MADUDU ya KUTISHA ALIYOIBUA MWALIMU BEATRICE YACHUKUA SAA 1 MAKONDA KUMALIZA MGOGORO WOTE....

  Рет қаралды 117,903

Global TV  Online

Global TV Online

2 ай бұрын

MADUDU ya KUTISHA ALIYOIBUA MWALIMU BEATRICE YACHUKUA SAA 1 MAKONDA KUMALIZA MGOGORO WOTE....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 363
@globaltv_online
@globaltv_online 2 ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@alexpangani1944
@alexpangani1944 Ай бұрын
Hongera mh. Makonda unauchapa mwingi. MAMA najua kuchagua! KAZI IENDELEE!
@eligiusmutabazi3804
@eligiusmutabazi3804 2 ай бұрын
Huyu mama ukiacha kuwa Ni msomi Ila Ni genius Sana aiseee anajua kujieleza,ana vielelezo vyote vya Madai yake Na Ni mtulivu Sana Hana papara kabisa yaani Hana mihemko Ila madini anayotoa kudai haki yake ndo wahusika wanabaki wanatetemeka Tu Kwa aibu...Makonda good work kaka mkubwa.
@barbarasara4033
@barbarasara4033 2 ай бұрын
Wala hatoi chozi.....NI fact Tu
@yeshelirashidiepalata3382
@yeshelirashidiepalata3382 2 ай бұрын
​@@barbarasara4033 yaani amenifurahisha sana..
@user-ct7sw7ro3q
@user-ct7sw7ro3q 2 ай бұрын
Mwalimu wewe ulikuwa mahiri kazini kwako ndio maana vilaza hawajakupenda
@J_Pabloescobar0806
@J_Pabloescobar0806 2 ай бұрын
Kabisa mkuu Mwalimu asingekua na pesa nae ingekua shida ila kajiimarisha vizuri yani
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 2 ай бұрын
Huyu mwalimu ana uwaredi mno Hali ya juu na ndio mana wanamchukia ​@@J_Pabloescobar0806
@imanimbwiga9009
@imanimbwiga9009 2 ай бұрын
Kitu kizuri kuhusu Mh Mkuu wa Mkoa, ni kuwa umejirekebisha sana kwenye utatuzi wako wa Migogoro, 1) UMEANZA KUHESHIMU MAHAKAMA 2). UMEJIFUNZA KANUNI NA SHERIA MBALIMBALI NA UNAZIFUATA 3). HEKIMA NA MAARIFA YAMEONGEZEKA SANA Nakupa maua Yako 🌺
@johnsonmwalongo2294
@johnsonmwalongo2294 Ай бұрын
Umenena vyema brother amebadilika sana anahekima ya juu Mungu amsaidie
@hailedemmanuel95
@hailedemmanuel95 Ай бұрын
Big up sana Makonda naiona Tanzania mpyaaaaaaa mikononi mwako
@videralfred8889
@videralfred8889 8 күн бұрын
Na maombi yetu yanachangia kumuinua mh makonda
@joseesiara9012
@joseesiara9012 2 ай бұрын
asee huyu mama amepiga spana sawasawa, utulivu wa kutosha, mpangilio mzuri, lugha ya staha. Aloooohhh huyu teacher akifundisha hata uwe na kichwa kigumu vp unaelewa😂😂😂
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 2 ай бұрын
Amesoma
@joseesiara9012
@joseesiara9012 2 ай бұрын
@@tanzcanmediatv4473 mkuu kuna waliosoma lakin hata kujieleza tu ni kipengele.
