Joyful parliament ...to Tanzanias I love your ways...from Kenya🇰🇪
@hamjanikera12343 жыл бұрын
Hata mm nimelipenda bunge lao halichoshi...
@magdalenachubwa93883 жыл бұрын
Thank you brother
@fatumajumbe73453 жыл бұрын
@@hamjanikera1234 wallah si kama huku kwetu ukiingia bungeni roho time yoyote waeza rushiwa ngumi ya jicho
@wallaceguni19263 жыл бұрын
@@fatumajumbe7345 😅😅😅😅
@zubedaramandan16923 жыл бұрын
Piecafull
@joycekemunto33763 жыл бұрын
I like the way Tanzania Parliament conduct themselves. I salute you Honorables from Nairobi , Kenya
@mariamakanu16903 жыл бұрын
wanawake like zenu penda sana tanzania yetu wanawake oyeeeeeee 😍😍😍😍
@amaxyz1383 жыл бұрын
i am not Tanzania but i love watching everything about Tanzania
@sweetmama68853 жыл бұрын
Abass, where are you from?
@waidaamon4573 жыл бұрын
karibuu
@tatubadi90103 жыл бұрын
Karibu Tanzania..
@zubedaramandan16923 жыл бұрын
Welcome hm
@jeniphachristian21313 жыл бұрын
welcome
@eddkan18283 жыл бұрын
Nina raha sana mambo ya watanzania..ahh..from USA🇰🇪🇱🇷
@zubedaramandan16923 жыл бұрын
We are ok
@shangwekamando25993 жыл бұрын
Thank you
@safiaothman10983 жыл бұрын
Hongera sana Mh. Philip Mpango. Mwenyezi Mungu akujaalie kila la Kheri katika Utekelezaji wa Majukumu yako, Aamiin.
@omarshee11733 жыл бұрын
FIRST LADY AIDY WA RAISI WA KWANZA CONGRATULATIONS
@danielmoses22443 жыл бұрын
Haitwi first lady ... huyo aitwa ADC ... First lady ni cheo cha mke wa Rais mfano walivyokuwa Salma Kikwete, Janet Magufuri nk
@mudrickmohamed79413 жыл бұрын
Ok
@heraldloshi18643 жыл бұрын
Mwalimu Nyerere must be smiling broadly from the High Heavens.Aliujenga msingi imara sana.
@lynelee58463 жыл бұрын
Sijui ntafute uraia wa Tz am falling in love with this Nation day by day.. much love from Kenya ♥️♥️🇰🇪 MUNGU IBARIKI TANZANIA!
@wanderenyeura90113 жыл бұрын
Karibu sana eti
@altojaphet33943 жыл бұрын
Karibu tanzania
@ahmadmuhammadnguri17703 жыл бұрын
Tanzania ni poa sana lkn sheria zao ningumu sana bora kenya
@lynelee58463 жыл бұрын
@@ahmadmuhammadnguri1770 hizo sheria ngumu ziko vizuri ndo maana nchi imelainika yani selikari ya Tanzania kweli naongea bila unafiki INAJIELEWA! ❤️
@ladykimnan9023 жыл бұрын
Welcome tz peace & love🇹🇿
@happynessmsele36383 жыл бұрын
I love you Tanzania naipenda sana nchi yangu nafurahi kuzaliwa tanzania😘😘😘❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@megyjr87343 жыл бұрын
Kinachonipa furaha ni kwamba historia zinabadilika na kuvunjwa kila kukicha, Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika. sema Amen kama unaitakia mema bara letu.
