Kama wewe jpili huwa unaandaa mb kwa ajili ya kumfuatilia Askofu Gwajima Gonga like tuendelee mbele
@musamaile11892 жыл бұрын
🤣😂
@geofreywayesu56382 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@winiflidamathias61872 жыл бұрын
Aimeeeen
@seifkassim58722 жыл бұрын
Yani atakama sina ela ya kifulushi nakopa ili nimsikilize uyu mwamba yani namuelewa ile mbaya
@rebecagodwin23642 жыл бұрын
😃🙋♀️🙋♀️🙋♀️
@mohamedmkubagwa38742 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Askofu Josephat Gwajima, Eeee Mungu tunamuombee afya njema na kwenda kinyume na wote wasiomtakia mema Mtumishi wako
@dommiefrancis15382 жыл бұрын
Shikamoo Askofu
@modestmolleljohn8742 жыл бұрын
Shikamoo Roho Mtakatifu
@jonesotachi99312 жыл бұрын
Watching from Nairobi Kenya
@herybwanga5072 жыл бұрын
Npo Dodoma Tanzania ila kila jumapili nilazima niandae bando kwa ajili ya kuungana na wewe Baba yangu wa kiroho. Asante kwa neno la leo 🙏🙏🙏🙏
@winiflidamathias61872 жыл бұрын
Together too
@peterpilikano53982 жыл бұрын
Amen
@linkreuben31082 жыл бұрын
Gwajima anajielewa sana! Wachawi hawaja wahi kulishinda JINA LA YESU, tunawahesabia siku tu wanasiasa wanao pingana na NENO LA MUNGU! Corona sio ugonjwa ni njia ya wahalifu kuiba mali za watanzania!! Walaaniwe kwa Jina la YESU. Ameni
@glorytoGod6392 жыл бұрын
Baba napenda imani yako thabiti, may God keep you safe for long
@marrymbwiga35902 жыл бұрын
Nakupenda sana wewe nakufananisha na Kipenzi chetu rahis wawanyonge JPMagufuli Mungu akulinde kila leo utufungue fahamu zetu na akili zetu .....Mungu akinde wewe na familia zetu
Mr Gwajima your the best even TD Jakes is waiting i have been listening to him in the past ten year but you have me in the past 5 month your amazing
@petermabiki77982 жыл бұрын
Huu ndio wakati wake
@lwiticomwalukumba41482 жыл бұрын
Reminding of TD Jakes He is the real deal
@denismasembo592 жыл бұрын
Nakukubari sana gwaji boy🙏
@Baro0072 жыл бұрын
Huyu jamaa n genius hawawez kumhoji wakamshinda kivyovyote vile
@neemashookyaruzi8092 жыл бұрын
Kelele za shangwe zitatokea juu ya kilele cha mlima KILIMANJARO, Tumepokea Unabii Huu Bishop Gwajima 💪💪
@mariamnimbo83942 жыл бұрын
Hallelujah!!!
@Da_Gee2 жыл бұрын
I just knew this in my heart some years back, I had a clear and strong msg about it, thank you Holy Spirit for this confirmation, Amen.
@ephraimndelwa40732 жыл бұрын
*Miaka ya 2013 kuelekea uchaguzi mkuu wapo waliomuona Magufuli kama ni mtu tu wa kawaida, kuna waliosema siongei na mbwa naongea na mfuga mbwa! Mwisho wa siku walimpigia magoti, ni wenye akili ya Roho mt pekee ndo waliomtambua JPM kama ni mtu mkubwa sana badae, kama huamini ingia fb kwa jina la Ephraim E. Ndelwa, utaona nilichokitabiri juu ya Magufuli 2015, natabiri kwa Bshp Gwajima, Humphray polepole na Ole-Sabaya hawa ni viongozi wakubwa hapo badae! Na Mungu akabariki maono haya...*
@jemaidamhenuchi45312 жыл бұрын
I believe wat you say in Jesus name
@mathiaspmashibe56962 жыл бұрын
Amina kwa Jina la Yesu
@ananiachelesi14862 жыл бұрын
Amina na Iwe hivo kwa jina la Yesu kristo
@mzeewamadodoso18162 жыл бұрын
Naiwe hivyo Mtumishi kwa damu ya Yesu, umenibariki sanaaa
@negelowile4412 жыл бұрын
Balikiwa sana
@milkakamau87092 жыл бұрын
Oh! Uliye mwagiwa mafuta na upako wa Mungu kwa mzimu huu! Father in heaven I pray for your servant🙏Baba mviche kwenye mbawa zako! Ongeza moto wa Roho wako, Bishop Umetengwa for this season!! 🙏Nakupeda Milka from Kenya
@RamRam-rk9lr2 жыл бұрын
Askifu gwajima ni ni raisi wa tanzania baada ya samia Si upige kelele haleluyaa
@manrasiel80542 жыл бұрын
Nimekuelewa kwa mafundisho yako mazuri, ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu.
