Such a wonderful Leader, poleni sana Watanzania kwa kumpoteza Rais wa Wanyonge.
@charlesnyao89708 ай бұрын
Mob love from Kenya. Keep resting in peace JPM
@asheryngaiti55494 жыл бұрын
Mh huyu Rais jaman akisimama sehemu lazima mtafurahia uwepo wake
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏🙏 🙏
@brobabuu39734 жыл бұрын
Amen
@ferouzmasoud47414 жыл бұрын
@@brobabuu3973 🙏🙏🙏
@madiyaahmad74533 жыл бұрын
Ole wako pesa uile iiiiiiiiiii baba wewe Mungu akudumishe akupe uhai na uzima kura zangu zote kwako wewe Ahsante saanna❤❤
@joycemaregesi41893 жыл бұрын
Hahahahaha! Et na ole wako uile big up uncle Magu Mungu akubariki uishi miaka kama yote
@zainabubakari84894 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu jpm
@shanifesto90374 жыл бұрын
NINA BABA YANGU ASIYE SHINDWA KAMWE,,NAMPENDA SANA RAIS WANGU ,NAFUATILIA SANA ,MWENYEZI MUNGU AKUTUNZE BABA.
@robertsuna4 жыл бұрын
Magufuli daaaah wewe mwanaume wewe una upekee sana ndani yako. I respect you
@emmanuelbonifase11143 жыл бұрын
Too much respect JPM utampenda
@amosmahona4334 жыл бұрын
Hapo unaweza ukanya Bila kutegemea nampenda Sana raisi wangu maana anachukua maamuzi pale pale kwa WATU wazembe wazembe
@kiariedavid83704 жыл бұрын
kwa kweli Amos hehehehehehe
@madammanka27314 жыл бұрын
Tena unajinyea ukiwa umesimama hatari hii jamani
@retstyuternchimbi63794 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@fredrickfresters36104 жыл бұрын
Hahahahajaa kweli
@brobabuu39734 жыл бұрын
Mambo mengi yamerahisishwa. Kazi kwetu kuchapa kazi.
@isaachayes97834 жыл бұрын
Man of action!!
@husseinshabani95224 жыл бұрын
Mungu Akulinde sana Rais wetu. Pole sana kwamajukumu.chapa kazi zetu ni Dua kukuombea Afya njema.In sha Allah Allah Akufanyie Wepesi.
@aishakhamis29963 жыл бұрын
Ameen ishawah
@lifeinmiddleeast81799 ай бұрын
😢😢😢 kama ni Mungu aliamua ufe pumzika kwa amani lakin 😢😢😢 Mungu hujua zaidi
@fredrickfresters36104 жыл бұрын
Hahahahahahaaa.... Aiseee..!! Rais inabidi utembelee kila sehem. Tutanyooka tu watanzania.. !! Maisha yanasonga..!!
@doctorwamapaatz65719 ай бұрын
I MISS YOU DADY💚
@shunshmc88683 жыл бұрын
Wa llahi Wa billahi wstaghafillah hakuna rais bora duniani kama john pombe magufuli ,,,,,Allah akubariki ,,,tena unafaaa upewe tuzo ya noble
@MohamedBlanker-jw9qy9 ай бұрын
Rip magufuli
@jaklinifaustini42594 жыл бұрын
Nimecheka kwa saut unajua kunifurahisha musukuma mwenzangu rais magufur😄😄🙏
@donardmsomi84513 жыл бұрын
Nitakukumbuka daima baba. Pumzika kwa amani
@harounlyakunga49823 жыл бұрын
Kupita bila comment siyo kweli Daaaar!tuna mtu ambaye sikutarajia kama nilikosea kumpatia nafasi ya kuwa Rais 2015 kikweli unafaa kuliongoza taifa kwa awamu nyingine ya pili.
