Mungu wangu wa Israel utusaidie,uteke nyara fikra zangu Amen.
@gracezunda88046 ай бұрын
Badilisha lugha yako maisha yako yatabadilika Ameeeeeeen
@pendosengerema6 ай бұрын
Asante sana pastor. Lakini naomba uniombee nitembee na roho mtakatifu
@mariamaswani8326 ай бұрын
Niombee pastor napitia magumu mpaka naona nikama mungu hayu kwangu
@user-fg9zg8yi8q6 ай бұрын
Mungu akubariki na azidi kukutumia na unikumbuke kwa maombi uniombee Mungu anijaze na roho mtakatifu niweze kufanya kazi ya kanisa.
@user-gf7gk8ul4r6 ай бұрын
Pr Mmbaga barikiwa sana somo zuri ila kila siku unazidi kuwa mdogo tu kweli ukimtumikia Mungu uzeek kabisa
@omankadara64182 ай бұрын
Pasita naomba Mungu abadili akili yangu na niendelea kumzua zaidi
@maryaugustor69836 ай бұрын
KWA HIYO MCHUNGAJI KWANZA SHALOM KIFO KIKIJA MUNGU HAUSIKI? OKAY THANKS.NSOMBA UNIOMBEE NIPATE WOKOVU UKAE NDANI YANGU AMEN.
@user-kh2ev8qw7e6 ай бұрын
Naomba binti yangu. Apate. Kazi
@UserUser-gq1ir6 ай бұрын
Asante mungu kwa kutumia pastor kuleta ujumbe ambao unatuinua kiroho
@user-cc8fy5il4n6 ай бұрын
Mtumishi. Shalom kwa majina ni Kavira mume wangu na mimi tumekufatili sana natunatamani kuwa nainani moja nawe mtumishi tutakapofika Uganda maana wakati huu tuko Canada Ila mumewangu yeye amepangia kurudi Africa yaani Uganda anasema atatafuta kanisa ya wasabato akuwe naingilia pale mesh wamwezi wakwaza anaenda nahitaji maombi kwa safari yake nisamehe mtumishi kwa kuadika virefu mtumishi waMungu nina hitaji ya miaka 30 kupata kwangu usingizi nikungumu nimeuliza wazazi wanasema hawajui kitu juuyangu sasa kijwa inaanza kuniuma sana nikipata dawa yausinguzi sitafuga hatamacho hata hapa Canada wamekosa nini kunawakati mwengine nakatwakatwa mwili mahitaji yangu nimegi ilaunisamehe mimi ni mzaliwa wa Congo Roho wa Mungu akuwezeshe usikie swahili yangu natamani hata nikuite Ila saa zinapisha ubarikiwe mtumishi naomba razi Kavira asante
@rahimajuma53066 ай бұрын
Naomba niombee npate kz ya kudumu
@rosemuia6 ай бұрын
Growly to JESUS mjungaji mafuzo yako yanabadirisha maisha yetu my GOD bless you
@NEEMAANDREA-sd2kk6 ай бұрын
Amina pastor niombee na mm nijitoe kikamilifu kwakwe
@estherjonas84666 ай бұрын
Mtumishi tunamuombea Huyu kijana wa Mzee Aweze kufanikiwa ktk maisha yake na kumuondolea madeni na kupata kazi nzr.
Ahimidiwe Mungu wa Mbinguni aliyekuweka kutupa neno lenye nguvu na uponyaji, Mungu akutunze zaidi
@mukariadangilas73196 ай бұрын
Nawazalimu wote amujambo pasta ninataka maombi nataka kuoa na nimesanganikiwa sana nifanye aje
@maseaJoe86766 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi na asante kwa kumtumikia Mungu ipasavyo tumebarikiwa na kufunguliwa sana. Amina
@abilityemmanuel30006 ай бұрын
be blessed pr david, hata katika kipindi kigumu mwisho, yehova atainua watu wake
@beatricenyiro59136 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi naomba msichana wangu FLORENCE apate kazi
@DanielMuruthi-kc7pi6 ай бұрын
Pastor may God bless you nibarikiwa Sana
@raelsarange6386 ай бұрын
Pray for my family, spirit of rejection kwangu na watoto wangu pia
@ElijahMosong5 ай бұрын
Elijah amen pasta niombeeni nikuee kihorooo niko kenya
@user-os3vo4sm2n6 ай бұрын
Pastor ubarikiwe sana
@clevismugalo19286 ай бұрын
Muchungaji niombee niimarike kiroho na changamoto zidi yangu
@user-ju2ze2zu8v6 ай бұрын
Pastor niombee mme wangu ametekwa nyara na wanawake wa nje leo miaka.8 nimeomba sana lakini sijapata majibu.niombee sana nakusihi leo. 10:07
@foundationfaithtv6 ай бұрын
Nguvu za yesu kristo damu yake imuponye
@geraldmwangira.49786 ай бұрын
Amen ubarikiwe Pastor.
