MCHUNGAJI Aliyetuhumiwa KUUNGA MKONO USHOGA aomba RADHI/Adai HUJUMA amefanyiwa

  Рет қаралды 21,402

Rick Media

Rick Media

Жыл бұрын

ASKOFU SIZA MASISI ajitokeza mbele ya vyombo vya habari kuomba radhi kutokana na video zilizosambaa mtandaoni zikimuonesha akitoa kauli za kuunga mkono Mapenzi ya Jinsia moja (Ushoga)
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Askofu

Пікірлер: 238
@user-kn8pw7vk4e
@user-kn8pw7vk4e Ай бұрын
Acheni usenge wa kujiita Mtume/ Nabii ..huo ni utapeli na uongo...
@yustondelwa5986
@yustondelwa5986 Жыл бұрын
Asante Mungu kwa kujibu maombi yangu, huyu hafai kabisa kuwa mtumishi wa Mungu, Asiruhusiwe tena
@zawadielisikay
@zawadielisikay Жыл бұрын
Acheni kutupoteza hawa siyo watumishi wa mungu
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 26 күн бұрын
Kabisa
@evalinemagige495
@evalinemagige495 3 ай бұрын
Mnashugulikiwa mpaka mnaanza kuwa wadhaifu na Bado mnamchezea Mungu hata siku Moja Nuru na Giza haviwezi kaa pamoja mtubu kwa Mungu na muache huouchafu wenu Mungu atawasamehe na kuwa Fanya wapya
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 26 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 3 ай бұрын
Hongerani Sana Wakiristo kwa kukataa kuburuzwa na Watumishi hawa Wafuasi wa shetani Kwa kweli Ushoga Hapana
@traudkamugisha8051
@traudkamugisha8051 3 ай бұрын
Nawewe Mama Mungu akupige huo mdomo wako wa kishetani mkafie mbali enyi maibilisi pumbavu zenu
@drelizakilili
@drelizakilili Ай бұрын
Tinaanza na wewe
@josephatmargwe-kn4mu
@josephatmargwe-kn4mu Ай бұрын
Mungu shusha Moto wa Mbinguni uondoshe uchafu huu
@arttilioemiliam2419
@arttilioemiliam2419 3 ай бұрын
Mungu ameshachukua hatua zake kidogo hapo Bado serikali inakuwa kuchua hatua Kali zaidi la sivyo na serikali nayo Mungu atachukua hatua Kali zaidi
@robertkatole3910
@robertkatole3910 Жыл бұрын
Pesa za wazungu mlizo tafuna mziludishe,kidanguro chenu hakito funguliwa tena mashetani wakubwa ninyi.
@theresiachacha3068
@theresiachacha3068 Жыл бұрын
Ile siku walikua na nguvu kweli. Leo wote wamekua wapole. Hata kuongea hawawezi. Wamwombe radhi Mungu sio sisi
@alhadajjmohammedsmith9042
@alhadajjmohammedsmith9042 Жыл бұрын
Wanaona haya na Wanaogopa hata kutembea Mitaani .
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Mungu hadhiakiwi
@drdd774
@drdd774 Жыл бұрын
Tena hawa hawafai kuitwa watumishi wa Mungu, mnatia aibu ukristo.
@salummussa9871
@salummussa9871 Жыл бұрын
Unajiita Dr Dr sio jina ujinga ujinga hapa ,,mnatuudhi Sana Sana Sana mpaka mnatupasua mtima wetu ,,mama yetu samia shughulika na huu upepo...
@drelizakilili
@drelizakilili Ай бұрын
Subirini sasa wazungu wawaletee mazingaonbwe si mnatukataa sisi watanzania wenzenu?
