MADUDU ya KUTISHA! MFANYABIASHARA AMUONESHA YOTE MAKONDA - ''UNANIITA SAA 2 WEWE UNAFIKA SAA 4''...

  Рет қаралды 207,690

Global TV  Online

Global TV Online

Ай бұрын

MADUDU ya KUTISHA! MFANYABIASHARA AMUONESHA YOTE MAKONDA - ''UNANIITA SAA 2 WEWE UNAFIKA SAA 4''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 492
@globaltv_online
@globaltv_online Ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@JonhSabuni
@JonhSabuni Ай бұрын
U
@owenwaane5285
@owenwaane5285 Ай бұрын
​Ppl L
@user-ic7gx6jg9f
@user-ic7gx6jg9f Ай бұрын
❤Jkk​@@owenwaane5285
@nyahingathadeo826
@nyahingathadeo826 Ай бұрын
😢
@jacoblaiser7634
@jacoblaiser7634 Ай бұрын
Willy huna tabia ya wizi. Nakufahamu tangu kibo huna baya na mtu na huna konakona kwrnye kazi zako. Big Up Willy!! Just keep on going
@emmanuelsitayo1977
@emmanuelsitayo1977 Ай бұрын
Bravo brother. Hii nchi itakombolewa na wenye uthubutu kama wako. Wametumaliza hawa.
@daviddsouza735
@daviddsouza735 Ай бұрын
Uthubutu changanya na uwezo wa kifedha na uzoefu wa miaka mingi
@user-rh5iy3ei3g
@user-rh5iy3ei3g Ай бұрын
Nimempenda huyu Baba anajua kujielezea,ni kichwa Masha Allah
@tanzcanmediatv4473
@tanzcanmediatv4473 Ай бұрын
Na ni bilionea
@swillalovedswilla829
@swillalovedswilla829 Ай бұрын
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 Ай бұрын
Pesa inaongeza confidence
@chumamasunga8855
@chumamasunga8855 Ай бұрын
100% ​@@salymkitumbika8644
@jamesparadiso5516
@jamesparadiso5516 Ай бұрын
Sanaaaa ​@@salymkitumbika8644
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 Ай бұрын
Dah Mzee anakwenda na Facts kali I see👌👍
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Ай бұрын
Huyu mtu kama sio ubize wake,angeweza hata kuwa waziri wa maliasili na utalii, anaujua utalii nje ndani. Mungu azidi kumlinda.
@aishahemedi8452
@aishahemedi8452 Ай бұрын
Kabisa
@feisalyusuf496
@feisalyusuf496 16 күн бұрын
Mtu kawekeza bilioni 6 unategemea atakua na mbambamba
@jamesakhabuhaya4747
@jamesakhabuhaya4747 Ай бұрын
Huyu mwamba inaonyesha hata wafanyakazi wake wanainjoy sana.nikipata chance kwake aiseee nitajifunza mengi.willy big up bro
@Tango696
@Tango696 Ай бұрын
Dah mzee uko vizuri umesaidia upelelezi kwa kweli.
@WinfridaFabian
@WinfridaFabian Ай бұрын
Kwa wanvyobebana ushahid ipo waz hakitakua na hatua yoyote
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 Ай бұрын
The demeanour of his speaking is an evidence of his integrity, wits and intelligence.
@MenelusCzar
@MenelusCzar Ай бұрын
Kitendo cha mh Makonda kumpa muda huyu bwana mkubwa kuongea mwanzo mpk mwisho ni utume tosha na kesho mbinguni MUNGU ATAMLIPA KWA WEMA HUU WA LEO❤🙏
@edgarmbegu1974
@edgarmbegu1974 Ай бұрын
Sasa ulitaka ampige makofi bilionea? Kenge kweli ww
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 Ай бұрын
Jamaa anaongea very smart lakini inauma sana watanzania wenzangu daaah Kwann lakini ...? Tunakosa vya kusema ila mh Paul apewe ukuu wa mkoa Kila mkoa mwaka mmoja mmoja tu afu awe anazunguka kama circle Yan
@JosephMargareth
@JosephMargareth Ай бұрын
Kweli kabisa, azunguke Kila mkoa. Hata Kama itakuwa miezi 2. Atatusaidia saana.
