🔴

  Рет қаралды 61,113

Global TV  Online

Global TV Online

9 күн бұрын

🔴#Live: MSTAAFU KIKWETE na MTOTO wa MANJI WAZUNGUMZA KWA UCHUNGU MAISHA ya MANJI HADI KUFARIKI...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 161
@BismarkStephen
@BismarkStephen 7 күн бұрын
Kikwete mumgu akubariki Sana uzeeki Una roho nzuri
@WilliamMsungu
@WilliamMsungu 7 күн бұрын
Hizi kauli zingine za kishamba kwahiyo wanaozeeka Wana roho mbaya?
@allythabiti8150
@allythabiti8150 7 күн бұрын
​@@WilliamMsunguNdyo hujui kuwa roho mbaya na kuweka vitu moyon vinamzeesha mtu haraka
@SHIJADAVIS
@SHIJADAVIS 7 күн бұрын
Poleni kwa msiba mkubwa, Mungu awatie nguvu.
@YusufLubangula-yn6tq
@YusufLubangula-yn6tq 7 күн бұрын
Tunawapa pole wafiwa INNA LILAH!
@fatimahants1526
@fatimahants1526 7 күн бұрын
Allah awape moyo wa subra kwa nyakati zote daiman
@user-qc9jf6rn7u
@user-qc9jf6rn7u 7 күн бұрын
Pole sana kijana. Mungu akupe baraka katika kuyaishi yake mzee ameachia.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 8 күн бұрын
The late , Yusuf Ally Mehboub Manji, was very hardworking man!
@rahmazahor4333
@rahmazahor4333 7 күн бұрын
Mashallah mtoto mzuri sana hatari... Pole sana... mwenyezi Mungu amlaze pahala pema peponi amini
@GervasiMwacha
@GervasiMwacha 3 күн бұрын
😢
@hajihassan5433
@hajihassan5433 8 күн бұрын
Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na alitie nuru kaburi lake pamoja na sisi tuliohai utupe mwisho mwema.
@AbdulmujibAhmed
@AbdulmujibAhmed 7 күн бұрын
Kwanini wataje habari ya yanga kwani dini hiyo? Manji namjua sana alikua mtu wa Dunia tu mimi mtanzani mkazi wa mbagala kuu kwa sasa nipo South africca hakuahi kujenga hata msikiti mmoja katika maisha yake
@ramashauritanga8966
@ramashauritanga8966 7 күн бұрын
Pp
@meshackeliau8973
@meshackeliau8973 7 күн бұрын
​@@AbdulmujibAhmed kwani ni lazima ajenge msikitiki 😂😂
@mariamkikula1614
@mariamkikula1614 7 күн бұрын
Amin yarabii
@shakilakhamis2109
@shakilakhamis2109 7 күн бұрын
Amiiin
@user-rq4fq4pw4y
@user-rq4fq4pw4y 7 күн бұрын
Jk nakukubali sana na Mungo akubariki na kukupa miaka mingi na kheri duniani
@user-ml5tq8hj2x
@user-ml5tq8hj2x 6 күн бұрын
Mungu awatie nguvu watoto wa manji naelewa uchungu mliopata ila Mungu awatie nguvu na kuwafariji sana
@dassustephen731
@dassustephen731 7 күн бұрын
Yusuph was a very humble rich man
@noelnoel4916
@noelnoel4916 7 күн бұрын
Pole sana kwa wana familia wa Manji
@beatuskulwa2912
@beatuskulwa2912 7 күн бұрын
RIP Manji ,uliiheshimisha Yanga natutaendelea kukukumbuka kwa waalama ulioiacha
@AminaLibisa
@AminaLibisa 8 күн бұрын
MashaAllah amekua mkubwa ivi, Mungu akupe subra 😢😢
@aishamtaula1959
@aishamtaula1959 7 күн бұрын
Poreasamwanangu mungu ampuunzisha baba magari pema oeponi jamani nimeeumia sana
@emanuelmushi9917
@emanuelmushi9917 7 күн бұрын
N kwel manji alionewa sana na kikombe hich makonda anakjuaa
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 7 күн бұрын
Hahaha! Anakusikia makonda
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 8 күн бұрын
Umesema Ukweli hapa sio maswala ya siasa ni msiba acheni ujinga wa kusema mzee kaiba mnsushaidi upi
@aishamtaula1959
@aishamtaula1959 7 күн бұрын
Mwanae mfanya biashara jamani kama kaandika manji kisa riko wapi mwizi kakuibia Nini mtajeni marehemu Kwa mazuri yake nawara sio mabaya yake wewe ukisajamwa umekufa nduguzako hajisikii vizuri mungu iraze pema rohi ya mpendwa wetu oeponi amina
@brownjulius8514
@brownjulius8514 7 күн бұрын
Kweli kabisa
@jokhamohammed976
@jokhamohammed976 2 күн бұрын
Poleni sana family ya manji M/mungu awape nguvu na subra 😭😭
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 7 күн бұрын
Manji na Kikwete walikuwa marafiki wakubwa, ndio maana Manji aliingia Yanga.