@muznatshaban5089
@muznatshaban5089 Жыл бұрын
Nyiiiii Hawa wanauzagaaaa vipodoziiiu jamn wezi hawaaaaaaa mungu tandika Hawa watuuuu wageuko kuwa maweeeee
@upendogospelreaching6380
@upendogospelreaching6380 Ай бұрын
Ashe male ngai ,,nahavache mfumwa,,Mungu Yuko enzini mwake,, mmezidi kuutukanisha mwili wa Kirstin yaani hao wotee hamna watu hapo NI vivuli tuuu,,,wamekua wakitukana sana
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 Жыл бұрын
Kwendraaaaaaaaaa mwenyenz mungu atawaadhib nyiny saiv hata aina Aja yakwenda kanisani wakat makanisa yanafagilia ushoga aiwezekan nidhambi tnaenda ktafta t nchkizo kwa mungu
@victoriajulius5239
@victoriajulius5239 Жыл бұрын
Mungu Mkali bwana na Ana watu waaminifu sana wakupigania ukweli na Imani nyie watu sis tumesamehe endapo baba yetu amewasemehe pia
@user-bw5wj8dw5q
@user-bw5wj8dw5q Ай бұрын
Nyie ni watumishi sio sawaaa mungu ndio ajuaye yote
@juanajuan3198
@juanajuan3198 Жыл бұрын
Kamwe msimdhihaki Mungu...Mungu huyu sio wa kumuingiza kwenye dhambi zenu...muogopeni Mungu , achen udanganyifu..Mungu alie hai hadhihakiwi..msipotubu na kuacha dhambi hyo..hakika atakuonyesheni km yy ni Mungu alie hai Mungu wa Israel. Tubuni.
@Commentsplus
@Commentsplus 3 ай бұрын
Sabuni zake situmiiii teeeeeena
@user-ef7pn5wt7g
@user-ef7pn5wt7g Ай бұрын
Mungu wangu tusaidie mbona tumetuma sana Mungu tutoe kwenye hili jaribu
@julianamwamgogwa
@julianamwamgogwa 3 ай бұрын
Mmechosha kuwasikiliza poteeni mbali nyinyi mawakala wasodoma na gomola
@AtuganileGodson
@AtuganileGodson 10 күн бұрын
Nyie mnaojiita nitumie na askofu kuna kitu mnakutafuta kwa Mungu na wewe mke utajipata.Siku chache. Ushoga mbele za Mungu nazani mnajua kuwa ni uchagu
@annastaziakimaro3042
@annastaziakimaro3042 3 ай бұрын
MITHALI 24:1-2 Usiwahusudu watu waovu, wala usitamani kuwa pamoja nao, Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, na midomo yao huongea madhara.
@Nazareth8119
@Nazareth8119 3 ай бұрын
Hakuna imani hapo, mtumishi anakejeri biblia na maandiko na watumishi wa Mungu kama Paulo unamuita "mpuuzi mmoja" nyoosheni maneno msamehewe.Mnafanya ukiristo uonekane dini ya hovyo, Bwana na awakemee.
@MsAggie5
@MsAggie5 3 ай бұрын
Dawa ni hao waumini waache kwenda kwenye hayo makanisa yao.
@drelizakilili
@drelizakilili Ай бұрын
Wewe wasema
@heritier5119
@heritier5119 3 ай бұрын
Grace products ni bidhaa za kuzimu kaeni nazo mbali
@paulokuze9307
@paulokuze9307 Жыл бұрын
Hawa ni washetani wanajiita wazee wa neema,haaa Sasa Tito 2:2 inasemaje neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa yatukataza kukataa ubaya wa kila namna.
@AtuganileGodson
@AtuganileGodson 10 күн бұрын
Yaani wewe ndo grace product?Mungu atakupa unachotaka sooooni.
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
Tena huyo mwenye masikio kama popo ndio hupotosha zaidi Bible anasema watu wanywe tusker, wine, madhabahuni
@chulelubella2819
@chulelubella2819 Жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃🤓🤓🤓🤓😃😃😃
@gabrielzakaria2810
@gabrielzakaria2810 3 ай бұрын
😂😂😂😂😂 eti maskio kma popo
@rameckmarembo
@rameckmarembo Ай бұрын
Eti watumishi wa Mungu!!!?? Mungu yupi huyooo!!!? Mungu wa kuzimu au wa mbunguni Maana kuna miungu wengi
@betuelmgullu4631
@betuelmgullu4631 Жыл бұрын
Hastahili kujiita mchungaji hiyo akapumzike kwanza
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 Жыл бұрын
Mhuuuuuuuu na ule wimbo alioimba mke wake na zingine za kuhusu kusema ovyo kuhusu Bibilia . Ombeni radhi nyoosheni maneno msipindishe ili msamehewe.
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Aliwahi kusema kitakuja kitabu kizuri kuliko Biblia akasema Biblia imeandikwa na wajinga flani hivi.. Aliwahi kuita torati ni mavi Aliwahi kusema Yesu kaenda Kwa mchepuko wake ...ndio maana harudi... Yaani Hata kama ndio Kwa mifano ila anakashifu sana Imani ya kikristo...nimekua nikimuandikia mara nyingi.. Huyu ni ajenti wa Shetani kabisa ..
