LEMA AANGUA KILIO WANAICHI WAMEWACHOSHA BOLA WAHAMIE CCM WOTE HAYO AMEYASEMA AKIWA KATIKA MKUTANO ALIPOKUA AKIZUNGUMZA NA WANA NCHI AKIYASEMA KWA UCHUNGU MKUBWA
Пікірлер: 159
@mackrankagenzi523617 күн бұрын
Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤
@ndogoroedson19917 күн бұрын
Mungu hawezi kukibariki chama cha wahuni
@graysonpastory191817 күн бұрын
Wapenda uhuru wa ushoga hawa, labda sera zao wazibadili upya ,uhuru uwe na mipaka,.@@ndogoroedson199
@nyerere125917 күн бұрын
Anajitolea vp na chama ni mali ya familiar
@TegemeaFutemakatifu16 күн бұрын
@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha
@damianmcba952516 күн бұрын
Ccm au walimu wanaofundisha miguu ya panzi?@@TegemeaFutemakatifu
@shikuhata13 күн бұрын
Nakukubali tuu kwa kuishauri ccm kuboresha huduma kwa njia tofauti tofauti
@allyalijai71434 күн бұрын
Hamna kitu hapoo, utawadanganya wasiojitambuaa.
@thomasrobert-bf1mf16 күн бұрын
mbona kipindi ukiwa ukiwa mubunge mbona hujawai kusikika
@JoshuaSabu-r2p13 күн бұрын
Unamfaham vzr alipokuwa bungeni
@sasha-ri7tf15 күн бұрын
#TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA,MAMA SAMIA OYEE, MAKONDA OYEEE, PITER MSIGWA OYEEE, BASHE OYEEE, CCM OYEEE.
Mzee democrasia ipi mnaongelea jamanii? Tengeneza kwanza democrasia ya chama chenu ndo muongelee hiyo democrasia
@user-vb8ki3jo9t14 күн бұрын
Ulipo kuwa mbunge ulishindwaje kufanya hayo muzeeee acha uongo watanzania wanaakili
@talentshow202413 күн бұрын
Mh
@user-vr1ly3rw4h12 күн бұрын
Mbunge kazi yake ni kuishauri serikali wewe
@sammykateregga623817 күн бұрын
Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie
@malikeyndotopopote17 күн бұрын
Salute bro
@abdalahgunda131917 күн бұрын
Point god bless lema
@HamisMghuna-fj3vz17 күн бұрын
Mashaaalah lema,huna baya,
@tibbsminja257517 күн бұрын
Lema hebu acha story njooni kwenye Mada ya chaguzi zijazo na jinsi gani tunaleta mabadiliko.!!
@ShamteMaganga17 күн бұрын
Subiri kampeni zianze
@karolikisaka899117 күн бұрын
Hii ndiyo hoja ndugu ambayo itakutia wewe uchungu uiondoe ccm Kisha ndo tuje tutengeneze katiba. Ccm hawataki kabisa kusikia hiyo kitu
@MohamedHamsini17 күн бұрын
LEMA MUONGO SANA WEWE ULIKUWA MBUNGE ULIFANYA NINI?
@ericlowasa309713 күн бұрын
Ulitegemea atafanya nini na bajeti ya utekelezaji wa maendeleo kwenye majimbo wanatoa ccm kunachakufanya happ
@edgeredson969115 күн бұрын
Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish
@victorsanga222916 күн бұрын
Ki ukweli waliopo upinzani wanastaili pongezi , watanzania wengi ni wanafiki na ndiyo hatuaminiki nchi za nje.
@stanastana319917 күн бұрын
Nenda ccm lema,chadema utafulia sana
@ramadhanchenga460617 күн бұрын
Hakuzaliwa hivo
@usembiphonedar563217 күн бұрын
Akili zako na kufikiri kwako ndiyo kumeishia hapo! Lema siyo type yako kununuliwa kwa tamaa kama mnavyonunua wengine! Hovyoooo kabisa!
@stanastana319917 күн бұрын
@@usembiphonedar5632 hii komment naitunza,ni swala la mda tu
@halimamasai223411 күн бұрын
Anakaribishwa hata Msigwa mlisema hataenda CCM yako wapi na Lema ajee tu chadema wamekwisha ki siyasa wanaimba taarbu tu sasa 🤣🤣🤣🤣
@Flaviosafari17 күн бұрын
Wanataka Mungu ashuke labda aongee mwenyewe ? Wakati unakuja.
@user-kc6hg1se7b15 күн бұрын
Mungu atusaidie WA Tanzania ambao hatuna uelewa, pipooooosss
@justardzelphine652617 күн бұрын
Kapunga wameiua wenyewe, halafu wanaagiza mchele kutoka
@adelinelyaruu303617 күн бұрын
Na mashamba ya Basuto enzi hizi😮😮
@MnubiMm17 күн бұрын
Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya
@JeremiaholendikaMakeseni17 күн бұрын
Hogera sana kiongozi makini
@AbdallahBabu-jl8ld17 күн бұрын
Mngefanya hata moja lamaana sio kusambaza maneno hata kwenye kanga yapo
@mwaramimbuya54439 күн бұрын
amina ccm mwamba
@sarikielimbise44717 күн бұрын
Peleka huko,wewe hata familia inakulalamikia, licha ya Nchi,mkimbizi
@foibennjeje773017 күн бұрын
Mbalikiwe Mungu ndugu zangu
@AnaniaBulaya-rc3jv17 күн бұрын
Kama hampati Hela yoyote.Hela ya ruzuku imetoka juzi imeenda wapi?