@kabujeasukile5462
@kabujeasukile5462 7 күн бұрын
MUNGU amulaze mahara pema peponi Amen
@millitarybattalion7515
@millitarybattalion7515 7 күн бұрын
R.I.P YUSUPH MANJI
@majidimussa8678
@majidimussa8678 7 күн бұрын
Allahu Marehemu 🙏🙏🙏
@walterngowi5835
@walterngowi5835 7 күн бұрын
Vp Makonda naye yupo hapo au 😎😎
@piusmdoe3200
@piusmdoe3200 7 күн бұрын
RIP.Yusuf Manji.
@kisinza6077
@kisinza6077 7 күн бұрын
Makonda kaka yangu, mtafute huyu Kijana, unafanya mambo makubwa sana, usikose Baraka Bure, muombe Msamaha Kwa ajili ya baba yake kabla ya kufanya Toba Kwa Mungu Ili uwe na amani, pia umuombe Msamaha Joseph Warioba, pia Mtoto wa Lowasa, nayasema haya kwakuwa nipo na wewe sana siku hizi, unafanya mambo makubwa sana, usikubali hawa watu wote wafe hujawaomba Msamaha. Manji aliteseka na moyo wake ulizidi kumdhoofu akiwa magereza Kwa kisasi kisicho na Afya. Nakupenda Makonda fanya hivyo my Brother.
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 7 күн бұрын
Ya rabbi nsataraa manji
@BismarkStephen
@BismarkStephen 7 күн бұрын
Acheni kulaum wqtu fanyeni KAZI Acha kusema watu vibaya
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 7 күн бұрын
Mwenyezimungu hashindwi na jambo lolote hana kubwa wala hana dogo
@pauloegbert515
@pauloegbert515 6 күн бұрын
Mungu amuweke mahali pema amani
@setiseti5281
@setiseti5281 5 күн бұрын
Amina yaaraab
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 7 күн бұрын
Manji ameacha alama ya upendo na upole. Mungu amtunzie vijana wake wazuri na timu ya yanga pia. RIP Manji.
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 8 күн бұрын
Yusuf Sio Yusufu..😂😂😂
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 5 күн бұрын
😂😂😂
@markmushi8940
@markmushi8940 7 күн бұрын
Apumzike kwa amani yusuf manji alikuwa ni m2 wa wa2
@user-tz8tg2sk5r
@user-tz8tg2sk5r 8 күн бұрын
Yan mnatarajia mtu kafika level ya urais awe maskin/ kama kaiba hamna ushahid nyamazeni
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 8 күн бұрын
bonge la handsome jamani waoool
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 7 күн бұрын
Acha tamaa na uzinifu
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 күн бұрын
HAYA MAJINA YA WEMA WANAKUWA NA NYEGE SANA 😂😂😂
@ramadhanikigoto
@ramadhanikigoto 7 күн бұрын
Innallilah wainailaih rajiun
@salmaramadhan2725
@salmaramadhan2725 Күн бұрын
Kikwete ana roho nzuri,najuta kupoteza simu na no zake kupotea...
@aishamtaula1959
@aishamtaula1959 7 күн бұрын
Mjombaumeongea vizir sana hata Mimi nimeeumia sana nimesikia Jana kuwa yusufu amekufa
@fatmafatu1128
@fatmafatu1128 7 күн бұрын
Sio yusufu ni YUSUF
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 5 күн бұрын
😢😢😢maskn anajikaza kiume Innalilah waina ilah rajiun
@geofkabo7843
@geofkabo7843 5 күн бұрын
Ridh1 alikuwa na urafiki na manji? Haraf kunafukunyuku anamsema makonda?
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 7 күн бұрын
R l.P.