@mpefu_4936
@mpefu_4936 27 күн бұрын
Mnacheza na mungu yupo hai
@ramadhanmasiku4105
@ramadhanmasiku4105 3 ай бұрын
Bado hamjasema😂 Islam is my religion
@Edwin-tw3yj
@Edwin-tw3yj 2 ай бұрын
Jifunzeni kuandaa somo pia kwenda na neno,pia Mila,za watu zizito Linda dhambi..pia ila lenye kweli ya Mungu bila kutetea uovu! Kueshim Neno la Mungu na Shelia kua na kiasi ktk mambo yote Ili kweli yenu isilaumiwe
@josephmazengo1113
@josephmazengo1113 Жыл бұрын
Huyu sio wa kristo ni mpinga kristo
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Hakuna Cha mtume Wala Dr Wala chumvi na sukari... Acheni utapeli acheni uongofu acheni upotoshaji na acheni ujinga.
@paulntalima6998
@paulntalima6998 Жыл бұрын
Waongo wakubwa hawa walimkufuru Mungu hawaon haya kutuongopea
@alhadajjmohammedsmith9042
@alhadajjmohammedsmith9042 Жыл бұрын
Yesu aliwahubiri Waovu waache kutenda Dhambi hakuwa/hana Uwezo (Mamlaka) Kusamehe Dhambi. Kama Ushoga na Usagaji (LGBTQ 🌈) ni Mzuri basi Mungu Mola Muumba asinge waadhibi Kaumu Luti/Watu wa Luti (Sodoma na Gomora) mnamnyongesha huyo Yesu huko alipo atamtazamaje Mungu?! Ataweka Wapi Sura yake Yesu siku ya Hukmu/Kiama?! Mnamtengenezea Maswali mengi Yesu ataulizwa na Mungu; hivi ndivyo alivyotumwa na Mungu Kuja kuwafundisha hayo?! Fanyeni touba ya kweli, inshaallah Mungu Mola Muumba wa kweli na Haki anasamehe Dambi (Mungu ni Mwingi wa Kusamehe) Kwa Mwenye kuhitaji Msamaha wa Mungu. WaAllahu Aalamu/Mola Muumba ndo Mjuzi.
@PcgtMsalato
@PcgtMsalato 3 ай бұрын
Waongo wakubwa. Mungu awashighulikie. Iko siku sisi Manabii wa Kweli tutaomba moto ushuke.
@deborambutu9547
@deborambutu9547 Жыл бұрын
Yn sura kma zmenyeshewa na mvua jmn..Huyo wa mwisho ssa
@MsAggie5
@MsAggie5 3 ай бұрын
Huyo mwenye masikio popo 😂 Mungu anisamehe! Kakaa kama gay 😂.
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 3 ай бұрын
HUYO MAMA ALIIMBA WIMBO AKISEMA NEEMA KWA WASENGE WOTE NEEMA IMEFUNULIWA. MSHENZI KABISA
@MsAggie5
@MsAggie5 3 ай бұрын
Ndo huyo kumbe! Lol Mungu ampige eti askof!
@drelizakilili
@drelizakilili Ай бұрын
Y hawa tuu huu wimbo sio wa leo wala jana mbona kwa majambaji hamsemi? Na leo ndio kukatwa watu wapanga kumeibuka kwa upya siku moja mtanikumbuka sana
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 3 ай бұрын
Huyu mama alikuwa na kazi nzuri ya kutengeneza vipodozi sasa tena leo umeongia huko makubws!!!!!!
@MwanjiNzala-mo5ni
@MwanjiNzala-mo5ni 3 ай бұрын
Ukute hata vipodozi vyake vina vina viambatana ushoga na usagaj
@drelizakilili
@drelizakilili Ай бұрын
Kwanini usiendelee kuamini? Upinzani ni mbaya sana
@heritier5119
@heritier5119 3 ай бұрын
Nasikia nabii wao wa uongo anaepromote ushoga keshapi😮gwa Kofi na Mungu
@heritier5119
@heritier5119 3 ай бұрын
😔🥰tamaa mbaya sana kisa pesa na bado shetani hana fadhila
@ericamwkyokile4681
@ericamwkyokile4681 3 ай бұрын
Mna nia ovu ninyi.Mungu anawaona.mnatuchafua sana ninyi.Nilipenda mafuta Yenu sasa nayaogopa mno.
