MADHARA YA KUMKAIDI ROHO MTAKATIFU NA KUZIFUATA MITINDO YA KIDUNIA MCH AMIEL KATEKELA

  Рет қаралды 11,034

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Ай бұрын

JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 47
@user-fu6fx8if6w
@user-fu6fx8if6w Ай бұрын
Wakati ametuumba Mungu wetu,Kila kitu amekiweka sawa,wakati unajipandikiza hizi vitu vya Dunia hii,ni dhambi na hautaingia mbinguni na uchafu wa Dunia hii, nywele zinatoka kuzimu,make up na vyote,tuepukane na hizi vitu ili tuweze kuingia mbinguni.😢❤
@EZRA-b1c
@EZRA-b1c Ай бұрын
KWELI KABISA AMEN
@elishaluhwago6940
@elishaluhwago6940 Ай бұрын
Ni kweli Kabisa Baba... Ni kumtii Roho Mtakatifu tu
@obadiambilinyi27
@obadiambilinyi27 Ай бұрын
Umetumia hekima sana kujibu swali la nywele, umeeleza vzr, utajuaje kama vimetoka kuzimu? Mungu akubariki sana
@BihingwaKashindiespoir
@BihingwaKashindiespoir Ай бұрын
Asate Sana Mutumishi waMungu Mungu akubariki Sana mimi niko Kenya mahali wanaita kakuma katika camp refugee but nafataka mafundisho yako kila siku kuazia mwanzo waushunda wako Niko nawewe
@christinekayungu2169
@christinekayungu2169 Ай бұрын
Amen. Barikiwa mtumishi wa Mungu. We are praising the Lord for how he is using you to save the nations.
@SabinaEzekiel-vb5nh
@SabinaEzekiel-vb5nh Ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi.
@annkim2690
@annkim2690 Ай бұрын
Kumbukeni imeandikwa ukivunja sheria moja umevunja zote sasa watakatifu wa Bwana tutie bidii tuwe watakatifu katika mwili nafsi na roho
@esthermliga4875
@esthermliga4875 Ай бұрын
Amen amen !! Nakupata vzuri mno mtumishi wa Mungu, asnte sana Kwa mafundisho mazuri! Hakika ukimsikiliza Roho mtakatifu atakuongoza na kukuelekeza, Umenena vyema mtumishi wa MUNGU,
@sophiajonas2090
@sophiajonas2090 Ай бұрын
Ukiwa rohoni zaidi hayo madudedude ya mabandia hutapenda kuyatumia
@saimonbikulaofficial
@saimonbikulaofficial Ай бұрын
True
@JaneKuyokwa-ng2qf
@JaneKuyokwa-ng2qf Ай бұрын
Asante mungu akubaliki mtumishi
@obadiambilinyi27
@obadiambilinyi27 Ай бұрын
Na mwingine akitaka kupendeza ajifunge kitambaa kizuri
@RahelSalumu-pm9qx
@RahelSalumu-pm9qx Ай бұрын
1 timotheo 2:9 1petro 3:3 Wengine husema hata kusuka nywele Yako ni dhambi,
@user-hs1ps4nj4w
@user-hs1ps4nj4w Ай бұрын
Karibu sana Mbeya, Mchungaji Amiel Katekela.
@innocentinnocent-cu4mv
@innocentinnocent-cu4mv Ай бұрын
Godbless You pastor 🙏 kwa Mafundisho mazuri
@annkim2690
@annkim2690 Ай бұрын
Ushuhuda wa Astn Mbaya pia kuna mama kutoka kenya hapa promover TV alikatazwa kupaka mvi rangi nyeusi mimi hapa hamunitoi natokea niliachana nahizo mazagazaga nikaanza kupata kibali
@chanilasumbuko
@chanilasumbuko Ай бұрын
Ubarikiwe sana Mch Katekela
@annissdaprincess3846
@annissdaprincess3846 Ай бұрын
Amina ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU
@phaniceariviza4399
@phaniceariviza4399 Ай бұрын
Amen nimependa ulivyomshudia Mungu na ukweli wake
@ElisonguoShayo-hb2gs
@ElisonguoShayo-hb2gs Ай бұрын
Asante mtumishi kwa kutoa mwarobaini wa kuepuka devil devices. That is; active fellowship of the Holy Spirit. Asante maana desire to have fellowship with Holy Spirit imeendelea to burn in me
@susansusan4813
@susansusan4813 Ай бұрын
Yani nampenda huyu mhubiri