@hemedshalua2002
@hemedshalua2002 Ай бұрын
Daaah alivosema "Tunapigika usiku na mchana" n kweli hayo ndo maisha ya mfanyabiashara.
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s Ай бұрын
Makonda mungu akulinde na majitu yenye Roho mbaya na wewe,
@ernestgeorge8412
@ernestgeorge8412 Ай бұрын
Jamani naomba muhifadhi maneno yangu, kunasiku mtaamini huyu makonda atakuja kuwa kiongoz wa hii nchi Tena ataongoza vzur na Tanzania tutazungumziwa Sana na Dunia nzima nasio kwa mabaya ni mambo ambayo yakuushangaza ulimwengu Tena mazuri mno... One day yes❤️‍🔥
@nicolasaugustino8449
@nicolasaugustino8449 Ай бұрын
Kabisa tena muda si mrefu
@ernestfelix8596
@ernestfelix8596 Ай бұрын
Amen
@RoseJohn-js7kb
@RoseJohn-js7kb Ай бұрын
Watamuua hii nchi washeni wanawapiga vita watu wema
@mrmisosiliuma9366
@mrmisosiliuma9366 Ай бұрын
Tumuombeeni asiuliwe tu jamani
@ernestgeorge8412
@ernestgeorge8412 Ай бұрын
@@RoseJohn-js7kb tumuombee Sana kwaajili ya kizazi chetu anakitu huyu mtu Tena kikubwa sana
@blandinapeter7004
@blandinapeter7004 Ай бұрын
Jamaa Ana mzigo na documents zimenyooka mtamwambia nn😂😂
@skybatech7956
@skybatech7956 Ай бұрын
Hatar jamaa amenyooka sana
@kidsontemba1641
@kidsontemba1641 Ай бұрын
Hahahahha
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Ай бұрын
Kanyoooka😢 walahi pesa ipo pia akili kubwa
@mosesmwasanga7661
@mosesmwasanga7661 Ай бұрын
😅😅 Daah, kweli ana Mzigo!!
@user-ql3yr6fi7o
@user-ql3yr6fi7o Ай бұрын
huo ni mfano wa jambo 1 ila nchi nzima kuna ugwadu sana
@rappachugz
@rappachugz Ай бұрын
One of the Best Administrator ever..!!!
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 Ай бұрын
Wale watumishi wa Serikali wanaodhani vyeo vinaongeza akili wajifunze kwa Mr. Chambulo kuwa wanapaswa kujua wanaongoza watu wenye uelewa mkubwa pengine kuliko wao!
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 Ай бұрын
Private Sector Iko Smart Sana Mf Ni Huyu Ndugu Chambulo.
@davidlyamboko7477
@davidlyamboko7477 Ай бұрын
Maafisa wawajibikaji, Inatakiwa hawa uwaendee polepole, private sectors wapo vizuri ktk itifaki, sheria, kanuni na taratibu za mawasiliano serikalini.
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 Ай бұрын
@@davidlyamboko7477 Locally Government Kuna Mambo Ya Ajabu Sana Watendaji Hawapogi Serious Kabisa Yale Mavilaza Kabisa Ndiyo Huudumu.