@hassanchuji8965
@hassanchuji8965 Жыл бұрын
Mnaonekana nyinyi wote mashoga tu
@paulokuze9307
@paulokuze9307 Жыл бұрын
Mungu tandika Hawa maana wamezidi
@alhadajjmohammedsmith9042
@alhadajjmohammedsmith9042 Жыл бұрын
Hiyo Kampuni yake ya Bidhaa za GRACE PRODUCTS zichunguzwe sana huenda Kuna Vichocheo (Hormones) vinavyofanya Wanaume wapende Ushoga na Wanawake Wapende Usagaji na Kulawitiwa.
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Aah sana kabisa kabisa
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 3 ай бұрын
Kweli
@costantinekikinda7574
@costantinekikinda7574 3 ай бұрын
Wamesha mpiga dawa mchungaji ili aumwe kisha wamchafue jamani jichunguzeni mara kazaa kabra ya kukashifu jambo kama ushoga nchi inajua chanzo ni wapi wakamatwe wachukuliwe Sheria sio kukashifu WATUMISHI WA zuri kama Hawa kamateni wamafuta ya upako lakini huyu uhubiri uhalisia WA maisha mnaboa sana hukumu yenu ipo
@michaelwanyanga
@michaelwanyanga Ай бұрын
Hapo sijaona kama ni kuomba radhi bali ni technical-know-how to manipulate the slow learners.
@julianamwamgogwa
@julianamwamgogwa 3 ай бұрын
Mapepo nyinyi mungu awahukum
@pendogwisu
@pendogwisu 3 ай бұрын
Amepigwa Kofi zito na Mungu
@salumurembo6525
@salumurembo6525 Жыл бұрын
Nimesilikiliza sana hawa watu. Nimewaelewa nia yao. Kwa sasa naogapa kununua biadhaa zao ziwe za kupaka au kunywa naogopa huenda wakaweka viambatisho vya kuchochea vile vitu
@MsAggie5
@MsAggie5 3 ай бұрын
Dawa ni kuacha kutumia na waumini kutoenda kanisani kwao mbona ni rahisi tu
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 Жыл бұрын
Watumishi hawo siyo watumishi wa Mungu hawo .. mahanithi hawo
@DeborahLemboto-yf8jw
@DeborahLemboto-yf8jw Ай бұрын
Sema Mungu fundi kakupiga na kitu kizit ad kuongea huez😅
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 Жыл бұрын
hebu tuimbieni ule wimbo wa"Neema kwa wasenge wote neema imefunuliwaa
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Mpumbafu saana huyu mama yaaani wajinga kabisa Hawa watu
@gabrielzakaria2810
@gabrielzakaria2810 3 ай бұрын
Michizi hii
@drelizakilili
@drelizakilili Ай бұрын
Ndio maana Kristo alikufa kwa ajili ya wenye dhambi sio watakatifu na kama ni watakatifu bali alikufa bure
@ngwandukadama4229
@ngwandukadama4229 3 ай бұрын
Hakuna kitu hapo mnatumika na wazungu makanisa haya serikali iyaangalie
@kelvinmwalunenge6224
@kelvinmwalunenge6224 3 ай бұрын
Nema ya wasenge wote imefunuliwa
@joyceregani9778
@joyceregani9778 3 ай бұрын
Acheni kumchafua yesu ,Mungu hazihakiwi
@HabilyTech
@HabilyTech Жыл бұрын
Hakuna kufunguliwa huyo askofu ni mwehu
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 26 күн бұрын
Hapo hakuna mwema vibaka watupu na huyo mama ndo hatari kabisaaa
@kdazzy9967
@kdazzy9967 Жыл бұрын
Awa watu ikowezeka wafungwe kifungo cha maisha
@manumunemanumune-uj6jq
@manumunemanumune-uj6jq 18 сағат бұрын
Hao wote wanao jiita manabi wote ni mashetani makubwa
@esthermwaibasa4778
@esthermwaibasa4778 Жыл бұрын
Masisi sijui umekengeukaje,rudi kwenye njia za Mungu nakuomba,kwa kweli nimekusikiliza nikaishia kusikitika unasema kuna kitabu kinakuja zaidi ya ya hii biblia?ulianza vizuri na unakoishia omba rehema za Mungu shetani anakuwinda,
@isaacvtv547
@isaacvtv547 3 ай бұрын
U Dr haukufanyi kumjua Mungu.
