Рет қаралды 9,347
LIVE:ASKOFU MKUU RUWA'ICHI ASIMULIA YALIYOMKUTA HADI KUFANYIWA UPASUAJI,KUMBE CHANZO NI HIKI.
LIVE:Askofu Mkuu Ruwa'ichi Asimulia Chanzo cha Ugonjwa wake''UFAHAMU WANGU UMERUDI KWA %..Tazama hapa.#
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar Es Salaam Mhasham Jude Thaddaeus Ruwa'ichi, kwa Mara ya kwanza Amesimulia chanzo cha Ugonjwa uliopelekea yeye kufanyiwa upasuaji mkubwa wa kichwa.
Kupitia Mahojiano haya aliyoyafanya na Mwandishi wa Habarai Kutoka Radio Maria Tanzania Askofu Amesema kuwa amepitioa kipindi kigumu sana katika Ugonjwa huo lakini Kupitia maombezi ya watu mbali mbali Mungu amempa nafasi nyingine mpya ya kuishi tena.