraWanguvu-em1xw
@KudraWanguvu-em1xw 17 күн бұрын
Huyu huwa hamna kitu ungekuwa mkweli mngelekebisha chama cha cdm
@hanujoseph8809
@hanujoseph8809 17 күн бұрын
We ndo hamna k2
@Flaviosafari
@Flaviosafari 16 күн бұрын
@@KudraWanguvu-em1xw wewe ndio zaidi
@MichaelEliasmwampamba
@MichaelEliasmwampamba 14 күн бұрын
Wakati wewe ni mbunge mbona hayo haukufanya nakwenye jimbo lako ulifanya nini wewe
@godhelpmassam3480
@godhelpmassam3480 14 күн бұрын
Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie.
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 17 күн бұрын
Lema umeongea jambo sahihi sana
@samsongazika8908
@samsongazika8908 15 күн бұрын
Unatembea faida yako nn
@eliasnshashi3196
@eliasnshashi3196 17 күн бұрын
Upon sawa
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 17 күн бұрын
Kenya demokrasia sasa inawatesa.
@abuuawalina2625
@abuuawalina2625 16 күн бұрын
Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine
@olivermwakikuti
@olivermwakikuti 15 күн бұрын
Hakika ccm ni chama dume chama imara kigum kutoka madarakan
@NusraMwalyawa
@NusraMwalyawa 14 күн бұрын
Wachane hao
@dunstankihaa2383
@dunstankihaa2383 16 күн бұрын
Majitu ya Tanzania hayaelew kabsa
@pennymahombo9528
@pennymahombo9528 17 күн бұрын
Great visionary
@sarahdeograthias9097
@sarahdeograthias9097 17 күн бұрын
Mungu mbariki Makonda
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 16 күн бұрын
Makonda Kwa nafasi yake si haba Lakini Hawa jamaa wanafanya Kazi kubwa sana kutufungua faham zetu, vinginevo Ccm watatuumiza sana
@nasibuabasi4701
@nasibuabasi4701 16 күн бұрын
Ruzuku ya chama inatumika kwenye nini?
@dianamakyara4210
@dianamakyara4210 17 күн бұрын
✌️✌️✌️
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 17 күн бұрын
Nabii wa Mungu piga kazi Ikulu safari hii ni yenu
@DanisNwita-il8zg
@DanisNwita-il8zg 17 күн бұрын
Kaka ikilu ipi ,kwa katiba gani?
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 17 күн бұрын
Chadema mna Kura nyingi
@MajaliwaTalali
@MajaliwaTalali 16 күн бұрын
❤⁹ooo😊
@hamiltonmzee6120
@hamiltonmzee6120 17 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢
@TonyTrans-xw3bb
@TonyTrans-xw3bb 17 күн бұрын
Hapa wapi?
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 17 күн бұрын
Tunawaomba Karagwe jamani
@JosephM.meiliari
@JosephM.meiliari 14 күн бұрын
Sasa mheshimiwa kama hulipwi nini kinakutesa ww mpaka uteseke hivyo?mm naona una maslahi binafsi.hakuna mtu yyte anafanya kazi isiyo na malipo isipokuwa yesu kristo pekee mwingine yeyote ni anapambania ugali wake
@jumashimba9620
@jumashimba9620 17 күн бұрын
Lema wewe ni mzalendo
@kiyabolnjemu9646
@kiyabolnjemu9646 17 күн бұрын
Mzalendo kwenye nn? Halopwi mshahara na hayo matumizi anapata wapi?
@YassinRajabu
@YassinRajabu 17 күн бұрын
😂😂😂😂😂​@@kiyabolnjemu9646
@justardzelphine6526
@justardzelphine6526 17 күн бұрын
Yeye amepata wapi?
@ShamteMohmed-ed2kk
@ShamteMohmed-ed2kk 17 күн бұрын
Ruzuku kazi yake nini?
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 17 күн бұрын
Haitoshi ndugu
@lorubaadvocates
@lorubaadvocates 17 күн бұрын
Business
@DanielManumbo
@DanielManumbo 13 күн бұрын
😅😅
@nasibuabasi4701
@nasibuabasi4701 16 күн бұрын
Propaganda nyingi
@hamzaabdallah8637
@hamzaabdallah8637 17 күн бұрын
Eti hamna pesa?? Ruzuku mnaxipewa na Serikali mnaxiweka wapi?? Nchi zinawapa pesa mnaxiweka wapi?? Mnatafuta huruma Kwa watu?? Wezi kama wengine . Majambazi kama majambazi wengine M
@DeoMosha-xw2lr
@DeoMosha-xw2lr 17 күн бұрын
Wanakutomba
@kambalekambale541
@kambalekambale541 14 күн бұрын
Acha kutoa huruma wewe
@MenelusCzar
@MenelusCzar 17 күн бұрын
🥹
@MosesKamba-tk3lp
@MosesKamba-tk3lp 17 күн бұрын
Una lolote mchumia tumbo
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 60 МЛН
Alex hid in the closet #shorts
00:14
Mihdens
Рет қаралды 12 МЛН
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Lexa_Merin
Рет қаралды 15 МЛН