@charlessimba1184
@charlessimba1184 Ай бұрын
Nlitaman makonda atoe kauli ya kusema..."RPC huyu jamaa apewe ulinzi"
@jivitafoundation450
@jivitafoundation450 Ай бұрын
Huyu Mr.chambulo awe ulizi ?unamjua vinzuri huyu siyo wale wafanyabiasha wakarikao
@samwelngao3201
@samwelngao3201 Ай бұрын
Ana ulinzi mkali sana huyo mzungu chambulo wala hakuna Fala wa kumgusaa
@bayekefarijala5042
@bayekefarijala5042 Ай бұрын
Haya ni maujanja ya kimahesabu ya kihasibu, makonda hapo anatakiwa asaidiwe na wataalam
@goodluckmsoka3660
@goodluckmsoka3660 Ай бұрын
Hiki ndio kinacho fanya watu wanakwepa Kodi
@janesuma-is4wc
@janesuma-is4wc Ай бұрын
Mungu akusimamie mh Makonda kuna madudu mengi sana kwenye hizi almashahuri nchi imeharibiwa na watu wasio kua na hutu majizi yaliyo ajiriwa ndani ya serekali
@dn.n4983
@dn.n4983 Ай бұрын
Kwa baba si msanii ni msema kweli nikija kunulia bia kwa kweli mkweli Mungu hakulinde wewe na family
@edwardrigha6782
@edwardrigha6782 Ай бұрын
Mimi kama Mkenya nimeguswa na naionea wivu Tanzania kwa mwelekeo wanaochukua kupiga vita ufisadi. heko kwenu mtafika mbali na kuwa vigogo kiuchumi katika Afrika mashariki
@RASHIDMPUMU
@RASHIDMPUMU 27 күн бұрын
Duuh RC Makonda, pole sana naona kiasi gani unavyobeba mizigo mizito ya malalamiko, ulaghai, nk Mungu akutie nguvu na akupe afya njema
@GoodluckAmos
@GoodluckAmos Ай бұрын
4.2 bilion na mtu ametulia yan dah,Mama Samia njooo umteue huyu ana kipaji super
@danielmbaga4596
@danielmbaga4596 Ай бұрын
Komaa ukweli ukidhihiri uongo utajitenga ndugu ❤
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Ай бұрын
Ahsante sana ndugu yangu❤
@verynicemonyo8671
@verynicemonyo8671 Ай бұрын
Hongera sana mzee
@KiongoziMwandamizi
@KiongoziMwandamizi Ай бұрын
Chambulo is something else, So transparent, direct and to the point, (Akili kubwa hii)👏👏👏👏🏋️🏋️
@EZRA-b1c
@EZRA-b1c Ай бұрын
Tanzania nzima na haswa Arusha😢 RUSHWA imekithiri inanuka SANA
@luganomwaigomole7441
@luganomwaigomole7441 Ай бұрын
AKILI KUBWA CHAMBULO❤
@FrankMushi-cs5js
@FrankMushi-cs5js Ай бұрын
Mnatubana wananchi kumbe majizi mnayafunga wenyewe
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 Ай бұрын
Inaumiza Sana Roho Serekali Inakusanya Kodi Halafu Inaziiba Tena So Sad.
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg Ай бұрын
Huyu mfanyabiashara Ana akili sana
@jumamohammed2748
@jumamohammed2748 Ай бұрын
Huyu nafanyabiashara yuko vizuri sana mashaallah
@richardmshiu5118
@richardmshiu5118 Ай бұрын
He is so serious and smart guy..
@helentelemla5623
@helentelemla5623 Ай бұрын
Mwanaume akitoa sumu namna hii anaongeza siku za kuishi safi sana mimi nimemuelewa.Chambulo. asitoke kwenye hicho kiti
@kilimanjaro695
@kilimanjaro695 Ай бұрын
i like huyu jamaa yupo very transparent, Mkurugenzi hana pa kutokea hapo
@JosephMwangiluke
@JosephMwangiluke Ай бұрын
Makonda uko vizuri. The feature president
@danielmarwa5122
@danielmarwa5122 Ай бұрын
Apitishwe na chama kipi?