@bibilaginanani82592 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akulinde askofu gwajima kwa uwepo wako magufuri bado anaishi
@bibilaginanani82592 жыл бұрын
Amina
@ludovickshilunga86382 жыл бұрын
Nampendaga Sana huyu mwamba, ✊ Askofu Gwajima
@gilbertmariwa38302 жыл бұрын
Hii chuma iko Safi sanaa na imara
@ivonaevarista46542 жыл бұрын
I love people who stand with truth without fearing people but fearing our beutiful Jesus,,ubarikiwe san na Mungu unayemtumikia akutumie zaidi na zaidi mwisho wako ukawe heri zaidi ya yote Bwana akukaribishe katika makao yake aliyoenda kuandaa kwaajili ya wateule,
@psychologicalRealities92 жыл бұрын
Askofu you are blessed. How I wish we had more ministers of God like you. Who are bold and ready to stand with what God says. And tell God's people the truth, Amen
@deborahcharles65072 жыл бұрын
Ubarikiwe Baba,,umepanda mbegu njema kwenye mioyo yetu
@raulianraphael68532 жыл бұрын
Hakika This is the Glorius and Soulful Sunday service Ever May Almighty God Our heavenly father Shield and bless U Bishop
@emanuelonesmo46602 жыл бұрын
Mungu akupe afya na nguv mm nipo pamoj na ww mtumish wa mungu jasusi LA mbingun
@emmanuelmadoshi13522 жыл бұрын
Amen! Bishop mungu akutetee tunakuelewa
@omanabcd92492 жыл бұрын
Ahadi za YESU nikweli
@johnpaulin45112 жыл бұрын
Baba tunakupenda You're the icon of Tanzania
@davivancee99912 жыл бұрын
Rais wng 2025 hakika unafaa Sana ,, Asante kwa somo hili hakika nimejifunza nisiyoyajua .
@eliyajeremia14472 жыл бұрын
Nayale mazombi yabungeni yamekuja kusikiliza Mutumish wa Mungu anavo hubiri iliyapate neno lakumushitaki washidwe kwajina la Yesu
@yusuphkiyoya8062 жыл бұрын
Huyu mch. anafundisha na anaeleweka kabisa , God bless you
@mariajoseph53472 жыл бұрын
Watanzania tunakupenda Baba 🥰 Unatema madini sanaaa 👏
@edwardater92472 жыл бұрын
I really appreciate, this is the man of Good, Human being will come and go But the word of God will stand forever 🙏
@evankonde31402 жыл бұрын
It's only the spirit of God who can do this, this is a great service
@protasalbinus29552 жыл бұрын
Mungu husimama na waliosimama. Endelea kusimama mtumishi wa Bwana.
@upendomfikwa20132 жыл бұрын
Hakika, Yesu nakuamini kwakuwa AHADI ZAKO NI KWELI🙏
@mariamnimbo83942 жыл бұрын
Amen!
@sulebundala46882 жыл бұрын
Baba Josephat G, Hakika wew ni Mlima sayuni!!!
@Ramadhanimsingwa2 жыл бұрын
Hakika kila kitu na wakati Mungu hutenda atavyo
@omarmihulu79792 жыл бұрын
Asante mchungajiwangu kwamsimamo wako tunashangaa hata sisi kuondoka tu mwenda zake korona imepata nguvu too zimerudi.
@diondonis17752 жыл бұрын
May Lord Jesus protect you Bishop,We will never be shaken
@adamumbughi65942 жыл бұрын
Exactly!
