Wa arusha apewe miaka 1000000000000000 ya uraisi wa tanzania
@HellenLemilyaАй бұрын
We ndio umeongea kweli, mchungaji mzuri, Mungu akubariki uendelee katika kweli
@joshuamwalusambo2391Ай бұрын
Kweli kabisa yule wa arusha na wAziri wa arizi MUNGU AWAPE MAISHA MALEFU
@BoniphaceButambala19 күн бұрын
Baba upo sawa nchi yetu imeharibika sana
@abdullahigedi9425Ай бұрын
Shukrani kwa ndugu zetu wa Tanzania kwa maoni na hisia zenu ... mie abdalla kutoka kauti wa Garissa kenya
@jedidahbintidaudi8241Ай бұрын
Nyie Kenya subirini tuu Mungu Anaenda kuipeleka Kenya pazuri..endeleeni kumuombea Rais wenu Ruto. Mungu awalinde jirani
@amisibilly5084Ай бұрын
Nilikua nilisha mmiss mzee wangu from Australia big up sana
@rastaraj9577Ай бұрын
Asante kwa kuwahi kumleta mchungaji alete maoni yake, tunampenda xn 254 mpk kieleweke
@baloz8974Ай бұрын
Ruto must Go
@rosetreffert4179Ай бұрын
Makonda Mungu akulinde Sana ❤❤❤
@Erick350Ай бұрын
Mungu akubaliki pastor umbea Kenyan
@paulmadundo8084Ай бұрын
powerful massage, stay blessed comedian pastor😜
@ronaldkimengich8958Ай бұрын
We love you Hananja welcome to 254
@user-id1me9ve1oАй бұрын
Masha Allah Wewe ni Bola Sana Baba Allah akuongoze ❤❤
@makelemohuya2723Ай бұрын
Makonda ni kiongozi bora kabisa kuwahi kutokea
@wisemanking001Ай бұрын
Makonda ni kiongozi 100%
@user-wi8og3sv4jАй бұрын
Asante baba hata mimi kipind chamagu nilimchukia sana huyo mjomba lakini sasahivi wakamaliza 2000 zangu kilasiku nafurahia tu watu majibu yao yanavyoponywa
@ChumanaSusiАй бұрын
Tunataka kujua kodi zetu zinafanya nini. Deni ya nchi ilichukuliwa ya nini na ilifanya nini. Tunataka audit ya deni ya nchi tusiwe tunalipa pesa ziliwekwa mifuko ya watu.Kile kimetukera wa 🇰🇪 sana ni vile ruto na wenzake wanatuonesha madharau kiburi majivuno wakituonesha vile wameunga mapesa za ufisadi kwa kurukaruka na mahelikopta wamenunua na pesa zetu za wizi,,magari makubwa kuva ngua za biatu na saa za mamilioni ihali umasikini.umekomea kwa wananchi. Pili kudanganya wananchi kama watoto na hakuna maendeleo yoyote nchi . Kila kitu kimesimama 🇰🇪. Wanao jimudu ni wabunge na wanasiasa pekee na familia zao.Hawajali wananchi.
@mpjozzegalvanize4926Ай бұрын
Africans tunahitaji viongozi wanyampara😂😂 noma sana
@jumamario-vr1mwАй бұрын
Kweli mungu awae maisha marefu
@ezrakipkurui909425 күн бұрын
Tanzania mjiombee kwanza mue na uhuru yaku andamana
@YasiniMkakileАй бұрын
Kenya ni wazalendo wababe wananchi heshima kwa wananchi wababe
@awatifalghanim1106Ай бұрын
Wababe gani???? Wanachafua na fugo tuu.
@MpakausemeАй бұрын
Kwasababu wewe umetawaliwa na ujinga ukiambiwa chochote na wanasiasa wewe unaitikiaitikia ndio mzee @@awatifalghanim1106
@stephenmwaniki2803Ай бұрын
@@awatifalghanim1106nawewe ikakuuma
@michaelsiafu236928 күн бұрын
Huyu mzee yuko smart sana..
@bonifacewanyonyi3555Ай бұрын
❤❤❤ umesema kweli
@kelvinmureti-fo4uyАй бұрын
Na huchochezi ndio mingi kutoka kwa vyama vya huongozi
@jongosalehe1036Ай бұрын
Congratulations
@ginazngo4317Ай бұрын
😂😂😂hatari sana mungu amecheka hee meno wake yakaaje umeongea pwenti lakini hapo mungu ameche ka subiri niulizia maana mhh
@makelemohuya2723Ай бұрын
❤❤❤
@MauBondeАй бұрын
Hata hiyo roma mpaka leo inajulikana kidunia ishamwaga damu...dah.
@bonniegtmagabe2009Ай бұрын
Mnazingua na hizo jingle zenu
@tinnahagustinolyelu4247Ай бұрын
Makonda Mungu akurinde
@gracekagoma3231Ай бұрын
Hananja anasema ukweli
@rosetreffert4179Ай бұрын
Mikoa mingine igeni huyo wa Arusha Hananja Mungu Akutunze
@hassaniabdi3991Ай бұрын
Sana makonda yupo vizuri sana
@MaryWuantet20 күн бұрын
Mungu ampe makonda uraisi jamani
@gasparlubaga5866Ай бұрын
Mi nilishawaambia kitambo,Makonda ni mtu na nusu.
@danielshimora5315Ай бұрын
Hongela mama samia ni msikivu,.
