"MKURUGENZI UPO KITAMBI KIKUBWA WATOTO WANAKAA CHINI" MAGUFULI AMBANA DC, MTOTO AMSHANGAZA

  Рет қаралды 269,055

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 152
@agesag.m2476
@agesag.m2476 3 жыл бұрын
Such a wonderful Leader, poleni sana Watanzania kwa kumpoteza Rais wa Wanyonge.
@charlesnyao8970
@charlesnyao8970 8 ай бұрын
Mob love from Kenya. Keep resting in peace JPM
@asheryngaiti5549
@asheryngaiti5549 4 жыл бұрын
Mh huyu Rais jaman akisimama sehemu lazima mtafurahia uwepo wake
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 4 жыл бұрын
Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏🙏 🙏
@brobabuu3973
@brobabuu3973 4 жыл бұрын
Amen
@ferouzmasoud4741
@ferouzmasoud4741 4 жыл бұрын
@@brobabuu3973 🙏🙏🙏
@madiyaahmad7453
@madiyaahmad7453 3 жыл бұрын
Ole wako pesa uile iiiiiiiiiii baba wewe Mungu akudumishe akupe uhai na uzima kura zangu zote kwako wewe Ahsante saanna❤❤
@joycemaregesi4189
@joycemaregesi4189 3 жыл бұрын
Hahahahaha! Et na ole wako uile big up uncle Magu Mungu akubariki uishi miaka kama yote
@zainabubakari8489
@zainabubakari8489 4 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu jpm
@shanifesto9037
@shanifesto9037 4 жыл бұрын
NINA BABA YANGU ASIYE SHINDWA KAMWE,,NAMPENDA SANA RAIS WANGU ,NAFUATILIA SANA ,MWENYEZI MUNGU AKUTUNZE BABA.
@robertsuna
@robertsuna 4 жыл бұрын
Magufuli daaaah wewe mwanaume wewe una upekee sana ndani yako. I respect you
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 3 жыл бұрын
Too much respect JPM utampenda
@amosmahona433
@amosmahona433 4 жыл бұрын
Hapo unaweza ukanya Bila kutegemea nampenda Sana raisi wangu maana anachukua maamuzi pale pale kwa WATU wazembe wazembe
@kiariedavid8370
@kiariedavid8370 4 жыл бұрын
kwa kweli Amos hehehehehehe
@madammanka2731
@madammanka2731 4 жыл бұрын
Tena unajinyea ukiwa umesimama hatari hii jamani
@retstyuternchimbi6379
@retstyuternchimbi6379 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@fredrickfresters3610
@fredrickfresters3610 4 жыл бұрын
Hahahahajaa kweli
@brobabuu3973
@brobabuu3973 4 жыл бұрын
Mambo mengi yamerahisishwa. Kazi kwetu kuchapa kazi.
@isaachayes9783
@isaachayes9783 4 жыл бұрын
Man of action!!
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 4 жыл бұрын
Mungu Akulinde sana Rais wetu. Pole sana kwamajukumu.chapa kazi zetu ni Dua kukuombea Afya njema.In sha Allah Allah Akufanyie Wepesi.
@aishakhamis2996
@aishakhamis2996 3 жыл бұрын
Ameen ishawah
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 9 ай бұрын
😢😢😢 kama ni Mungu aliamua ufe pumzika kwa amani lakin 😢😢😢 Mungu hujua zaidi
@fredrickfresters3610
@fredrickfresters3610 4 жыл бұрын
Hahahahahahaaa.... Aiseee..!! Rais inabidi utembelee kila sehem. Tutanyooka tu watanzania.. !! Maisha yanasonga..!!