@gabrielbyaese6313 жыл бұрын
amn
@lucyjeremia13813 жыл бұрын
Ameni
@tatubadi90103 жыл бұрын
Ameen
@hidayahassan80143 жыл бұрын
Amen
@zubedaramandan16923 жыл бұрын
Ameni
@wakanda56593 жыл бұрын
Niko Kenya jinsi navyofwatilia matokeo Tanzania. Utadhani Mimi ni mtazania
@fatmann63413 жыл бұрын
Tunakushukuru sana 🤝
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
Upo sahihi
@magiehermess99493 жыл бұрын
Kwa sababu huna hila ndani yako. Mimi niko Kenya Ila ni mtz
@Gasimba7853 жыл бұрын
I am not Tanzanian, but you guys you made yr country proud 👏💙❤
@helenkulaya51203 жыл бұрын
Hii ndio nchi Mungu aliyoibariki kumbe taratibu machozi yanafutika binafsi Mzee mpango na mkubali hekima zake utulivu pia na utendaji kazi safi Mungu nae aliyekuwa na mpango nae jamani pindi alipougua hakuacha kumtetea nae baada ya kupona alionyesha fadhila kwa Mungu pia kwa waliomhudumia na pengine Mungu alimpa kipimo cha imani ili apite kisha amuinue...hongera mama Samia hongera Mzee mpango na hongera Tanzania Furaha iliweje kuzaliwa Tz...Mungu ibariki Tz.
@magejuliani52933 жыл бұрын
Hii ndio Tanzania yetu! Mungu anatusimamia kila siku!tumtangulize mbele! Asante Rais wetu Samia Mungu ametupatia Makamu kupitia kwako
@Elohim23 жыл бұрын
Wow! Vice President nominated remained calm and humble when his name was called out! Love from Kenya 🇰🇪
@zion36553 жыл бұрын
Na wetu ni mdomo tu...vurugu. kenya tutabadulisha siasa lini
@romakoko22923 жыл бұрын
Wanawake wamethaminiwa Sana ahamu hii ya mama Samia
@d.m4533 жыл бұрын
Nakupenda Tanzania yangu, najivunia kuwa mtanzania,AMANI NA UPENDO ndio nguzo yetu. Mungu ibariki Tanzania
@ndungugitahi16753 жыл бұрын
Mimi mkenya lakini Tanzania nchi yangu.Mama Samia na afuate nyayo za mzee wetu na nchi hii itakuwa salama na ya kuigwa
@shadrackdavid77213 жыл бұрын
Mzee anafaa Sana kuwa MC nimecheka Sana naendelea kucheka proud to be among ov Tanzanian
@monicamwitula2613 жыл бұрын
Auwi kama nimeamka Usingizini vile... Nakupenda TANZANIA 🇹🇿
@sidratybinkhamis28373 жыл бұрын
😂😂
@amanirugamba59353 жыл бұрын
I love Tanzania and I love people of Tanzania god blessing Tanzania and god blessing all of African Rwanda
@iventvictor49343 жыл бұрын
Bob
@norineraymond80983 жыл бұрын
Your welcome brother God bless you too
@baholabuya68633 жыл бұрын
I love the way Tanzania leaders handle their business. Hongereni watanzania Mungu awabariki sana. Tuna mengi ya kujifunza toka kwenu. Kenya.
@benignajosephwatendewao20653 жыл бұрын
Amina🙏🏼
@ivana98373 жыл бұрын
Proud to be a Tanzanian ♥️🇹🇿🔥 Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais kipenzi wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote 😍💪♥️✔✅✔
@petronillamnyambi76073 жыл бұрын
Safi kabisa mama samia Rais wetu
@lydiakanah44783 жыл бұрын
Nimezidisha upendo kwa wa Tanzania. Ahhh mungu abariki wa Tanzania. Love from Mombasa Kenya
@mahersaid2583 жыл бұрын
Maasha allah krb sana TANZANIA 🇹🇿🇹🇿
@amiryhamza19843 жыл бұрын
mungu ibariki tanzania najivunia kuwa mtanzania nawapongeza viongozi wetu
@pendopeter17903 жыл бұрын
Wanawake oyeeeee
@mwanaishapumzikakwaamanish86873 жыл бұрын
Oyeeeeeeee
@surujajwie47683 жыл бұрын
Mashaallah I'm very happy 🤗🤗❤🇹🇿🇹🇿
@kwzjkwz35323 жыл бұрын
Tanzania ndio nchi inayoongoza africa kwa kutazamwa kwa sasa
@josephemmanuel31753 жыл бұрын
Hatariiii
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
Kabisa
@aishabeka55623 жыл бұрын
Sana aisee
@sabinaonline65753 жыл бұрын
Spika anafaa kuwa MC anafurahisha
@faryhassany40433 жыл бұрын
Maana ya spika ni nn?