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 2 ай бұрын
Safii
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 2 ай бұрын
RIP j
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
Huyu Mama ni Mwalimu sawia haswa
@annagustav6222
@annagustav6222 2 ай бұрын
Mh. Makonda natamani 2030 kama Mungu atakupa uhai uwe Rais wa JMT. Mungu akubariki sana..sana
@remymsangi4546
@remymsangi4546 12 күн бұрын
Watamuua mambea wa hii nchi
@mwanaidiabdalla5293
@mwanaidiabdalla5293 2 ай бұрын
Mimi nakuombea sna Mhe Allah akulinde hakika unatutetea wanyonge🙏🏽🙏🏽
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 ай бұрын
Watanzania wasiokuwa na sauti hudhulumiwa. Huyu ni mwalimu anaweza kujitetea. Watanzania wasiojiweza kujieleza hudhuluiwa na majambazi yanayoaminiwa na serikali. Kufutilia kasi ni kazi kubwa inayohitaji fedha. Watanzania wengi ni masikini sana. Makonda baba ni Mungu tu ndiye atakulipa kwa kusimamia haki.
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 2 ай бұрын
Mungu Ambariki Lakini Kuna Mama mmoja Nesi alifukuzwa Kazi Dodoma baada yakushinda kazini akiwa anaumwa.
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 2 ай бұрын
Yaani acha tu, halafu kuna mpuuzi anasimama anasema Mh. Makonda anadhalilisha watumishi kwa style hii kweli watumishi wanafanyia watu, haya huyu ni mwalimu Haya wale wanyonge je. Mh Rais una kazi kubwa sana. Naomba ukuu wa wilaya na mimi nikusaidie kazi wananchi wako wanateseka Sana.
@highonebalo8289
@highonebalo8289 2 ай бұрын
Mwalimu B!!!!! Kama una mume, basi ana kifaa cha nguvu; akatoe sadaka ya shukrani ya kipekee kwa Mungu. Aloo amepewa chombo cha nguvu. Watoto wako wana heri mamy!!! Umetulia sana hapo kichwani. Na Mungu amekupenda akahakikisha ni marufuku kuonewa. Akaleta mkombozi. Makonda Mungu akukamate vizuri sana mtumishi❤❤
@highonebalo8289
@highonebalo8289 2 ай бұрын
Mama Samia please please please😢 Usituondolee huyu tunu wetu Makonda mamy plz. Wasiompenda wana chuki zao binafsi. Ila kwetu mama hii ni zawadi umetupa watu wa Arusha. Asante mama Samia Mungu akupe maisha mama❤
@emmanuelreuben1863
@emmanuelreuben1863 2 ай бұрын
Uyu mada ni mtu smart sana, mama samia muone mpe kiti anajua
@shaabanikabwe3437
@shaabanikabwe3437 2 ай бұрын
Hakuna mkamilifu Duniani Binafsi nafurahishwa sanaa na kazi ya Mh Makonda, kazi ya kusimamia Haki ni kazi ngumu sanaa hapa Duniani. Dhulma ni miongoni mwa vitu vinavyo fanya umaskini kuongezeka katika familia zetu. Ukidhulumu haki ya mtu na ukaona ni sawa sawa mpaka mwisho wa maisha yako hapa Duniani basi uwe na hakika kua na kizazi chako kitabaki kwenye laana ile ile ulio acha umetenda Duniani. Tujitafakari halafu tuchukue hatua, hakuna m'babee juu ya mgongo wa Ardhi. Kama tunapenda vizazi vyetu kwa ujumla basi tuanze sisi wenyewe kua watenda na wapenda haki kwa wenzetu. Mh Makonda kazi yake nzuri sanaa na ni ngumu sanaaa. Lakini kama waifanya kwa dhati ya moyo wako Mungu anasimama na wewe daima.
@eliuskivuyo6521
@eliuskivuyo6521 Ай бұрын
Mwl Beatrice ni nondo kweli kweli,big up sana mh Makonda,watu wanadhulumiwa sana
@izorajula7969
@izorajula7969 Ай бұрын
Salute you madam fight for your right teacher
@user-ku4gf8dc4i
@user-ku4gf8dc4i 2 ай бұрын
Mh. Paul Makonda upo vizuri sana. Mungu akusimamie.