@user-xd2tg8eq1h
@user-xd2tg8eq1h 4 күн бұрын
President kikwete miaka 100 nakuombea mana kuna wachawi wanahesabu marais eti walotangulia mbele ya haki wewe kwa kuwa ulikuwa na roho nzuri hadi mia inshallah utafika kwa uwezo wa alwah
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 7 күн бұрын
Chalamila sasa atamkebehi nani? Alipo sema kariakoo, manji kakimbia nchi
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 7 күн бұрын
Yaani acha tu Mungu atamlipa
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 күн бұрын
​@@nsiamasawe4578NYIE UTOPOLO MLIMPIGA MANJI BAKORA NA MKAMUITA MWIZI SHENZISTAN NYIE
@salmakirundu2076
@salmakirundu2076 6 күн бұрын
Innah lilah wainah illah rajioon
@adrianowillix5491
@adrianowillix5491 7 күн бұрын
The team , the network
@user-lu5vg9kc7y
@user-lu5vg9kc7y 8 күн бұрын
Kikwete kumbe Bado hajawa mzee Bado Yuko ,🦾
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 8 күн бұрын
👍👍👍
@KenedyMwaipaja
@KenedyMwaipaja 7 күн бұрын
Awam ya 5 alizeeka zeeka awamu ya 6 kamwili kamenona😂😂😅
@wazirisaid8326
@wazirisaid8326 7 күн бұрын
Ukiwa na moyo Safi huwezi kuzeeka haraka, Ila ilukiwa na moyo wa chuki, fitina na wivu Lazima uonekane mzee hata kama una umri mdogo!!
@KenedyMwaipaja
@KenedyMwaipaja 7 күн бұрын
@@wazirisaid8326 moyo safiii!! ???
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 7 күн бұрын
RIP YUSUF MANJI.
@josephmihayo6236
@josephmihayo6236 7 күн бұрын
RIP Yusuph Manji
@friendsofpeopleorg1157
@friendsofpeopleorg1157 7 күн бұрын
Poleni sana
@greysonjohn9778
@greysonjohn9778 6 күн бұрын
R. I. P
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 6 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@abdallahabdallah7872
@abdallahabdallah7872 8 күн бұрын
Kikwete ametokea katika familia ya kiungwana
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 8 күн бұрын
Mhhh
@albertjames6845
@albertjames6845 7 күн бұрын
Au sio
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 7 күн бұрын
Huna baya Rais mstafaa KIKWETE
@saidnoumani7244
@saidnoumani7244 5 күн бұрын
Ni kweli...pia inategemea malezi huwezi ukaribganisha watu wa pwani na Kanda za ziwa Kwa ungwana etc
@shinipapaya846
@shinipapaya846 4 күн бұрын
​@@HamisMghuna-fj3vzatakufa tu
@dilludillu2747
@dilludillu2747 7 күн бұрын
Jk 🔥
@SalimSalimu-z5c
@SalimSalimu-z5c 7 күн бұрын
Makonda hajafika msibani?
@user-cd5ch7mi1e
@user-cd5ch7mi1e 4 күн бұрын
MNAZUNGUMZA KWA UCHUNGU SABABU YAMANJI SASA NI HISTORIA ILIOBAKI KIONGOZI MKUU RAIS MSTAAFU MAREHEMU ALI H😊HASSAN MWINYI ALISEMA MAISHA NIHADITHI SASA TUELEWE.HIVYO NASI TUKO NJIA 1 MOJA HAKUNA KUZUNGUMZA KWAUCHUNGU LAZIMA TUONDOKE
@user-my7qi2qv3p
@user-my7qi2qv3p 7 күн бұрын
Rip jembe ulaya
@bakermusa9033
@bakermusa9033 7 күн бұрын
Sasa wee mzee kikwete umekabidhiwa mtoto umelee mpaka unashtukizwa msiba we vipi mzee
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 7 күн бұрын
Kikwete bado kijanaaaa
@user-ym6hd7xh3g
@user-ym6hd7xh3g 7 күн бұрын
Hapendi pressure ndiyo maana hazeeki
@shinipapaya846
@shinipapaya846 4 күн бұрын
Atakufa tu
@julianamwalongo6047
@julianamwalongo6047 3 күн бұрын
@@shinipapaya846 wewe haufi?
@hamidashaban1203
@hamidashaban1203 7 күн бұрын
Wacheni wivu aliyepewa na Allah hakuna wakumnyang'anya hasadi zinawasumbua.