@benignajosephwatendewao20653 жыл бұрын
Hahaha
@jonasluck57133 жыл бұрын
UMEINGIA VIZURI, ULIKUWA UMEBEBA BAHASHA ULILUSHA MKONO MMOJA MBELE NA NYUMA, ULIPOKABIDHI BAHASHA ULIKUWA HUNA MZIGO, ILITAKIWA URUSHE MIKONO YOTE MBELE NA NYUMA, SODIER UMEPITIA MAFUNZO WAPI.
@jumannekigori26673 жыл бұрын
Ok
@hansbetwel52563 жыл бұрын
This is so beautiful
@altojaphet33943 жыл бұрын
Umoja na ushirikiano ndio nguzo yetu wa Tanzania nakupenda Sana nchi yangu
@salummuhammed80173 жыл бұрын
Mweshimiwa rais ongera sana
@mrsmburu55403 жыл бұрын
Watanzania mimi mkenya lakini niwapenda sana kila sasa najipata tu nikifuta news zenu.. tafadli naomba kaa munaeza ni host kwenu
@matthewjohn51083 жыл бұрын
Karibu sana jirani.
@mrsmburu55403 жыл бұрын
@@matthewjohn5108 nimeshukuru sana cku moja ntatembea huko qwenu sababu mumechaa nikaribisha
@CharlesLeoMgaya3 жыл бұрын
Karib sana, we are born to care foreigners.
@alexlukumay49813 жыл бұрын
Karibu sana
@mrsmburu55403 жыл бұрын
@@CharlesLeoMgaya Nashukuru na mujue nkiingia huko nasma niwambia hapa hapa tu.. atreast handshake
@faizasaleh58543 жыл бұрын
masha allha allha akulinde na jicho la hasadi
@samwelmaduhu12333 жыл бұрын
Ndo mambo ya kulala maskini na kuamka tajiri ndo hayo sasa
@renathawilbard25933 жыл бұрын
Najikuta nafurah tu Mwenyewe Jaman
@ramadhanyusuph76333 жыл бұрын
😂🤣😂 SIKU ZOTE MPAMBE ANANGUVU KULIKO MWENYEMALI 😂🤣🤣 mpambe anakuwa na machachali balaa
@barakablessing53663 жыл бұрын
Sana bro na ni kama kavunjwa mguu😂🤣😂🤣😂
@pendokessy98363 жыл бұрын
Asa nalia Nini jamanii eti nafrahi adi nalia ongera Sana mze mipango tunaiman utaweka mipango sawa🙏🙏
@christabellageorge66923 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@bennycharles81683 жыл бұрын
Hahaha
@djtroy5713 жыл бұрын
mob love just wish i was from tanzania
@sarahnyambaka58853 жыл бұрын
ninapenda huyu mama na serikali yake
@kaisarimbisso75793 жыл бұрын
I love Tanzania 🇹🇿. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika
@kiplangatvictor92775 ай бұрын
Kenyans we need to be serious like Tanzanians . Very organized no throwing stones and blowing whistles in parliament
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
NDUGAI bwana!!!
@jarnicebenson13233 жыл бұрын
Kina mama oyeeeeeeeee🙏💪
@dayanamajora33273 жыл бұрын
Oyeeeeee tunawezaaaa
@sweetmama68853 жыл бұрын
Ouuuooooooyeeeeeeeee. Uku nikiwa nimeziba pua ili oye itoke vizuri. 😂😂😂😂🤣🙊
@lucyjeremia13813 жыл бұрын
Oyeeeeeeee
@ashazuber65483 жыл бұрын
Nilitaka kusomea upolice sema nilichelewa kulima milaba hahahahaha ila mungu ana makusudi yake sasa nipo ulaya Asante mungu
@EDIfitnesss3353 жыл бұрын
Pia huko ulaya waweza kua
@witneskilinda50343 жыл бұрын
hahaha hahaha!!! hilo neno kilima milaba limenikumbusha mbali sana!!