@danielmakundi7612
@danielmakundi7612 Ай бұрын
Najiuliza tu swali la msingi endapo sio kwa utashi na uchapakazi wa Mh. Makonda kuja na hizi Clinic za kusikiliza kero za wananchi wake, kwa kuzunguka kote huko hadi Ikulu bado hakupata stahiki zake. Bila hizi Clinic angekuja kuzipata haki zake mwaka gani? Lord have mercy!😢 Salute to you Mheshimiwa Paul Christian Makonda, Sir🫡
@kassidpandu866
@kassidpandu866 2 ай бұрын
Mkuu wa Mkoa Arusha anafanya kazi nzuri sana japo ana maadui wengi
@MenelusCzar
@MenelusCzar 2 ай бұрын
YAANI VIKAO VYA MAKONDA HATUITAJI HATA KULA JAMANI ❤❤❤❤
@kdeghtnzanea7187
@kdeghtnzanea7187 2 ай бұрын
Kabisa unajikuta hata njaa huihisi kabisa
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 ай бұрын
😅
@witnessmaliki103
@witnessmaliki103 2 ай бұрын
​@@christinewomanoffaith5479😅😅😅
@witnessmaliki103
@witnessmaliki103 2 ай бұрын
Kabisaaaa yani😅😅😅
@rehemaphillingsonmlawa4206
@rehemaphillingsonmlawa4206 2 ай бұрын
Mama mwl hongera upo vizuri saruti kwako.miaka mingi kwako
@VailethMwaipungu
@VailethMwaipungu 2 ай бұрын
Barikiwa Makonda
@mbwitajohn8496
@mbwitajohn8496 2 ай бұрын
PCM(Paulo Christian Makonda) wewe ni jembe na unasimamia haki ya wanyonge kweli kweliii. Nimesikiliza hii kesi kwa zaidi ya saa moja na chai sijanywa tangu asubuhi mpaka sasa. Nakutabilia kuwa kiongozi mkubwa sana mbeleni katika nchi yetu. Mwenyezi Mungu akusimamie.
@wilper6318
@wilper6318 2 ай бұрын
Akili za huyu mam angu mwalimu ni kubwa sana, nimesikiliza mpk nimelia, naomb Mungu akutunze RC MAKONDA, nimelia sana.
@erickpique2437
@erickpique2437 2 ай бұрын
Mama anajua kupangilia maneno big up to her
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 2 ай бұрын
Safi Sana mwalim beatrice umejua kujieleza vizur
@baloz8974
@baloz8974 2 ай бұрын
Nimsomi na amekuwa akifuatilia haki zake taratibu kiutaalamu
@baloz8974
@baloz8974 2 ай бұрын
Mama samia alikuwa jinsi yakukerekebisha arusha ndio akamuona makonda anafaa kuwasaidia na kutoka kero za wanaarusha. Dada ni intellectual and intelligent enough she knows her rights according to employment status .
@PrudenceMwakyoma-oz5ic
@PrudenceMwakyoma-oz5ic 2 ай бұрын
Kweli your president,she is brighter.
@MrKhatibu
@MrKhatibu 2 ай бұрын
Kumbe hizi kazi za serikali zina mitihani katika kutekeleza mambo ya haki. Alhamdulillah nawashukuru wote walioniwezesha kuto pata ajira serikalini maana nadhani ningekuwa Miongoni mwa wenye kubatilisha ya haki kuwa batili.
@FatumaSuleiman-ti7vq
@FatumaSuleiman-ti7vq Ай бұрын
Hongera ALLAH akulinde.
@ankoanko-zz7it
@ankoanko-zz7it 2 ай бұрын
Makonda wewe MUNGU wangu azidi kukulinda nawatu wabaya.
