Uhuru wa kujieleza ulete tija na mabadiliko ya kisera na kisheria kwa maendeleo ya taifa letu ❤
@selemanisalum768511 күн бұрын
Narudia tena hawa wanyilamba 2 kitilia mkumbo na mwiguru hawakufai mama samia fukuza hao wapo watu wapya wasomi wakubwa sio hao wako kwa wizi tu hawakufai tafadhari tafadhari mama samia wanakuchonganisha na wananchi hao
@husseynomar952311 күн бұрын
SWALA NI MOJA NCHI HAINA WAADILIFU TU...😢
@hamadikandota627111 күн бұрын
Tanzania kujikomboa kifikra bado sana eti wanamtaka mama samia kwan mama samia hajui kinachoe delea? Shida ni Uongozi mzima wa nchi ya Tanzania kuanzia chini mbaka kwa Rais Wabongo mkiacha uonga viongozi wenu watawaheshimu. Yan unamtetea Samia af unamtukana mtu wa TRA kwan Unazan TRA atakufata bila kufata katiba ambayo imesaimiwa na Rais apo
@awadhally105211 күн бұрын
Kwel kabisa
@hamiskayombe606111 күн бұрын
Dah wasaidieni wafanyabiashara jaman inatia huruma sana Wanahoja za Msingi
@bilid412811 күн бұрын
Huyu ndio kaelezea vizuri kwa uchungu
@machujamathias716511 күн бұрын
Mko sahihi, Gomeni
@RamadhaniLukambuzi11 күн бұрын
Hili swala la migomo litaleta hasara kubwa katika hii Nchi yetu,Mheshimiwa Rais Mama Samia nakuomba uwasikilize Wananchi vizuri huyo Waziri Mwiguru ni kama vile hawajazaliwa na wazazi masikini,Wekeni kodi zenye urafiki na wananchi alafu hizo kauli za Mwiguru huwa sio rafiki kwetu!
@BabaZuu-fq8zj10 күн бұрын
Rais haombwi wewe mbwa anaagizwa afanye acha uwoga watanzania au ujapiga kura ww
@RamadhaniLukambuzi10 күн бұрын
@@BabaZuu-fq8zj Mimi sio mbwa kama unavyofikiria mimi ninaheshimu mamraka zilizoko Nchini mwangu kwa mujibu wa sheria na imani yangu;Tumeimizwa kutii Mamraka zinazotuongoza:-QURAN4:59Soma uelewe sio unatukana tu bila akili,sio kila haki inadaiwa kwa fujo!
@sonnyr189911 күн бұрын
Mama Samia please jitokeza upige spana hawa watu wanao watesa wananchi.
@mohammedalishamis940511 күн бұрын
Ni kweli toka zamani mfumo wa malipo si mzuri na hao wafanyakazi wa serikali hawautaki mfumo mzuri sababu watakosa kula
@subirahowen12411 күн бұрын
Ni kweli kabisa wafanyakazi wa serikari tra wananufaika na rushwa
@RenatusMatungwa11 күн бұрын
Kwani hawalipwi mishahara.?tatizo hawaridhi na mishahara yao mwisho inawagharimu na wengine
@mohamedisalimu11 күн бұрын
@@RenatusMatungwa TRA wafanyakazi wengi mno...mishahara mikubwa wanafilisi nchi
@muksinimbaruku123310 күн бұрын
Nimegundua kuanzia ngazi za juu mpka chini wanafiki sana, kama mama anaongea na makonda akiwa kwenye kikao inakuwaje anashindwa kuongea na chalamila live mbele ya wafanyabiashara. Lao moja hakuna cha mama wala nani Mission ni moja tu
@rosehaule676511 күн бұрын
Uchungu mkubwa mnoo😢😢Mama samia ingilia kati
@JacksonNovatM11 күн бұрын
Jifunzeni kwa majirani zenu Kenya
@reginas183211 күн бұрын
Samia mwenyewe yuko busy kuuza rasilimali zetu
@chusseboywcb280810 күн бұрын
Point sanaaaa ndio Life lakibingo lushwa imetawala nibora mlivyo elimika ukitoa rushwa unakua umejilisha hasara ww na familia yako bola utoe hera ifike selekalini italeta maendereo yako nakizazi kijacho🙏🙏💪💪🔥🔥🔥🔥🔥
@robertmoshi211311 күн бұрын
afuu mpigie kura chama kimoja cha ccm yan