@farhatfarhat38164 жыл бұрын
Yani akifika hoi maana kila sehem anasimama
@madammanka27314 жыл бұрын
Huyo ni jiwe wewe usisahau tena
@rezegerezege6913 жыл бұрын
Tutakukumbuka Baba yetu 😭😭😭😭😭 R.I.P BABA
@rosemarymsangi39604 жыл бұрын
Matumbo lazma yaishe huu mwaka, hapa kazi tu!
@nahyialetomia92843 жыл бұрын
RC wa Morogoro aanze gym
@emmanuelbonifase11143 жыл бұрын
Matumbo yatafungwa mkanda
@patrickissakalenga5893 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu Muheshimiwa MAGUFULI. Afrika, tungekuwa na Ma Raïs kama na wewe, Afrika ingkuwa imeendeleya mbele sana.
@arnoldarnold62714 ай бұрын
Rest in peace sir
@exalttarimo50834 жыл бұрын
My president my choice
@abrahamsamwel79553 жыл бұрын
Oyooo big up kwa kamanda huyu captain mi tangu zamani namkubali sana watoto wakae tuu kuna wasenge wachina walileta barabara mbovu!!!!!mh dingi nakuelewa #.ar to nmg
@mathytz259 ай бұрын
Dah! i miss when The True king spoke out,Every line was a hit..we had the president once..tunakukumbuka na utusamehe kwa kila kitu
@user-rv3it6oh8i Жыл бұрын
mwamba pumuzika kwa amani nakama ulilala kwa mapenzi ya mugu basi jina lake lisifiwe ila kama kuna mipango ya wanadamu mungu atalipa ila pengo lako linaonekana
@agnesvintan15383 жыл бұрын
Daaaah hii ya secondary kukaa chin jau kwel🤔mi nakumbuka shule yetu viti vilikua vya kugombania,,had tunaandika majina kwenye viti
@mimitijara48063 жыл бұрын
Wil mss u alot big ddy
@raulmagige26983 жыл бұрын
Dahh!! Huyu raisi kwann tunataka atoke why? Kwnn tusimuache akae milele tunataka nn tena
Sion umuhim wa jpm kupgaa kampeni mwaka huu2020,akae tu ofsin ajirekond tu bas
@nahyialetomia92843 жыл бұрын
21st century, Tanzania kwa uchumi wa pili na hamna viti? Mnamuangusha rais!
@teresaonduko44433 жыл бұрын
Mtukufu Rais Magufuli, Mola akuangazie Neema na faraja tele👏👏Nakupenda kwa kazi njema uifanyayo@Kenya
@goldshukri863 жыл бұрын
SHUKRANI sana Rais wa AFRICA NZIMA ✊😢 mimi siyo mtanzania ILA TUNAKUECHIM SANA kwetu burundi MUNGU AKUBARIKI baba yetu na akup maisha marefu
@auntdorah91414 жыл бұрын
Nakupendaga bure
@dorcaskidoti2494 жыл бұрын
Na olewako uile hahahahahahah...akila pesa yako hajipendii.
@neemahaji57663 жыл бұрын
Aaaaaah jmn rest easy baba angu😭😭🙏
@jumakapilima56744 жыл бұрын
Tunavifanyia kazi,,,,, mh!!
@moudyngereza3 жыл бұрын
Thats my president...