@godfreymagessa786
@godfreymagessa786 2 ай бұрын
This is what we want big up mwl na mkuu wa mkoa be blessed sana till the end of time
@zitongwang6278
@zitongwang6278 2 ай бұрын
Hongera Sana mama mwalimu , nimependa utulivu wako na jinsi unavojieleza , wakati WA Bwana umekuja Kwa wew kupata stahiki zako zote, Mungu mbariki Raisi samia suluhu hassani Kwa kumteua Makonda na kumpeleka Arusha , Makonda ana nafasi yake pekee peponi ..., Anawafuta watu wengi machozi , anasimamia haki za wanyonge, Mungu aendelee kumlinda huyu Baba milele Daima. 💛💚💛💚 CCM oyee ..., Yani binadamu Kwa kuonea binadamu wenzao NI shida kweli , ningekuwa huyu mama ningeshakufa Kwa presha ILA Mungu ana makusudi yake Kwa kweli , HAO waliomtungia uongo wote ili asimamishwe KAZI, kushushwa daraja na kukosa stahiki zake Mungu atawalipa Tu 😫
@hailedemmanuel95
@hailedemmanuel95 Ай бұрын
Hekima imeongezeka sana God bless you RC Makonda
@abdallahbashiru1152
@abdallahbashiru1152 2 ай бұрын
Well done Makonda kazi yako njema❤❤Mungu akulindee na wabaya wote wasiopeda haki
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 2 ай бұрын
Wao hawatoweza kukupenda daima!!! lkn Mungu na sisi tukikupenda inatosha...!
@Mariam-zh4bf
@Mariam-zh4bf Ай бұрын
Kweli kabisa wajina
@kazaulachibali
@kazaulachibali 2 ай бұрын
Revolutionist dear madam May Almighty God protect you and make you healthy
@alexbayingana7879
@alexbayingana7879 2 ай бұрын
Makonda wewe jamaa ukipata watu wa kukusuport tutafika Mbali kiukweli kama sii roho mbaya za watu basi tunaweza fika nchi ya ahadi, ALLAH awe nawewe aameen
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 2 ай бұрын
Ameen 🙏🙏
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 2 ай бұрын
Mimi nilifukuzwa kazi, nikashinda kesi, nikarudishwa kazini, nikaajiliwa upya, ili nikose NSSF zangu. Sasa hivi niko juu
@joycelaura4611
@joycelaura4611 2 ай бұрын
ulinyimwa NSSF kwa nini fatilia ni haki yako
@makoyelwango6048
@makoyelwango6048 2 ай бұрын
Majitu yamejaa laana spiritual of evils
@JacquelineMahumbe
@JacquelineMahumbe 2 ай бұрын
Glory to God
@loner_wolf
@loner_wolf 2 ай бұрын
Mama kaonewa sana , kanyimwa haki ya kupata elimu ni dhambi kubwa sana aisee . umri alitakiwa apate masters umesimama na sijui kama kunamtu anayeweza kurudisha nyuma wakati . non of them can pay her time . sorry madamme teacher , I ❤ you😊
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 ай бұрын
Kwa kazi anayoifanya Makonda Nape na wengi waliokuwa wakimukashifu waone haya.
@baloz8974
@baloz8974 2 ай бұрын
Exactly na kura hawapati tena arusha ,kazi yao kupinga maendeleo
@user-kq1qx7qs5f
@user-kq1qx7qs5f 2 ай бұрын
Mweshimiwa makonda mungu akulinde uwendelee kuwasaidia wanyonge
@user-lo8ef9qn2r
@user-lo8ef9qn2r 2 ай бұрын
Nimegundua Arusha kwanini watu wanauwana tatizo kubwa ni Mali na wadhurumiwa na walio kwenye mamlaka stahiki hawatendi Haki icho ndio chanzo cha mauaji
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 2 ай бұрын
mungu aibariki tanzania kwa hikma na busara za viongezi ningeomba hata kenya munganishe iwe nchi moja ya mungano wa tanzania ili viongozi waige mifano bora kizungu mingi na wananchi maskini ndie anae umia
@marymaula9231
@marymaula9231 Ай бұрын
Mheshimiwa Makonda Mungu akutie nguvu sana. Najua yako mapungufu ya kibinadamu, tunakuombea Mungu akusaidie pale kwenye mapungufu na akuzidishie hekima kijana.