@maswimadaraka909410 күн бұрын
Kuna machinga wana mitaji hata wenye maduka hawafiki … ni kweli kabisa
@bukharysaid10 күн бұрын
Wanachukua meza ili wakwepe kodi
@mufaddalmoawalla852211 күн бұрын
Ni uwizi wa asubhuhi na sio usiku serekali inapoteza matrilioni kwa.sekunde
@kawiche491111 күн бұрын
SAMIA YUKO BUSY KUTAFUTA WAWEKEZAJI ANDISHINDWA KUJUWA NCHI ITAJENGWA NA WANANCH WENYEWE HAKUNA NIDHAMU YA KAZI SASA ANAONGOZA NINI
@joshuamwalusambo239111 күн бұрын
Kusema ukweli kabisa mimi mwigulu sijawahi muelewa ni msomi ambaye hsangalii uhalisia wa Manisha ya watanzania .kwahiyo kama ataendelea kuwa waziri wa fedha tutarajie matatizo makubwa zaidi ya haya kwa wafanya biashara
Kazi iendelee wazee na vijana , let's work continue kumbukeni kwa mjenga nchi ni mwananchi. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@KaburuKimath-eu5nf11 күн бұрын
Baadhi ya viongozi wanamwaribia mheshiniwa rais mama waangalie sana
@r14kgroup6810 күн бұрын
Point mzee baba
@user-zt4rd5pr1e9 күн бұрын
Toka mama aingie madarakan sijawah ona ziara ata moja akiwasikiliza wananchi, mungu ibarik tz
@BonfaceMwaipaja10 күн бұрын
Kuhusu wachina ni tatizo kubwa sana ,tena wakikoma himekula kwenu sio watu kabisa ulizeni afrika kusini pambaneni mapema sio wazuri watawashindeni kibiashara
@andrewemmanuel18619 күн бұрын
Aiseee mtanzania genius anajua kujieleza
@woah.africa9910 күн бұрын
Kweli
@robsonlotyloy567811 күн бұрын
Hapo safi sana. Mungu hawa linde.
@user-xn1nw5cm1h6 күн бұрын
Mama Samia atawasaidia Nini na hao viongoz ndo kawateua yeye hap kazen kugoma tu au maandaman ndo suluu kwa maon yangu
@alexkabeho56099 күн бұрын
Kweli kaka lazima nchi imlinde mzawa, hapo Kweli mchina hafai😅😅
@matjjoseph970810 күн бұрын
Point 🤔👏👏👏
@Mapishinatibatv10 күн бұрын
Lipeni kodi acheni janja janja ,tukilipa kodi kama Amerika tutanyooka kama rula , kwa sasa hivi walipa kodi halali ni wafanyakazi tuu.
@anicethpeter310010 күн бұрын
Wa Kenya hoyee
@hubasuleiman170111 күн бұрын
Ilo kweli
@MasterOil-qm6vw10 күн бұрын
TRA Iondolewe serikali iweke mfumo ambao mlipa kodi atalipa na hela itaingia moja kwa moja hazina na sio kupitia kwenye mikono ya vishoka TRA
@jizzotheking92389 күн бұрын
Mimi binafsi naon wamachinga waondolewe kabisa tuwe tunanunua dukani kama posta, maana kwanza wanaongeza msongamano na wizi
@mpefu_493610 күн бұрын
Jamani kwa aoni malalamiko ya watu wake akaingilie kati
@Thomasimasalu-pn8zi10 күн бұрын
Wafanye kazi na wao wasitegemee mishahala waone kama ni rahis
@jamesnyamila216511 күн бұрын
Sasa kero zote hizo, harafu kenge Moja tu inaanza kutishia tishia
@user-ob8cd2zj1o11 күн бұрын
Yule sio Mkuu wa Mkoa bali mchekeshaji#
@awadhally105211 күн бұрын
Yule ni kenge kama nikenge wenginee
@Rasoulhk9810 күн бұрын
Haya yote ni madhara ya matumizi mabaya ya kodi za umma. Mtu huna ajira lakini hata ukijiari wanachukua kile kidgo ulichopata, huu mgomo ni ishara tosha ya ukombozi. Ukiona mwenzio ananyolewa, Zako Tia maji #GodIsGood
@ManyoriModernFarmMMF7 күн бұрын
na sisi tunahama,maana mwigulu alishasema tuhame basi tunahama wajiongoze wenyewe.MAGUFULI UTAKUMBUKWA SANA..