@doctorwamapaatz6571
@doctorwamapaatz6571 9 ай бұрын
I MISS YOU DADY💚
@shunshmc8868
@shunshmc8868 3 жыл бұрын
Wa llahi Wa billahi wstaghafillah hakuna rais bora duniani kama john pombe magufuli ,,,,,Allah akubariki ,,,tena unafaaa upewe tuzo ya noble
@MohamedBlanker-jw9qy
@MohamedBlanker-jw9qy 9 ай бұрын
Rip magufuli
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 жыл бұрын
Nimecheka kwa saut unajua kunifurahisha musukuma mwenzangu rais magufur😄😄🙏
@donardmsomi8451
@donardmsomi8451 3 жыл бұрын
Nitakukumbuka daima baba. Pumzika kwa amani
@harounlyakunga4982
@harounlyakunga4982 3 жыл бұрын
Kupita bila comment siyo kweli Daaaar!tuna mtu ambaye sikutarajia kama nilikosea kumpatia nafasi ya kuwa Rais 2015 kikweli unafaa kuliongoza taifa kwa awamu nyingine ya pili.
@farhatfarhat3816
@farhatfarhat3816 4 жыл бұрын
Yani akifika hoi maana kila sehem anasimama
@madammanka2731
@madammanka2731 4 жыл бұрын
Huyo ni jiwe wewe usisahau tena
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
Tutakukumbuka Baba yetu 😭😭😭😭😭 R.I.P BABA
@rosemarymsangi3960
@rosemarymsangi3960 4 жыл бұрын
Matumbo lazma yaishe huu mwaka, hapa kazi tu!
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 3 жыл бұрын
RC wa Morogoro aanze gym
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 3 жыл бұрын
Matumbo yatafungwa mkanda
@patrickissakalenga589
@patrickissakalenga589 3 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu Muheshimiwa MAGUFULI. Afrika, tungekuwa na Ma Raïs kama na wewe, Afrika ingkuwa imeendeleya mbele sana.
@arnoldarnold6271
@arnoldarnold6271 4 ай бұрын
Rest in peace sir
@exalttarimo5083
@exalttarimo5083 4 жыл бұрын
My president my choice
@abrahamsamwel7955
@abrahamsamwel7955 3 жыл бұрын
Oyooo big up kwa kamanda huyu captain mi tangu zamani namkubali sana watoto wakae tuu kuna wasenge wachina walileta barabara mbovu!!!!!mh dingi nakuelewa #.ar to nmg
@mathytz25
@mathytz25 9 ай бұрын
Dah! i miss when The True king spoke out,Every line was a hit..we had the president once..tunakukumbuka na utusamehe kwa kila kitu
@user-rv3it6oh8i
@user-rv3it6oh8i Жыл бұрын
mwamba pumuzika kwa amani nakama ulilala kwa mapenzi ya mugu basi jina lake lisifiwe ila kama kuna mipango ya wanadamu mungu atalipa ila pengo lako linaonekana
@agnesvintan1538
@agnesvintan1538 3 жыл бұрын
Daaaah hii ya secondary kukaa chin jau kwel🤔mi nakumbuka shule yetu viti vilikua vya kugombania,,had tunaandika majina kwenye viti
@mimitijara4806
@mimitijara4806 3 жыл бұрын
Wil mss u alot big ddy
@raulmagige2698
@raulmagige2698 3 жыл бұрын
Dahh!! Huyu raisi kwann tunataka atoke why? Kwnn tusimuache akae milele tunataka nn tena
@madhuru2554
@madhuru2554 3 жыл бұрын
R.I.P.Mr.President Kazi ya Mungu Haina Makosa.
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 3 жыл бұрын
Mungu akulehemu kwakweli
@rahimamkumbo3238
@rahimamkumbo3238 4 жыл бұрын
Ww ni Rais wa dunia
@juneahir-by7hd
@juneahir-by7hd Жыл бұрын
mkurugenzi poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 4 жыл бұрын
Kaah yani mkurugenzi amekoma😢😀😀
@rehemashafi4809
@rehemashafi4809 3 жыл бұрын
Mashallah rais wetu adi raha jmn
@abdiriirashid7717
@abdiriirashid7717 Жыл бұрын
Rip sir the best president in Africa
@user-tr7ou5li1x
@user-tr7ou5li1x 7 ай бұрын
❤❤❤
@bikozikomo9496
@bikozikomo9496 3 жыл бұрын
Sion umuhim wa jpm kupgaa kampeni mwaka huu2020,akae tu ofsin ajirekond tu bas
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 3 жыл бұрын
21st century, Tanzania kwa uchumi wa pili na hamna viti? Mnamuangusha rais!