@salmaluhombero84663 жыл бұрын
Wakuu wa mikoa ina maana hamjui kuwa watoto wanakaa chini dah Tanzania viongozi mnafanya nini sasa Raisi asingepita ndio basi tena watototo wanakaa chini waziri wa wanawake na watoto jina tu hajui kero za watoto na wanawake ni mambo ya kusikitisha sana Raisi anahitaji asaidiwe peke yake hawezi sasa mnachaguliwa ili mfanyeje duh hii kali
@johnkariuki29073 жыл бұрын
Mzee Safi sana
@fidelisiboniphacekatole11393 жыл бұрын
Ukisikia wimbo wa serikali ya awamu ya 5 utafikiri Tz imeishakuwa paradiso ,kumbe usanii tu kila kona vilio mara maji, madawati ,shule hovyo
@abdihq42283 жыл бұрын
Mh helanyingi sana hiyo wasikuibie
@hassanjumabajwala18624 жыл бұрын
Tutashukuru Sana ukijatena muheshimiwa
@ksmally19853 жыл бұрын
Watoto wengi wa Shule za Serikali wanakaa chini kabisa. Tena shule za manispaa kabisa. Wahusika angalieni hilo
@OjukuSiwila-br3kn4 ай бұрын
😢😢😢😢
@mauyahamisi75253 жыл бұрын
Mh magu akila pesa yako huyo dc atakua hajipend
@emmanuelbugabu115 Жыл бұрын
Upumzk salama
@edrisalusonge41413 жыл бұрын
Inauma sana
@user-kp7zz9qp2j7 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭
@dastanmrope1623 жыл бұрын
R I p kiongozi
@somanet_tech3 жыл бұрын
Sawa baba
@anawa43263 жыл бұрын
Endelea kupumzikaaa Muheshimiwa
@chrismrisho8321 Жыл бұрын
😁😁😁
@siwonikewilliam9146 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani
@halimasalim54773 жыл бұрын
😭😭😭😭 roho inauma
@ilynpayne74914 жыл бұрын
Mbunge katoa million 2 fasta bila kupenda
@karimmkejina9804 жыл бұрын
Ahahaha
@josephmanyama4354 жыл бұрын
Inaitwa chap kwa haraka hiyo
@kiariedavid83704 жыл бұрын
inabidi vinginevyo kutumbuliwa kunakuhusu
@bjzee19814 жыл бұрын
huenda kajikuta katamka bila kujijua
@madammanka27314 жыл бұрын
@@bjzee1981 akifika kwa wenzie anawauliza hivi nilisemaje pale
@samakisamaki32263 жыл бұрын
wamejikanyaga hawa. katoa idadi ndogo ya uhaba wa viti, bei ya meza na kiti ni zaidi ya elfu 70. mzee kawapa wiki moja na hali ya kuwa hakuna hata kimoja cha mfano. hapo ndipo vitakapotengenezwa kwa kasi ya zima moto, ubora ni wa muonekano tu.
@hamzamohamed50074 жыл бұрын
piga kazi baba magu itapunguza madudu kiasi
@akidanyanje90723 жыл бұрын
Huyu jpm Niko tayari kufa kwa kuilinda picha yake tu isichanwe...
@tawfiqmbagwa94073 жыл бұрын
Yaani hapa issue hii Magu alikuwa ashatonywa ndo maana akauliza kuna shule hapa?
@cecilemkandama50513 жыл бұрын
Makufuli dhaaaaaa
@gracemisokalya10613 жыл бұрын
Lazima aongezewe muda madarakani kutokana na uzalendo alionao. Kweli he is a man of action lkn hata viongozi wote wa Mkuranga wanaonekana ni wachapa kazi ndiyo maana hawajateteleka ht kujibu malalamiko ya wananchi wao,pigeni kazi kila sehemu one changamoto zake siyo huko tu jamani,hii nchi ni kubwa mmmmmmno
@alenyema77389 ай бұрын
Rais kaomba radhi kwa kuwapotezea muda watu wake
@Donyo-rh8do4 күн бұрын
Kama kuna kitu Tanzania tulishawahi kupoteza ni jembe la namna hii. Apumzike Kwa Amani mbinguni
@jonathankaranja585718 күн бұрын
Natazama kutoka nchi ya Kenya 🇰🇪.
@stanleymakambi83043 жыл бұрын
Shule yangu mwinyi kitambo sana
@mkalimala35643 жыл бұрын
Hao viongozi wilaya ni wazito/Subload
@richardelias39523 жыл бұрын
Kusini mwa Tanzania bado watu ni wavivu kufikiri.matatizo mengine ni wananchi kumaliza na viongozi wao.ila kwa kuwa ni wavivu shida zote serikali
@johnkapesula1223 жыл бұрын
Laaaah masikini, jembe limelala.