@sebmalunde5945
@sebmalunde5945 2 ай бұрын
Huyu Mama yuko Smart Sana anastahili hata kupewa nafasi kubwa zaidi anaweza kuwa msaada kwa wengine. Wanambania kwa sababu ya uwezo wake kichwani......that's my take
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 2 ай бұрын
Wanamna hii hawatakiwi KBS kwa sbb n vichwa, hata viongozi hawawapendi sbb n wakweli wanataka haki. Na maono ya kazi,
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 2 ай бұрын
DADEKI huyu Mama anafaa kuwa Kiongozi Big up sana kwa huyu Mama
@malcomketer8262
@malcomketer8262 2 ай бұрын
Smarter madam deserve her money
@DM.2200
@DM.2200 2 ай бұрын
Ukisikia wakati wa Mungu ni sahihi ndo hii 🙌
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 2 ай бұрын
Maa Shaa Allah huyu mwl Beatrice nimempenda yupo makini sana na anajua kujieleza hongera kwako mama Allah azidi kumuinua Mh Makonda ❤
@jeannentibitigure5515
@jeannentibitigure5515 Ай бұрын
Tunakutumainia Baba 🙏🙏
@PrudenceMwakyoma-oz5ic
@PrudenceMwakyoma-oz5ic 2 ай бұрын
Makonda Mungu akulinde tusaidie
@JumaNada
@JumaNada 2 ай бұрын
Huyu mh.atairudisha heshima ya CCM, ARUSHA, KONGOLE MH MAKONDA, Mungu amekuleta kwa makusudi Mkoa wa ARUSHA
@susananyasani6526
@susananyasani6526 Ай бұрын
Super Mheshimiwa Makonda huyo Mama allipwe haki yake kama kawaida asante
@athumanimapande8394
@athumanimapande8394 2 ай бұрын
Makonda level ya ukuu wa mikoa kashapita na uyu mama mwalimu namuona ana kalama ya uongozi zaidi ya ualimu uyo mwalimu mtazameni mpeni nafasi ya uongozi
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 ай бұрын
MAWAZO YAKO SAWA NA YANGU MAMA SAMIA AMUANGALIE MAMA ANABUSARA NA UWEZO MKUBWA
@jumamdoka7867
@jumamdoka7867 2 ай бұрын
Makonda ni level angalau za uwaziri mkuu
@Abdul-zx9vn
@Abdul-zx9vn Ай бұрын
Yeees
@barakaanthony159
@barakaanthony159 2 ай бұрын
Teacher umetisha
@kazaulachibali
@kazaulachibali 2 ай бұрын
Revolutionist dear madam May Almighty God protect you and make you healthy.Mpatie Huyo kaka yetu Paulo huu mstari kutoka Kwenye biblia ;Yeremia 22:3
@hosseasimon3887
@hosseasimon3887 2 ай бұрын
Mungu akulinde
@teofridamlelwa6051
@teofridamlelwa6051 2 ай бұрын
Mwl nimekukubali kwa ujasiri hongera sana
@iammedik3924
@iammedik3924 2 ай бұрын
Kazi nzuri
@user-gp3cv9pk8u
@user-gp3cv9pk8u 2 ай бұрын
Mama I applaud you- you are a roll model for TZ women!👏🏾👏🏾👏🏾🙏🏾✌🏾💯❤️
@wilbroddaffi66
@wilbroddaffi66 2 ай бұрын
Makonda is very smart
@kaundavyoseena6514
@kaundavyoseena6514 2 ай бұрын
RC Makonda kwa hapo umenifurahisha. Keep it up. Uachane na kauli tata tenda haki. Basi.
@JacquelineMahumbe
@JacquelineMahumbe 2 ай бұрын
Mama nimekupenda na hongera kwa uvumilivu, Mungu akupe maisha marefu.