@credo78373 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@amour55353 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali ww
@andrewkilave35323 жыл бұрын
Ulivyosema milaba nimekumbuka Iringa daah
@alfasaidiofficial58003 жыл бұрын
Barikiwa saaana raha saaana
@harrymo88643 жыл бұрын
Mashaa Allah it's really interesting
@cliffmwenja48533 жыл бұрын
Big love from Kenya. President angemteua ule jamaa wa...(uliskia wapi😆)
@lucyjeremia13813 жыл бұрын
Kina mama mpoooo 😂😂😂😂
@surujajwie47683 жыл бұрын
Saaaaaaan 222
@Thuon_3 жыл бұрын
Wakenya wengi hapa kushinda watizedi wenyewe.
@saidhamis89543 жыл бұрын
Mh spika nakupenda sana
@niwemugenimediatrice56403 жыл бұрын
Ninyi ni watu wangu sanaaaa!
@shirazmunawar44333 жыл бұрын
That look from Muheshimiwa Lukuvi,though😄😄
@jacklinelyimo74073 жыл бұрын
Raha jamani raha sana Tanzania yangu asante Mama Samia tunakupenda raga mpaka bunge
@kelvin83243 жыл бұрын
Team mafisi from Kenya 🇰🇪 wameniomba niwaulizie kama ako single 🤗am just a messenger 💌🙌🏿💌
@benmwangi45863 жыл бұрын
Hawatambui kama ni bodyguard wa prezo
@georgemassebu20833 жыл бұрын
Pisheni mbali
@josephemmanuel31753 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@bernardoleonard73313 жыл бұрын
😂😂
@blessingsgeneral933 жыл бұрын
🍻🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿🖤❤💚
@jofreymanfred65602 жыл бұрын
Hapo sawa na sio mpambe wa raisi aaaaah
@abbysamkhan30303 жыл бұрын
Hongera Tanzania,hongera mama Samia Tanzania isonge mbelee
@talhiyaibrahim79513 жыл бұрын
Wanawake tunaweza sana jnm samia nakupenda sana rais Wa Tanzania magufuli mpendwa wetu atuachia rais Jmn
@mangeleopard38723 жыл бұрын
Nasikia tu wana wake wana wake mungu ibaliki Tanzania pamoja name viongozi wetu
@leonardjanuary44003 жыл бұрын
Mama samiaa eeeh mama samia Suluhuu... Mitano tena..
@zaynamzimba98153 жыл бұрын
Piga kelele kwakina mama
@user-zt6re1dr5f14 күн бұрын
Much joyfully for this choice🙏🙏🙏🙏
@kalumbugideon41592 жыл бұрын
Hii ndiyo Nchi yangu ambayo Mungu Wangu amenipa niishi kwa Amani na Furaha.
@abbaimran41223 жыл бұрын
Tanzania raha tele
@godelivamuswahili29883 жыл бұрын
Hadi raha jamani 🥰😍💪🏾🙌🙇♀️🙏Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@anethmaro81683 жыл бұрын
uyo ndo Nyamburi mashauri Adis wa kwanza mwanamke vivaaa Tanzania
@emmanuelwankururyoba26353 жыл бұрын
Hongera mama mnaweza Mungu wabariki
@nampijjanazifah63583 жыл бұрын
Spika wewe😂😂😂🤣 Hongera sana Philip.
@AliMohamed-kd1uc3 жыл бұрын
Big up kanda maalumu kitu kutoka musoma
@rahmaabubakarisaanatu19613 жыл бұрын
Umeanza hvy hy ni wa kigomaaaaa.
@deborahmwita92783 жыл бұрын
@@rahmaabubakarisaanatu1961 anamaanisha mpambe wa Rais nadhani
@kaidrisa27113 жыл бұрын
Wachaaa weeeeh mpambe na upambe wake Nakupenda mie mpmbe wa mwenye kiti wa kijiji cha kitongoji😋🤗
@sarahmarishay69383 жыл бұрын
Waooo Safi sana
@francisomondi35493 жыл бұрын
This is just super.