@hurumalunda24909 күн бұрын
Apo kwa wachina umetishaa maana watatuua kwenye biashara
@elisantemrita94907 күн бұрын
Uyu ana jaziba kunamengi hayajui
@juniorndambalilo6610 күн бұрын
Komaeni hivyohivyo hao viongozi wenu washapewa pesa wapumbavu ....tuamkeni watanzania tunakoelekea tunarudi ktk ukoloni wa watu weupe
@IsmailMjesh10 күн бұрын
Wafanya biashara hawamtaki kumskia nani wala cha nani, point yao kubwa wanataka kumuona mama tuuu......... Lolote atakalosema nafsi zao zimelidhika........
@yassinchuwa882410 күн бұрын
Sirikali sirikali sirikali 😢😢😢😢😢😢😢, hivi vitu vitawatafuna mpaka kwenye malalo yenu
@user-rg2py2yz4x10 күн бұрын
Safi..sanaa😂😂
@muksinimbaruku123310 күн бұрын
Ndio maama wanalalamika kuna uhaba wa dola kumbe tatizo linatokana mambo kama haya, sasa wanaoleta dola katika mazngira kama haya inakujaje?
@JustineKimwaga11 күн бұрын
👏👏 samia jitokeze we ndo msemaji wa mwisho
@chrithicksambo228711 күн бұрын
Yuko huko South Africa 😅😅
@abdulhajiahmed873511 күн бұрын
Umezungumzia mambo ya msingi kabisa kwa kweli inatia huzuni na uchungu kwanza wachina wangefukuzwa wataruhusiwaje washindana na wananchi wa kawaida wao si wawekezaji?
@begukulemosobe968510 күн бұрын
Inashangaza na kulindwa juu na jeuri juu
@SskKizonga10 күн бұрын
Bongo ujinga sana eti mgeni nae anafanya biashara kama mzawa inaskitisha sana😢
@MasterOil-qm6vw10 күн бұрын
Wasomi wengi tanzania wanafanyiakazi kile amabacho hawahakisomea hata hao TRA hawajsomea?Mambo ya TRA
@Mnyakyuboy10 күн бұрын
Ongea wasikie mzeee🙌🙌🙌
@user-eg1fi6gi7b11 күн бұрын
Hii sio Tanzania tena hili ni gulilo
@karlschrader40269 күн бұрын
Yaani endeleeni Kugoma mpaka kieleweke
@AlbertRemmy11 күн бұрын
Kero ni nyingi sana
@shikuhata10 күн бұрын
Kwani wafanyabiashara hamjui makadirio yenu kwa mwaka? Kwanini msubirie mpaka operation ifanyike? Mngekuwa mnalipa Kodi Kwa wakati kamatakamata isingekuwepo
@eliahmaluguofsua10 күн бұрын
Hujaelewa, kwanza usipolipa kodi kwa wakati inapiga penalty hakuna ambae anafanya makusudi kutolipa kwa wakati ikitokea labda ni bahati mbaya.
@jofreykilangila411810 күн бұрын
Ukitoa lisiti utaskia lisiti ndogo . Tunaandi lisiti ya thamani ya hela ambayo hatupati
@uredmwasembo857910 күн бұрын
Shida mlio wachagua ni woga Sana
@RahelPetro-ro3yn10 күн бұрын
Tanzania bado 🤔🤔
@AlhajiSalimu-xx3yh10 күн бұрын
Jamaa kuongea point tu
@EmmanuelYohana-if5bq10 күн бұрын
IVI MAMA HAONI AU,,AMEENDA,,KOREA KUSINI,,,😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺
@albertinamichael612310 күн бұрын
TRA wanapewa maagizo na wakubwa.
