KUMBUKIZI Rais Magufuli alipofanya Ziara ya Kushtukiza Bandarini DSM

  Рет қаралды 60,879

MAGUFULIFICATION OF AFRICA

MAGUFULIFICATION OF AFRICA

11 ай бұрын

#Magufuli #Tanzania #Magulificationoftanzania #short #shprts #shortvideo #shortsvideo #shorts
KUMBUKIZI: RAIS MAGUFULI ALIPOTEMBELEA GHAFLA BANDARI YA DAR ES SALAAM
JPM Afanya Ziara ya Kushtukiza Bandarini DSM SEPTEMBA 26,2016
Rais Dkt John Magufuli lei Mei 15, 2018 amefanya ziara ya kushtukiza katika Bandari ya Dar es Salaam na kukagua matanki ya mafuta ambayo yana utata mkubwa unaosababisha bidhaa hiyo kuadimika na kupanda bei.
Baada ya kufanya ukaguzi huo, Rais Magufuli amekuta madudu na udanganyifu mkubwa ambapo amefanya maamuzi ya kuwapiga faini waliokutwa na udanganyifu huo na kutoa agizo la mafuta yaliyokutwa ni Cruddle na Semi-refund yatolewe leo na yaanze kutumika kwa wananchi.
Licensed under a Creative commons AttribushareAlike 4.0 International License. Based on a work at https