@AbdulmujibAhmed
@AbdulmujibAhmed 8 күн бұрын
Kupenda yanga ndo nini sasa
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 7 күн бұрын
Laisi watanzania anaendelea kupenda madaraka ila kwasababu ya katiba yaccmtu ila isinge kua hio angehutubu mpaka kifo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 күн бұрын
WEWE HUPENDI MADARAKA??
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 8 күн бұрын
Kumbe uliachiwa Hayati Yusuf Ally Mehboub Manji umlee? Mbona hukutuambia hayo kabla,,,,? Kama ulikuwa umekabidhiwa kama mwanao mbona hawakukukaribisha katika mazishi yake? Kumbe mlikuwa unakutana nao nje ya nchi,,,dah, haya bwana!
@emazjassam2452
@emazjassam2452 8 күн бұрын
Hujitambui,ulitaka lini asimame aseme aliachiwa....
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 8 күн бұрын
Mtu kifa kila kitu utasikia hp sifa kibao utasikia wamemtesa wee na kumpmaradhi
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 8 күн бұрын
@@emazjassam2452 punguza makasiriko ndugu,,
@ibrahimrajabu8722
@ibrahimrajabu8722 7 күн бұрын
Yako ushamaliza kiasi ubebe ya wengine???
@ramsojimmykelly3379
@ramsojimmykelly3379 7 күн бұрын
​@@nishaabdula5015makonda hii dhambi inamuhusu na marehemu magu
@victorkamugisha2282
@victorkamugisha2282 7 күн бұрын
Huyu mtoto ataichukua Yanga
@salimmalaka256
@salimmalaka256 7 күн бұрын
ILIWAMPIGE BAKORA KAMA BABAKE???
@eightofhearts
@eightofhearts 7 күн бұрын
The older son is very handsome and eloquent. He gives off a “trustable” vibe. MashaAllah.
@allythabiti8150
@allythabiti8150 7 күн бұрын
Kikwete ni mtu mzur saana, Hekima na busara ni vitu vikubwa sana katika maisha.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 8 күн бұрын
Mbona unataja ugonjwa wa mtu?
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 8 күн бұрын
Shida ipo wapi....amezungumza historia ya uhusiano wa yeye na familia ya manji
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 8 күн бұрын
@@kaoretosha6668 hata madaktari Huwa hawasemi ugonjwa wa mtu hadharani
@HannanSomaiyah-wp7ny
@HannanSomaiyah-wp7ny 7 күн бұрын
Tumuombee na Tujiombee,Si vyema kuongelea mabaya yake, Hakuna mkamilifu Dunia Allah ampe kaul thabity pamoja na Wazaz wetu yaraby 🙏
@danielkipingu354
@danielkipingu354 7 күн бұрын
DP ..... tumepigwa.
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 8 күн бұрын
Mmemtesa bqba ake wee adi kumsababishi mardhi leo mnongea nae nn mtt wk
@AbdulmujibAhmed
@AbdulmujibAhmed 8 күн бұрын
Lakini aliathirika na madawa na alikua simtu wa dini alipenda sana dunia
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 8 күн бұрын
Ni kheri wewe usiyependa dunia kwa maana utaishi milele!
@ip_header
@ip_header 8 күн бұрын
@abdulmujibAhmed jaribu kusoma vizuri dini ya uislam, si vyema kumsema vibaya mtu aliefariki. Hakuna binadamu mkamilifu kikubwa kuomba mwisho mwema.
@SharifaOmary-ui8vs
@SharifaOmary-ui8vs 7 күн бұрын
Ww tena hakimu wa watu
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews 7 күн бұрын
Allah amsamehe
@allythabiti8150
@allythabiti8150 7 күн бұрын
Sheikh hayo umetoa wap, Wala tajasasu
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 8 күн бұрын
WEWENKIKWETE YALE MABASI MWANAO PESSA KAPATA WAPI ?
@hajihassan5433
@hajihassan5433 8 күн бұрын
Ulipopata wewe pesa ya bando kuandika upuuzi.
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 8 күн бұрын
Kapewa na baba yake unadhani ndio wewe mwenye baba hohehahe.
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 8 күн бұрын
@@salmahalfani6307 KWA NINI KAMUANDIKISHA MANJE NDIO MMIRIKI
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 8 күн бұрын
Roho za kimaskini.......shidaaaaa.....