@zuberiismail297211 күн бұрын
Mnakwepa Kodi midomo mirefi mnakwepa Kodi af hamtoi risiti sawa na mzigo sema Huwa mnasitiriwa tu, mkikaziwa mnaanza midomo sera zenu hazina mashiko mshazoea miteremko, kwani ukitoa risiti sawa na mzigo wako nani atakusumbua af waacheni wamachinga wanapanga Kaz kwenye meza maduka yanaonekana juu af wamachinga ndio wateja wenu wakuu wakilasiku hamna shukran wakwepa Kodi wakubwa
@awadhally105211 күн бұрын
Ww nyamaza huelewi chochote fisadi mkubwa ww
@veronicangailo764410 күн бұрын
Huna biashara ndio maana unaongea fyongo
@zuberiismail297210 күн бұрын
@@awadhally1052 hamtoagi risiti sawa na thamani yamzigo Kwan uongo? Mbona Hilo hamlisemi mnaona yakwenu tu eeh
@bestman818210 күн бұрын
Mara ngapi wateja tukinunua bidhaa mnatuomba mtuandikie risiti ya kiwango kidogo kuliko niliolipa mteja? Na mfunge tu maduka daadek😅
@princejames-vp8fm10 күн бұрын
Wakati mwingine ukikomaa kudai risiti halali ni bora asikuuzie kabisa
@SebastianGeorgeSamuel-yg2zc10 күн бұрын
Daaah😢😢😢hiiii serikalii hiiii😢😢😢
@thomasmassaga443010 күн бұрын
Serekali yetu siasa nyingi
@bestman818210 күн бұрын
Wahuni tu wakwepa kodi. Fungeni maduka tuone marejesho mtalipaje
@mpefu_493610 күн бұрын
Hiyo ilikuwa aridhi watu wanatajirika kwa rushwa ni dili
@elbattawy286410 күн бұрын
Na hili nalo mkaliangalie
@jerrymboyya234610 күн бұрын
nikweli kabisa biashara za kariakoo wateuliwa wa serkani sio waadilifu
@janifajani887510 күн бұрын
Kweli k/koo akuna mpangilio mzur wamachinga wange pangiwa upande wao mm ukinipeleka nikanunuwa kitu nikigeuka tu atuwa 5 ukiniambia rudi ulipo nunuwa sipakumbuki
@nashirkamugisha942511 күн бұрын
Machinga waende machinga complex tu. Hasiwepo mtu wa kupanga nje (50%) ya kinachonunuliwa kariakoo havikatiwi kodi
@moriskalegeleshusha261910 күн бұрын
Mwigulu jina lake ni waziri au waziri ni cheo chake yeye anaitwa Mwigulu, kwasababu mi naona kila raisi anaeingia ye ni waziri tu anazunguka kwenye wizara tu,hivi kweli nchi hii tunauhaba wa wasomi kiasi hichi kweli au kuna namna jmn
@abuuthauran993310 күн бұрын
Ila nikweli mnaandika risiti za uongo, mtu akinunua kitu Cha milioni mbili mnaandika laki nane
@Esterkomba-ef7eb10 күн бұрын
Arudishwe makonda ndiyo ataweza kariako siyo chalamila
It pain ukisikiliza, sijajua nini shida kwa nchi hii, kweli watu wananenepa na kula hela za watu kiholela na kila wakilalamika mifumo ipo pale pale haibadilishwi, ni huzuni, kaka kashauri vizuri sana wakijua idadi ya maduka mtu akakadiriwa vizuri malipo yake usumbufu usingekuwepo, machinga kariakoo kweli ni kero mbona kuna machinga complex lakini hao machinga hawaendi kufanya biashara huko kumedoda kimya
@MariamOmary-qm3je10 күн бұрын
Nikweli
@KS-iw7qv10 күн бұрын
WATAWAKIMBIZA WAGENI KWA KWELI... HII NCHI FOOOLISH KWELI 😢😢😢😢😢
@harshkirit678010 күн бұрын
Aliyekuwa mkombozi wa wanyonge Hayati magufuli hakupenda nyonge aumie hata kidogo. Baba tutakukumbuka daima. Uongozi unahitaji ubadilike na hawa viongozi wataipooza hii suala kisa tumekaribia uchaguzi mkuu. Shida tunamafisadi wengi Mhe. Rais naomba uwe unawasikiliza wananchi wako kuliko hawa chawa viongozi wanaojali matumbo zao
@Rasoulhk9810 күн бұрын
Yameanza kama masiara, ila yatazaa matunda tu. Mwananchi ndio muamuzi wa mwisho wa nchi yoyote.