@gracezunda88046 ай бұрын
Ameeeeeeen, mtu wa MUNGU barikiwa na uinuliwe mnooo Amen
@khadijajulius26116 ай бұрын
Ameena Mungu akubariki mchungaji
@johnstephano64866 ай бұрын
Amina
@DennisNyangwara6 ай бұрын
Be blessed
@EasterEmanuel-wh9dz6 ай бұрын
AMINA
@rechaelnjeri32996 ай бұрын
Amen Amen thanks you for the message may God continue using 2be a blessing to us
@reyally16816 ай бұрын
Mungu naomba nikumbuke
@estherjonas84666 ай бұрын
Mtumishi Tunaomba Maombi ya nyumba yangu na Mume Wsngu.
@daudisobera93676 ай бұрын
Pastor ombea mtoto wangu mwenye amekua na shida ya miguu tangu atoke shuleni. Mimi ni ruth kutoka kenya
@user-wg2qw3ul2h6 ай бұрын
Kiukweli, MUNGU AKUBARIKI SANA MCHUNGAJI
@olphanyamweya31546 ай бұрын
AMEN 🙏🙏🙏
@user-jb7hi3fs6l6 ай бұрын
Amen
@nicejohnson65556 ай бұрын
Mungu akubarik sana sana
@calebmakori6 ай бұрын
waiting
@ElijahMosong4 ай бұрын
Ameni
@user-jf2mt5tr4j6 ай бұрын
Mchungaji David mbaga Leo ninataka kukuombea na family Yako kabra ya kulala nimeguswa saana kukuombea,
@NancyIngutia6 ай бұрын
Wow
@edithalotto14816 ай бұрын
Mchungaji wewe endelea mbele simamia neno.
@josphinechepchirchir1096 ай бұрын
Amina❤❤
@judithnjalambaya24506 ай бұрын
Amen 🙏
@neemajohn61426 ай бұрын
Naaamin maandiko Sababu yana mema .elmu na faraja lakin dini yetu ama elimu yetu halisi ya imani ya dini sisi wa africa ni ipi? Make vyote vimeletwa .mavazi , lugha na hizo mila , ni kweli Mungu hajtufunulia asili yetu?
@Alex-Jr56 ай бұрын
I need a spiritual awake
@modestamarakammbishi11276 ай бұрын
Amen Amen pastor mungu akumbariki sana..tangu nianze kusikia mafudisho yako..imekuwa ya baraka katika maisha yangu..naomba uniombe niko na growth ndani ya jicho ..najianda kwenda kufanyiwa operation..namini mungu atanitangulie kwa kila jambo.Amen
@AaS-wi9xl6 ай бұрын
mjungaji niombee naumwa na mifuba ya viungovya mwili Wangu 😢
@michaelassam57896 ай бұрын
Mkuu wa anga (territorial principality)
@ruthokeyo61256 ай бұрын
Morning pastor please teach about salt can some body use salt when praying?
@kadetwafidele-cj2sf6 ай бұрын
Okay
@dimanchebalole41066 ай бұрын
Jambo mchungaji, nahitaji maombi kuhusu akili na ndoto zangu.
@brendakemuma15316 ай бұрын
How do get this pr i need to speak to him can someone plz link me with him
@gracezunda88046 ай бұрын
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeen
@user-wl9ry9tk7p6 ай бұрын
Pr, unajua mambo ila vp kuh.UTATU mbona haufundisha deep kwa maandiko na nukuu kutoka kwa wasomi kama ulivyofanya kuichambua X mass? Acha kulinda UTATU uje ueleze deep huo utatu mliupata wapi?
@robertmomigi25806 ай бұрын
Pray for my faith to grow,
@donomondi34096 ай бұрын
How can I get pastor's phone number?
@estherjonas84666 ай бұрын
Tunaomba Namba yako tunahitaji kuongea na wewe Mtumishi Kwa Wasp Please