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 8 күн бұрын
@@kaoretosha6668 WEWE WATANZANIA WANAKUMBUKA KWA MATESA WALIOFANYIWA NA HUYU MZEE
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 7 күн бұрын
baba Kikwete bado kijana kabisa..siri ni ipi mzee?😅 apewe muda na globa TV atupe mawaidha kabla kujaliwa kufika umri huo na Mungu wetu😄😄
@doktamathew
@doktamathew 7 күн бұрын
Hali vitu vya kisasa,hali ugali,hali wali,hali vitu vyenye sukari ,hajawahi kunywa soda,pombe. Anakula vitu vya asili mara kwa mara
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 7 күн бұрын
@@doktamathew oh ivi kumbe ivo eh?
@KingBuddah-nx3ui
@KingBuddah-nx3ui 8 күн бұрын
MWIZI ANAMJENGEA MWIZI MWENZAKE RIZIWANI KANUNUA MABASI KAMUANDIKA MANJE KAIBIA SERIKALI
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 8 күн бұрын
Acha roho mbaya za kijinga...
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 8 күн бұрын
Tena wewe ni mpumbavu haswa.
@user-ie2sr4fi4k
@user-ie2sr4fi4k 8 күн бұрын
Uwezo wako wa kufikili umefka mwisho
@hemedrashid2921
@hemedrashid2921 7 күн бұрын
rohoo ya kibaguziii itakuuaa aduaaa llah laanatullah mungu akulani zaidi
@IMANWILLIAM-bl2ui
@IMANWILLIAM-bl2ui 7 күн бұрын
umaskini wako ndo uchukue wengine
@George-jz3jg
@George-jz3jg 7 күн бұрын
Kumbe ukawa unamsaidia hata kwenye mikwepo ya kodi we zee wewe bwana
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 7 күн бұрын
Mrudishieni mali zake mulizomtaifisha
@MusaJuma-jr7wb
@MusaJuma-jr7wb 8 күн бұрын
Siowote tumesikitika ACHA aende tu
@bettyruhaza2856
@bettyruhaza2856 7 күн бұрын
Kwanini ufurahie mwenzio kufariki !
@MomadeAlimasudiMomadiAlimasudi
@MomadeAlimasudiMomadiAlimasudi 7 күн бұрын
Ajitambui uyo anafikiri kufa kwa manji utajiri utahamia kwake
@kaoretosha6668
@kaoretosha6668 8 күн бұрын
Acheni roho za kimaskini kila wakati mwizi....mwizi...mwizi....toeni ushahidi msisambaze fitnaaa....
@user-ym6hd7xh3g
@user-ym6hd7xh3g 7 күн бұрын
Maskini ndivyo walivyo.ndio maana wengi wachawi Mtu kajitahidi kafanikiwa mnamwambia mwizi Nenda nawe kaibe ufanikiwe
@didasseveline9013
@didasseveline9013 7 күн бұрын
Walioshangilia kifo Cha mwamba! Naona anachomoka Mmoja baada ya mwingine! Hakika mungu ni fundi
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 7 күн бұрын
RIP YUSUF MANJI....MAREHEMU HAKUWA MKAMILIFU KAMA SISI BINADAMU WOTE....KUNA WAKATI ALIWAKOSEA WATANZANIA KAMA WANANCHI KWA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WETU MAFISADI NA WALA RUSHWA....NA KUNA WAKATI PIA ALIWATENDEA MEMA NA MAZURI WATANZANIA....WATANZANIA TUMSAMEHE KWA YOTE....RIP YUSUF MANJI.
@mussamalekela2107
@mussamalekela2107 7 күн бұрын
​@@didasseveline9013 kwa hiyo ambao hawakushangilia watachomoka kwa makundi sio! Ujinga mzigo
@pauloegbert515
@pauloegbert515 6 күн бұрын
Mungu amuweke mahali pema amani
Mtoto wa Manji asimulia namna baba yake alivyoipenda Yanga
9:02
Looks realistic #tiktok
00:22
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 99 МЛН
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 5 МЛН
HAPPY BIRTHDAY @mozabrick 🎉 #cat #funny
00:36
SOFIADELMONSTRO
Рет қаралды 11 МЛН
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 145 МЛН
Yusuph Manji baada ya kutajwa na Makonda sakata la dawa za kulevya
13:52
Роналду исполнил мечту девочки 🥳
0:24
КИК Шорт!
Рет қаралды 2,1 МЛН