@mpefu_493610 күн бұрын
Kweli kariakoo amna ustarabu bara2 kero mm sijui km na miji mingine Pako hivi tafutia wamachinga pa kuuzia tutawafata
@user-yz3zi6ht3j7 күн бұрын
Walipewa ufree kusudi wapige kura za ccm na wataondoka wote kusini kuja mjini
@dianajohnson726810 күн бұрын
Dadaangu anauza kachori kibalazani kwa mtu apate kuisha watoto wake Lakini wanakuja watendaji kudai kodi duuh mama Samia hapana kwakweli 😢
@mwitamalwa277310 күн бұрын
Kwa kwel inchi gan hii😊
@homeboybeyondtheborders493510 күн бұрын
TRA wasumbufu sana na mfumo wa ukusanyaji Kodi ni mbovu.Machinga wana mitaji mikubwa kuliko wenye maduka.
@juliethhenrymasanja94010 күн бұрын
Msifungue kabisa
@user-zu8ou2oe4c11 күн бұрын
Hao viongoz piga chini washabadilishwa akili na wakuu ndo mana wanalindwa cjui katiba yenu ikoje ila kama inaruhusu piga chini wote
@linnusaloyce655910 күн бұрын
Tatizo nchi haina waadilifu mama alifeli mapema kumweka mwigulu kitengo ndiko alipo feli mama tafuta mtu sahihi kwenye izo nafasi utaondoka madarakani ukiwa na dowa kubwa sn lisilo zuri ondoka na dowa kovu la mema mama yetu please kipenzi chetu tunakuomba badilisha wasimamizi wako wanakufelisha nchi aiendeshwi kwa mabavu toa mwigulu weka hata makonda au waziri silaha wapiga kazi hao na wasikivu kwa raia
@MaxCharles-wj5dg10 күн бұрын
ccm hiii imechoka
@sofitanzanian95511 күн бұрын
Nabado hamjasema mpaka mseme mkitetewa namange midomo juu mnamuona mbaya
@ivankadaudi816111 күн бұрын
Kama mambo yenyewe ndio hivi du ndio mana wafanya biashara wengi wanaangukia kwenye ushilikina kuloga, kuua au chuma ulete ili wasipotee na hii inatutisha wengine tunataka kufanya biashara sasa huo upole wa wananchi siku wakichoka na huu ugumu wa maisha wote wantaingia mtaan kama kenya hakuna atakae wazuia. Wafanyakaz wanalia mishahara, wastafu kikokotooo, wafanya biashara kodi, unadhani wakianza kulala njaa watakua na ustarabu tena lazima watakua vichaa tu njaa mbaya shauli yenu serikali😮😮😮
@Peterchipemba11 күн бұрын
Wawashieni moto kama kenya,,,apo watawaeshimu maana tozo izo ni miladi yao,,kwa kelele izo watawazalau
@nsiamasawe457810 күн бұрын
Viongozi wamewasaliti Yesu rohoni pesa mfukoi
@devangandhl225511 күн бұрын
Faini inabidi iilingane na thamani ya mauzo Mfano 10000-100000 30000/= 100000-1000000. 100000 Nk kama wanawaamini maafisa TRA Wafanyabishara tushitikiane na TRA na kutoa risiti sahihi Kama TRA wako makini mimi naona kama mfanyabishara hajatoa risiti ni asimamimiwe hapohapo na atoe risiti sahihi ya thamani mara 5 ya mauzo vilevile
@devangandhl225511 күн бұрын
Kwani huyu waziri wetu wa biashara mbona kimya.aje akae kariakoo aangalie mazingira
@simonmartin535811 күн бұрын
Hiv wewe mfanyabiashara una payuka unafikiri unaraisi hapa tz. Hiv angekuwa magu tayari mgekuwa mmesha pata suruhu, huyu rais wenu kawasikia sana ila ttzo watu wa chino mtajiju
@callicevallice738310 күн бұрын
Na hili nalo mkalitizame😂😂
@leokamil628411 күн бұрын
Serekali inabidi Tanzania nzima mtoe machinga kwenye njia za kutembelea kwa miguu nje ya maduka. Watafutieni sehemu special za kuwaweka ili wafanye biashara zao hapo .