Пікірлер: 67
@richardzakaria8669
@richardzakaria8669 11 ай бұрын
Watanzania tunae kazi ngumu sana endapo tunaendelea kuwa shamba la bibi kwa maelezo kama rais mtangulizi Mh, John Pombe Magufuli ambaye mwenzi Mungu alimpenda zaidi
@filbertntibasiga8093
@filbertntibasiga8093 10 ай бұрын
Afrika bado bado tz hii Kwa hili wengine hatujui
@JustusMwania
@JustusMwania 10 ай бұрын
Kweli🤗
@MariaMakoye-ct5wx
@MariaMakoye-ct5wx 10 ай бұрын
Mungu akupe Heri Mbinguni JPM wetu
@boniphacemayila5518
@boniphacemayila5518 10 ай бұрын
Huyu ndo alitufaa kuongoza tanzania
@JustusMwania
@JustusMwania 10 ай бұрын
If African head's of state worked like him Africa Will be developed continent
@erobert693
@erobert693 10 ай бұрын
You do what you was supposed do then you sleep 🫢😭😭😭 Rais Magufuli Ana niwuma from minebwe munyamulenge DRC
@user-eg2wk4xx3h
@user-eg2wk4xx3h 10 ай бұрын
Tumeiua Bandari SS wenyewe hata hatumuogopi Mungu
@beatricefilbert1171
@beatricefilbert1171 10 ай бұрын
Asante baba
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np 10 ай бұрын
Baba ingewezekana kurudi ningeomba urudi Ili watu wazikimbie ofisi kunawatu Wakati wako walisema wamezeeka ila Kwa mama ni vijana na nahis ukirudi wewe watakua vikongwe wa kutembelea mkongojo Mungu aweke roho ya Magufuli Kwa kiongozi ajae ila sio ccm
@Gracemima
@Gracemima 10 ай бұрын
Tanzania ilikuwa na Rais. Mwenyezi Mungu alituchukulia Rais ambaye angetufikisha mbali. Kwa sasa tumebaki na mafisadi. Hayati Magufuli lazima angekufa mapema. Sasa Samia anataka kuwapa waarabu kwa kuwa kashindwa kazi ya kupigana na cartels. Miaka kumi ya Kikwete hasara tupu. Watanzania tutapata wapi Rais Kama Magufuli eh Mungu tuhurumie.
@pastorgodsonjohn8562
@pastorgodsonjohn8562 10 ай бұрын
Jpm mwamba uliolala😢😢dahhh
@nyucletkikonamaluhe2274
@nyucletkikonamaluhe2274 10 ай бұрын
RIP
@francismigongwa4146
@francismigongwa4146 10 ай бұрын
RIP MH JPM naamini huko uliko unawaona wanafiki wako live
@habibushekulamba5071
@habibushekulamba5071 10 ай бұрын
Kupata kiongozi Kama huyu Tz kwakweli panahitaji maombi na kufunga laa sivyo uuuuuiiiiiii.....! Mambo yatarudi yaleyale
@gooddeeds162
@gooddeeds162 10 ай бұрын
Yatarudi vipi ndugu yangu wakati tayari yapo mtaani? Maana yangu ni yamesharudi.
@abdallahselemani6423
@abdallahselemani6423 10 ай бұрын
Na ndio maana mama anafuata nyayo za magufuli Bora ibinafsishwe hao wanaopiga kelele ndio wanufaika na hao wezi mianya Sasa inazibwa ndio wanalia Liawakishirikiana na chadema. Binafsisha mama hujakosea
@mohdali2408
@mohdali2408 10 ай бұрын
Wazee wakanisa wanajambo Lao kwenye hili
@kenedynyamohanga9898
@kenedynyamohanga9898 10 ай бұрын
The slept rock
@salaita2829
@salaita2829 10 ай бұрын
Huyu mzee alikuwa anataka kuipeleka peponi hii tanzania
@stevegeee298
@stevegeee298 10 ай бұрын
Kenya reality.KRA,KPA
@ayubumoha6313
@ayubumoha6313 10 ай бұрын
Mzee bado unakumbukwa hakika unaishi. Kwenye mioyo ya watanzania😭😭😭
@abdulrahmanmwadini5925
@abdulrahmanmwadini5925 10 ай бұрын
Mama ziba Masikio walete DPW tuone Faida ya Bandali yetu,wanaopiga kelele ni Mawakala wa wapigaji wanaona wakija DP watakosa ulaji
@salaita2829
@salaita2829 10 ай бұрын
Duuh kila mkataba unapowekwa ni lazima kuwe na kipengele cha kuuvunja,win win situation,dah yametukuta wallah
@toptopress4909
@toptopress4909 10 ай бұрын
Aisee ndo maana mama anataka bandari ibinafsishwe. Haya madudu ya bandarini kuyaondoa ni kubinafsisha tu
@mdqweqwe251
@mdqweqwe251 10 ай бұрын
Mwambie uyo mama ako auze kuma yake na mkundu wake bandari sio mali yake
@abdallahselemani6423
@abdallahselemani6423 10 ай бұрын
Wewe tukana tu !! Lakini jua ukweli ndio huo Kwa wanao jielewa Kwa mpumbavu kama wewe huezi juaa kaa na umaskini wako wa akili
@malingaezekia3657
@malingaezekia3657 11 ай бұрын
ukweli una uma sana
@Gracemima
@Gracemima 10 ай бұрын
Huyu ndiye aliyekuwa Rais mzalendo wa Tanzania.
@SwahibuAthuman-yv2mn
@SwahibuAthuman-yv2mn 10 ай бұрын
Mungu tupe magufuli mwingine
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 10 ай бұрын
Ili naye mmuue kama wa kwanza ,kaani na wezi hao mliowataka.kafa Nyerere,Mkapa,na Pombe,why?
@Worldunite
@Worldunite 10 ай бұрын
Muhimu kubinafsisha bandari km kuna ubadhirifu bandarini, ni kuwalipa mishahara tu, bora kubinafsisha bali kurekebisha tu baadhi ya vipengele ktk makubaluano, RIP JPM
@manmanonline6394
@manmanonline6394 10 ай бұрын
Hii ndio Tanzania,hii ndio Bandari Dar -es -salaam....🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉🙉
@edwinelyone3100
@edwinelyone3100 10 ай бұрын
Nilimpenda sana huyu
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 10 ай бұрын