@jameskileo955
@jameskileo955 2 ай бұрын
Mkuu wa Mkoa ndugu na Kaka Yetu MUNGU akulinde na Akubariki Unafanya kazi kubwa na Helima kubwa mno
@sarkodiejr254
@sarkodiejr254 2 ай бұрын
Madam Beatrice knows her rights, she came prepared,justice for Mwalimu BEATRICE
@abdulykibingo2436
@abdulykibingo2436 Ай бұрын
Hapo kwenye kiwanja kuingia mtoni ila hii arusha pole sana mweshimiwa kwa kazi kazini kunakazi aiseeee
@apollohugo
@apollohugo 2 ай бұрын
. Hongera sana RC sasa nakukubali. 2.Nakuomba kama mtenda haki "Msimamie mwl.Betrice apate haki yake ya elimu(master degree)ambayo hii ilikuwa ndoto yake lakini manyangwau wakamkatili. 3.Tutaomba urejesho mkuu(kiwanja kipo mtoni?) 4.Tunakuomba umuombe kazi kwa Mheshimiwa rais,Dr.mama yetu mpendwa Dr.Samia Suluhu Hassan. Mungu akutangulie mkuu kwasababu mwl.Betrice anakitu kichwani chakueasaidia wa Tanzania kama ulivyo wwl. Asante.
@Pina-ed3bn
@Pina-ed3bn 2 ай бұрын
Makonda chapa kazi baba Mungu akulinde sana
@Christopherjohnkaira
@Christopherjohnkaira 2 ай бұрын
Rais wetu hongera,san bro
@stefanomasolwa8979
@stefanomasolwa8979 25 күн бұрын
Huyu Maman Mwalimu nampenda kweli kweli yani anaongeya neno kwa Neno tena ustarabu handi Raha
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 ай бұрын
Ongera sana makonda, njoo kagera uondoe takataka kama zilizopo uko, Makonda oyeeeeeee
@MoshiAthumani-de4ed
@MoshiAthumani-de4ed 2 ай бұрын
Aisee ww Makonda ni mtu na nusu,...hongera sana...Mungu akusimamie ktk kuwajibika kwa wananchi wako
@petromkunda7978
@petromkunda7978 Ай бұрын
Dahaa ni mwanamke kanikosha sana natamani ningekuwa mm haloooo dahaa mungu yupo wahuni wachache wanadhurumu haki ya watu
@MwitaMaloda-dh8gn
@MwitaMaloda-dh8gn 2 ай бұрын
long live makondaaaa,you deserve more than that
@sebmalunde5945
@sebmalunde5945 2 ай бұрын
Mamlaka za uteuzi vetting gani zaidi inahtajika, vichwa kama hivi sio vya kupoteza. Dah Hongera mhe. Makonda
@tatuali8538
@tatuali8538 2 ай бұрын
Hii ni wazi Tanzania mnyonge hana haki Tanzania ni nchi ya rushwa ubadhilifu unyonyaji kwa watumishi wa serekali. Mungu akujaalie Mh Makonda akulinde na akufanyie wepesi kwenye kazi
@MichaelMaro-hj7yo
@MichaelMaro-hj7yo 2 ай бұрын
God bless you makonda
@strong8534
@strong8534 Ай бұрын
Mama wa facts. Big up mom and RC Makonda
@nickcmori7
@nickcmori7 15 күн бұрын
Huyumama yuko vizuri sana apewe hata uongozi
@marymaula9231
@marymaula9231 Ай бұрын
Aiseee, wewe mama nimekupenda sana, wewe ni mwalimu mzuri. Unajiamini, una uwezo wa kujieleza, hata ukimfundisha mwenye cognitive disability lazima apige hatua mbele
@vailethmollel5115
@vailethmollel5115 2 ай бұрын
Pole madam😢
@PASCHALCHARLES-dc1yd
@PASCHALCHARLES-dc1yd 2 ай бұрын
Mungu akubariki makonda
@verombwambo3703
@verombwambo3703 2 ай бұрын
Mwalimu chukuwa maua Yako nimekupenda bure
@jescaandrew8763
@jescaandrew8763 2 ай бұрын
Makonda ubarikiwe sana sana nakupenda kakaangu jamani
@sonimurat
@sonimurat Ай бұрын
Elimu mali sana, Beatrice she’s educated lady. Keep it up mama
@user-tn7sw9cz7f
@user-tn7sw9cz7f 2 ай бұрын
Makonda nakutabilia uraisi miaka ijayo mungu akupe uhai 🙏
@godfreymrosso2051
@godfreymrosso2051 2 ай бұрын
madam beatrice is very bright hadi raha
@user-yt5ue4vj5b
@user-yt5ue4vj5b Ай бұрын
Nashukuru mungu aku braza
@GodfreyChaula-cy4ct
@GodfreyChaula-cy4ct Ай бұрын
Nakukukubali sana makonda. Piga kazi. Watazania wengi sana tunanyanyaswa sana. Na tunaumizwa sana.
