Mtoto wa Manji asimulia namna baba yake alivyoipenda Yanga

  Рет қаралды 22,142

Azam TV

Azam TV

9 күн бұрын

“Moyoni mwake ukimkata utaona damu ya Yanga” maneno ya Mehbub Manji akisimulia namna baba yake alikuwa akiipenda Yanga.
Mehbub amesema kuna nyakati walikuwa wanweza kujua matokeo ya mechi za Yanga kwa kumtazama baba yao tu, wakimuona amekasirika wanajua Yanga imefungwa.
Imefanyika dua kwa ajili ya Yusuf Manji aliyefariki dunia Juni 30 ,2024 katika ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.
#Dua #MaishaYaManji #YusufManji

Пікірлер: 31
@abroadconnectededucationlt5435
@abroadconnectededucationlt5435 4 күн бұрын
polen sana, ''kazima tufanye kazi sana,lazima tumalize tulichokianza,lazima tupite malengo, lazima tupite matazamio ya watu'' haya ni maneno mazito sana kuambiwa,asante YM kwa zawadi hii.
@vinny.morales
@vinny.morales 7 күн бұрын
Poleni sana familia ya Manji. Tuko pamoja, tunawapenda sana😢
@nsubisimwasandende-kl9vy
@nsubisimwasandende-kl9vy 8 күн бұрын
Dogo ana akili sana ni isahara hata kampuni za mzee zitaenda vizuri speech nzuri
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 8 күн бұрын
Yes yes uko sawa... Hata sauti kama ya manji kabisa
@WahidaHilaly
@WahidaHilaly 6 күн бұрын
Sana Sana 🙏
@edwinlyimo5611
@edwinlyimo5611 Күн бұрын
pole sana ndugu yangu,nashukuru Mungu kuona Ww na mdogo wako mpo,naomba mjitahidi kupendana msigombane kwa jambo lolote hasa Mali za Urithi,nashukuru Mzee Ja JK Kikwete kwa kuwa karibu na Familia hii wakati wote,Mungu akubariki,leo mm nitakaa karibu na familia yangu nicheze na watoto wangu kwa maana sijui mda wala saa,Pia kuzidi kumuomba Mungu,
@LovenesLuhanga
@LovenesLuhanga 8 күн бұрын
R I p Yusuf manji hakika ww ulikua Bora sana mungu uipe uvumilivu na utulivu familia yake yote tuseme amen 🙏🏼🤝
@user-xb7jv2jt7d
@user-xb7jv2jt7d 7 күн бұрын
Innah lillah waina ilaih raj oon. Allah awajaze subira muwe waja wa kusubiri. Nasi tuombe mwisho mwema. Ameen
@YohanaCharles-ry1kh
@YohanaCharles-ry1kh 8 күн бұрын
Daaah, pole sanaaa ndg yetu
@baltasartemu2153
@baltasartemu2153 8 күн бұрын
Pole sana Mahboob..
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 7 күн бұрын
Innalillahi wainna ilayhi rajiun😢
@user-jh4sw3ww6w
@user-jh4sw3ww6w 8 күн бұрын
Mwanadam ni historia,kua historia njema
@VenitaRugemalila
@VenitaRugemalila 5 күн бұрын
Pole watoto wa marehemu, Mungu awape mshikamano na mlete wajukuu watakaoendeleza
@MwenyeheriMwegeru
@MwenyeheriMwegeru 7 күн бұрын
Inalilah wainalilah rajiun pole sana wanafamilia
@VenitaRugemalila
@VenitaRugemalila 5 күн бұрын
Pole masikini kumbe mmebaki wenyewe Mungu awtunze ,na familia ya Muheshimiwa Jakaya iendelee kuwa nanyi
@habibaramadhani-xv2ed
@habibaramadhani-xv2ed 2 күн бұрын
Inalilahi wa Inalilahi Rajiun poleni Sisi wote tutarejea.
@user-ww4so9ks9c
@user-ww4so9ks9c 8 күн бұрын
Duuh😢😢😢
@daarularqammkaku153
@daarularqammkaku153 8 күн бұрын
Pole bro
@JoshuaSabu-r2p
@JoshuaSabu-r2p Күн бұрын
R.i.p YUSUFU MANJI hakika ni pengo kubwa sana kwa club ya YANGA na wapenz na mashabiki wa yanga
@VenitaRugemalila
@VenitaRugemalila 5 күн бұрын
Yaani hayo maneno ya mwisho yanaumiza akimsii Rais mstaafu wetu na wananchi tukirudi ktk familia tukapendane ,tuishi vizuri hatuijui kesho yetu kwani wao hawana tena wazazi,wapendwa wao wameondoka km ninavyosikia na mama hawana tena yaani inahuzunisha jamani,poleni tumepokea ushauri huo
@user-ws9no8hz8k
@user-ws9no8hz8k 8 күн бұрын
Imauma jaman polen
@salmakirundu2076
@salmakirundu2076 6 күн бұрын
So sad
@tukuyufm.
@tukuyufm. 5 күн бұрын
Poleni sana familia ya mzee manji
@tumsifumassawe1273
@tumsifumassawe1273 8 күн бұрын
Kwan amekufa kweli??
@kanyeshahigirimana5686
@kanyeshahigirimana5686 8 күн бұрын
Hamna Amefufuka
@chundechunde
@chundechunde 7 күн бұрын
Kafa uongo
@JamesZakayo-o2f
@JamesZakayo-o2f 6 күн бұрын
Hajafa
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 5 күн бұрын
kama alikua mzlendo wa nchi kwa nini alikimbilia huko namezikwa marekani hao watafuta fulsa2 ila wanaunalaia nchi zngne kabsa kwa macho ni watanzania ila mioyo yao haipo hao wanafata masilai2 mlando pekee ambae ni mtu wa mungu ni bakhressa pekee angalia alichoifanyia taz. huyo ndo mtzania pekee
@mugheiry
@mugheiry 2 күн бұрын
Kwanza kajifunze kuandika vizuri kiswahili chako, kabla kuandika upuuzi wako.
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 Күн бұрын
@@mugheiry upuuz ni wewe kipi ambacho hujaelewa
@josephmkinga9509
@josephmkinga9509 5 күн бұрын
manji,rostam,hao hakuna wazalendo hapo wanyonyaji2 wataka mamiladi makubwa watafuna nchi
Yusuph Manji baada ya kutajwa na Makonda sakata la dawa za kulevya
13:52
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 21 МЛН
Scary Teacher 3D Nick Troll Squid Game in Brush Teeth White or Black Challenge #shorts
00:47
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
00:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 23 МЛН
Dua kwa ajili ya Yusuf Manji, Kikwete, watoto wake wazungumza
1:00:51
NACHATI NA MWARABU
10:31
Joti TV
Рет қаралды 118 М.
100% Smooth Passes 🤯
0:31
Xendio
Рет қаралды 6 МЛН
ENGLISH OR SPANISH EA FC 2025
0:14
Jhow GK
Рет қаралды 6 МЛН