@sleviakabuguzi53962 жыл бұрын
Asante baba yetu kwa kutulisha chakula cha uzima WA milele
@wanjiruwathuo36432 жыл бұрын
Mwenyewe Mkenya sijawai Tembea Tz lakini Mawaka Kesho Majaliwa ya Mwenyezi Mungu naja huko....Mna baraka Sana kubarikiwa na Watumishi wa Mungu wa Kweli na Wenye Hofu ya Mungu.Ibarikiwe Tanzania Milele.
@daviesmwema48312 жыл бұрын
karibu tena utafikia kwangu bure
@wanjiruwathuo36432 жыл бұрын
Asante Sana nitatembea Mwaka Kesho kwa Neema ya Mungu.
@eliasamsonofficialtz66002 жыл бұрын
Asante Sana bishop Mungu Aendelee kukupa nguvu na ushindi maana wewe ni shujaa NB tuna omba Mungu Akupe maona ya kugombea urais 2025 kwa ajil ya kulikomboa taifa letu
@lucygodwin75902 жыл бұрын
Wabunge wanasikiliza kumkosoa ila wanagundua Mungu ndio amemtia nguvu. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@kasallemgogo61432 жыл бұрын
sanaa hawawezi shindana na gwaji boy😂😂
@betramkamatali85082 жыл бұрын
Amen amen I receive in the name of Jesus
@jovithajovinary93052 жыл бұрын
Tumejengwa juu ya mwamba na mwamba uwo ni kristo, asante Yesu kwa neno ili,
@selemsigala47712 жыл бұрын
Hakika sina chakusema zaidi ya kuku ombea baba wa imani ubarikiwe sana hakika ulipo tupo na Mungu hawezi kutuacha kamwe wabaya wako ote wata teketea katika jina la Yesu alie hai.
@frenkpastory85122 жыл бұрын
Asante sana askofu gwajima napanda sana unavyo fungua nafsi yang niko na ww njia moja
@benjaminn.mohamed.25032 жыл бұрын
Thanks for your wonderful spiritual service. May our LORD JESUS CHRIST bless you abundantly.
@yasintakahamba13202 жыл бұрын
Huyu gwajima ni magufuli ajae .huyo demu Bado katuwekea tozo kubwa natuma upepo wa kisuri kisuri upitie aka fie kuzimu Kwa jina la YESU 💪🔥
@lamecktv42692 жыл бұрын
Askofu anasema...wakasema jitetee...NIKASEMA SWEZ KUJITETEA.. Saf sana HUU UJASIRI N BAB KUBWA. kukupenda sjakosea. Ilove u so much Askofu Dr Josephat Gwajima
@namungolubala17882 жыл бұрын
Amen Amen Amen UZIDI KUTUOMBEYA BABA TUNGEPATA WA CHUNGAJI KUMI KAMAWEWE INCHIZOTE ZINGEPONA HILIJANGA LA CORONA LINGEZIMIKA HIYI NI UWONGO MTUPU LIMETUNGWA DUNIANZIMA MUNGU AWAONE HAWA WATU WALILOLITUNGA HILIJANGA UBARIKIWE ASKOFO KWA KUTUPIGANIA BLESSINGS
@emarrgeorge85362 жыл бұрын
😂😂Nimefurah saaana% Yeye Akazid kupaza Saut Ee Yesu mwana Wa Daud Unirehemu.. Be BlesseDaddy
@daviskatunzi74242 жыл бұрын
Stay blessed Bishop J.Gwajuma
@marclazaro45402 жыл бұрын
Huyu Baba Bishop Gwajima Siku hizi nakuendelea Namkubali. Mungu tusimamie twende na Msimamo wa Mtumishi wa Mungu Askofu Gwajima
@deokessy65962 жыл бұрын
Mama akuachie 2025 unafaaa
@deokessy65962 жыл бұрын
Naona President 2025
@christianngao56082 жыл бұрын
Jembe Sana hili Gwajima Mungu yupo na wewe Baba
@MoN_KaDO2 жыл бұрын
The man of Almighty God in our country, Gwajima is a one of themselves
@morriskazungukarisa97812 жыл бұрын
Mimi in pastor morris (kenya)nilieonyeshwa na mungu mambo yaliyokupata nilicoment kabla,Ila Bwana alikuficha kama alivyo nionyesha,glory to God.