@micamathew25953 жыл бұрын
Haya bana mpaka umeagiza maji ya kunywa hahahaaaa
@abuukamanda.s.mkenga66873 жыл бұрын
A d c. Tangu nchi imeingia uchumi wa kat🤣🤣🤣🤣🙊🙊🙈🙈
@cheiknamouna20583 жыл бұрын
Nani kamsikia spika kaguna mmhh mambo hayo kumekuuuucha bungeni Dodoma
@meryedward813 жыл бұрын
hahahaha wanawake tunaweza
@kgchippy3 жыл бұрын
Mna vishindo😀
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
😂😂😂😂 Wanaume mmezoea wa awake ndio hatujawahi so lazima
@kgchippy3 жыл бұрын
@@jenyyusuph4973 sawa bana urubani wenu
@jenyyusuph49733 жыл бұрын
@@kgchippy 😂😂😂ngoja tujalibu mtu one waume ndio maba alivyo andikwa mungu lkn
@suzanngachengo97783 жыл бұрын
Chakula cha mgonjwa was stroke
@flavianakanga12153 жыл бұрын
This speaker is very fun
@zubedarichard23113 жыл бұрын
Haya mambo ndio tulkuwa tunatka buana bunge live
@annabihendo69153 жыл бұрын
Mungu tuongoze Tanzania tuwe na ujasiri
@tousihhhh67653 жыл бұрын
jaman jaman mbon mwaka huu mutatukoma jeshi wanawake.pig kereeeeereee
@saudajuma60633 жыл бұрын
Wanawake wanaweza
@saadaissa25243 жыл бұрын
Binaadamu ukija na yako yashamuishia ukiangalia jinsi watu walivyolia kw msiba wa magu na saivi wamesahau wafurahia umakamo kama hakuna kilichotokea
@walidsultan74863 жыл бұрын
Kawaida binadam akiisha fukiwa mwenyezimungu anawasahaulisha
@otiliahaule51803 жыл бұрын
Tunakuombea kwa Mungu wambinguni akulinde baba yetu mteule makamu wa Rais Samia Ubarikiwe sana😂
@bubulini6455 ай бұрын
Wabunge nawapenda ni kama wanafunzi wa secondary school boarding
@josephemmanuel31753 жыл бұрын
Watu wakajua kabudi kumbe mipango daaaah
@mackjuma86733 жыл бұрын
Mheshimiwa rais kwafanya chaguo sahihi kua mheshimiwa Philip mipango kua makamo wa raise mungu amsimamie aitende kazi yake vyema kwajili ya inch nawanainch wake
@clairerudas51313 жыл бұрын
I love what I am watching
@swahilitherapytv38463 жыл бұрын
Haya bwana mmeshinda wanawake...!!! Hongereni zamu yenu sasa
@mwendelejoseph34243 жыл бұрын
Kwaiyo adc amemtoloka raisi au ma adc wapo wawili
@blandinamyinga94893 жыл бұрын
Kigooooma,eee kigoma yeee yetagutigite hahaaaa baba levo japo mfipa ila KG ndiyo kwenu leo watakukoma
@lucasmhagama81663 жыл бұрын
Fanya kazi kwa bidii ufaidi nchi yako la sivyo utabaki kusema hivi
@blandinamyinga94893 жыл бұрын
@@lucasmhagama8166 pia usipojua umuhimu wa kufurahia mafanikio ya wengine na wewe huwezi pewa""miye nina furaha waha kuwa makamu wa Raisi shida iko wapi hapo au hukuielewa comment yangu unajikuta umejibu??pole
@merymohamed74163 жыл бұрын
Adi na sisimuka adi rahaaaa jmn Safi sana kina mama
@josephjohanes932710 ай бұрын
Ma tony wote wa Tz wapelekwe jeshini plz ntakuja kunishukuru badae
@paulinacherement25343 жыл бұрын
Asante mungu
@frankmashaka93203 жыл бұрын
Conguliton
@issaoissa80143 жыл бұрын
Mnapiga madawati wakati sisi wakati tunasoma tunaambiwa tunapiga kerere