@MRASISKAАй бұрын
Msikivu wa nyokoo
@danielshimora531525 күн бұрын
Toa hoja acha matusi,,au utakuwa tahira wewe,, acha kutukama watu ambao hawakukuza mtukane mama yako aliekuzaa na Baba Yako masikini kwani wakina bahalesa azae nao.
@alphabetagama3736Ай бұрын
After raising your concerns, please give Ruto a time to rectify!
@megabrecatechniksАй бұрын
He has no penchant to rectify. We want him out! otherwise, he'll face it rough. we are here for the long haul.
@baloz8974Ай бұрын
Ruto had enough time since ever he was In government in past all of those serikalis he has hasn't done anything for sure,tume does he want more it's 2yrs for now just stealing public money over taxing raia who is this guy .?zakayo
@Mima-cl2imАй бұрын
Makonda kaiongezea CCM uhai. Watanzania walichoka na CCM. Tuseme ukweli bila ya Makonda CCM isingeshinda.
@usembiphonedar5632Ай бұрын
Ccm Imeshinda wapi? Mnajidanganya! Ccm labda kwa wizi na kusaidiwa na polisi! Lakini uchaguzi huu ccm hatuitaki ife tu!
@francohaule-ci7iiАй бұрын
Ni kweli hakuna aliyekamilika na Kila kilichokobaya wakati mwingine kinaweza kuwa kuzuri kama vile sauli na badae akawa Paul akawa chombo kweli kwa Sasa makonda anajitaidi sana sana makonda Fanya kazi
@user-wi8og3sv4jАй бұрын
Hata mawazo yangu nikama yako baba
@NardhisMhagama-sy3eqАй бұрын
Wamasai loliondo
@ChumanaSusiАй бұрын
Mchungaji chote kile umesema na kutosikiliza na kutojali umenena mia kwa mia rais wa bandia fisadi mkubwa muuwaji murongo Ruto wa 🇰🇪. Hapo ndiyo ametufikisha ukiona tukiingia maandamano
@SamuelKimani-xk5flАй бұрын
Wambie wakwenyu pia wayanjue hayo
@damianikimario5695Ай бұрын
nimekuelewa sana.. yani umeongea kwa hisia mkuu unakitichako mbiguni. 🇹🇿👊👊
@noelnoel4916Ай бұрын
Nimefahamu anachokiongea lakini sijaelewa
@KashumbaMshanziАй бұрын
Nakushuru kuwambia ukweri viogozi muwaskirize watu makoda
@FatwimaZahrauАй бұрын
Maneno kuntu
@gracekagoma3231Ай бұрын
Mjinga fulani aitwaye Lissu na Lema siku zote ni kuwaongelea vibaya watendao mema😢😢
@MpakausemeАй бұрын
Kwasababu wewe bado ni mjinga , uliona wapi wanasiasa wakaongeleana mema wabongo mmelala sana usingizi
@babupiza641Ай бұрын
Kama wwe ulivyo mjinga
@andrewkissava918428 күн бұрын
Kwani Grace kagoma wewe ni mlaanika ,ivi Tundu Lisu kuharibiwa mwili wake vile wewe una endelea kumlaum lisu na lema watu ambao maisha yao yalikuwa kwenye uvuli wa mauti namna ile hakika wewe ni mlaanika
@mashramadhani1989Ай бұрын
KIONGOZI WA ARUDHA WANGAPI MMESIKIA HAPA KATAJWA MAKONDA?
@rosetreffert4179Ай бұрын
❤❤❤❤😂
@MahdouMombaАй бұрын
Yule jamaa wa Arusha ana spirit ya yule Baba yetu wa Chato, naamini kuna mengi ya kujifunza kwa yule jamaa wa Arusha
@rosemarysulle928826 күн бұрын
Makonda ninampenda mno,akachukue tu fomu ya uraisi.
@JamesMoses-jd1yqАй бұрын
kenya walipigania katiba haikuwa rais vile.ndio maanake nchi kama; Tanzania Uganda Nigeria Congo Nigeria Sudan Zinatamani katiba mpya ila sio rahisi
@yaredyndaga6483Ай бұрын
beat la wimbo gani ?
@kelvinmureti-fo4uyАй бұрын
Hello am kelvin mureti from Kenya,wakenya hatawataki kulipa hushuru
@yasminmustafa2282Ай бұрын
YOU ARE DEFINITELY NOT KENYAN..WHO SAYS WE DON'T WANT TO PAT TAXES..WE WANT ACCOUNTABILITY FOR WHAT IS BEING COLLECTED WE CANNOT BE BUDGETING FOR CIRRUPTION . wewe sio mkenya tutue tukome konokono kiwete wewe
@mataypanga5262Ай бұрын
Huyo kiongozi wa Arusha anafanya uhuni tu
@johnmasha7851Ай бұрын
Thanks kelvin for ur numb remark
@johnmasha7851Ай бұрын
Thanks kelvin for ur numb remark
@johnmasha7851Ай бұрын
Thanks kelvin for ur numb remark
@hassaniabdi3991Ай бұрын
Viongozi wa juu ndiyo matatizo awana sauti ndiyo mana zuluma imerudi na wizi kila sehemu ivi sasa
@GabrielSky64Ай бұрын
Vijana bangi na kuto penda kufanya kazi. Kutumika vibaya na wapinzani. Pole yake Ruto Moja kati ya Marais wenye busara kuwahi.kutokea duniani
@TinakishOАй бұрын
If you don't know what is happening here in Kenya, shut your trap!
@MpakausemeАй бұрын
Wewe kwasababu bado ni mjinga , wakenya sio watu dhaifu kama wabongo nyinyi mnapelekwapelekwa kama wanyama pori