@johnkapesula1223 ай бұрын
Laaah jemadari R.I.p
@bajunihilali953 жыл бұрын
Hahahaa maguuuu
@kissdubaleewabibi8123 жыл бұрын
Kuliwa
@aishaathumani22543 жыл бұрын
Du
@abelialsen53839 ай бұрын
J.p.m pengo lako halitazibika
@nicholausmushi444 жыл бұрын
Nchi hiii bila kuendeshwa kikamanda mambo hayaendi
@rizikionesmo83143 жыл бұрын
Aloo
@highonebalo82893 жыл бұрын
Baba Mungu akupe maisha hadi useme mwenyewe sitaki tena!!!
@user-eg2wk4xx3h8 ай бұрын
Magufuri wetu maskini tunakumiss
@jumajuma69703 жыл бұрын
Kirausiefum
@misungwikids5633 жыл бұрын
Hahaha na ole wako uile
@badboy25773 жыл бұрын
Aibu kwani hakuna wizara? Rais anauliza kama kuna school Waziri wa Elimu yuko wapi? Tanzania mko chini bado Uozo uko chini kwa mwananchi.Huku Watu wanasifu oooh Tazara imependeza, oooh ..... mnasifia mtu sana badala ya kuelezea hali halisi
@zemgotanar52644 жыл бұрын
Pore baba kwa kutujari wote
@selector7284 жыл бұрын
Sema pole siyo pore,,,sema kutujali siyo kutujari
@lazarmakombe70094 жыл бұрын
Haaaaaaaaahaaaaaa huu utawala huu haaaaaaaaahaaaaaa duh viongozi wanatabu kweli
@ShijaNtolela-rh9rk8 ай бұрын
atakumbukwa
@bjzee19814 жыл бұрын
Hawa watoto wana bahati Sana. Kila siku wanakutana na rais ana kwa ana
@jeradkanyuru57453 жыл бұрын
Raisi hawa niwatambili
@user-jk4kw8jr4v8 ай бұрын
I hate you ccm. Ee mungu naomba unipunguzie hawa watu bado hawatoshi
@PaulMelikizedeki-py1ke Жыл бұрын
Mwamba
@josephpetermaganga2907 Жыл бұрын
Mwamba kabisa
@mrbenedicto56604 жыл бұрын
kzfaq.info/love/9rRQdZ2IHlqMgvv1OJBqIQ *Ndugu, Jamaa,Rafiki ..watoto kwa wakubwa naombeni support yenu kwa kwa Ku like na Ku subscribe channel yangu hii kwa kubonyeza link hapo juu 👆🏻👆🏻kupata Nyimbo nitakazo zitarajia kuzitupia hivi karibuni pamoja na video za fani mbali mbali kutoka kwangu.Ahsanteni sana🙏🏻 na Mungu awabariki saana 🙌🏻*
@sasha-ri7tf4 жыл бұрын
Wanafunzi wanakaa chini sasa unashangaa nini? na zipo nyingi tuu mmeshindwa kutawala ACT WAZALENDO TAIFA KWANZA LEO NA KESHO, Mabadiliko chukua hatua. Viti tu hata meza na vyoo havifai Chakavu tupu.
@charlesalfani54254 жыл бұрын
Kuma ww
@machoyote39914 жыл бұрын
Mnacheza nyinyi
@rosechuwa84193 жыл бұрын
Kwendraaa
@tricyanambasha60993 жыл бұрын
Daaaah raid ndio huyu
@FashionJr13 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/h8B6jbOqm56WnXU.html Tazama shairi walilotungiwa wajumbe wa Ccm na Mpoto, joti na dk Kumbuka.😂😂😂