@teresaonduko4443
@teresaonduko4443 3 жыл бұрын
Mtukufu Rais Magufuli, Mola akuangazie Neema na faraja tele👏👏Nakupenda kwa kazi njema uifanyayo@Kenya
@goldshukri86
@goldshukri86 3 жыл бұрын
SHUKRANI sana Rais wa AFRICA NZIMA ✊😢 mimi siyo mtanzania ILA TUNAKUECHIM SANA kwetu burundi MUNGU AKUBARIKI baba yetu na akup maisha marefu
@auntdorah9141
@auntdorah9141 4 жыл бұрын
Nakupendaga bure
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 4 жыл бұрын
Na olewako uile hahahahahahah...akila pesa yako hajipendii.
@neemahaji5766
@neemahaji5766 3 жыл бұрын
Aaaaaah jmn rest easy baba angu😭😭🙏
@jumakapilima5674
@jumakapilima5674 4 жыл бұрын
Tunavifanyia kazi,,,,, mh!!
@moudyngereza
@moudyngereza 3 жыл бұрын
Thats my president...
@salmaluhombero8466
@salmaluhombero8466 3 жыл бұрын
Wakuu wa mikoa ina maana hamjui kuwa watoto wanakaa chini dah Tanzania viongozi mnafanya nini sasa Raisi asingepita ndio basi tena watototo wanakaa chini waziri wa wanawake na watoto jina tu hajui kero za watoto na wanawake ni mambo ya kusikitisha sana Raisi anahitaji asaidiwe peke yake hawezi sasa mnachaguliwa ili mfanyeje duh hii kali
@johnkariuki2907
@johnkariuki2907 3 жыл бұрын
Mzee Safi sana
@fidelisiboniphacekatole1139
@fidelisiboniphacekatole1139 3 жыл бұрын
Ukisikia wimbo wa serikali ya awamu ya 5 utafikiri Tz imeishakuwa paradiso ,kumbe usanii tu kila kona vilio mara maji, madawati ,shule hovyo
@abdihq4228
@abdihq4228 3 жыл бұрын
Mh helanyingi sana hiyo wasikuibie
@hassanjumabajwala1862
@hassanjumabajwala1862 4 жыл бұрын
Tutashukuru Sana ukijatena muheshimiwa
@ksmally1985
@ksmally1985 3 жыл бұрын
Watoto wengi wa Shule za Serikali wanakaa chini kabisa. Tena shule za manispaa kabisa. Wahusika angalieni hilo
@OjukuSiwila-br3kn
@OjukuSiwila-br3kn 4 ай бұрын
😢😢😢😢
@mauyahamisi7525
@mauyahamisi7525 3 жыл бұрын
Mh magu akila pesa yako huyo dc atakua hajipend
@emmanuelbugabu115
@emmanuelbugabu115 Жыл бұрын
Upumzk salama
@edrisalusonge4141
@edrisalusonge4141 3 жыл бұрын
Inauma sana
@user-kp7zz9qp2j
@user-kp7zz9qp2j 7 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@dastanmrope162
@dastanmrope162 3 жыл бұрын
R I p kiongozi
@somanet_tech
@somanet_tech 3 жыл бұрын
Sawa baba
@anawa4326
@anawa4326 3 жыл бұрын
Endelea kupumzikaaa Muheshimiwa
@chrismrisho8321
@chrismrisho8321 Жыл бұрын
😁😁😁
@siwonikewilliam9146
@siwonikewilliam9146 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani
@halimasalim5477
@halimasalim5477 3 жыл бұрын
😭😭😭😭 roho inauma
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 4 жыл бұрын
Mbunge katoa million 2 fasta bila kupenda
@karimmkejina980
@karimmkejina980 4 жыл бұрын
Ahahaha
@josephmanyama435
@josephmanyama435 4 жыл бұрын
Inaitwa chap kwa haraka hiyo
@kiariedavid8370
@kiariedavid8370 4 жыл бұрын
inabidi vinginevyo kutumbuliwa kunakuhusu
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
huenda kajikuta katamka bila kujijua
@madammanka2731
@madammanka2731 4 жыл бұрын
@@bjzee1981 akifika kwa wenzie anawauliza hivi nilisemaje pale
@samakisamaki3226
@samakisamaki3226 3 жыл бұрын
wamejikanyaga hawa. katoa idadi ndogo ya uhaba wa viti, bei ya meza na kiti ni zaidi ya elfu 70. mzee kawapa wiki moja na hali ya kuwa hakuna hata kimoja cha mfano. hapo ndipo vitakapotengenezwa kwa kasi ya zima moto, ubora ni wa muonekano tu.