@suntzu8959
@suntzu8959 Ай бұрын
@@danielmarwa5122 MCC
@majidfrolian4904
@majidfrolian4904 Ай бұрын
​@@danielmarwa5122yaaani 😢😢
@bushbabytz
@bushbabytz Ай бұрын
matako yako wewe eti president 😂😂😂
@eramatareTv
@eramatareTv Ай бұрын
​@@danielmarwa5122ya mama yako
@ajuwazaglodim7645
@ajuwazaglodim7645 Ай бұрын
Kiboko yao Makonda! Unavyo wakatiliza watu kutumbua majipu, kumbe kuna mda wakusikiliza dakika hizi zote???!❤ Nakuoenda bure mzee wangu Makonda. 🇨🇩 🇨🇩
@user-xx4wb9yo9p
@user-xx4wb9yo9p Ай бұрын
Makonda nikimsikia namkumbuka magufuli wangu mungu namuomba akupe maisha marefu ili uje uwe rais natamani sana roho yamagufuli iko pamoja na ww
@halimahamis-yi8kh
@halimahamis-yi8kh Ай бұрын
Aamiin
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 Ай бұрын
Awa jamaa wa Almashauri awakujua kama mama SSH kumtuma Mh Makonda Arusha ana maana gani sasa wameingia chakike baba mzee baba
@Nedjadist
@Nedjadist Ай бұрын
Wezi kama hawa kule China hupigwa risasi. Ilipofikia Tanzania inabidi kuiga sheria hiyo. Watendaji wamefikia kiwango kikubwa sana cha kudharau serikali na sheria.
@lawskuli9876
@lawskuli9876 Ай бұрын
Na huu ndio umuhimu wa good records keeping
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Ай бұрын
Mh! Kweli
@zafarmohamedy3013
@zafarmohamedy3013 Ай бұрын
Aaanh kabisa kaka 😂
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 Ай бұрын
Alafu tunaskitika hatuna waekezaji unafikiri watu kwa wizi huo nani atakuja kufanya biashara nasi
@rajaburajabu3963
@rajaburajabu3963 Ай бұрын
Duh hapa kazi ipo
@mr.ability4578
@mr.ability4578 Ай бұрын
huyu mzee very bright aisee🔥
@lilianurio9781
@lilianurio9781 Ай бұрын
For sure, he is speaking on behalf kila siku penalty zisizojulikana
@TheAmolloh
@TheAmolloh Ай бұрын
Jama kichwa sana …yote kwa mpangilio from the brain 😅😅😅 DED ameyatimba 😅😅😅
@user-bp2cc9eo6g
@user-bp2cc9eo6g Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@cornelkapinga8926
@cornelkapinga8926 Ай бұрын
😂😂😂😂
@stanleybupambambogo3334
@stanleybupambambogo3334 Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@josephfrank4446
@josephfrank4446 Ай бұрын
Kiongozi Bora huonekana akiwasikiliza watu wake 🎉🎉🎉makonda Mungu akupe umri mrefu uje uikomboe tanzania❤
@user-eh5fw5gj4c
@user-eh5fw5gj4c Ай бұрын
The most dangerous thing is the world is the human brain so usicheze na mtu mwenye brain kubwa
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 Ай бұрын
Huyu jamaa yukogo smart sana.
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur Ай бұрын
Mmmm!! Inauma sana lakini hawo Ccm wengine hawajitambuwi zaidi ni kusema hatujinyongi hatunyi sumu inauma sana
@mgosimkome9242
@mgosimkome9242 Ай бұрын
Acha kuleta habari za CCM, mtu ukikosa hoja nyamaza ukiongelea mambo ya kula pesa sio CCM ni mambo ya mtu binafsi, Makonda ni CCM Mbona anafanya kazi nzuri ana machungu je huyo sio CCM, ndo shida ya vyama vya upinzani mtu akiamka yeye ni CCM CCM, badala aongelee mhusika, kuna watu CCM wako smart sana, mbona huko upinzani kwenye ufisadi upo
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂huo wimbo unanikelaga Sanaa aiseee!!!