@paschalnjombo55882 жыл бұрын
mungu wako sie Mungu wa gwajima, ndio maana hata kwa maandishi umethibitisha hivyo, (mungu) wa Gwajima Ni (Mungu)
@emmanuellemalali30342 жыл бұрын
Brilliant work! There is always a way to do the work of GOD! ..... May a Grace of God be with you Bishop!!!
@frenkmwilu43782 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi 2025 chukua fomu ya urais kura tunakupa
@joshuabartonpolelaab49852 жыл бұрын
Kabsa huyu ni Rais mpya
@rosepallangyo13527 ай бұрын
Wewe ni mtu wa Mungu gwajima nakupenda endelea mbele
@Coleman_artgalery2 жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi , wewe NDIYE mtu saa hii, rungu la bwana, songa mbele tuko nyuma yako tunakuombea Sana , tutashinda na zaidi ya kushinda kwa jina la yesu
@rashidmukengabaruani44972 жыл бұрын
Nakupenda sana Baba sijuwe nisemeje uwanabarikiwa sana nikikusikia
@sebastiansalamba3132 жыл бұрын
Wanapingana huyu si gwajima wanashindana na Mungu,wataaaibika vibaya
@johnmalembo64642 жыл бұрын
Neno hili limetoka kwa Mwenyezi Mungu... Nani wa kuweza kulizuia... Walijaribu akina herode...kaisari... Pilato... Hawakuweza... Eti Ndugai anajipima nae kuzimisha sauti ya Mwenyezi Mungu... Anapiga mshale mteke .. ataumia Mwenyewe...Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@salomemlay83092 жыл бұрын
Wafyekwe haoo. Mungu azidi kukulinda kweli ujasiri wako unanatufanya nasi kuwa Mshujaa kabisa.Tupo pamoja na ninakuombea & big support.
@daniels.mutinda Жыл бұрын
To God be the Glory and honour. I love this and its what we need in our time. The truth in Boldness and Courage of God catapulted by the Holy Spirit, i love you Servant of God... Tanzanian and Africa in general is blessed to have such Voices of heaven
@happinesszabron76352 жыл бұрын
Kuna jambo gani lililo gumu la kumshinda bwana??
@ishimaelyiman32402 жыл бұрын
Prase The highest of high our living God. May Lord Jesus strengthen you Pastor.
@glorymsuya16012 жыл бұрын
Mungu akutunze mpendwa umekua mtetezi kwa taifa umefanyika baraka kwa kanisa umenipa ujasiri Mungu wa Mbinguni akutunze .
@evankonde31402 жыл бұрын
Walio upande wako ni wengi kuliko walio kinyume chako
@obedisaitoti36782 жыл бұрын
Hakika baba ubarikiwe Sana Askofu J. M. Gwajima the Mbunge
@winnyleonardkapere6612 жыл бұрын
Kweli. Hiyo shule ya uongozi itamtangaza zaidi Kama hatazuiliwa.
@pstemmanuelofficial13232 жыл бұрын
More respect we really love you and I believe very soon we will meat together bcz your big heart that I wanna take from you
@richwaleolundenga85192 жыл бұрын
Gwajima tunakuamini sana baba wewe ndio mwamba wetu ulio baki awo wengine hatuna imani nae mungu ibariki tz pamoja na Africa kwa ujumla
@princemercury58242 жыл бұрын
Gwajima boy for life
@mariajoseph53472 жыл бұрын
✅😂
@josephitangishaka9602 жыл бұрын
Ee Bwana Yesu mwana wa Dawudi unilehemu. Amen Askofu go ahead
@kurumwagodfrey70522 жыл бұрын
Askofu haakika mungu typo nawe mtu wa mungu ni kusema kwelii
@ephrahimukangalawe4412 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa jina Bwana wetu Yesu kristo mtumishi Gwajima
@alphonceelias25512 жыл бұрын
Achanjwi mtu hapa,hao wote waloleta chanjo zao,wanaoipigia kampeni ,washindwe na kulegea kwa jina la Yesu,napitisha Moto kwa jina la Yesu.
@aminasittusaid38302 жыл бұрын
KUNA WATU HAWASHUKAGI AISEEE👌👍🏼💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@healingsschool46302 жыл бұрын
Warumi 8:14 Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio wana wa Mungu.
