Nabarikiwa na mafundisho yako mchungaji Mmbaga, kwasababu unafundisha na kuhubiri pia, pamoja na hayo unafundisha psychology unagusa kila eneo barikiwa sana.
@user-tk7cd8vp9mАй бұрын
You have change my life Thank you and be blessed
@RehemaRMakengo22 күн бұрын
Barikiwa Pr kwa fundisho nzuri
@MrmobAmoc2 ай бұрын
Pr mbaga unanigusa sana mahubiri yako Mungu akuongezee karama yako hiyo maradufu❤❤
@shukranjulius9526Ай бұрын
Mungu akubariki sana pastor 🙏 😢
@speciozakaloli13 күн бұрын
Barikiwa saana Mbaga
@rachelwilson5289 Жыл бұрын
Yesu nirehemu nisiestahili, nakuhitaji Yesu Sana moyoni mwangu
@jaynice-hn7jn8 күн бұрын
Mungu akubariki
@carolinechelangat9243Ай бұрын
Mafundisho ya nehema kubwa sana
@lilianlima8609 Жыл бұрын
Amen, Amen utukufu kwa Mungu juu, tunakiri ushindi na kupokea neema
@definitelykoechy8726 Жыл бұрын
Mimi ni mkenya tunakupenda Sana pasy May God continue to protect you
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen. Asante sana
@beatriceomino6266 Жыл бұрын
Amen
@carolinechelangat9243Ай бұрын
Mimi ni mkenya,pr mbaga mafundisho yako imetubariki sana
@PhilbertJoachim2 ай бұрын
Much mbaga mungu akubariki Kwa masomo hayo
@niyongaboanaclet46 Жыл бұрын
Barikiwa sana pastor kwa masomo mazuri yanayo jenga kiroho,kimwili na nyanja nyinginezo za maisha!!!!
@janethdavid1026 Жыл бұрын
Pastor MUNGU akulinde na kukubariki Amen 🙏🥰
@neemamgeta2955 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mafundisho haya
@jenipharobert96946 ай бұрын
Mungu akubariki sana pastor mmbaga nsomba tu nikwambie ukwel ubatumiwa na Mungu mim nimekuwa mrahibu wa masomo yako kila siku lazima niweke bando nisikilize mahubiri yako hata masomo mawili. Ila kila siku lazima nisikilize na mara nikisikiliza nabarikiwa nafunguliwa nsinuliwa kiwango cha juu.Mungu akubariki sana
@RachelBarikiАй бұрын
Mahubirazuri yananitia moyo mungu akubariki pastor
@maryachuti4997 Жыл бұрын
Nakusikiza from nrbi kenya, barikiwa sana mchungaji.
@upendotv2776 Жыл бұрын
Aminaa nimebarikiwa sana Mungu kubariki mchunganji
@jacksonsungwana23442 ай бұрын
Leo nimejifunza kitu kikubwa sana,barikiwa sana Mchungaji.
@PhilbertJoachim2 ай бұрын
Ubarikiwe pastor Kwa SoMo Hilo Kuna point ambazo ninzr sana
@WemaAlex-be1rb2 ай бұрын
Bwana,asifiwe,naomba msaada nahitaji kuonana na pastor
@magrethmvwango2682 Жыл бұрын
Ameni kwaimani navunja laana ya magonjwa navunja laana ya kuto kufanikiwa Amen
@user-nb3ov1gc4z5 ай бұрын
Namshukuru Mungu kwa karama aliyokupa ninatiwa nguvu naujumbe
@PauloKihaga-oo9jr2 ай бұрын
Na barikiwa Santa na mafundisho Yako.
@user-wy6cs8kj4yАй бұрын
Amen, ubarikiwe sana pastor
@johnbarasa90522 ай бұрын
Man of God am from Kenya. You teachings are very powerful indeed .
@MaselinaMbapilaАй бұрын
Umebadlisha mawazo yangu pastor
@sylviesaidi57402 ай бұрын
Pastor Naitaji msahada wa maombi kuusu kazi nipo America 🇺🇸 natamani ufungulifu tu 🙏🏻🙏🏻
@yohanashingashinga3974 Жыл бұрын
Asante pastor kuanzia leo sitatumia kauli dhaifu ktk lolote nifanyacho
@bernakimario Жыл бұрын
Pastor mbaga mungu akubariki sana na mahubiri yamenitoa mbali sana sitokusahau maisha yangu yote.ubarikiwe sana na familia yako.