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 Ай бұрын
This is Tanzania bhna dah!!ninamonea sana huruma mama SSH wangu Mzalendo wangu dah maumivu
@George-jz3jg
@George-jz3jg Ай бұрын
Usimuonee huruma huyo mamako yeye ndo aliowaruhusu hao majizi
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Ай бұрын
​@@George-jz3jgMWEHU WEWE WACHA KUROPOKA ROPOKA
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Ай бұрын
Makonda Mungu azidi kukutangulia....
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 Ай бұрын
Duh mtu analipa analipa Millioni 20 alafu mnamuandikia risiti ya milioni 3??kweli kweli kabisa aisee hiiiiiiiiiiiiiiii yani yani sijui aisee
@PeterStephen-on4zz
@PeterStephen-on4zz Ай бұрын
Respect Mkuu. Makonda ...do something 🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@robisonikadogo7371
@robisonikadogo7371 Ай бұрын
Jamani makonda Ao wezi wa Arimashauri muwafunge wametuchosha
@user-yv7xg4em4s
@user-yv7xg4em4s Ай бұрын
Haya Kumekucha.
@ramiamisanya9873
@ramiamisanya9873 Ай бұрын
Hongereni Global kwa taarifa kama hizi
@babuuosama8752
@babuuosama8752 Ай бұрын
Mama Samia huyu mfanyi biashara mpee kazi ya biashara Waziri wa biashara huyu ni sawa na kidume makonda amna atakae fuja mali ya serikali ya mtanzania Mama kidume Chambulo huyu Mkombozi Mpe kazi achape kazi Madudu kuyangamiza Serikali yako kodi Ikufikie kamili !
@frankchaula8674
@frankchaula8674 Ай бұрын
Moto unawaka
@frankchaula8674
@frankchaula8674 Ай бұрын
Inaumiza sana
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Ай бұрын
🎉🎉🎉❤
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 Ай бұрын
Shida ya Taifa Letu ni ujinga tu. Serikali iwekeze tu kutengeneza watu wenye hadhi ya Utu. Utu haupimwi na utajiri ua fedha bali heshima.
@annazacharianmko4657
@annazacharianmko4657 Ай бұрын
Hakika makonda mungu akutetee na akupiganie kwa kazi ngumu unayoifanya huwezi pendwa kweli
@jamalkishangu
@jamalkishangu 26 күн бұрын
Huyu mzee yupo vizuri wengi tunakwama kwa sababu hatuna uwezo wa kujieleza.
@benisayo7370
@benisayo7370 Ай бұрын
Tunahitaji watu kama Hawa Tz ndani ya serikali ni uozo mtupu watu wanaonewa wananyanyaswa haki ya mtu inapindishwa wakijua hatuna uwezo
@kaundavyoseena6514
@kaundavyoseena6514 Ай бұрын
Nimependa RC Makonda alivyo mtulivu. Big up Willy. Ukweli utaponya Taifa.
@judithkirenga9977
@judithkirenga9977 Ай бұрын
Watu wanaumizwa na uongozi wa namna hii haswa Arusha 🙌🏼🙌🏼 ,Mh. Makonda anakazi kubwa kubwa kubwa
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Ай бұрын
Kumbe pia ni vizuri mfanyabiashara akawa msomi? Pamoja na uzoefu elimu pia inatakiwa.