Eti Leo wanadai kukataa Morden investment
@ritchiemuta1092
@ritchiemuta1092 10 ай бұрын
Hivi kwa nini serikali isiunde kikosi kazi kuchunguza ubadhilifu pamoja na wataalamu wa ufisadi kutoka Scotland Yard au Israel ilikujua ni nani yuko nyima ya ufisadi Lkn naamini watu wa ccm na serikali yake hawako tatari kujua ukweli
@kudraahmad5670
@kudraahmad5670 10 ай бұрын
Yaan kwa haya aliyoyaona magu mama Samia usisikie maneno tunaomba ubinafsishe tu
@GeraldBaruti-jh3cr
@GeraldBaruti-jh3cr 10 ай бұрын
Mkuu saruti San hakik chema hakidum hiv ulijua hay ipo siku yatatokea
@kulthumhaji6928
@kulthumhaji6928 10 ай бұрын
Inajulikanao vile wanaiba.
@abeliantony7085
@abeliantony7085 10 ай бұрын
Baba ubalikiwe popote uliko kwa ukweli wako, lakini umetuachia hayo madudu sasahizi yanatunyonya tu
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 10 ай бұрын
Huyu akuwa kiongozi bali dikteta ..!
@thomastarimo
@thomastarimo 10 ай бұрын
Kaka jipm tuna kukumbuka sana
@user-hu4el2rx2u
@user-hu4el2rx2u 10 ай бұрын
Mama toa kwa DP world njia nzuri hata magu kaona
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 10 ай бұрын
magu hakutaka mali ziwepe wageni fungua akili yako vizuri mnasoma kujaza ujinga kichwani au kuongeza upeo wa akili hapo ndio inafanya nione kumbe elim za shule ni ujinga tu kama haya maneno anayoyasema magu umeyatafriri kihivo basi elim ya shule haina faida kabsa magu kamaanisha viongozi wasimamie vizuri rasili mali za inchi wasiwe wazembe kukaa hoficin tu bila kufatilia vitengo vinatendaje kazi za ummah ?
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 10 ай бұрын
@@aishaalbalushaishabalush8291 kwahiyo unataka iendelee kuwa shamba la bibi
@Gracemima
@Gracemima 10 ай бұрын
Kiongozi gani wa Tanzania anaweza kuwa Kama Magufuli?
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 10 ай бұрын
Why not DP world?
@kalafunja
@kalafunja 10 ай бұрын
Aibu nchi ya walanghai waongo wezi na hawaridhiki
@user-qg5bq4sj9c
@user-qg5bq4sj9c 10 ай бұрын
Chumaaaa
@Gracemima
@Gracemima 10 ай бұрын
Kusema ukweli watanzania sisi wengi ni vilaza. Viongozi wetu wanajuwa wanaongoza wajinga wanaweza kufanya chochote kazi yetu ni kupiga makofi
@abdallahselemani6423
@abdallahselemani6423 10 ай бұрын
Hiii hutuba wanaopiga kelele na kushirikiana na mawakala wao wa vyama vya siasa hawaikumbuki!!!!????
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 10 ай бұрын
HII HUTUBA NI USHAHIDI TOSHA WA KUJUA KWANINI WATU WANAMPINGA MAMA, NA WANAPINGA UWEKEZAJI WA DP WORLD!! KWA USHAHIDI HUU WA JPM NI DHAHIRI WAPINGAJI WANAJUA WAKIJA DP WORLD NDIYO UTAKUWA MWISHO WAO WA UPIGAJI BANDARINI.
@user-qg5bq4sj9c
@user-qg5bq4sj9c 10 ай бұрын
Mama anuza
@josephlorri431
@josephlorri431 10 ай бұрын
Wapewe jwtz
@user-eg2wk4xx3h
@user-eg2wk4xx3h 10 ай бұрын
SS tumepewa Bandari hii na Mwenye Enzi Mungu tunawapa waarabu
@sports007tv4
@sports007tv4 10 ай бұрын
Kwaiyo tubak nayo ili tuendelee kuibiwa
@abeliantony7085
@abeliantony7085 10 ай бұрын
Haki watanzania tuko waovyo sana, kabla yakuskitika mabaya yanayosema eti watu wanacheka nakushangilia
@tomsticky3124
@tomsticky3124 10 ай бұрын
🇹🇿🤬
@brother_majesty
@brother_majesty 10 ай бұрын
CCM ni janga
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 10 ай бұрын
Unajuaje hao wezi hapo kama si chadema?
@kanunimc4318
@kanunimc4318 10 ай бұрын
NDO MAANA MAMA HII BANDARI ANAMPA DP WORLD KUMBE APO PANA ULAJIIIIII BASI APEWE DP WORLD
@toptopress4909
@toptopress4909 10 ай бұрын
Yaan hata mimi nimegundua ndo maana mama anataka kuwapa DP World
@kanunimc4318
@kanunimc4318 10 ай бұрын
@@toptopress4909 kuna watu wanafaidika sn na hii bandari ila mama anapewa lawama tu kwa sababu anapoteza ugali wa watu kweli vita vya uchumi ni ngumu
@sports007tv4
@sports007tv4 10 ай бұрын
Eeeeh mama anaona itakua ngumu kuyaondoa madudu ndiomana anataka awape waarabu
@richardzakaria8669
@richardzakaria8669 11 ай бұрын
Watanzania tunae kazi ngumu sana endapo tunaendelea kuwa shamba la bibi kwa maelezo kama rais mtangulizi Mh, John Pombe Magufuli ambaye mwenzi Mungu alimpenda zaidi
KIPINDI MAALUM CHA ZIARA YA RAIS DKT MAGUFULI BANDARINI SEPT 26,2016
34:35
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 13 МЛН
孩子多的烦恼?#火影忍者 #家庭 #佐助
00:31
火影忍者一家
Рет қаралды 48 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,1 МЛН
MAGUFULI AMPIGIA MKURUGENZI TAKUKURU LAIVU, AMFUKUZA KAMISHNA WA MKOA!
13:52
HOTUBA KAMILI YA RAIS MAGUFULI AKIWA MUSOMA - 05/09/2018
1:08:30
ZIARA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI  NACHINGWEA NA MASASI .
38:48
Ikulu Tanzania
Рет қаралды 50 М.