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Ай бұрын
Vua basi
@EstherWayua-ke7kg
@EstherWayua-ke7kg Ай бұрын
AMEN
@user-qk1lf7by7x
@user-qk1lf7by7x Ай бұрын
MUNGU akubariki mchungaji wewe na familia Yako
@vailetlemenya6576
@vailetlemenya6576 Ай бұрын
🙏🙏👏👏👍
@RhodaWikunge
@RhodaWikunge Ай бұрын
Ukweli ni mgumu lakini Roho mtakatifu anatukamilisha kwa kufundisha na kutuwezesha
@Kingsalumoni
@Kingsalumoni Ай бұрын
Ameni
@esterpeter8556
@esterpeter8556 Ай бұрын
100%
@elizabethawuor5402
@elizabethawuor5402 Ай бұрын
Nisaidie maombi ili NAMI nisibaki duniani nataka kwenda mbinguni nabarikiwasana na mahubiri yako
@frolafelix
@frolafelix Ай бұрын
Napenda kujua kuhusu dred
@nitikekallenge2266
@nitikekallenge2266 Ай бұрын
Bila kupepesa macho.Kusuka nywele ni DHAMBi nina vifungu vya kutosha kwenye biblia
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk Ай бұрын
139-14
@gladysmueni8143
@gladysmueni8143 Ай бұрын
Naomba namba ya Mtumishi katekela
@annkim2690
@annkim2690 Ай бұрын
Navile hii TV inashuhuda nyingi za mbinguni na jehanam lakini hataki kuamini anashida akiulizia kwa Amiel haya suka rasta zako basi coz kama hizi shuhuda zote bado hujabadilika hujui
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Ай бұрын
😂
@leilasaimjomba4246
@leilasaimjomba4246 Ай бұрын
Apa ni kuachana na manywele bandia
@TheodosiaSangka
@TheodosiaSangka Ай бұрын
Sasa hizo nywele za kuzimu zinafikaje duniani wakati zinatengenezwa kuzimu?
@user-kr9xx8br4o
@user-kr9xx8br4o Ай бұрын
SAMAHANI UJUMBE HUO UMETUMWA HAPA KWA MAKOSA
@user-kr9xx8br4o
@user-kr9xx8br4o Ай бұрын
Baada ya YEREMIA 23;14 nenda MATHAYO 5:13-16 (Nukuu) huku ukifafanua kila mstari. MATHAYO: 10:37(Nukuu) fafanua Kwamba; usichujukiane na baba au mama yako ktk yamchujizayo MUNGU, wala mwana wako au binti eti unasema "asije mtito akanichukia, au akanywa sumu. 1.Hata kama ni baba anataka akukabidhi uchawi, nawe umeokoka kataa, usichukuliane naye, 2.Kuchanjia chale za ukoo kwa ajili ya wafu, eti ni ukoo mzima wanachanja 3.Kula vyakula vikivuotolewa sadaka kwa miungu ya kwenu. 4.Kukaa ktk mabaraza ya wenye mizaha ZABURI 1;1 5.KUTOKA 23:2
@felesianyangasi
@felesianyangasi Ай бұрын
Vipi mtumishi, neno la Yesu lasema, kujipamba kwenu kama wanawake kusiwe kwa nje yaani kwa kusuka nywele baali kwa ndani. Mbona washauri wanawake kusuka nywele zao hatakama ni original? Wala sijaelewa
@JESUSISLO891
@JESUSISLO891 Ай бұрын
Soma 1 Corri 11:15
@annkim2690
@annkim2690 Ай бұрын
Nilisikia ushuhuda mwingine ukisema ATI katika kusuka nywele yapo maringo na majivuno Kwa kusuka nywele
@ambokilegwakisa3526
@ambokilegwakisa3526 Ай бұрын
Huyo ni binadamu Cha muhimu ni kulifuata Neno la Mungu pekee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee Ай бұрын
Historia ya upentekoste ulipoanza ilikuwa marufuku kuvaa Vito nywele bandia haya mambo yameanza miaka ya 80 baada ya makanisa kugawanyika.
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Ай бұрын
Kusiwe kufanyaje
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 11 МЛН
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН
Rafiki Aliyeshambuliwa Na Majambazi Kwa Kuzuia Sadaka | Rev. Dr. Eliona Kimaro
15:05
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 7 МЛН