@mcback4384
@mcback4384 Ай бұрын
Kama sio msomi wewe ni mjasiriamali sio businessman huyu wala sio mfanyabiashara ni investor
@solomonpeter8843
@solomonpeter8843 24 күн бұрын
Unafikiri tulivyokuwa na mada za kujadili darasani kwamba eti education and Money which is better unafikiri waalimu walikuwa wanatutakia mema kweli😂😂 uache shule uikimbilie Hela utaimanage vipi nimemwelewa sana huyu jamaa hawa ndiyo watu wa kuwaita ofisini kimya kimya ili wawasaidie kugundua vitengo vipi vinawaangusha
@KelvinKimambo
@KelvinKimambo Ай бұрын
Nimeipenda sana hii
@muniraahmed624
@muniraahmed624 Ай бұрын
Jamaa uko vizurii mnooo mambo yatakaa sawaaa kwenye ishu ya biashara umeshika namba
@damianmcba9525
@damianmcba9525 Ай бұрын
Mpaka mama kamrudishia bilioni 4.2 tangu 2022 inaonyesha amenyooka hana mbambamba kwenye kulipa kodi
@user-qi8pk4xg9z
@user-qi8pk4xg9z Ай бұрын
Big up Mr chambulo umesema ukweli nchi hii inawapigaji wengine ahsante director wangu ulinipa Kaz kule Mara Mara na kubukubu uko vizuri Mungu akubariki
@AdamMaglas-ye1bi
@AdamMaglas-ye1bi Ай бұрын
🙏🙏🙏🙏 hata kuwa rais babaang Kwan unatenda mema ukikuta mtanzania anakuchukia jua ni mpgaji na pia hajitambui. Nakukubali sana tangia ukiw dar. Mm naitwa Adam ramadhan shemzigwa nipo arusha yetu endelea kujenga na mung atakuw pamoja nawe babaang.dah? Wakat mwingine mpakaachoz ananitoka kwa upendo unaowafanyia waliozulumiwa Hali zao. Sijui ata nikupe zawad gan baba Kwan siez ata kukulipa ela mm ni mtu wa chin sana. Bali malipo yangu ni Dua kwa mung nakuombea sana baba Yan ungejua ninavoomba kwaajili yako babaang. Ni mm na mung wangu tu ndo anajua ninachokuombea kwa Kaz ngum na kubwa unayoifanya mung atakulipa kwa mema.
@RoanCorporation
@RoanCorporation Ай бұрын
God bless Mrs Chambulo ameonyesha Matatisu
@abdullahalkindi9673
@abdullahalkindi9673 Ай бұрын
Ni Mr. sio Mrs
@tintatz5109
@tintatz5109 Ай бұрын
Mrs? Bora ungenyamaza 😅😅😅
@stanleybupambambogo3334
@stanleybupambambogo3334 Ай бұрын
​@@tintatz5109😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤
@NardhisMhagama-sy3eq
@NardhisMhagama-sy3eq Ай бұрын
Nchi inaliwa kumbe kuna chura anameza
@mustafamandindi6434
@mustafamandindi6434 Ай бұрын
Mueshimiwa uliebalikiwa na muumba mbingu na alizi endelea kuchapa kazi yako ili chama kiendelee kua imala nami nakuombea dua kila kukicha ili uwe na maisha malefu ili utende haki kwa wanyonge ❤❤❤❤❤
@desderykarugaba1826
@desderykarugaba1826 Ай бұрын
Mhh Mungu atusaie sana.