@racheljumbe56142 ай бұрын
Kabisa mm niliwahi kumsikiliza mahali Fulani nikiwa kazini nikawa napata shida nilimsikiliza kwa Imani niliondoka pale kwa kuitwa kwenye kazi nyingine Mungu ambariki sana
@petrosteven-jl9gi Жыл бұрын
Barkiwa pasta
@elizabethgurti4157 Жыл бұрын
Amen pastor unazidi kunibariki
@peterkimani7503 Жыл бұрын
Nimesikiliza somo hili huku nikimwaga machozi.nitaishi na madeni hata lini????naomba kufanikiwa katika jina la Yesu.Amen
@spesiozabisansaba6424 Жыл бұрын
Mungu akutendee sawasawa na mapenzi yake,
@peterkimani7503 Жыл бұрын
@@spesiozabisansaba6424 Amen.Nashukuru
@PendoEmmanuel-pq8yo10 күн бұрын
ukweli haujifich unaonekana 😢
@elewanenobalisimaneno698 Жыл бұрын
Be blessed pastor
@eustina0 Жыл бұрын
Mungu azidi kukupa nguvu na uzima tele barikiwa sana aminaa🙏🙏🙏🙏
@anthonymichweya58002 ай бұрын
Wise teachings,God bless you 🙏
@RadhiaIsmail2 ай бұрын
Kuitia mahubiri haya nimemuona yesu
@yohanashingashinga3974 Жыл бұрын
ubarikiwe sana Pastor
@LucyWensilauswiliam2 ай бұрын
Naweza kupata namba ya mchungaji naitaji
@everlynemoraa6214 Жыл бұрын
Kazi nzuri mchungaji, ninalo swali kati ya Petero na Yohana ,ni nani YESU alipenda sana????
@bettygesare5948 Жыл бұрын
Yohana
@EDWARDLAZARO-es7tm7 ай бұрын
Amen pastor
@SaimonRichard-wv5yx5 күн бұрын
Nawezaje kuwasiliana na wewe?
@godsonmollel18 ай бұрын
Amen, blessed
@SamuelMlipu2 ай бұрын
Bab mbariki paste izidi kupata nguvu ya kuhubir
@upendobaina2171Ай бұрын
Mch barikiwa,hakika nabarikiwa na mafundisho yako,yananitoa gizani na kuniweka niruni.Bwana apewe sifa.
@busagibelias2005 Жыл бұрын
Thanks pastor, hii imekaa vizuri sana
@lyahnours8872 Жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na mahubiri yako natamani nipate mda wa kuongea na wewe Sina namba yako nisaidie kuipata
@busagibelias2005 Жыл бұрын
Bilashaka wasaidizi wake watakusaidia
@user-ep9by3ui1v4 ай бұрын
Amina 🤔💖🙏
@msafirimachibya Жыл бұрын
Pro nabarikiwa sana na masomo yako MUNGU aendelee kukutumia wa ajiri ya neno lake
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@linetokuku53902 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Kenya tunakufutilia sana wingi tumeona Mungu kupitia were Bwana akubariki
@eddahmateba51854 ай бұрын
Ndio tuko hapa nrb tunasikia pastor barikiwa sana
@emilydavid568415 күн бұрын
Ubarikiwe Sana pastor
@elienew3788Ай бұрын
Asante sana kwa fundisho hili Mchungaji naamini Mungu anaenda kuvunja laana za umaskini kwa Familia Yetu Naendelea kuomba hata sasa asante sana Eee Kristo kwa kuzichukua laana na umaskini wetu ili sisi tu barikiwe na kuwa Marajiri Halleluya moyo wangu unafurahi na kumtukuza Mungu kwa kuzivunja laana za Umaskini ❤❤❤❤❤❤💜💜💜💜💜💜💜💜💜
@komandowainjiliyayesu Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@Amina-ej1kpАй бұрын
Kila ninapokusikiliza pst napata nguvu mpya yakusonga mbele
@crealmarwa Жыл бұрын
Message you Young people 🛖🎁
@AjilyJuma-ob8fz9 ай бұрын
🙏🙌
@kissanselu8569 Жыл бұрын
Amen
@mariamaswani832Ай бұрын
Nimebariwa na mhubiri yako ila naomba maombi kwa ajili ya kaka zangu wanamiaka 45,50 hawajaoa mpaka leo