Tupo na wewe mpaka tuakikishe unaitwa mkuu wa nchi sio mkuu wa mkoa tena.💪💪💪
@user-ex4hi7fj5cАй бұрын
Isiwe ni kwa Leo tuu... Haya mambo yanafanyiwa watu kipindi cha kukaria uchaguzi au ni yanatakaiwa yafanyike kila wakati kwenye jamii? Km ni hv kila wakati na TUYAONE kwenye jamii siku zote watu akipata huduma Bure km wafanyavyo basi itakuwa ni Baraka kubwa Arusha... Ila kmnikutafuta kura na Kik za MUDA basi tunahitaji REHEMA na toba kwa mwenyezi Mungu
@saruni5673Ай бұрын
Kweli
@paulinef.millanzinana8279Ай бұрын
Mungu akubariki sana Baba Makonda Yaani naamini kuwa wewe ni mjumbe sahihi na mtume sahihi uliye yum wa na Mungu ili kuifanya kazi yake hakika namuon Roho mtakatifu ameketi ndani ya kunywa chako hakika nguvu zake na uweza wake uko pamoja nawe. Maombi yangu kwa Mungu Baba wa Mbinguni azidi kukushushia macho ya Rihoni na kukujalia afya njema na ngvu. Kwa hayo yote unayo yatenda hakuna Mwenye kuweza kwa ajili za kibinadamu pekee pasipo na msaada wa Mungu na kuongozwa na Roho mtakatifu.
@bharyasarbjit1187Ай бұрын
Mhe Mkonda thats called leadership. You are Great you have feeling for Tananians. Endelea hivi hivi Mungu mkubwa ana Angalia. God bless you Always.
@user-dt7ec3tr2vАй бұрын
Hongera kaka👏👏👏👏 mungu Akufanyie wepsi kwenye majukumu yako Endlea kuchapa kazi wanao kuchukia watakupenda wenyewe
@stanleymanya438Ай бұрын
Arusha ikobize kinoma, Viva makonda vivaaàaa!!!
@hastingsrutinda9448Ай бұрын
Good job
@user-dc1qh3nm5sАй бұрын
Hongera mungu akulinde
@rubanimponzi8259Ай бұрын
Hongera sana Makonda
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
Msimu mpya Makonda unaibeba CCM Mkoa wa Arusha
@saeedmbaraka3997Ай бұрын
Big up
@masumbukojonas5510Ай бұрын
Noma sana
@user-cr9no9bo7lАй бұрын
Makonda aigwe mfano
@user-xk7vy4gb6gАй бұрын
Big up jembe letu Mh Makonda Mungu akulinde ❤❤❤
@AbdulmujibAhmedАй бұрын
Kaipata wapi
@GibsonNtamamiloАй бұрын
Arusha zipo za kutosha mzee.
@BeniJohn-xd3cnАй бұрын
Mungu wetu kamwezesha ❤❤❤Mbunifu mkubwa sana
@user-gx4vx5ru2uАй бұрын
Hongera Sana baba Mungu akupe miaka km yote yenye heri