@emmanuelytunduma81272 жыл бұрын
Mungu mlinde gwajima Bishop mungu tulinde watanzania
@Ramadhanimsingwa2 жыл бұрын
Amen
@elizabethopere27842 жыл бұрын
Amen tumesikia neno tumebarikiwa
@denismwalukunga86862 жыл бұрын
Safi lazima tusimamie tunacho kiamini tuko pamoja mpakwa mafuta wa Jehovah@bishopgwajima🙏🙏💪💪
@kalingajofrey88292 жыл бұрын
Asante ascofu Leo nimekuswa moja kwa moja na neno la mungu kwamba yeye atawaponda watesi wetu
@gabrielpott33252 жыл бұрын
Yani ngwajima sku hizi ww ndo unae kura mb zangu yani kra nikikuona nakua najihisi kuiona pepo barikiwa saana mtumishi 🙏🙏🙏 ngwajiboy oyeeeeee raisi wa 2025
@lamecklainson59892 жыл бұрын
Ndugai hatoboi mwakahu 🗣️👣🌩️
@jamesmwamboma4302 жыл бұрын
Naiwe ivyo
@valeriamtenga33842 жыл бұрын
Tumwache Mungu ahukumu mwenyewe! Kwan hata wabaya wamewekwa kwa siku ya ubaya! Yuda aliwekwa ili atimize kumsaliti Yesu!
@GloriousRestorationTV2 жыл бұрын
@@valeriamtenga3384 Sisi tunahukumu pamoja na Mungu. Kwani Yuda mweyewe si alikufa kabla ya Yesu?????
@barakapuyonyagawa8812 жыл бұрын
Mungu wa mbingu na nchi tembea na mtumishi wako aspatwe na lolote kwa jina la yesu
@jilugalamarco9308 Жыл бұрын
Siku hiyo nilikufuatilia nikabarikiwa Sana, nimelikumbuka Tena hili Somo limenibariki sanasana Tena, hakika Mungu anatenda kazi ndani Yako.
@eliassingongo2052 жыл бұрын
Yesu alipingwa akiwa kwenye njia sahihi kwahio mm sishangai na hii governement ya tz
@clementkhan76742 жыл бұрын
Nilikuwa sijapata kukusikiliza vzr. Sasa ninakuelewa.
@anettekandole83352 жыл бұрын
Amen amen Bishop
@sanifhesro21692 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu🙏🙏
@keteally75812 жыл бұрын
Thanks a lot servant of Jesus were together with u.
@lilianpeter98862 жыл бұрын
Najivunia kua na mtu kama ww Tanzania kwel Mungu hakutuacha wenyewe ametuinulia mtu mwingine ahsante Mungu kwa mtumishi wako huyu
@Da_Gee2 жыл бұрын
Hakika. Ametupa faraja ya mioyo yetu baada ya kudhulumiwa Raisi wetu kipenzi, Dr Magufuli rest easy Baba!
@abooyadeka85972 жыл бұрын
God bless u gwaji boy
@Ramadhanimsingwa2 жыл бұрын
Nakukubari hadi mwisho Wa dahari ubarikiwe kama Ibrahim Mungu atakulinda kama Yusufu Musa na waja wema waliotangulia
@saramartine73302 жыл бұрын
Mungu anatupenda sana watanzania na kutupeya wewe Gwaji boy,
@carenjustin Жыл бұрын
Mungu anavyombo vyake na kila chombo kinabeba sehemu yake chombo hiki kinafaa kubeba makontena yote yaliyoshindikana , wewe hapo bungeni ni mpango kamili wa mungu,
@evankonde31402 жыл бұрын
Gwaji Boy tunakuelewa sana
@Zamb902 жыл бұрын
My next president
@honoviushonorath30932 жыл бұрын
Gwajima yupo very smart kchwan napat waswas wasio muelewa wana mttzo gan na ubongo wao
@kiwalevaleriani69172 жыл бұрын
Hallelujah sure your the real man of God may the Lord be with you Bishop msukuma
@morriskazungukarisa97812 жыл бұрын
Mungu akulinde,usigope,hadui zako sasa wanapanga kukuteka na kukupoteza kabisa,Ila hawatasmama,wewe ni mboni ya jicho la Mungu.PST Morris (Kenya).
@gilbertmariwa38302 жыл бұрын
Amen PST from Kenya
@thobiaslaizer91972 жыл бұрын
Mungu amesema usimame Kama nguzo ya Tanzania 🇹🇿 hakuna silaha yeyote itakayopenya ndani YAKO