@qonquererqanquerer1781
@qonquererqanquerer1781 Ай бұрын
Kuna Madudu Mengi Sana Serikalini
@user-bz7kg2lr3f
@user-bz7kg2lr3f Ай бұрын
Mzungu haibiwagi mnafikir wazungu nikama waafrikaee mmezoea kutuibia hapo mmeingia chakike
@mauricebaraka9119
@mauricebaraka9119 Ай бұрын
Chambulo ni genius
@kungugeni
@kungugeni Ай бұрын
Mnawapa wezi uongozi Atari sana
@easykiswahili
@easykiswahili Ай бұрын
Ina maana Kuna kampuni hewa,,,,control no hewa alafu wanabambikia watu
@mohdymuddy-464
@mohdymuddy-464 Ай бұрын
Kuna majitu yako na akili mingi na hayana muda wa kukodolea macho kazi za serikali😂😂😂...CHAMBULO MY HERO...MQKONDA TULIIIIII😅😅
@elvismabena7630
@elvismabena7630 Ай бұрын
Bravo Sana Mr Chambulo🙏🙏🙏
@yasinimalya4001
@yasinimalya4001 Ай бұрын
Ukweli uwekwe wazi ☄️🔥
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 Ай бұрын
Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante
@user-zx3he3lp3o
@user-zx3he3lp3o Ай бұрын
Kwa kwrli Rc ni jemve kwa jiji la Arusha mfano Arusha ni jiji la utaperi sana wizi wa dimu mitaani tangu uje Arusha kuna jengwa barabara n jiji kuwa na usalama kwa kuweka camera za kuzuia wizi wa dimumitaa kwa vijna wadudu wananchi wana imani nawe mfano ulpokuwa katibu wa uenezi
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 Ай бұрын
Mungu akulinde mh. Paul Makonda👏👏
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 Ай бұрын
Mpeni ulinzi huyu mzee itasaidia upelelezi ya wezi
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Ай бұрын
😂😂uyo so mfanya bihashara wa kariakoo yan kiufup ulinzi upo...ila ningekua mim ningesafiri nchi
@hemedsudi1219
@hemedsudi1219 Ай бұрын
Picha inaanza huyo mtu sio wa mchezo mchezo, anaweza ajiri mtu yeyote akawa mlinzi wake.
@user-qm2ds9mr9r
@user-qm2ds9mr9r Ай бұрын
Hivi mkuu wa mkoa hana meno ya kung'ata? Hivi wakati wa Nyerere hata shutuma tu, hao wasingetakiwa kuwa viongozi tena, na kama wakiwekwa pembeni, watendaji wengine watajifunza jmn. Watanzania tunaumizwa jmn
@ListonElly
@ListonElly Ай бұрын
Umenyoooka. Sana mzee
@annahmakabara3049
@annahmakabara3049 Ай бұрын
Mashalah mungu akulinde
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 Ай бұрын
Asante mzee kwa kumlaisishia kazi makonda
@rahmarama5669
@rahmarama5669 Ай бұрын
Dis man nataman mumpe nafasi nzuri nadhan akisimamia kwa uangalizi kila kitu kitaenda vzr
@fatmaathumani7116
@fatmaathumani7116 Ай бұрын
😂😂😂 heti mwanaume mwenzangu unakulàje hela yangu
@AndrewMwenda-ib1mx
@AndrewMwenda-ib1mx Ай бұрын
Very nice
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 Ай бұрын
Ili arusha ikae sawa wapeleke roboti Eunice wakanyooshe hao wadudu
@barbarasara4033
@barbarasara4033 Ай бұрын
😂😂😂😂
@pangolinsnews6216
@pangolinsnews6216 Ай бұрын
😂😂😂
@bty880
@bty880 Ай бұрын
Kimewaramba
@SamweliMwalindu
@SamweliMwalindu Ай бұрын
hiyo ni arusha mikoa mingine ndoo kumeno yahatali haya arusha u afanya upate nafasi kubwa ndoo tanzania hali ni mbaya sana walaji hawana aibu makonda kaz buti hasa wema niakiba
@flavianapeter494
@flavianapeter494 Ай бұрын
Ñimeanza kumwelewa Makonda na kumpenda bure Hongeraa sana na heri ya tumbo lilokuzaaaaa🙏
@OmaryAlly-ku5le
@OmaryAlly-ku5le Ай бұрын
Asante
@Emmanuel-ze1vz
@Emmanuel-ze1vz Ай бұрын
Kumbe kuna watu wataingia mbinguni bila maswali mbele za mungu godbless you mr chambulo your faith man totaly
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 25 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 95 МЛН
Did you believe it was real? #tiktok
00:25
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 53 МЛН
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 137 МЛН
The child was abused by the clown#Short #Officer Rabbit #angel
00:55
兔子警官
Рет қаралды 25 МЛН