@frankjoely331315 күн бұрын
We ni mpuuzi tu
@user-rk9gr9yf3i17 күн бұрын
Huna mpango kilichobaki kakojoe ukalale unataka siasa ndo hiyo
Tulikupa ubunge ukaenda bungen kupinga kilsa kitu tuambie kipindi chako ulifanya nini
@jedidahbintidaudi824117 күн бұрын
ila hawa wapinzani wameteseka kweli
@ombenipenieli143215 күн бұрын
Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo
@ZakayoYohana15 күн бұрын
Yani Kodi akusanye mwigulu harafu zahanati ajenge lema huna Akiri
@RwegoshoraPatt-os2ik16 күн бұрын
Lema zuri gani umewafanyia watanzani?
@HashimuAbubakar-ej8gc17 күн бұрын
Wananchi siku wakiweelewa hoja zenu amtatumia nguvu kushawshi watu
@JamesMatondo-fk4bh17 күн бұрын
Hongera kwa mawazo mazur
@MageAwe-hl5zb17 күн бұрын
Leo wanasema Tanzania ya viwanda
@carloschikawe324416 күн бұрын
Aisee Mungu atusaidie
@user-rc1dp6ux3k17 күн бұрын
Kweli tunaongozwa na watu wasio na uwezo
@thomasrobert-bf1mf16 күн бұрын
mbona ujawai kuongelea bungeni
@user-od1pl6ox5m15 күн бұрын
Mungu awenawe mwambaaa 🙏🙏
@margarethpolepole743817 күн бұрын
Sasa wewe unawatetea wanyonge yajaze hayo maji acha ngonjera zako
@MeshackKaboja17 күн бұрын
Hamna lolote mjingatuu ndo atakuerewa
@ramadhanchenga460617 күн бұрын
Zero brain ww
@user-mo3ik6go6r17 күн бұрын
Kuwa na hakili kidog
@user-bj9nb1yh3o13 күн бұрын
Luzuku mnapeleka wapi wacheni usani
@alphoncewilliam432517 күн бұрын
Chadema ni wehu lema na chadema walishika alimashauli ya arusha miaka 5 hakuna alichokifana tofauti na kujiongezea ela ya vikao
@MageAwe-hl5zb17 күн бұрын
Kama Lema ni mwongo basi mkweli atashuka kutoka juu
@daudibukuku649017 күн бұрын
Hao watu au mchanga???? People's!!!!!!!!!!!!!!!
@adelinelyaruu303617 күн бұрын
PAMBANENI. KARIBU KUNAKUCHA
@KaburuKimath-eu5nf17 күн бұрын
Cha msingi watu wajiandikishe tukutane kw sanduku la a kura
@epifaniamilinga284817 күн бұрын
Kwa hiyo tukudaidie.nini
@MnyamaTolu-kd5ct17 күн бұрын
Nakukubali Mwamba
@rebekakulwa615917 күн бұрын
Fisiyemu ni korona ya taifa la tanganyika
@samwelsimon739217 күн бұрын
chadema bado sana nyie pigeni kelele tu mtimize wajibu wenu wa kupayuka mchoke mpate usingizi vizuri
@samwelsimon739217 күн бұрын
umesahau na kesi ya mkeo
@user-md7sd3hk6l17 күн бұрын
nai penda chadema sana wa sema kweli siyo wale uki sema ukweli una tolewa bungeni muongo ana pigiwa makofi
@molenicharles910717 күн бұрын
Napita tu...ila njaa mbaya
@davidchihimba948917 күн бұрын
Asee mungu anaona yote haya hao mambwa wachache kwa nini tusiwauwe tu mizoga hao wanatesa watu kwa faida gani
@rehemakarafuu-xi1py17 күн бұрын
kichwa san mwamba
@emmanuelkyandochali99016 күн бұрын
Mnatoa wap pesa
@davidmalisa804315 күн бұрын
Wazazi wako walitoka machame au
@kaaakwakutuliaa517917 күн бұрын
kweli chadema mnazidiwa na mwamposa
@user-qh5lq7gx2b16 күн бұрын
Hongera sana kamanda lema
@sadicksingogo26016 күн бұрын
Unasikika mwanaume
@abubakarimchani836216 күн бұрын
Iko sawa mkuu wangu
@edsonmoris17 күн бұрын
Nimekuelewa lema
@karolikisaka899117 күн бұрын
Kateshi ulikuwa na ngano saafi,wengi hamjui lkn sisi tunaona ulikuwa ni kama ulaya
@ngwandukadama422917 күн бұрын
Kwa hiyo
@emmanuelmashishanga714117 күн бұрын
Nisuala la muda tu
@azizimangara902417 күн бұрын
Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!
