🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+)255 692 318 213 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Пікірлер: 51
@user-qg1iy5ov3u5 күн бұрын
Kulikuwa na adabu walikuwa wanamjua Mungu sikuhizi hakuna Mungu ni waizi na umjomba
@sophiemsuya65075 күн бұрын
Mzee kanichekesha kweli. Wenye hela ndefu ndio wanaotumia vitu vyote bure, wanyonge waendelee kuchangia wakubwa zao. Nyumba bure, magari bure, mafuta bure na matumizi ya juu sana. Mungu awaguse watukumbuke na sisi, wasije tokewa na yale ya Lazaro na tajiri jamani.😢😢😢😢
@user-qg1iy5ov3u5 күн бұрын
Kila kitu ni maliyako wanakopa kwenye benki muda mrefu ndugu zao ndio wanafanyakazi sehem nzuri tanapa bandarini uwanja wa ndege
@jarnskorelly4645 күн бұрын
Lakini kweli tulipata chakula bure
@albertbunyinyiga75813 күн бұрын
Mzee huko vizuri
@prochesytesha80405 күн бұрын
Mkuu mzee wangu upo vzr
@peterjosephat66855 күн бұрын
Ile bure iliyokuwa wanapata wananchi wote sasa imeamia kwa wakubwa wa serikali wanyonge wananyonywa
@MgonjaFide4 күн бұрын
Mnyonge anyongwe na hakiyake iliwe
@MasterOil-qm6vw5 күн бұрын
Ni kweli hata madaftar wazazi walikua hawanunui yapo madaftar ya bendera ya tanzania daftari walikuta shuleni wewe waenda t
@ndukulusudikucho_3 күн бұрын
😂😂😂 haya Mzee wa Ubwawa
@user-vm4zq7kf4e4 күн бұрын
Mzee inchi hii imeshindikana
@lovenessvisent94083 күн бұрын
Hawa ndio watu wa kuwahoji sasa sio yuvisisiem mimi nawalaumu wandishi wa habari tafuteni habari za kina sio za juu juu asant kwa chakula cha akili ,sisi nitahitaji elimu tu ya kujitambua mengine huja yenyeweeee
@kaaakwakutuliaa51795 күн бұрын
mwiguru hafai
@user-lt1bi5nr1x4 күн бұрын
Nyerere angejua bora angeiba kama mobutu congo
@SKY-fk3fz3 күн бұрын
Kweli wao kila kitu bure, mpaka matibabu bure lakini maskini alipe
@jeisawaya76383 күн бұрын
Hii ng’ombe kumbe bado iko mzeee Muhuni hawa ndiyo walifaidi huduma ya taifa ila hawana shukurani ila naona kama mwehu fulani
@user-zb5qz6fk1v3 күн бұрын
Kiongozi wa fedha hafai kibaka na fisadi John alimtimua
@jeisawaya76383 күн бұрын
Waandishi hakuna tanzania hojini watu wenye akili timamu munahoji watu walio changanywa na maisha matokeo ndiyo hayo hakuna tulicho pata kweli una akili iliyo sawa unaenda kumhoji rungwe kweli muna iangusha tasnia ama mna nia ya kum dhalilisha Mzee wa watu aonekane hivyo
@lovenessvisent94083 күн бұрын
Duu pole ila mm naamini umemuelewa Mzee ila hutak kuwa mkweli,pole kama ni kweli hujaelewa maana huna akil
@emilianchibinda825 күн бұрын
Miaka ile baada ya uhuru wananchi walikuwa wachache Ni kweli shule za bweni tulipewa kila kitu bure hadi 1978 tulitangaziwa miezi 18 ya kufunga mkanda hali iliyoendelea.
@allyhasani37505 күн бұрын
Tukiwa weng uzalishaji no mkubwa
@remigusluambana98805 күн бұрын
Watu wachache vipi,inatakiwa uchumi uwe directly proposional na population,punguza hayo mashangingi mashangingi na matumizi hapo pana hela
@shd12m554 күн бұрын
Ukigombea saivi namii ntakupigia kura ili nile ubwabwa😂
@leokamil62844 күн бұрын
Kweli Viwanda vyote kwisha kilimo kilikuwepo sukari ,ngano Basutu ,nchi imekwisha mpaka mashamba ya mkonge nayo kwisha .
@allyhasani37505 күн бұрын
Mzee mkweli
@noelnjementi85115 күн бұрын
Msomi kbs
@samsonsamwel87825 күн бұрын
Leta muendekezo
@user-sw7tf1ob1b5 күн бұрын
Mzee ubwabwe ccm hata ugali wanatowa machozi watakupa wali umezeeka piga siasa za ukombozi siyo za kichawa
@leokamil62844 күн бұрын
Kweli kabisa baada ya vita ndio likaanza balaa la hali ngumu
@marandoruzali19465 күн бұрын
Na ukweli umo
@user-lt1bi5nr1x4 күн бұрын
Mzee sani
@ramadhanishabani8073 күн бұрын
Shida watanzania wengi mafal
@VictaDaudi5 күн бұрын
Haaaa haaaa haaaaa😊😊😊😊😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂 duuuu hatari sanaaaaa
@noelnjementi85115 күн бұрын
Rugwe azeeki kbs yupo
@bernardjohn87885 күн бұрын
Uchaguzi umekaribia. Wameibuka
@jeisawaya76383 күн бұрын
Mkafanya kila njia wewe na nani
@user-my5yp6xx5s5 күн бұрын
Uko vizuri mzee wapashe
@zengomikomangwa92645 күн бұрын
Mzee toa sera zako. Ilitujue unachopendekeza ilitujue kama ni realistic
@kichenjekichenje20725 күн бұрын
Mtangazaji mbona umekomalia sn ubwabwa 😂😂
@user-lt1bi5nr1x4 күн бұрын
Ndo maisha
@bilid41283 күн бұрын
😂😂😂😂
@KenedyThabiti5 күн бұрын
Namkubari sana huyu mzee
@abdalahgunda13195 күн бұрын
One of the difficulty in Africa leadership is about mostly out Africa politician prefer much this wait education show PhD bachelor diploma and so on but take even they sun to oversize question mark me as the abdala ahamedy is this education getting Africa seem education getting wait skin on my sense l said no l don't think so why seem education pasonol getting to Russian or chaina or western citizens are quaghty difference PhD in Africa fighting for pasonol life and extended family not pablic but wait skin leadership fighting with pablic economy this are different education between wait and we black education
@noelnjementi85115 күн бұрын
Nimependa anakofia nzur sn anajuwa kuvaaa
@aliyageorge67945 күн бұрын
Mzee mnafiki!
@peterjosephat66855 күн бұрын
Mnafiki niwew
@elioimer84235 күн бұрын
Watu wa ccm ukisema kweli mnafiki ….. anachosema mzee Rungwe kwa sababu tulikuwako wakati ule tuliyaona na ni kweli. Nina uhakika anachosesa mzee ni mnafiki kazaliwa juzi hayajui. Yote haya na uchumi wa nchi ya Tz kwa ujumla kudidimia , ilitokana na vita vya Kagera ni sio vinginevyo. Mpaka leo tumefunga mikanda.