Asante sana Mimi nilianza Biashara 2022 lakini nilikuwa sifanyi kwa Muendelezo na Kilicho nikwamisha ni kujahalalishia Visingizio Vyangu Mwenyewe Yaani naweza nikasema Mimi sio mvivu mbona kazi nyingine nafanya Lakini nikaja nikagundua kuwa kila mmoja anafanya kazi lakini watu wana tofaitiana kwenye Impact Yaani niliacha Biashara na kufocus na vitu vingine lakini nikijaribu kulinganisha impact nikagundua kuwa kama ningefocus na Biashara ningepata impact kubwa zaidi nimerudi kwenye Biashara yangu na kupitia mafunzo yako najifunza mambo Mengi sana Barikiwa 🙏🙏🙏😊
@user-kt1my3pn4r17 күн бұрын
Mungu akubariki sana nina mabadiliko makubwa sana tangu nimeanza kukusikiliza.ubarikiwe sana kaka
@ayubugeorge216824 күн бұрын
After 2yrs nitakutafuta nikupe matokeo ya video zako kwang
@corneliomalya289727 күн бұрын
Mungu akujailie uishi muda mrefu
@goldiegranted550123 күн бұрын
Goldilocks ✊🏆
@meshackngadango685524 күн бұрын
Good work
@brackskinyozi328027 күн бұрын
Asante kaka Joel.... nimejifunza barikiwa sana
@aminalumbi703127 күн бұрын
Kaka Joel Arthur nanauka Mwenyezimungu akubariki Sana Sana
@joelnanauka27 күн бұрын
Ameen Ameen
@user-kw6bv9qp4e24 күн бұрын
yahh nikweli kaka maisha haya msubiri mtu
@Usawa_phonetech22 күн бұрын
❤❤
@aminalumbi703127 күн бұрын
Mungu akupe umri mrefu sanaaa
@aminalumbi703127 күн бұрын
Big up Sana kaka unafanya nzuri kazi zako
@user-nd3sc6lk2n26 күн бұрын
Nakupend kak umenifungua xn 🎉
@user-cw4yq7is5h27 күн бұрын
Amina
@LameckElon27 күн бұрын
❤❤❤ God bless you
@meckcp165026 күн бұрын
kwa Sisi tulio mbali na dar tuweza kupata ata link ya kuona live
@yusuphshadrack916827 күн бұрын
Asante barikiwa
@NickGamba-ft8tl27 күн бұрын
ASANTE MENTOR ARTHUR NANAUKA JOEL 🙏🙏
@Prudentssmamtui27 күн бұрын
Kaka Joel tangu nimeanza kukufuatilia ninakuwa kifikra na kimang'amuzi sijapungukiwa kwakweli
@oneboytzoneboytz678927 күн бұрын
MUNGU AZIDI kukufungua Zaid
@AllyYusufu-y4b27 күн бұрын
Kaka Joel hv huwa unawakala mkoa wa mwanza maan nataka kitabu hardcopy
@Immambukwa27 күн бұрын
Mungu atupe uzima tupoke Kwa baraka
@josephmchomvu677027 күн бұрын
Ivi mkuu ukimaliza unapata na cheti kabsa kweny io top team academy au mikutano tu. @joelnanauka