@user-lw3tg3yg5b17 күн бұрын
Viongozi
@noelyhaule569517 күн бұрын
wew n hasara kwa taifa
@erickmsigala13817 күн бұрын
Ulipatikana Guest akili mgando ndiyo maana mnajiita Chawa wachafu wakubwa nyie miccm
@pennymahombo952817 күн бұрын
Huwezi misquote ukimya,bora ukae kimya kuliko kuzungumza ujinga wenye akili watakudharau,
@user-px1tc1nj1w17 күн бұрын
Unachongea tu
@barakamanga550217 күн бұрын
Upo sawa
@ceciliamagalabajimmy439117 күн бұрын
Mungu akubariki Lema. Kweli tupuu unayoiongea.
@ibrahimgwasma122316 күн бұрын
Lema lkn ulikuwa Mbunge hapa Arusha miaka 10 je huduma inayopatikana Arusha ni tofauti na majimbo ambayo ni ccm ?. Au ndo kusema mpaka serikali
@athumanmtunguja441216 күн бұрын
tatizo hapo kunawapiga hela kila mtu anatetea tumbo lake
@KudraWanguvu-em1xw17 күн бұрын
Huyu huwa hamna kitu ungekuwa mkweli mngelekebisha chama cha cdm
@hanujoseph880917 күн бұрын
We ndo hamna k2
@Flaviosafari16 күн бұрын
@@KudraWanguvu-em1xw wewe ndio zaidi
@MichaelEliasmwampamba14 күн бұрын
Wakati wewe ni mbunge mbona hayo haukufanya nakwenye jimbo lako ulifanya nini wewe
@godhelpmassam348014 күн бұрын
Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie.
@MathewNathan-yb2bz17 күн бұрын
Lema umeongea jambo sahihi sana
@samsongazika890815 күн бұрын
Unatembea faida yako nn
@eliasnshashi319617 күн бұрын
Upon sawa
@user-sj3wf5vz7l17 күн бұрын
Kenya demokrasia sasa inawatesa.
@abuuawalina262516 күн бұрын
Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine
@olivermwakikuti15 күн бұрын
Hakika ccm ni chama dume chama imara kigum kutoka madarakan
@NusraMwalyawa14 күн бұрын
Wachane hao
@dunstankihaa238316 күн бұрын
Majitu ya Tanzania hayaelew kabsa
@pennymahombo952817 күн бұрын
Great visionary
@sarahdeograthias909717 күн бұрын
Mungu mbariki Makonda
@TegemeaFutemakatifu16 күн бұрын
Makonda Kwa nafasi yake si haba Lakini Hawa jamaa wanafanya Kazi kubwa sana kutufungua faham zetu, vinginevo Ccm watatuumiza sana
@nasibuabasi470116 күн бұрын
Ruzuku ya chama inatumika kwenye nini?
@dianamakyara421017 күн бұрын
✌️✌️✌️
@MageAwe-hl5zb17 күн бұрын
Nabii wa Mungu piga kazi Ikulu safari hii ni yenu
@DanisNwita-il8zg17 күн бұрын
Kaka ikilu ipi ,kwa katiba gani?
@MusaOgwoko17 күн бұрын
Chadema mna Kura nyingi
@MajaliwaTalali16 күн бұрын
❤⁹ooo😊
@hamiltonmzee612017 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢
@TonyTrans-xw3bb17 күн бұрын
Hapa wapi?
@nabimanyafesto501417 күн бұрын
Tunawaomba Karagwe jamani
@JosephM.meiliari14 күн бұрын
Sasa mheshimiwa kama hulipwi nini kinakutesa ww mpaka uteseke hivyo?mm naona una maslahi binafsi.hakuna mtu yyte anafanya kazi isiyo na malipo isipokuwa yesu kristo pekee mwingine yeyote ni anapambania ugali wake
@jumashimba962017 күн бұрын
Lema wewe ni mzalendo
@kiyabolnjemu964617 күн бұрын
Mzalendo kwenye nn? Halopwi mshahara na hayo matumizi anapata wapi?
@YassinRajabu17 күн бұрын
😂😂😂😂😂@@kiyabolnjemu9646
@justardzelphine652617 күн бұрын
Yeye amepata wapi?
@ShamteMohmed-ed2kk17 күн бұрын
Ruzuku kazi yake nini?
@philemonsnyanda945017 күн бұрын
Haitoshi ndugu
@lorubaadvocates17 күн бұрын
Business
@DanielManumbo13 күн бұрын
😅😅
@nasibuabasi470116 күн бұрын
Propaganda nyingi
@hamzaabdallah863717 күн бұрын
Eti hamna pesa?? Ruzuku mnaxipewa na Serikali mnaxiweka wapi?? Nchi zinawapa pesa mnaxiweka wapi?? Mnatafuta huruma Kwa watu?? Wezi kama wengine . Majambazi kama majambazi wengine M