@hamzamohamed5007
@hamzamohamed5007 4 жыл бұрын
piga kazi baba magu itapunguza madudu kiasi
@akidanyanje9072
@akidanyanje9072 3 жыл бұрын
Huyu jpm Niko tayari kufa kwa kuilinda picha yake tu isichanwe...
@tawfiqmbagwa9407
@tawfiqmbagwa9407 3 жыл бұрын
Yaani hapa issue hii Magu alikuwa ashatonywa ndo maana akauliza kuna shule hapa?
@cecilemkandama5051
@cecilemkandama5051 3 жыл бұрын
Makufuli dhaaaaaa
@gracemisokalya1061
@gracemisokalya1061 3 жыл бұрын
Lazima aongezewe muda madarakani kutokana na uzalendo alionao. Kweli he is a man of action lkn hata viongozi wote wa Mkuranga wanaonekana ni wachapa kazi ndiyo maana hawajateteleka ht kujibu malalamiko ya wananchi wao,pigeni kazi kila sehemu one changamoto zake siyo huko tu jamani,hii nchi ni kubwa mmmmmmno
@alenyema7738
@alenyema7738 9 ай бұрын
Rais kaomba radhi kwa kuwapotezea muda watu wake
@Donyo-rh8do
@Donyo-rh8do 4 күн бұрын
Kama kuna kitu Tanzania tulishawahi kupoteza ni jembe la namna hii. Apumzike Kwa Amani mbinguni
@jonathankaranja5857
@jonathankaranja5857 18 күн бұрын
Natazama kutoka nchi ya Kenya 🇰🇪.
@stanleymakambi8304
@stanleymakambi8304 3 жыл бұрын
Shule yangu mwinyi kitambo sana
@mkalimala3564
@mkalimala3564 3 жыл бұрын
Hao viongozi wilaya ni wazito/Subload
@richardelias3952
@richardelias3952 3 жыл бұрын
Kusini mwa Tanzania bado watu ni wavivu kufikiri.matatizo mengine ni wananchi kumaliza na viongozi wao.ila kwa kuwa ni wavivu shida zote serikali
@johnkapesula122
@johnkapesula122 3 жыл бұрын
Laaaah masikini, jembe limelala.
@johnkapesula122
@johnkapesula122 3 ай бұрын
Laaah jemadari R.I.p
@bajunihilali95
@bajunihilali95 3 жыл бұрын
Hahahaa maguuuu
@kissdubaleewabibi812
@kissdubaleewabibi812 3 жыл бұрын
Kuliwa
@aishaathumani2254
@aishaathumani2254 3 жыл бұрын
Du
@abelialsen5383
@abelialsen5383 9 ай бұрын
J.p.m pengo lako halitazibika
@nicholausmushi44
@nicholausmushi44 4 жыл бұрын
Nchi hiii bila kuendeshwa kikamanda mambo hayaendi
@rizikionesmo8314
@rizikionesmo8314 3 жыл бұрын
Aloo
@highonebalo8289
@highonebalo8289 3 жыл бұрын
Baba Mungu akupe maisha hadi useme mwenyewe sitaki tena!!!