@user-vl5tz6xt2m
@user-vl5tz6xt2m 3 ай бұрын
Ana U Dr gani mavi tu hawa
@user-vl5tz6xt2m
@user-vl5tz6xt2m 3 ай бұрын
Hawa watu wamefilisika wako tayari kumtukana Mungu kwa ajili ya pesa
@mkuubonyo1713
@mkuubonyo1713 3 ай бұрын
Mama chizi mzee chizi ushoga ?
@zengomikomangwa9264
@zengomikomangwa9264 Жыл бұрын
Huyo aliyepembeni alikuwa anatamba kwa upotoshaji wa Biblia. Vilevile alisema Ushoga si shida. Msijitetee timesikiliza yote. Wala haisidii kujikosha.
@loner_wolf
@loner_wolf Жыл бұрын
Hawa wakapimwe kwanza kama wabunge......... Watakuwa hawako salama sana
@liesharehema5193
@liesharehema5193 Жыл бұрын
Masisi ya mkaa endelea kusema biblia ni kabuli ona Leo huwezi kuongea MUNGU ANAPIGA SIO MCHEZO
@abdulrahmankafuku3449
@abdulrahmankafuku3449 Жыл бұрын
Huyu jamaa si ushoga tuu Hadi vitabu vya mungu analeta KUFURU
@brysonuronu5862
@brysonuronu5862 Жыл бұрын
Aliita Biblia ni kaburu la ajabu..kwani kuna mjinga mmoja alisema kitu..tukaamini.. Aiseeee
@mussawambwe5853
@mussawambwe5853 Жыл бұрын
Mchungaji shoga huyo
@bettynovertyfrances9620
@bettynovertyfrances9620 Жыл бұрын
Asifananishe mtoza ushuru na shoga bwana
@paulinbyonge8478
@paulinbyonge8478 Жыл бұрын
😂😂😂😂 Mungu hadhiakiwi
@japhetdaudmaneno8440
@japhetdaudmaneno8440 Жыл бұрын
2 Wakorinth 11:13-15 "Shetani kujigeuza
@aziza9093
@aziza9093 3 ай бұрын
Mshadw nachama chanu wanafiki wakumw na mungu atawa laani kaumuluti mnaya funya
@patmercysecuritycompanylim5689
@patmercysecuritycompanylim5689 Жыл бұрын
Upuuuzi tu
@chulelubella2819
@chulelubella2819 Жыл бұрын
Aisee Mungu huwezi kumchezea chezea wewe wewe wewe si umeona upanga wa Mungu usitubu nenda katubu Kwa Mungu uliyemtukana na biblia yake nabado atakunyoosha lione lilivyokonda kamuulize Lusekelo na wewe mama na laana iwapige wote upanga wa Mungu ushughulike nanyi mpaka mkome
@olivajohn9301
@olivajohn9301 3 ай бұрын
Mungu atashulika na nyie😢
@charleskuyeko4400
@charleskuyeko4400 3 ай бұрын
Huyu Askof anatakiwa kwenda kuwashitaki mahakamani wale anaosema kuwa walimchafua ili ukweli ujulikane na mwongo ajulikane pia. Kueleza hayo hakutoshi kwasababu taarifa kamili aliyoitoa Askofu hatukuiona kwahiyo tutaamini hiyo tuliyoiona kuwa ni ya kwake mpaka atakapowexa kuwashitaki waliomchonganisha na jamii na watiwe hatiani. Vinginevyo huyu askofu ataendelea kusomeka hivyo ilivyo kwenye video zake hizo ambazo sasa anazikataa.
@olivajohn9301
@olivajohn9301 3 ай бұрын
Unavyosoma kwa hisia utafikiri kweli jinga kabisa
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 3 ай бұрын
Nabado naomuombea aendelee kuwa hoi mpaka afe kwani huyu ni wakala wa shetani,
@emmanuelmanka
@emmanuelmanka 3 ай бұрын
Siku zote shetani huwatumia wanawake ata huyu mama apa katumiwa na shetani kutetea ushetani Mungu atakutananae
@theodosiampogole2672
@theodosiampogole2672 3 ай бұрын
Mnaimba NEEMA Kwa mashoga,biblia kitabu Cha ajabu mmmh
@loner_wolf
@loner_wolf 3 ай бұрын
How can we believe she is his wife ilhali kasema yeye Ni chakula ....?
@baybeshayo18
@baybeshayo18 3 ай бұрын
Myshindwe ktk jina la yesu kristo aliye hai.
