Рет қаралды 27,668
Ndani ya banda la kuku kuna mambo umuhimu sana ambavyo huongeza uzalishaji wa mayai kwenye ufugaji wa kuku chotara na kuku wa mayai
Vitu hivyo ni vichanja kwa ajili ya kuku kufanya mazoezi ili kupunguza mafuta na pia vichanja huwaweka kuku bize ili wasidonoane.
Kitu kingine ni viota kwaajili ya kuku kutagia, pia viota hupunguza uwezekano wa kuku kula mayai na pia husaidia mayai yasichafuke.
Ufugaji wa kuku chotara na ufugaji wa kuku wa kienyeji.