@IsraeiMwankwasya
@IsraeiMwankwasya 2 ай бұрын
Makonda Mungu akulinde akupe hekima zaidi
@user-yt5ue4vj5b
@user-yt5ue4vj5b Ай бұрын
Sahihi kabisa
@thomasmbolonzi
@thomasmbolonzi Ай бұрын
Mimi ni mkenya nampongeza huyu kiongozi wenyu
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 2 ай бұрын
safi sana makonda maana ya uongzi na kuwajibika nilicho penda zaidi huogopi mungu akuweke uko karibu na wanyonge na hata sioni ulinzi na hata hutaki kuwa tofauti na wananchi ingekua kenya i say hilo halipo garama nyingi zinatumika kwa ulizi na uwandalizi wa serekali ila kwa mwananchi wa kawaida hana moja mwenye pesa ndio mwenye say thumb up makonda ccm hoe R I P john joseph pombe magufulu
@user-ex7bh1np4t
@user-ex7bh1np4t 2 ай бұрын
Mheshimiwa Kwann!? Huyo mama usimchukue akae kwenye kitengo Cha kusolve matatizo ya wananchi atakusaidia sana,.
@barbarasara4033
@barbarasara4033 2 ай бұрын
Hatoi chozi wala hatafuti huruma ni. Fact Tu anatoa
@denislazaro-hp1xm
@denislazaro-hp1xm 2 ай бұрын
dada yuko smart sana aisee
@FlorenceNgabo
@FlorenceNgabo Ай бұрын
Kuna watu duniani kuna ..... duniani mungu mlinde makonda na watu duniani
@iammedik3924
@iammedik3924 2 ай бұрын
Keep it up
@baloz8974
@baloz8974 2 ай бұрын
She's knows her rights very well
@hamzasuleiman9605
@hamzasuleiman9605 2 ай бұрын
Huyo kweli ni Mwalimu , maana yuko fasaha , ana uzoefu wa kutosha , anajiamin , hana woga wala papara , kiufupi ameweza sana 👐
@carlosmatabaro9689
@carlosmatabaro9689 2 ай бұрын
Hongera saana Makonda kwa kutetea haki
@SelemaniAlly-p8z
@SelemaniAlly-p8z 15 күн бұрын
Heri tumbo lililokubeba na matiti uliyoyanyonys mungu akutunze baba
@sophiamwailonda
@sophiamwailonda 2 ай бұрын
Huyu mwl smart sannaaaa❤❤❤
@MbarakaMahsein
@MbarakaMahsein 2 ай бұрын
Makonda hongera sana
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 2 ай бұрын
Safi Sana mkuu wa mkoa nintafurahi Sana mama Samia ukimpa Kasi nyingine huyu mama
@Mapishinatibatv
@Mapishinatibatv 2 ай бұрын
Mwalimu uko vizuri sana akili mingi.
@JackMwita-ve8dj
@JackMwita-ve8dj 2 ай бұрын
Viongozi wengine muige kutatua migogoro ya wananchi kama makonda, mkuu wa mkoa nakupa heko Hongera sana na mungu akulinde
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 11 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 181 МЛН
Red❤️+Green💚=
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 85 МЛН