@patrickmsekwa4947
@patrickmsekwa4947 Ай бұрын
Aki au haki???... Unachafua Kiswahili
@khaijakadija2082
@khaijakadija2082 Жыл бұрын
Amesema kweli acheee tabia yake Amuogepe Allah Khaa video yake imesambaa ile kubwa
@happymrema7487
@happymrema7487 3 ай бұрын
Weww ni shog
@upendogospelreaching6380
@upendogospelreaching6380 Ай бұрын
Yaani hata unavyosoma TU hapo we kimama unakera ondokaaa
@ConfusedCalicoCat-vz3iu
@ConfusedCalicoCat-vz3iu 2 ай бұрын
Uyoo si alisema yye ni shoga
@julianamwamgogwa
@julianamwamgogwa 3 ай бұрын
Mapepo wakubwa nyinyinyi
@amanbeyanga8055
@amanbeyanga8055 2 ай бұрын
Nyinyi ni mashoga na wasagaji,bado hamjapigwa hadi mfe tu
@abdulhakeem959
@abdulhakeem959 Жыл бұрын
mbona walawi 20:13-14 hamuisomagi na kuihubiri??
@MathayoLoboi-uw2uj
@MathayoLoboi-uw2uj 3 ай бұрын
Upingwe kanza ufe life chakora ufe kifo Cha jeshi lafarao
@edwardpeter8569
@edwardpeter8569 Жыл бұрын
Msitumie defence ya vipande kukiri kosa wazi wazi ni bora kuliko kuzunguka zunguka, hawa watu wahakikiwe elimu zao naona hawako sawa
@paulntalima6998
@paulntalima6998 Жыл бұрын
Hawa n mashoga hmn kitu hapo
@hono1232
@hono1232 3 ай бұрын
Sema shoga Martin bashwanda siyo mtume
@evalinemagige495
@evalinemagige495 3 ай бұрын
Msimchezee Mungu mtapigwa naMungu mwenyewe mnasapotiwa na Hawa wakuu wa ushoga mnajifanya kuota mapembe na kuipotosha kweli ya Mungu msijisuuze ndivyo mlivyo mahubiri yenu Yako kinyume na Biblia mapambio yenu ya autukuza ushoga na hata hizo bidhaa zenu nimezitumia ninamiaka kumi Sasa na nimefanya maamuzi kuziacha achenu kujifanya Sasa mnatumia mistari ya Biblia kujifanya ninyi niwatumishi wa Mungu ninyi ni wa ubilisi baba wa uongo
@domycossan1395
@domycossan1395 Жыл бұрын
Mtumishi Ceaser mwanzoni nilimuona wa maana sana, lakini baada ya kumsikia na kumwona akikashifu Biblia na watumishi mitume wa zamani kama Paul, nilianza kumwona mpotofu, binadamu sio wakamilifu sisi lakini kwa upotoshaji wake na watumishi wengine katika huduma hiyo na kujiinua wanakojiinua yaani ni dalili za ushetani. Kujiita majina makubwa na kutaka kutunga mavitabu yao kujihalalishia upotofu. Kuhalalisha USHOGA tena anatumia nguvu nyingi kukengeusha injili.
@theologyclass9209
@theologyclass9209 Жыл бұрын
Mungu anawaona sanaaaaaaa
@patrickmsekwa4947
@patrickmsekwa4947 Ай бұрын
Sijaelewa
Sunak Calls the Election: What the Hell Just Happened?
9:54
TLDR News
Рет қаралды 624 М.
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 37 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 59 МЛН
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 24 МЛН
KWA NINI NASEMA DHAMBI HAIPO? - Bishop Dr. Ceasar Masisi
10:52
SAA YA NEEMA TV
Рет қаралды 12 М.
AMRI ZA 10(TORATI) NI LAANA NA NIHASIRA -  KRISTO CHUMVI YA ULIMWENGU
44:58
And how are they not embarrassed?
0:19
Rinuella
Рет қаралды 27 МЛН
Robber Got Robbed By Former Marine Officer #trending #heros #superman
0:13
МЛАДШАЯ СЕСТРА И МОРОЖЕНОЕ ИЗ АРБУЗА
0:41
ОЛЯ ПЕРЧИК
Рет қаралды 2,4 МЛН
Русалка
1:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
마시멜로우로 체감되는 요즘 물가
0:20
진영민yeongmin
Рет қаралды 10 МЛН