@user-eg2wk4xx3h
@user-eg2wk4xx3h 8 ай бұрын
Magufuri wetu maskini tunakumiss
@jumajuma6970
@jumajuma6970 3 жыл бұрын
Kirausiefum
@misungwikids563
@misungwikids563 3 жыл бұрын
Hahaha na ole wako uile
@badboy2577
@badboy2577 3 жыл бұрын
Aibu kwani hakuna wizara? Rais anauliza kama kuna school Waziri wa Elimu yuko wapi? Tanzania mko chini bado Uozo uko chini kwa mwananchi.Huku Watu wanasifu oooh Tazara imependeza, oooh ..... mnasifia mtu sana badala ya kuelezea hali halisi
@zemgotanar5264
@zemgotanar5264 4 жыл бұрын
Pore baba kwa kutujari wote
@selector728
@selector728 4 жыл бұрын
Sema pole siyo pore,,,sema kutujali siyo kutujari
@lazarmakombe7009
@lazarmakombe7009 4 жыл бұрын
Haaaaaaaaahaaaaaa huu utawala huu haaaaaaaaahaaaaaa duh viongozi wanatabu kweli
@ShijaNtolela-rh9rk
@ShijaNtolela-rh9rk 8 ай бұрын
atakumbukwa
@bjzee1981
@bjzee1981 4 жыл бұрын
Hawa watoto wana bahati Sana. Kila siku wanakutana na rais ana kwa ana
@jeradkanyuru5745
@jeradkanyuru5745 3 жыл бұрын
Raisi hawa niwatambili
@user-jk4kw8jr4v
@user-jk4kw8jr4v 8 ай бұрын
I hate you ccm. Ee mungu naomba unipunguzie hawa watu bado hawatoshi
@PaulMelikizedeki-py1ke
@PaulMelikizedeki-py1ke Жыл бұрын
Mwamba
@josephpetermaganga2907
@josephpetermaganga2907 Жыл бұрын
Mwamba kabisa
@mrbenedicto5660
@mrbenedicto5660 4 жыл бұрын
kzfaq.info/love/9rRQdZ2IHlqMgvv1OJBqIQ *Ndugu, Jamaa,Rafiki ..watoto kwa wakubwa naombeni support yenu kwa kwa Ku like na Ku subscribe channel yangu hii kwa kubonyeza link hapo juu 👆🏻👆🏻kupata Nyimbo nitakazo zitarajia kuzitupia hivi karibuni pamoja na video za fani mbali mbali kutoka kwangu.Ahsanteni sana🙏🏻 na Mungu awabariki saana 🙌🏻*
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 4 жыл бұрын
Wanafunzi wanakaa chini sasa unashangaa nini? na zipo nyingi tuu mmeshindwa kutawala ACT WAZALENDO TAIFA KWANZA LEO NA KESHO, Mabadiliko chukua hatua. Viti tu hata meza na vyoo havifai Chakavu tupu.
@charlesalfani5425
@charlesalfani5425 4 жыл бұрын
Kuma ww
@machoyote3991
@machoyote3991 4 жыл бұрын
Mnacheza nyinyi
@rosechuwa8419
@rosechuwa8419 3 жыл бұрын
Kwendraaa
@tricyanambasha6099
@tricyanambasha6099 3 жыл бұрын
Daaaah raid ndio huyu
@FashionJr1
@FashionJr1 3 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/h8B6jbOqm56WnXU.html Tazama shairi walilotungiwa wajumbe wa Ccm na Mpoto, joti na dk Kumbuka.😂😂😂
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 36 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 11 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 16 МЛН
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 38 МЛН
Wananchi 'WAMCHONGEA' MBUNGE, DC kwa MAGUFULI LAIVU - "WANATUTISHA"
15:50
Global TV Online
Рет қаралды 709 М.
Duh! Barakah Magufuli AMVUNJA MBAVU Rais MAGUFULI, Amwagiwa PESA..
5:08
Global TV Online
Рет қаралды 586 М.
Kimenuka, Magufuli Akabidhiwa Majina ya Watumishi wenze Vyeti Feki
27:04
Global TV Online
Рет қаралды 38 М.
CHALAMILA : NIMEOA ILI NIYATUMIKIE HAYO MAPENZI WANAYOSEMA NAPENDA
8:18
Gangana Info Channel
Рет қаралды 27 М.
Rais Magufuli afurahi kukutana na Pacha wake Mafinga Mjini
3:47
Amanitz News
Рет қаралды 2,1 МЛН
MEGA BOXES ARE BACK!!!
08:53
Brawl Stars
Рет қаралды 36 МЛН