No video

Mtoto wa Manji asimulia namna baba yake alivyoipenda Yanga

  Рет қаралды 24,089

Azam TV

Azam TV

Ай бұрын

“Moyoni mwake ukimkata utaona damu ya Yanga” maneno ya Mehbub Manji akisimulia namna baba yake alikuwa akiipenda Yanga.
Mehbub amesema kuna nyakati walikuwa wanweza kujua matokeo ya mechi za Yanga kwa kumtazama baba yao tu, wakimuona amekasirika wanajua Yanga imefungwa.
Imefanyika dua kwa ajili ya Yusuf Manji aliyefariki dunia Juni 30 ,2024 katika ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.
#Dua #MaishaYaManji #YusufManji

Пікірлер: 33
@edwinlyimo5611
@edwinlyimo5611 Ай бұрын
pole sana ndugu yangu,nashukuru Mungu kuona Ww na mdogo wako mpo,naomba mjitahidi kupendana msigombane kwa jambo lolote hasa Mali za Urithi,nashukuru Mzee Ja JK Kikwete kwa kuwa karibu na Familia hii wakati wote,Mungu akubariki,leo mm nitakaa karibu na familia yangu nicheze na watoto wangu kwa maana sijui mda wala saa,Pia kuzidi kumuomba Mungu,
@abroadconnectededucationlt5435
@abroadconnectededucationlt5435 Ай бұрын
polen sana, ''kazima tufanye kazi sana,lazima tumalize tulichokianza,lazima tupite malengo, lazima tupite matazamio ya watu'' haya ni maneno mazito sana kuambiwa,asante YM kwa zawadi hii.
@nsubisimwasandende-kl9vy
@nsubisimwasandende-kl9vy Ай бұрын
Dogo ana akili sana ni isahara hata kampuni za mzee zitaenda vizuri speech nzuri
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 Ай бұрын
Yes yes uko sawa... Hata sauti kama ya manji kabisa
@WahidaHilaly
@WahidaHilaly Ай бұрын
Sana Sana 🙏
@vinny.morales
@vinny.morales Ай бұрын
Poleni sana familia ya Manji. Tuko pamoja, tunawapenda sana😢
@LovenesLuhanga
@LovenesLuhanga Ай бұрын
R I p Yusuf manji hakika ww ulikua Bora sana mungu uipe uvumilivu na utulivu familia yake yote tuseme amen 🙏🏼🤝
@user-xb7jv2jt7d
@user-xb7jv2jt7d Ай бұрын
Innah lillah waina ilaih raj oon. Allah awajaze subira muwe waja wa kusubiri. Nasi tuombe mwisho mwema. Ameen
@YohanaCharles-ry1kh
@YohanaCharles-ry1kh Ай бұрын
Daaah, pole sanaaa ndg yetu
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Ай бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajiun😢
@VenitaRugemalila
@VenitaRugemalila Ай бұрын
Pole watoto wa marehemu, Mungu awape mshikamano na mlete wajukuu watakaoendeleza
@baltasartemu2153
@baltasartemu2153 Ай бұрын
Pole sana Mahboob..
@VenitaRugemalila
@VenitaRugemalila Ай бұрын
Pole masikini kumbe mmebaki wenyewe Mungu awtunze ,na familia ya Muheshimiwa Jakaya iendelee kuwa nanyi
@MwenyeheriMwegeru
@MwenyeheriMwegeru Ай бұрын
Inalilah wainalilah rajiun pole sana wanafamilia
@user-jh4sw3ww6w
@user-jh4sw3ww6w Ай бұрын
Mwanadam ni historia,kua historia njema
@user-ww4so9ks9c
@user-ww4so9ks9c Ай бұрын
Duuh😢😢😢
@habibaramadhani-xv2ed
@habibaramadhani-xv2ed Ай бұрын
Inalilahi wa Inalilahi Rajiun poleni Sisi wote tutarejea.
@saidsalum6101
@saidsalum6101 Ай бұрын
Hivi kumbe nikweli manji kafa mungu amsamehe mazambi yake yote
@JoshuaSabu-r2p
@JoshuaSabu-r2p Ай бұрын
R.i.p YUSUFU MANJI hakika ni pengo kubwa sana kwa club ya YANGA na wapenz na mashabiki wa yanga
@tukuyufm.
@tukuyufm. Ай бұрын
Poleni sana familia ya mzee manji
@salmakirundu2076
@salmakirundu2076 Ай бұрын
So sad
@daarularqammkaku153
@daarularqammkaku153 Ай бұрын
Pole bro
@user-ws9no8hz8k
@user-ws9no8hz8k Ай бұрын
Imauma jaman polen
@VenitaRugemalila
@VenitaRugemalila Ай бұрын
Yaani hayo maneno ya mwisho yanaumiza akimsii Rais mstaafu wetu na wananchi tukirudi ktk familia tukapendane ,tuishi vizuri hatuijui kesho yetu kwani wao hawana tena wazazi,wapendwa wao wameondoka km ninavyosikia na mama hawana tena yaani inahuzunisha jamani,poleni tumepokea ushauri huo
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 Ай бұрын
manji,rostam,hao hakuna wazalendo hapo wanyonyaji2 wataka mamiladi makubwa watafuna nchi
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 Ай бұрын
kama alikua mzlendo wa nchi kwa nini alikimbilia huko namezikwa marekani hao watafuta fulsa2 ila wanaunalaia nchi zngne kabsa kwa macho ni watanzania ila mioyo yao haipo hao wanafata masilai2 mlando pekee ambae ni mtu wa mungu ni bakhressa pekee angalia alichoifanyia taz. huyo ndo mtzania pekee
@mugheiry
@mugheiry Ай бұрын
Kwanza kajifunze kuandika vizuri kiswahili chako, kabla kuandika upuuzi wako.
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 Ай бұрын
@@mugheiry upuuz ni wewe kipi ambacho hujaelewa
@zaminalimehdi8970
@zaminalimehdi8970 16 күн бұрын
Usiandike kutafta kiki. Mbona tundu lissu alienda kunitibia nje na sio bongo. acha chuki
@tumsifumassawe1273
@tumsifumassawe1273 Ай бұрын
Kwan amekufa kweli??
@kanyeshahigirimana5686
@kanyeshahigirimana5686 Ай бұрын
Hamna Amefufuka
@chundechunde
@chundechunde Ай бұрын
Kafa uongo
@JamesZakayo-o2f
@JamesZakayo-o2f Ай бұрын
Hajafa
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 15 МЛН
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 25 МЛН
Lehanga 🤣 #comedy #funny
00:31
Micky Makeover
Рет қаралды 28 МЛН
7 Days Stranded In A Cave
17:59
MrBeast
Рет қаралды 63 МЛН
Dua kwa ajili ya Yusuf Manji, Kikwete, watoto wake wazungumza
1:00:51
BABA YANGU KIPOFU Full episode /28/ #love
45:53
BabaJoan
Рет қаралды 286 М.
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Brawl Stars
Рет қаралды 15 МЛН